MAN WATER: "ALIKIBA Ni ADUI! | Anataka KUJISAFISHA | Angenitamkia TUNGEMALIZANA!"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 01. 2020
  • MAN WATER: "ALIKIBA Ni ADUI! | Anataka KUJISAFISHA | Angenitamkia TUNGEMALIZANA!"
  • Zábava

Komentáře • 858

  • @jumayusuph8471
    @jumayusuph8471 Před 4 lety +26

    Hili neno inshaallah naliogopa Sana jamaa imemuuma Sana adi kasema inshaallah si neno dogo

  • @malickramadhani7367
    @malickramadhani7367 Před 4 lety +22

    Huyu jamaa yuko real.... Na wala hajatafuta waandishi wa habari Bali wao Ndo wamemtafuta.anajibu alichoulizwa.
    Kabla Ya kumpeleka mtu mahakamani mnaongea tu Kwanzaa.

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 Před 4 lety +21

    BEST PRODUCER IN TZ NO MATTER WHAT.

  • @jaydon3361
    @jaydon3361 Před 4 lety +34

    Diamond nimemuona anacheka tu

  • @deboss5935
    @deboss5935 Před 4 lety +3

    Huyu Man Water nimemwelewa sanaa, na ameni inspire sanaa kuwa real na clever

  • @barbranabakooza9589
    @barbranabakooza9589 Před 4 lety +25

    Ndio mana kiba haendelei kila leo mabifu anapenda sna jamaa yule mziki umemshinda kbs wote vijana kwa nn unakuwa hivyo tatizo kiba jeuri na anajiona anajuwa sana kumbe hajuwi kitu

  • @jennyjayne5745
    @jennyjayne5745 Před 4 lety +9

    Jameni... Bae kiba hujafanya poa umeniangusha

  • @fubanjenjele521
    @fubanjenjele521 Před 4 lety +10

    Oya King, Mimi shabiki ako Ila ebu maliza suala hili, man maji anaongea kwa uchungu sn

  • @hasheemabby2583
    @hasheemabby2583 Před 4 lety +40

    Ally unasema umesusa unasusavipi hujalipa we lipa alaf ususe

  • @ashuraally4356
    @ashuraally4356 Před 4 lety +13

    Mmefanya kazi nzuri pamoja kwa muda mrefu, hakuna haja ya malumbano malizeni tofauti zenu.

  • @BrunojnrMz
    @BrunojnrMz Před 4 lety +3

    Kiba mimi ni shabiki wako lakini Lipa deni kwa "Man Water"🤤🇲🇿

  • @Chemba67
    @Chemba67 Před 4 lety +3

    Nimepapenda pale aliposema Ali nae alirukia 50% discount.........

  • @mjahidfarouq8127
    @mjahidfarouq8127 Před 4 lety +46

    team Diamondi tujuane jmn hahahahah et king anadaiwa

    • @adijaniyonkuru9731
      @adijaniyonkuru9731 Před 4 lety +1

      😀😀😀😀

    • @rockyvlogs2214
      @rockyvlogs2214 Před 4 lety +1

      Alafu anadaiwa mil 1

    • @NellyWaKidato
      @NellyWaKidato Před 4 lety +1

      Kafirweni mikundu nyie mnapenda Sana Mfalme alikiba akiwa anasemwa vibaya mashoga

    • @gakouabdoullah6012
      @gakouabdoullah6012 Před 4 lety +1

      ali can be a good dancer of WCB, i've seen him doing great kwa kunyonga lol,,,, mkamuombee kazi apate za kulipa kwani mziki haumlipi

    • @cadeyvassir1132
      @cadeyvassir1132 Před 4 lety +1

      @@gakouabdoullah6012 😂😂

  • @aggrehennrychafumbwe
    @aggrehennrychafumbwe Před 4 lety +16

    Mm ni mshabiki wa alikiba akulipe muendelee kufany kazi maan ww unamuwezea

    • @gablielsamwely1081
      @gablielsamwely1081 Před 4 lety

      Amlipe jamani mbona man wotter ana shida ana tuaibisha mashabiki

  • @consolathammari8186
    @consolathammari8186 Před 4 lety +32

    Tatizo lake Ni kiburi kama mwanaume haipendezi ,gonga like hapo

  • @nasrimohamed7556
    @nasrimohamed7556 Před 4 lety +38

    Mlipeni jamn mpk m2 anaenda kwa interview kuongea hya mpeni jamn pesa yke hta km n ndgo mpeni n haki yke

  • @anga360updates4
    @anga360updates4 Před 4 lety +43

    Daah hii movie duuh kila mmoja ukimsikiliza unaona kuna ukwel emb king kiba malizana na water maana ni status mbaya kwako

  • @boniphaceexsavery5083
    @boniphaceexsavery5083 Před 4 lety +13

    Hahahahahaha!!! Kiba unatuzalilixha shabik zako...yan unadai had hela ya mafuta

  • @kingmputa7551
    @kingmputa7551 Před 4 lety +2

    "Dawa ya deni ni kulipa" Well said Man Water na huwezi kupiga saluti chini ya uvungu

  • @adamjumanne4471
    @adamjumanne4471 Před 4 lety +10

    Sio mara ya kwanza..kama tunakumbukumbu vizuri Producer Abbydad alishawahi kutofautiana na Alikiba kwa masuala kama haya ya malipo.

  • @kiuwamhina2802
    @kiuwamhina2802 Před 4 lety +13

    Kaeni tu washikaji mmalize kama wanaume wenye utimamu wa akili, ili mashabiki wenu tupate muziki mzuri

  • @lastgeniuz4925
    @lastgeniuz4925 Před 4 lety +11

    man water yuko real....chamsing kiba alipe pexa tu

  • @jssaa4733
    @jssaa4733 Před 4 lety +13

    jamaa anaonekana anaongea ukwel 🛎

  • @selemankhatib1519
    @selemankhatib1519 Před 4 lety +4

    Mlipen bwana ela za watu
    Mnajifanya mmeibiwa pensel zenu kumbe nyinyi wenyew matapel

  • @petroerinest2744
    @petroerinest2744 Před 4 lety +2

    Shida moja ya king ana tabia za kike sana!kibri,dharau,kujiona kutamfikisha kubàya

  • @mrmangetown4323
    @mrmangetown4323 Před 4 lety +24

    Kwani nyie mnawahuji mmoja mmoja mnawaogopa kuwa kutanisha au ndiyo mnatafuta viewers na nyie watafuteni wote kesho XXL kiwake vizuri

  • @tysonbadman8716
    @tysonbadman8716 Před 4 lety +76

    Ndomaana jamaa anatoa ngoma moja kwamwaka kumbe hana pesa yakulipia studio

  • @mfarijijulias368
    @mfarijijulias368 Před 4 lety +39

    Man water nmekupenda kaka ako kajamaa kanapenda kujisfu but mung atakulipia den lako kaka

    • @saidjuma9782
      @saidjuma9782 Před 3 lety

      King Kiba ametowa MEDIOCRE song kwa wapuuzi kwa nyiee

  • @asantelaizer6674
    @asantelaizer6674 Před 4 lety +9

    Bro haki yako hiyo lazima ufanye kila uwezalo uipate, na King unayomfanyia water sio poa ujue na wewe unajiaharibia kabisa kwa mashabiki wako wa ukwel

  • @MrMbwelwa
    @MrMbwelwa Před 4 lety +2

    Dah maisha haya, Ray vanny anamnunulia gari s2kizzy huku Ali anakopa beat

  • @hisanmwakijungu10
    @hisanmwakijungu10 Před 4 lety +13

    ALLY ANAPITIA WAKATI MGUMU WIKI HII,, JAMANIIII
    WAPI TEAM WCB LIKE ZANGU

  • @Muba3304
    @Muba3304 Před 4 lety +8

    Mondii njooo uangalie hiii intervew

  • @hellenalex9541
    @hellenalex9541 Před 4 lety +16

    Aibu yako Alikiba kumbe nawe unaongea uongo eee

  • @luqmanmohamedy3860
    @luqmanmohamedy3860 Před 4 lety +2

    Huyu ndio alimrudisha na Mwana baada ya kupotea..kiburi kinazngua kiba

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY Před 4 lety +1

    Ally kiba Ni mavi Sana
    Kama ulimuingizia saut nyimbo
    Ya dushelele kwel siyo
    Mwana MUSIC bora kabisa
    Dushelele Kumbe kuna mchango wako wasaut kwel Ally ni
    MPUUZ SANA ajitambui
    Ally hanataka kugombana
    nawew water hapo ndiyo
    Anajizika taratiiiiibu s2kz
    Hato muwez Ally ana idier
    Za kizamaniii Sizan kama beat
    Litawezekan kuchongwa likakamilika nanyimbo ikatoka
    Kumbe unamtunzia sili kubwa
    Alafu yeye Ana jifanya jeuli
    Thanks broh water me nimekumanya saw saw vilivyo

  • @swalehsaid9923
    @swalehsaid9923 Před 4 lety +21

    Water na KIBA MNAENDANA kikazi....fanyani kazi

  • @hekimaisaya8255
    @hekimaisaya8255 Před 4 lety +19

    Kibakuli mzurumatii 😂😂😂

  • @sharifomar9765
    @sharifomar9765 Před 4 lety +2

    Short and clear. U should give him an ultimatum or otherwise his other songs will be reproduced and be given to other artist preferably WCB.

  • @mapenzi_tz1511
    @mapenzi_tz1511 Před 4 lety +7

    Mnafki ww .Man water kwani Kina Blue wanatunzo gani mpaka Leo akinajuma Nature nao ,Kiba kajulikana nangoma Kalii sanaaaa Pale G record acha Ajenge Studio yake ,Maana watu wanatafuta Pakumtoa Kiba kwenye Leli huu ni ualamia

    • @lumax_tz
      @lumax_tz Před 4 lety

      Kiba ni mkorofi sana boss

    • @frankmichael5525
      @frankmichael5525 Před 4 lety +1

      We mshamba tuu uwo ushabik mandaz ukwel utabak kwenye ukwel

    • @nelsonnmwaipaja6980
      @nelsonnmwaipaja6980 Před 4 lety

      point xana

    • @nassorali1870
      @nassorali1870 Před 4 lety

      Acha ukhanisiii wewe fala fuatilia mambo mnafiki unamjua wewe fankurooo stadialoooo fankurostooo🖕🖕

  • @chescomwakipese3422
    @chescomwakipese3422 Před 4 lety +7

    Kiba lipa ngoma zawatu yeye ndo mzito nan asie jua

  • @TheAlesry
    @TheAlesry Před 4 lety +34

    malizeni issue kama wanaume, kiba man water ndiyo producer bora kwako kubali kataa

    • @justinmmoko125
      @justinmmoko125 Před 4 lety

      Man maji huyu jamaa ni hatar sana kwenye kutengeneza ngoma kari alf bint zake huwaga hazifanan . Alf ally kiba anasahau km water ndyo kamtoa kipindi kalala doro akampigia mwana goma matata. water mi nkija kuw msanii lazima nkutafute maana nakuelewea kitambo sana huwa unanikosha kiukwel.

    • @venancerogasiane5681
      @venancerogasiane5681 Před 4 lety

      Facts mzee hawa ni watu wazito na watu wakubwa sana wanatakiwa kukutana wamalizane na sio kusemana mitandaoni wanatujengea picha gani mashabiki wao

    • @hassanaliy9226
      @hassanaliy9226 Před 4 lety

      hapo nakuunga mkono japokuwa mm tm kiba ila man wt anamuwezea sna ali

  • @fahadjunior6048
    @fahadjunior6048 Před 4 lety

    Unajuwa man tatizo Ali kiba kakukataa hatki kufanya kazi naww huna ishu kampata mocco genius bonge producer

  • @oscaryona6013
    @oscaryona6013 Před 4 lety +1

    Masozi imelipiwa laki 5? Yan ngoma kali vile alafu inalipwa ela ndogo ivo!!! We Alikiba Mungu anakuona

  • @seifmohamedseif9467
    @seifmohamedseif9467 Před 4 lety +6

    Clouds wamlipie sasa 😂😂😂

  • @luchiyaprinting
    @luchiyaprinting Před 4 lety +4

    Duh ali fanya umalize ili swala usije ukapotea kama 20 percent.

  • @storytownTv
    @storytownTv Před 4 lety +1

    Ndo Mana mzik wa bongo unapeperushwa tu namtu mmoja bisha nikuone

  • @amiria.mustafa9859
    @amiria.mustafa9859 Před 4 lety +1

    Ila mashabik wa kiba kumbe mna busara jmn😂😂 mnavyoomba yaishe utadhan mnatetea ndoa vile,😂😂😂

  • @shanatatrigger6537
    @shanatatrigger6537 Před 4 lety +48

    YANI MAN WALTER AMEONGEA VIZURI SANA HALAFU HANA MAANA MBAYA KABISA NA KIKUBWA ALIKIBA ANGERUDI TU KUYAMALIZA ASILETE MAISHA YA KISTAA KWENYE MAISHA YA MTU NA ASUSAHAU NAYEYE NI BINADAMU

  • @bartvonline9084
    @bartvonline9084 Před 4 lety +38

    Ndo mana anatoaga nyimbo kila mwaka kumbe chanzo ni wew 😂😂

  • @nahadimakasi7794
    @nahadimakasi7794 Před 4 lety +4

    Tushajua ,,😀😀😀😀 timu wenzetu moo?!!!!!😂😂😂😂😂😂😂

  • @leyxon_delee
    @leyxon_delee Před 4 lety +16

    Hawa wote wanasema ukweli camera na sauti ndio zanadanganya 😂😂😂

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 Před 4 lety +4

    King Mzee wa offer 50%😁😁

  • @asayubeejr1199
    @asayubeejr1199 Před 4 lety +3

    Bosss sema kuuunda sio kuumba kitu cha kuumba ni kazi ya mungu sio ya binadamu bro

  • @officialdesiderius
    @officialdesiderius Před 4 lety +6

    Man water mbon unalia San 🎅 😂 😂

  • @ndondiafrika249
    @ndondiafrika249 Před 4 lety +15

    The biggest enemy of Ali Kiba is Ali Kiba himself.......

  • @einsteinmboje4730
    @einsteinmboje4730 Před 4 lety +1

    Me Nilisema Kingkimba Hajalipa Hela Ya Watu ...Kama Wewe Ni Mwerevu Na Una Sikio LA Kikubwa ...Basi Man Water Amesema Ukweli Kabisa akila Kitu...Na Wale Team Kingkimba Niwaambie Tu Ukweli MTU Wenu Sio Mbunifu ,Akifanya kazi Na Man Water ngoma Zake Zinakuawaga Kali Sana Na Kweli Ukisikiliza Dushelele Kuna Sauti Ya Man Water Mule Na Hata Mvumo Wa Radi Creativity Nyingi Ni Za Man Water Ali Kajaaliwa Saut Tu 😀😀😀😀😀ambayo Hata Wema Sepetu Anayo ....Haya MTU Anayekubeba Unamdhulumu .....Aibu Sana 😀😀😀😀😀😀😀...Kujiona Kwingi Ndo Kuna Mponza

  • @hadijagere
    @hadijagere Před 4 lety +11

    minimekuelewa mzeee

  • @mohamedathman3310
    @mohamedathman3310 Před 4 lety +1

    Ungemrekodi msenge😂😂😂😂😂alipe KITEMI tu😂😂😂😂😂

  • @ibrahimmwanza6162
    @ibrahimmwanza6162 Před 4 lety +1

    Ali kiba anasauti nzuri lakini si msanii wa anayevutia kisoko amepitwa na wakati

  • @jonasdickson9118
    @jonasdickson9118 Před 4 lety

    kibongo bongo produce kuzurumiwa kitu cha kawaida sana muulize nahreal anajua hilo

  • @kassananamama8292
    @kassananamama8292 Před 4 lety +3

    As kwa nini hukumrekodi...?

  • @mayilahamisi3730
    @mayilahamisi3730 Před 4 lety

    Sema hii radio imekaa kinafikinafiki na kiuchonganishi sana. Namhurumia sana hata Harmonize kujiweka upande wa hiii Media.....

  • @amiria.mustafa9859
    @amiria.mustafa9859 Před 4 lety +1

    Me naambiwaga kiba swala tano afa kumbe ni choriii😂😂

  • @uwezomayonko5815
    @uwezomayonko5815 Před 4 lety +47

    kiukweli huwa nampenda alikiba kupitia nyimbo zake! lkn ukweli ni kwamba! alikiba ana roho mbaya na ukiburi! ukiangalia hata kile anachoita ugomvi kati yake na diamond! hakina ukweli wowote! na hata diamond mwenyewe huwa anajaribu kuonyesha kuwa hapendi kuona hicho kinachoitwa bifu dhidi yao! lkn alikiba anachofanya dhidi ya diamond ni kuendelea kumvimbia na kukoka moto wa ugomvi ambao hauna kichwa wala miguu! kwahiyo anacho ongea mh man water inawezekana kina ukweli! na siku zote dawa ya deni ni kulipa! siyo kubeza eti ni hela ndogo! alikiba lipa pesa ya watu maisha yaendelee acha kujimwambafai.

    • @azizymachadeson3577
      @azizymachadeson3577 Před 4 lety +1

      Uwezo Mayonko Iv kwani huwez ongelea Alikiba bila kumtaja diamond sasa hapa ni Man water na alikiba asa diamond anatoka wapi ,

    • @benthomasy8469
      @benthomasy8469 Před 4 lety +2

      Nye ndo watu mnao jua mambo

    • @hashimumkunda6501
      @hashimumkunda6501 Před 4 lety

      Umeandika risala kubwa ambayo haina mashiko. Andika kisomi utaeleweka

    • @saidtembele3070
      @saidtembele3070 Před 4 lety

      @@hashimumkunda6501 lengo lake amtaje mondi eti kazunguuka mwenyewe 🤣🤣🤣🤣

    • @desekepi
      @desekepi Před 4 lety +4

      Agiza soda kwa mangi nakuja kulipa

  • @subiraboi9397
    @subiraboi9397 Před 4 lety +1

    Aaaah ssa nwanaume mzima mbona wwe ndiye ulianza c poa ssa uyo ataondoka utafaidika nn ooh Allah

  • @mangalilikilawe6788
    @mangalilikilawe6788 Před 4 lety +6

    Masozy imelipiwa laki 5 tu😲😲

  • @andrewmwambene3426
    @andrewmwambene3426 Před 4 lety +1

    Umeeleweka Sana man water man maji

  • @ahmedmwembo99
    @ahmedmwembo99 Před 4 lety +20

    Man maji , kila mtu analia na ali

  • @mallemaOg
    @mallemaOg Před 4 lety +20

    Nimeumia Sana Sana😭😭😭 alikiba unaniwekea chuki nitakuteteaje Kwa watu Mimi

  • @rangalmas8833
    @rangalmas8833 Před 4 lety +3

    Ama nigere mana jamaaa kafungua studio yake king ebu malizana nahuyo asikuekeee mikosi

  • @richardkamanya2951
    @richardkamanya2951 Před 4 lety +2

    Jamanii tusikilizane vizulii huyuu jamaa nime msomaaa vizulii kama team kiba mtanisumbuwa na kunitukana poa ila leo niamuwe kumwambia alikiba anazinguwa man water me nina muheshim sanaa lakinii alikiba anataka kuvuka mipaka kabisaaa kiba kwahili umezinguwaaa siogopii kukwambia

  • @allygublasi2863
    @allygublasi2863 Před 4 lety

    Huyu jamaaa nimpole Sana na nimiongoni mwa maprojuza wastarabu ukiona mpka kaaamua kusema basi kweli kiba unamakosaaa acha ujanja

  • @amour0072
    @amour0072 Před 4 lety +1

    kiba Una wapi wakina team WCB fahida kabisa mxm

  • @aminaomari3272
    @aminaomari3272 Před 4 lety +1

    Kwanini ulichelewesha ata mm nisngekulipa kwawakati

  • @leonardfasion1182
    @leonardfasion1182 Před 4 lety +1

    Spendi watu wadaiane sasa skia Mimi ntailipa hyo hela yote kuanzia Leo kiba staki urekodi tena wimbo kwa man water nipe namba zako sasa hv

  • @isaacsimon3580
    @isaacsimon3580 Před 4 lety +1

    Fact kabisa, umeongea ukweli kabisa. Ally aache kujidai yeye ndio kila kitu kwenye burudani ya bongo

  • @barakadanielmwaipaja972
    @barakadanielmwaipaja972 Před 4 lety +1

    Wew mjingatu hivi alikiba anaweza kusema anakudai hela ya mafuta na nyimbo mbona hizo anatengeneza ni mngine wew unasema ni wew mfano mwambie sina ametengeneza ni moko genius sio wew kaaa kimya ulipwe na sio uongo

  • @zainabuabdul7852
    @zainabuabdul7852 Před 4 lety +27

    Ali mkweli Huyu muongo anataka bifu akiki

    • @lumax_tz
      @lumax_tz Před 4 lety +3

      Zainabu humjui alikiba vzur, kati ya maproduza wastaarabu huyu yumo, hanaga mambo ya ajabu, ila Ally tatzo lake kubwa ni dharau

    • @zuleikhakhamis3303
      @zuleikhakhamis3303 Před 4 lety

      uteam weka kando hapa tatizo liko kwa kiba haki kweli

    • @frankmichael5525
      @frankmichael5525 Před 4 lety

      Amin ivyo nikwel ela ndogo lakin niyakwake

    • @zainabuabdul7852
      @zainabuabdul7852 Před 4 lety

      @@lumax_tz man water humjui wewe muulize 20 percent

    • @youngsachafurniture5482
      @youngsachafurniture5482 Před 4 lety

      Huyu muongo

  • @alphoncemnyambwa9720
    @alphoncemnyambwa9720 Před 4 lety +15

    Me shabiki wa kiba,ila kiba yuko Na tatzo Mahal,,trust me,na kwa abydady ni issue ka izi,

    • @macplusofficial6629
      @macplusofficial6629 Před 4 lety +1

      Nimesikiliza interview zote mbili mm ni mshabiki wa ali kiba ila katika hili ali ana matatizo

    • @officialmrtop1018
      @officialmrtop1018 Před 4 lety

      @@macplusofficial6629 Alikiba hata kuongea anaonekana mwenye kiburi na kujisikia

    • @abdulrahim-gf4sm
      @abdulrahim-gf4sm Před 4 lety

      Hahaha water kachemsha kumkosa ally now tupo na mokko ginius and then tume open na new brand studio ndo ttzo et milion nne milion nne kitu gan kwa ally bhana yan huo ndo uongo dhahir

    • @Jonsontella
      @Jonsontella Před 4 lety

      @@abdulrahim-gf4sm sasa si amlipe mwenzie unaona ni ndogo ila kwake Walter n kubwa coz ametumia nguvu na jasho lake kuwa muelewa bob

  • @mwajayshekallaghe568
    @mwajayshekallaghe568 Před 4 lety +1

    Wee man water Ushapotea mda mrefu Umefeli kwaiyo Anatafuta njia yakutokea kupitia Alikiba Kwendraaaaaaaaaaaaa achana na king

  • @amanzingena5388
    @amanzingena5388 Před 4 lety

    Jamaa ametumwa na upande wa pili kumchafua King kiba, kama unaamini hlo gonga like

  • @kephasgembe9924
    @kephasgembe9924 Před 4 lety +44

    Kiba si uende wasafi?kule hakuna shida kama hizo

  • @theclassicone7470
    @theclassicone7470 Před 4 lety +7

    Jamaaaa anaongea ukwel aseeee Inshaaallah mungu atakulipa

  • @eladiuspeter586
    @eladiuspeter586 Před 4 lety +4

    Clouds hao hao waliompaisha Alikiba ndo watakaomshusha. Sasa ni kondeboy.

    • @zuleikhakhamis3303
      @zuleikhakhamis3303 Před 4 lety

      kabisaaaaa unaona hizi interview tuu zinaonesha

    • @eladiuspeter586
      @eladiuspeter586 Před 4 lety

      Zuleikha Khamis tatizo Alikiba ana uwezo Mdogo sana waku analyse mambo. Hawez elewa

  • @husseinwasimba8411
    @husseinwasimba8411 Před 4 lety +7

    Jamaa anaongea kama ommy dimpz

  • @mzeebwenge7769
    @mzeebwenge7769 Před 4 lety

    My bloodbruh Uliongeye Point hila Helewa Wasani wetu Wa East Africa Bado maisha Yana Haso Upendo ukiwa Ladhima tutafika

  • @rashidkassim9552
    @rashidkassim9552 Před 4 lety +3

    Msanii mkubwa hata studio hana. 😁😁😁😁😁😁

    • @amoremimik5270
      @amoremimik5270 Před 4 lety +1

      Rashid Kassim I wonder 😂😂😂

    • @victormushi6641
      @victormushi6641 Před 4 lety

      SIO MKUBWA TATIZO NI KIBURI NA ZARAU NDO MAANA HATOBOI VIZURI

  • @ambitiousclassicofficial6077

    dah noma sana alikiba mlipe bana man water ni mkali sana ina kaa mnaenda kwa kuset music bro

  • @omarymchia6422
    @omarymchia6422 Před 4 lety

    Nakukubali man water malizen tofaut na kiba

  • @alaizza4338
    @alaizza4338 Před 4 lety +1

    Upande wa ali kiba umejaa uongo uongo sana , Mzigo wake ali kama umegundua anautupia kwa water , Ali ni mjinga mjinga sana kiburi sana na Hizi ndio dalili za kufeli , amefail.

  • @happymollel713
    @happymollel713 Před 4 lety +5

    Mi napenda haya mabifu yaendelee ili tupate cha kuangalia

  • @bonnysureolkokolaboy4342
    @bonnysureolkokolaboy4342 Před 4 lety +1

    Huyo Kiba ni mshenzi sana na kama ataanza uadui na maproducer atapotea na huenda ndio maana anapotea, Kiba ana wivu Wa kingese, Kagoma kufanya kazi na Abby Dady kisa eti Mondi kafanya ngoma na Mavoco, ngoma inayoitwa Kokoro Huo umama #ManWolter piga kazi huyo boya

  • @rockyvlogs2214
    @rockyvlogs2214 Před 4 lety +2

    50% discount 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @j-lisheonline
    @j-lisheonline Před 4 lety

    MaProdyuza wa sasahivi wasengewasenge wote. Km unaweza bora uwe prodyuza ujitengenezee mwenyewe mziki

  • @saidjumasaid3924
    @saidjumasaid3924 Před 4 lety +1

    Mkazie babaaa
    Atoe cha watuuu

  • @kapingageorge7635
    @kapingageorge7635 Před 4 lety +2

    Ndo maana king mikopo anatoa nyimbo mojaa kwa mwakaa hahaha king mikopoo nendaa2 wasafi hakunaa kulee kurekodi studioo bureeeeee

  • @venancerogasiane5681
    @venancerogasiane5681 Před 4 lety +1

    Daaaaaah mziki wa bongo sijui unakoelekea,yani kila mmoja anaongea lake sasa we dont know who is correct kwakweli,kikubwa hawa jamaa wamalizane tu mapema na kazi ziendelee ndio mziki unavotakiwa kukuzwa lakini sio mabifu kama haya,hawa ni watu wazima na wasanii wakubwa kwahiyo sio poa kusemana kwenye medias kama hivi,badala yake kutanrni mfanye mazungumzo na mmalizane

  • @tusajigwemathias3758
    @tusajigwemathias3758 Před 4 lety

    Alikiba umeniudhiii mlipe man water pesa yake... Hii picha sijaipenda kabisaaa

  • @M7-Band
    @M7-Band Před 4 lety

    Hata Abydad alilalamika kwamba huyo jamaa hakumlipa,bahiri sana

  • @barakacemmanuel3816
    @barakacemmanuel3816 Před 4 lety +1

    Man water tulishakushtukia we ni mamluki Nenda Wasafi tu Acha majungu naona unaendelea kumponda kila media ALLY KIBA atazidi kua KING wewe ni nani wakumtoa mtu gundu wewe sio Mungu Acha majungu