Huyu jamaa yuko real.... Na wala hajatafuta waandishi wa habari Bali wao Ndo wamemtafuta.anajibu alichoulizwa. Kabla Ya kumpeleka mtu mahakamani mnaongea tu Kwanzaa.
Ndio mana kiba haendelei kila leo mabifu anapenda sna jamaa yule mziki umemshinda kbs wote vijana kwa nn unakuwa hivyo tatizo kiba jeuri na anajiona anajuwa sana kumbe hajuwi kitu
Ally kiba Ni mavi Sana Kama ulimuingizia saut nyimbo Ya dushelele kwel siyo Mwana MUSIC bora kabisa Dushelele Kumbe kuna mchango wako wasaut kwel Ally ni MPUUZ SANA ajitambui Ally hanataka kugombana nawew water hapo ndiyo Anajizika taratiiiiibu s2kz Hato muwez Ally ana idier Za kizamaniii Sizan kama beat Litawezekan kuchongwa likakamilika nanyimbo ikatoka Kumbe unamtunzia sili kubwa Alafu yeye Ana jifanya jeuli Thanks broh water me nimekumanya saw saw vilivyo
Mnafki ww .Man water kwani Kina Blue wanatunzo gani mpaka Leo akinajuma Nature nao ,Kiba kajulikana nangoma Kalii sanaaaa Pale G record acha Ajenge Studio yake ,Maana watu wanatafuta Pakumtoa Kiba kwenye Leli huu ni ualamia
Man maji huyu jamaa ni hatar sana kwenye kutengeneza ngoma kari alf bint zake huwaga hazifanan . Alf ally kiba anasahau km water ndyo kamtoa kipindi kalala doro akampigia mwana goma matata. water mi nkija kuw msanii lazima nkutafute maana nakuelewea kitambo sana huwa unanikosha kiukwel.
YANI MAN WALTER AMEONGEA VIZURI SANA HALAFU HANA MAANA MBAYA KABISA NA KIKUBWA ALIKIBA ANGERUDI TU KUYAMALIZA ASILETE MAISHA YA KISTAA KWENYE MAISHA YA MTU NA ASUSAHAU NAYEYE NI BINADAMU
Me Nilisema Kingkimba Hajalipa Hela Ya Watu ...Kama Wewe Ni Mwerevu Na Una Sikio LA Kikubwa ...Basi Man Water Amesema Ukweli Kabisa akila Kitu...Na Wale Team Kingkimba Niwaambie Tu Ukweli MTU Wenu Sio Mbunifu ,Akifanya kazi Na Man Water ngoma Zake Zinakuawaga Kali Sana Na Kweli Ukisikiliza Dushelele Kuna Sauti Ya Man Water Mule Na Hata Mvumo Wa Radi Creativity Nyingi Ni Za Man Water Ali Kajaaliwa Saut Tu 😀😀😀😀😀ambayo Hata Wema Sepetu Anayo ....Haya MTU Anayekubeba Unamdhulumu .....Aibu Sana 😀😀😀😀😀😀😀...Kujiona Kwingi Ndo Kuna Mponza
kiukweli huwa nampenda alikiba kupitia nyimbo zake! lkn ukweli ni kwamba! alikiba ana roho mbaya na ukiburi! ukiangalia hata kile anachoita ugomvi kati yake na diamond! hakina ukweli wowote! na hata diamond mwenyewe huwa anajaribu kuonyesha kuwa hapendi kuona hicho kinachoitwa bifu dhidi yao! lkn alikiba anachofanya dhidi ya diamond ni kuendelea kumvimbia na kukoka moto wa ugomvi ambao hauna kichwa wala miguu! kwahiyo anacho ongea mh man water inawezekana kina ukweli! na siku zote dawa ya deni ni kulipa! siyo kubeza eti ni hela ndogo! alikiba lipa pesa ya watu maisha yaendelee acha kujimwambafai.
Jamanii tusikilizane vizulii huyuu jamaa nime msomaaa vizulii kama team kiba mtanisumbuwa na kunitukana poa ila leo niamuwe kumwambia alikiba anazinguwa man water me nina muheshim sanaa lakinii alikiba anataka kuvuka mipaka kabisaaa kiba kwahili umezinguwaaa siogopii kukwambia
Wew mjingatu hivi alikiba anaweza kusema anakudai hela ya mafuta na nyimbo mbona hizo anatengeneza ni mngine wew unasema ni wew mfano mwambie sina ametengeneza ni moko genius sio wew kaaa kimya ulipwe na sio uongo
Hahaha water kachemsha kumkosa ally now tupo na mokko ginius and then tume open na new brand studio ndo ttzo et milion nne milion nne kitu gan kwa ally bhana yan huo ndo uongo dhahir
Upande wa ali kiba umejaa uongo uongo sana , Mzigo wake ali kama umegundua anautupia kwa water , Ali ni mjinga mjinga sana kiburi sana na Hizi ndio dalili za kufeli , amefail.
Huyo Kiba ni mshenzi sana na kama ataanza uadui na maproducer atapotea na huenda ndio maana anapotea, Kiba ana wivu Wa kingese, Kagoma kufanya kazi na Abby Dady kisa eti Mondi kafanya ngoma na Mavoco, ngoma inayoitwa Kokoro Huo umama #ManWolter piga kazi huyo boya
Daaaaaah mziki wa bongo sijui unakoelekea,yani kila mmoja anaongea lake sasa we dont know who is correct kwakweli,kikubwa hawa jamaa wamalizane tu mapema na kazi ziendelee ndio mziki unavotakiwa kukuzwa lakini sio mabifu kama haya,hawa ni watu wazima na wasanii wakubwa kwahiyo sio poa kusemana kwenye medias kama hivi,badala yake kutanrni mfanye mazungumzo na mmalizane
Man water tulishakushtukia we ni mamluki Nenda Wasafi tu Acha majungu naona unaendelea kumponda kila media ALLY KIBA atazidi kua KING wewe ni nani wakumtoa mtu gundu wewe sio Mungu Acha majungu
Hili neno inshaallah naliogopa Sana jamaa imemuuma Sana adi kasema inshaallah si neno dogo
Huyu jamaa yuko real.... Na wala hajatafuta waandishi wa habari Bali wao Ndo wamemtafuta.anajibu alichoulizwa.
Kabla Ya kumpeleka mtu mahakamani mnaongea tu Kwanzaa.
BEST PRODUCER IN TZ NO MATTER WHAT.
Diamond nimemuona anacheka tu
Huyu Man Water nimemwelewa sanaa, na ameni inspire sanaa kuwa real na clever
Ndio mana kiba haendelei kila leo mabifu anapenda sna jamaa yule mziki umemshinda kbs wote vijana kwa nn unakuwa hivyo tatizo kiba jeuri na anajiona anajuwa sana kumbe hajuwi kitu
Boya kweli yani
@@officialmrtop1018 kama mlivyo maboya
Wewe unin
Jameni... Bae kiba hujafanya poa umeniangusha
Oya King, Mimi shabiki ako Ila ebu maliza suala hili, man maji anaongea kwa uchungu sn
Ally unasema umesusa unasusavipi hujalipa we lipa alaf ususe
Fact
Ndio maana yake
Mmefanya kazi nzuri pamoja kwa muda mrefu, hakuna haja ya malumbano malizeni tofauti zenu.
Hataki kiba ana kiburi sana
Chamuhim nikucheua mchele full stop maisha magum saix
Kiba mimi ni shabiki wako lakini Lipa deni kwa "Man Water"🤤🇲🇿
Nimepapenda pale aliposema Ali nae alirukia 50% discount.........
team Diamondi tujuane jmn hahahahah et king anadaiwa
😀😀😀😀
Alafu anadaiwa mil 1
Kafirweni mikundu nyie mnapenda Sana Mfalme alikiba akiwa anasemwa vibaya mashoga
ali can be a good dancer of WCB, i've seen him doing great kwa kunyonga lol,,,, mkamuombee kazi apate za kulipa kwani mziki haumlipi
@@gakouabdoullah6012 😂😂
Mm ni mshabiki wa alikiba akulipe muendelee kufany kazi maan ww unamuwezea
Amlipe jamani mbona man wotter ana shida ana tuaibisha mashabiki
Tatizo lake Ni kiburi kama mwanaume haipendezi ,gonga like hapo
Mpambe nuksi namba 2
Mlipeni jamn mpk m2 anaenda kwa interview kuongea hya mpeni jamn pesa yke hta km n ndgo mpeni n haki yke
Kweli wamlipe
M1 ni ndogo!!!???
Daah hii movie duuh kila mmoja ukimsikiliza unaona kuna ukwel emb king kiba malizana na water maana ni status mbaya kwako
Tatizo wasanii hawawaheshimu maproducer
Ali anakiburi sana
Huyu muongo
Hahahahahaha!!! Kiba unatuzalilixha shabik zako...yan unadai had hela ya mafuta
"Dawa ya deni ni kulipa" Well said Man Water na huwezi kupiga saluti chini ya uvungu
Sio mara ya kwanza..kama tunakumbukumbu vizuri Producer Abbydad alishawahi kutofautiana na Alikiba kwa masuala kama haya ya malipo.
Njomana mke kamkimbia
Kaeni tu washikaji mmalize kama wanaume wenye utimamu wa akili, ili mashabiki wenu tupate muziki mzuri
man water yuko real....chamsing kiba alipe pexa tu
jamaa anaonekana anaongea ukwel 🛎
Mlipen bwana ela za watu
Mnajifanya mmeibiwa pensel zenu kumbe nyinyi wenyew matapel
Shida moja ya king ana tabia za kike sana!kibri,dharau,kujiona kutamfikisha kubàya
Kwani nyie mnawahuji mmoja mmoja mnawaogopa kuwa kutanisha au ndiyo mnatafuta viewers na nyie watafuteni wote kesho XXL kiwake vizuri
Ndomaana jamaa anatoa ngoma moja kwamwaka kumbe hana pesa yakulipia studio
😀😀😀
,😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣
Hii issue pia ishawai tokea kwa yule producer wa tanga abidady hakulipa alivyomdai Ali akaanza kumzingua.
Hahahahah hana bro anaangalia namba ya hela
Man water nmekupenda kaka ako kajamaa kanapenda kujisfu but mung atakulipia den lako kaka
King Kiba ametowa MEDIOCRE song kwa wapuuzi kwa nyiee
Bro haki yako hiyo lazima ufanye kila uwezalo uipate, na King unayomfanyia water sio poa ujue na wewe unajiaharibia kabisa kwa mashabiki wako wa ukwel
Sio king huyu
Dah maisha haya, Ray vanny anamnunulia gari s2kizzy huku Ali anakopa beat
MrMbwelwa duu
ALLY ANAPITIA WAKATI MGUMU WIKI HII,, JAMANIIII
WAPI TEAM WCB LIKE ZANGU
Mondii njooo uangalie hiii intervew
Aibu yako Alikiba kumbe nawe unaongea uongo eee
Afu anasema M nko real sana
Mpanuksi
Komedi Ringo mpambe nuksi namba 2
Huyu ndio alimrudisha na Mwana baada ya kupotea..kiburi kinazngua kiba
Ally kiba Ni mavi Sana
Kama ulimuingizia saut nyimbo
Ya dushelele kwel siyo
Mwana MUSIC bora kabisa
Dushelele Kumbe kuna mchango wako wasaut kwel Ally ni
MPUUZ SANA ajitambui
Ally hanataka kugombana
nawew water hapo ndiyo
Anajizika taratiiiiibu s2kz
Hato muwez Ally ana idier
Za kizamaniii Sizan kama beat
Litawezekan kuchongwa likakamilika nanyimbo ikatoka
Kumbe unamtunzia sili kubwa
Alafu yeye Ana jifanya jeuli
Thanks broh water me nimekumanya saw saw vilivyo
Water na KIBA MNAENDANA kikazi....fanyani kazi
Kiba hafai
Umeongea point brazaa
Kabisa bro.... Amlipe wachape Kaz kiburi kando
Kibakuli mzurumatii 😂😂😂
Hekima Isaya 😂😂😂😂
Mwizi mkubwaaa
Hahahaha
Short and clear. U should give him an ultimatum or otherwise his other songs will be reproduced and be given to other artist preferably WCB.
Mnafki ww .Man water kwani Kina Blue wanatunzo gani mpaka Leo akinajuma Nature nao ,Kiba kajulikana nangoma Kalii sanaaaa Pale G record acha Ajenge Studio yake ,Maana watu wanatafuta Pakumtoa Kiba kwenye Leli huu ni ualamia
Kiba ni mkorofi sana boss
We mshamba tuu uwo ushabik mandaz ukwel utabak kwenye ukwel
point xana
Acha ukhanisiii wewe fala fuatilia mambo mnafiki unamjua wewe fankurooo stadialoooo fankurostooo🖕🖕
Kiba lipa ngoma zawatu yeye ndo mzito nan asie jua
malizeni issue kama wanaume, kiba man water ndiyo producer bora kwako kubali kataa
Man maji huyu jamaa ni hatar sana kwenye kutengeneza ngoma kari alf bint zake huwaga hazifanan . Alf ally kiba anasahau km water ndyo kamtoa kipindi kalala doro akampigia mwana goma matata. water mi nkija kuw msanii lazima nkutafute maana nakuelewea kitambo sana huwa unanikosha kiukwel.
Facts mzee hawa ni watu wazito na watu wakubwa sana wanatakiwa kukutana wamalizane na sio kusemana mitandaoni wanatujengea picha gani mashabiki wao
hapo nakuunga mkono japokuwa mm tm kiba ila man wt anamuwezea sna ali
Unajuwa man tatizo Ali kiba kakukataa hatki kufanya kazi naww huna ishu kampata mocco genius bonge producer
Masozi imelipiwa laki 5? Yan ngoma kali vile alafu inalipwa ela ndogo ivo!!! We Alikiba Mungu anakuona
Clouds wamlipie sasa 😂😂😂
Apo chacha
Duh ali fanya umalize ili swala usije ukapotea kama 20 percent.
Ndo Mana mzik wa bongo unapeperushwa tu namtu mmoja bisha nikuone
Ila mashabik wa kiba kumbe mna busara jmn😂😂 mnavyoomba yaishe utadhan mnatetea ndoa vile,😂😂😂
YANI MAN WALTER AMEONGEA VIZURI SANA HALAFU HANA MAANA MBAYA KABISA NA KIKUBWA ALIKIBA ANGERUDI TU KUYAMALIZA ASILETE MAISHA YA KISTAA KWENYE MAISHA YA MTU NA ASUSAHAU NAYEYE NI BINADAMU
Kwel kbs
kweli wao wanaleta uteam wakati walter yy anadai haki zake
Kweli kiba nampe elayako
Kweli
@@tausirashidi5554 xa mbwa xixi ila alipe den
Ndo mana anatoaga nyimbo kila mwaka kumbe chanzo ni wew 😂😂
Man water hana lolote huyo
Sema kwel yey hela hana ndy maana anatoa nyimbo kwa mwaka mara1
Tushajua ,,😀😀😀😀 timu wenzetu moo?!!!!!😂😂😂😂😂😂😂
Hawa wote wanasema ukweli camera na sauti ndio zanadanganya 😂😂😂
aca kusem uongo msani wenu kibakuli njo mvivu hana hela
@@akibarahamadi5058 msanii yupi wetu
Duuh kwel Kiba kafulia
King Mzee wa offer 50%😁😁
Bosss sema kuuunda sio kuumba kitu cha kuumba ni kazi ya mungu sio ya binadamu bro
Man water mbon unalia San 🎅 😂 😂
Amlipe hela zake tuone kama atalia
The biggest enemy of Ali Kiba is Ali Kiba himself.......
Big fact
Really.
Me Nilisema Kingkimba Hajalipa Hela Ya Watu ...Kama Wewe Ni Mwerevu Na Una Sikio LA Kikubwa ...Basi Man Water Amesema Ukweli Kabisa akila Kitu...Na Wale Team Kingkimba Niwaambie Tu Ukweli MTU Wenu Sio Mbunifu ,Akifanya kazi Na Man Water ngoma Zake Zinakuawaga Kali Sana Na Kweli Ukisikiliza Dushelele Kuna Sauti Ya Man Water Mule Na Hata Mvumo Wa Radi Creativity Nyingi Ni Za Man Water Ali Kajaaliwa Saut Tu 😀😀😀😀😀ambayo Hata Wema Sepetu Anayo ....Haya MTU Anayekubeba Unamdhulumu .....Aibu Sana 😀😀😀😀😀😀😀...Kujiona Kwingi Ndo Kuna Mponza
minimekuelewa mzeee
Ungemrekodi msenge😂😂😂😂😂alipe KITEMI tu😂😂😂😂😂
Ali kiba anasauti nzuri lakini si msanii wa anayevutia kisoko amepitwa na wakati
kibongo bongo produce kuzurumiwa kitu cha kawaida sana muulize nahreal anajua hilo
As kwa nini hukumrekodi...?
Sema hii radio imekaa kinafikinafiki na kiuchonganishi sana. Namhurumia sana hata Harmonize kujiweka upande wa hiii Media.....
Me naambiwaga kiba swala tano afa kumbe ni choriii😂😂
kiukweli huwa nampenda alikiba kupitia nyimbo zake! lkn ukweli ni kwamba! alikiba ana roho mbaya na ukiburi! ukiangalia hata kile anachoita ugomvi kati yake na diamond! hakina ukweli wowote! na hata diamond mwenyewe huwa anajaribu kuonyesha kuwa hapendi kuona hicho kinachoitwa bifu dhidi yao! lkn alikiba anachofanya dhidi ya diamond ni kuendelea kumvimbia na kukoka moto wa ugomvi ambao hauna kichwa wala miguu! kwahiyo anacho ongea mh man water inawezekana kina ukweli! na siku zote dawa ya deni ni kulipa! siyo kubeza eti ni hela ndogo! alikiba lipa pesa ya watu maisha yaendelee acha kujimwambafai.
Uwezo Mayonko Iv kwani huwez ongelea Alikiba bila kumtaja diamond sasa hapa ni Man water na alikiba asa diamond anatoka wapi ,
Nye ndo watu mnao jua mambo
Umeandika risala kubwa ambayo haina mashiko. Andika kisomi utaeleweka
@@hashimumkunda6501 lengo lake amtaje mondi eti kazunguuka mwenyewe 🤣🤣🤣🤣
Agiza soda kwa mangi nakuja kulipa
Aaaah ssa nwanaume mzima mbona wwe ndiye ulianza c poa ssa uyo ataondoka utafaidika nn ooh Allah
Masozy imelipiwa laki 5 tu😲😲
Atar tupu
Umeeleweka Sana man water man maji
Man maji , kila mtu analia na ali
Nimeumia Sana Sana😭😭😭 alikiba unaniwekea chuki nitakuteteaje Kwa watu Mimi
😂 😂 😂 Huyu kiba kanifanyia kama team yangu ya man u vile sometimes hunifanyia.. Duh
ndo mpigieni harambee mumlipie jeuri huyu kiba
#MallemaTz katutia aibu 😢😢😢
Mchangieni nduguyenu aibu
@@jennyjayne5745 hahahaha
Ama nigere mana jamaaa kafungua studio yake king ebu malizana nahuyo asikuekeee mikosi
Jamanii tusikilizane vizulii huyuu jamaa nime msomaaa vizulii kama team kiba mtanisumbuwa na kunitukana poa ila leo niamuwe kumwambia alikiba anazinguwa man water me nina muheshim sanaa lakinii alikiba anataka kuvuka mipaka kabisaaa kiba kwahili umezinguwaaa siogopii kukwambia
Huyu jamaaa nimpole Sana na nimiongoni mwa maprojuza wastarabu ukiona mpka kaaamua kusema basi kweli kiba unamakosaaa acha ujanja
kiba Una wapi wakina team WCB fahida kabisa mxm
Kwanini ulichelewesha ata mm nisngekulipa kwawakati
Spendi watu wadaiane sasa skia Mimi ntailipa hyo hela yote kuanzia Leo kiba staki urekodi tena wimbo kwa man water nipe namba zako sasa hv
Fact kabisa, umeongea ukweli kabisa. Ally aache kujidai yeye ndio kila kitu kwenye burudani ya bongo
Wew mjingatu hivi alikiba anaweza kusema anakudai hela ya mafuta na nyimbo mbona hizo anatengeneza ni mngine wew unasema ni wew mfano mwambie sina ametengeneza ni moko genius sio wew kaaa kimya ulipwe na sio uongo
Ali mkweli Huyu muongo anataka bifu akiki
Zainabu humjui alikiba vzur, kati ya maproduza wastaarabu huyu yumo, hanaga mambo ya ajabu, ila Ally tatzo lake kubwa ni dharau
uteam weka kando hapa tatizo liko kwa kiba haki kweli
Amin ivyo nikwel ela ndogo lakin niyakwake
@@lumax_tz man water humjui wewe muulize 20 percent
Huyu muongo
Me shabiki wa kiba,ila kiba yuko Na tatzo Mahal,,trust me,na kwa abydady ni issue ka izi,
Nimesikiliza interview zote mbili mm ni mshabiki wa ali kiba ila katika hili ali ana matatizo
@@macplusofficial6629 Alikiba hata kuongea anaonekana mwenye kiburi na kujisikia
Hahaha water kachemsha kumkosa ally now tupo na mokko ginius and then tume open na new brand studio ndo ttzo et milion nne milion nne kitu gan kwa ally bhana yan huo ndo uongo dhahir
@@abdulrahim-gf4sm sasa si amlipe mwenzie unaona ni ndogo ila kwake Walter n kubwa coz ametumia nguvu na jasho lake kuwa muelewa bob
Wee man water Ushapotea mda mrefu Umefeli kwaiyo Anatafuta njia yakutokea kupitia Alikiba Kwendraaaaaaaaaaaaa achana na king
Jamaa ametumwa na upande wa pili kumchafua King kiba, kama unaamini hlo gonga like
Kiba si uende wasafi?kule hakuna shida kama hizo
Hahahaaaaa
Haaa haa
😂😂😂😂
well ssid kunywa soda kwa mangi naja lipia
OR KONDE GANG
Jamaaaa anaongea ukwel aseeee Inshaaallah mungu atakulipa
Clouds hao hao waliompaisha Alikiba ndo watakaomshusha. Sasa ni kondeboy.
kabisaaaaa unaona hizi interview tuu zinaonesha
Zuleikha Khamis tatizo Alikiba ana uwezo Mdogo sana waku analyse mambo. Hawez elewa
Jamaa anaongea kama ommy dimpz
Mpambe nuksi pati twoo
My bloodbruh Uliongeye Point hila Helewa Wasani wetu Wa East Africa Bado maisha Yana Haso Upendo ukiwa Ladhima tutafika
Msanii mkubwa hata studio hana. 😁😁😁😁😁😁
Rashid Kassim I wonder 😂😂😂
SIO MKUBWA TATIZO NI KIBURI NA ZARAU NDO MAANA HATOBOI VIZURI
dah noma sana alikiba mlipe bana man water ni mkali sana ina kaa mnaenda kwa kuset music bro
Nakukubali man water malizen tofaut na kiba
Upande wa ali kiba umejaa uongo uongo sana , Mzigo wake ali kama umegundua anautupia kwa water , Ali ni mjinga mjinga sana kiburi sana na Hizi ndio dalili za kufeli , amefail.
Mi napenda haya mabifu yaendelee ili tupate cha kuangalia
🤣🤣Jinga ww ila had mimi maana
Kweli kabisa
Angalia Vita vya Iran
Huyo Kiba ni mshenzi sana na kama ataanza uadui na maproducer atapotea na huenda ndio maana anapotea, Kiba ana wivu Wa kingese, Kagoma kufanya kazi na Abby Dady kisa eti Mondi kafanya ngoma na Mavoco, ngoma inayoitwa Kokoro Huo umama #ManWolter piga kazi huyo boya
50% discount 🤣🤣🤣🤣🤣
MaProdyuza wa sasahivi wasengewasenge wote. Km unaweza bora uwe prodyuza ujitengenezee mwenyewe mziki
Mkazie babaaa
Atoe cha watuuu
Ndo maana king mikopo anatoa nyimbo mojaa kwa mwakaa hahaha king mikopoo nendaa2 wasafi hakunaa kulee kurekodi studioo bureeeeee
Daaaaaah mziki wa bongo sijui unakoelekea,yani kila mmoja anaongea lake sasa we dont know who is correct kwakweli,kikubwa hawa jamaa wamalizane tu mapema na kazi ziendelee ndio mziki unavotakiwa kukuzwa lakini sio mabifu kama haya,hawa ni watu wazima na wasanii wakubwa kwahiyo sio poa kusemana kwenye medias kama hivi,badala yake kutanrni mfanye mazungumzo na mmalizane
Alikiba umeniudhiii mlipe man water pesa yake... Hii picha sijaipenda kabisaaa
Hata Abydad alilalamika kwamba huyo jamaa hakumlipa,bahiri sana
Man water tulishakushtukia we ni mamluki Nenda Wasafi tu Acha majungu naona unaendelea kumponda kila media ALLY KIBA atazidi kua KING wewe ni nani wakumtoa mtu gundu wewe sio Mungu Acha majungu