Sio mchezo! mtangazaji Lil Ommy aonesha mjengo wake mpya na wa kisaa alioujenga

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 02. 2024
  • Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe
    play.google.com/store/apps/de...
  • Zábava

Komentáře • 74

  • @idinado-wk3lx
    @idinado-wk3lx Před 5 měsíci +17

    Safi sana Mimi napenda ivi Ili watu maharufu wabadilike wamezidi sana kupanga manjumba ya watu kifupi Inaamasisha🎉🎉🎉🎉🎉🎉🔥🔥🔥🔥🔥💯✔️✔️✔️

  • @saliieking7279
    @saliieking7279 Před 5 měsíci +4

    Hongera sana kk lil ommy kwa kujenga nyumba half man half amaizing💪

  • @ramayonline2281
    @ramayonline2281 Před 5 měsíci +4

    Mtangazaji ghali na mwenye mafanikio tz ✊✊✊✊✊THE MVP HALF MAN HALF AMAZING 🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽✌️👊👊👊👊

  • @yaajefwa94
    @yaajefwa94 Před 4 měsíci +1

    Au hili ndio ghetto la Ngwea!!
    Congratulations brother MVP

  • @swedymabrouk9728
    @swedymabrouk9728 Před 5 měsíci +4

    Mwamba kiutani utani ana toboa alianzia maisha v.o.t fm Tabora

  • @channyanjen9047
    @channyanjen9047 Před 5 měsíci +4

    Allah akuzidishiye kila laheri inshaalah Lili omy

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj Před 5 měsíci +2

    Ma Shaa Allah Tabarakallah

  • @mattjr4206
    @mattjr4206 Před 5 měsíci +6

    Kwel nmeamin mnyamwez n mnyamwez tu ata kama unamzidi pesa...
    Hii hata boss wake hafurukuti na pesa zake zote. Unyama ni mwingi 🙌🏽

  • @beingothman
    @beingothman Před 5 měsíci +5

    Jambo zuri hili Omari Tambwe

  • @chizashungu8364
    @chizashungu8364 Před 5 měsíci +7

    Nice one.

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 Před 5 měsíci +7

    Big up mwanetu 👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼

  • @patriciacarlo7236
    @patriciacarlo7236 Před 4 měsíci

    The mvp❤❤❤

  • @user-ev6bq9gf1f
    @user-ev6bq9gf1f Před 5 měsíci +6

    Ongera bro

  • @alibinali_
    @alibinali_ Před 5 měsíci

    Masha'Allah

  • @andrewemmanuel1861
    @andrewemmanuel1861 Před 5 měsíci +7

    Mnyamweziii ndaniii ya uzunguziiii

  • @halimahalima1488
    @halimahalima1488 Před 5 měsíci +1

    Congratulations my brother mnyamwezii😊

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 Před 5 měsíci +5

    Mbona giza hauoni vizuri

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no Před 5 měsíci +1

    Safi sana THE MVP ❤❤❤

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 Před 4 měsíci

    Halaf wengine nyumba za kawaida wanapiga fujo tu.Congrats Ommy🙌

  • @heletuuabdalla9434
    @heletuuabdalla9434 Před 5 měsíci +1

    Noma sana hongera sana kaka lilommy

  • @sheruajafari1676
    @sheruajafari1676 Před 5 měsíci +3

    Ongera brother

  • @mariamkibindo1741
    @mariamkibindo1741 Před 5 měsíci

    Bismillah Mashaallah 🎉

  • @vero57
    @vero57 Před 5 měsíci +1

    I SALUTE YOU OMMY👍👊👊🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @mackysuphian
    @mackysuphian Před 5 měsíci

    MashaAllh❤

  • @jamilajuma3811
    @jamilajuma3811 Před 5 měsíci

    Napenda sana aya mambo❤

  • @patricktegea1430
    @patricktegea1430 Před 5 měsíci +1

    Tambweee Kwa sauti ya sepetu👏👏👏💛

  • @user-fx7ig1uy6t
    @user-fx7ig1uy6t Před 5 měsíci +5

    Mashallah mashallah

  • @beatricemrisho8431
    @beatricemrisho8431 Před 5 měsíci

    Congrats 🎉🎉❤❤

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Před 5 měsíci +3

    Jamani kuna mtu hapkasema nyumba yenyewe mbaya dahhh hii dunis sijui ufanye nini ili usifiwe na watu wote lakini nadhani mwenyepesa hawezi kusema mbaya itakuwa unaishi chumba kimoja sasa wivu umekuchorokoa pole hongera mwanangu omari

    • @taseleli9181
      @taseleli9181 Před 5 měsíci

      😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @user-uo8xw9kr4b
      @user-uo8xw9kr4b Před 5 měsíci

      Ndio binadam tulivyo huwez kusifiwa nawote iwe kwa mazuri au mabaya km mtu hawez kumsifu Mungu anayempa pumzi ww ni nani .

  • @user-ss3fq7vy7v
    @user-ss3fq7vy7v Před 4 měsíci

    Hongera Mnyamwezi org

  • @MudyNyau
    @MudyNyau Před 5 měsíci +2

    HONGERA BROTHER❤❤

  • @ericnzaro9138
    @ericnzaro9138 Před 5 měsíci +22

    Chris ulikua wapi bana? Mimi apa shabiki yako mkubwa Sana kutoka Kenya ila umepotea Sana bana sikuskii sana

  • @starjay3052
    @starjay3052 Před 5 měsíci +2

    aya ndio mambo tunataka bongo

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam2491 Před 5 měsíci

    Hongera sn

  • @speroachpaulsen
    @speroachpaulsen Před 5 měsíci +1

    ❤❤❤❤❤

  • @bagumandongwe8566
    @bagumandongwe8566 Před 5 měsíci

    Be proud of yourself, sasa unapiga nyumba yenyewe usiku

  • @mohamedlegacy255
    @mohamedlegacy255 Před 5 měsíci +1

    Uwiiii kila mtu anajenga eeeeh Mungu nione na mimi.. najua nitaweza🙏..

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Před 5 měsíci

    Ok

  • @sethstiven3393
    @sethstiven3393 Před 5 měsíci

    Sh ngap

  • @shadiwaigwa9230
    @shadiwaigwa9230 Před 5 měsíci

    Yes, watu washindane kwa vitu positive, sikila siku umbea ya mange Ati amesema hivi, amesema vile upuzi mtupu na wivu ndio imekuwa talk of wambea wasio jifaidi na chochote

  • @faustinhommedetatnifasha9669

    Dizasta ana vipya Siku hizi.mnipe History za vina

  • @AgreyAckim-pt3wv
    @AgreyAckim-pt3wv Před 5 měsíci

    Daaa ilaa Sanaa inalipa sanaaa

  • @kurumwagodfrey7052
    @kurumwagodfrey7052 Před 5 měsíci

    Tambweeee

  • @delgalshan6318
    @delgalshan6318 Před 5 měsíci

    Napenda watu marufu wameanza kufanya vitu vizur

  • @barakadaprince3742
    @barakadaprince3742 Před 5 měsíci +2

    Mwanetu Chris ulikua likizo nini mzee

  • @luisojr3480
    @luisojr3480 Před 5 měsíci +6

    Kongole Tambweee

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Před 5 měsíci

    Mwaka huu kama hujajenga kunywa panadol ulale😂😂😂😂😂ni kumoto

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 Před 5 měsíci +2

    NYUMBA HATA SIO GHARAMA KUISHA,,VILE VITU VILE UNAVYOTAKA UVIWEKE KWAJILI YA KUIPENDEZESHA,,,VILE NDO NUKSI VILE

  • @adolphmwangoje2887
    @adolphmwangoje2887 Před 5 měsíci

    😂😂😂😂😂😂 jmn vijana piganeni kila jmbo linasiriyake

  • @user-oo3ts3sn6f
    @user-oo3ts3sn6f Před 5 měsíci

    Usafini kunabaraka...sio makondeni uchawi na njaa vinatawala😭😭😭😭😭

    • @MtuSafi
      @MtuSafi Před 5 měsíci

      kwahyo kwa akili yako alipofika kwa wasafi ndo amejenga hii nyumba?

  • @katalamohamed4305
    @katalamohamed4305 Před 5 měsíci

    Mbona sioni namba za mafundi

  • @starjay3052
    @starjay3052 Před 5 měsíci +1

    sio umbea umbea kila siku

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 Před 5 měsíci +1

    Mkilogwa mnalalamika😁😁😁😁😁😁😁

  • @katalamohamed4305
    @katalamohamed4305 Před 5 měsíci

    Naziomba ñamba za mafundi nina shida nazo

  • @RajiEmadaki
    @RajiEmadaki Před 5 měsíci

    Mvp

  • @judithkatabaro3294
    @judithkatabaro3294 Před 5 měsíci +2

    Nyie nyie watu iyo nyumba unge pewa pesa yake ukae nayo ni miaka 50 kwa bajeti yako bila kufanya kazi unafanya mchezo nini nakujenga

  • @shadiwaigwa9230
    @shadiwaigwa9230 Před 5 měsíci

    Too much umbea and less achievement, mwendele ku watch app ya mange 😂😂😂😂😂😂

  • @husseinhussein9971
    @husseinhussein9971 Před 5 měsíci +5

    Nyumba yenyewe mbaya,