HARMONIZE NA TIMU YAKE WAMEFELI SHOW YA YANGA | ALIKUWA NA MAMBO MENGI KUKIMBIA SANA PUMZI IKAKATA
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- Harmonize alifeli na alipewa muda mdogo wa kujiandaa. Na hili ni jambo la kimaisha na tusizungumze tu Harmonize angeacha ile show ni kama mpira kuna siku mchezaji akiingia uwanjani anakuwa hayupo kwenye fomu kabisa. Na hayupo mchezoni hata kwa wasanii ni hivyo hivyo. Mfano kwenye upande wa uwandaaji mfano msanii ameandaliwa hela. Hata kama Yanga walichelewa kumtangaza msanii lakini pia kuna sehemu msanii alifeli yeye na timu yake"- Mdau wa burudani, @el_mando_tz
Kufananisha super bowl na simba au yanga day ni kichekesho sana.
We almando unaonekana kabsa upo kiteam kabsa, hujui mziki unaongea ushuuzi😮😅😅😅
Ko mlitaka afanyeje ndo aonekane kafanya shoo vizur, hii Tanzania had watangazaj nao ni machawa😮😊😊😢😢, na clouds kipind Cha Leo mmezingua knoma
Amefeli haitaki touch
Hao ni mashabiki wa madunduka
Kuna kitu hamuelewi na mnalazimisha pale lengo Hua ni mpira na timu na wala si hao wasanii wenu wasanii ni mengineyo tu ingekua ni tamasha la mziki sawa
Ukweli usemwe Ali pekee Ndio Ali perform vzr the resp Cheng tu makelele mengi Wala Sio swala la utimu
almando awo wenzio ni mashabiki TU wa mziki sio wajuzi wa mziki kama wewe