HARMONIZE NA TIMU YAKE WAMEFELI SHOW YA YANGA | ALIKUWA NA MAMBO MENGI KUKIMBIA SANA PUMZI IKAKATA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • Harmonize alifeli na alipewa muda mdogo wa kujiandaa. Na hili ni jambo la kimaisha na tusizungumze tu Harmonize angeacha ile show ni kama mpira kuna siku mchezaji akiingia uwanjani anakuwa hayupo kwenye fomu kabisa. Na hayupo mchezoni hata kwa wasanii ni hivyo hivyo. Mfano kwenye upande wa uwandaaji mfano msanii ameandaliwa hela. Hata kama Yanga walichelewa kumtangaza msanii lakini pia kuna sehemu msanii alifeli yeye na timu yake"- Mdau wa burudani, @el_mando_tz

Komentáře • 8

  • @fahadfaraj6474
    @fahadfaraj6474 Před měsícem +1

    Kufananisha super bowl na simba au yanga day ni kichekesho sana.

  • @AugustineFadhili
    @AugustineFadhili Před měsícem +1

    We almando unaonekana kabsa upo kiteam kabsa, hujui mziki unaongea ushuuzi😮😅😅😅

  • @AugustineFadhili
    @AugustineFadhili Před měsícem +1

    Ko mlitaka afanyeje ndo aonekane kafanya shoo vizur, hii Tanzania had watangazaj nao ni machawa😮😊😊😢😢, na clouds kipind Cha Leo mmezingua knoma

  • @mohdkhalifa8828
    @mohdkhalifa8828 Před měsícem

    Amefeli haitaki touch

  • @AminaMsimbe
    @AminaMsimbe Před měsícem

    Hao ni mashabiki wa madunduka

  • @fahadfaraj6474
    @fahadfaraj6474 Před měsícem

    Kuna kitu hamuelewi na mnalazimisha pale lengo Hua ni mpira na timu na wala si hao wasanii wenu wasanii ni mengineyo tu ingekua ni tamasha la mziki sawa

  • @fidelitymrina8652
    @fidelitymrina8652 Před měsícem

    Ukweli usemwe Ali pekee Ndio Ali perform vzr the resp Cheng tu makelele mengi Wala Sio swala la utimu

  • @festusabramary-bz4ef
    @festusabramary-bz4ef Před měsícem +1

    almando awo wenzio ni mashabiki TU wa mziki sio wajuzi wa mziki kama wewe