Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe play.google.com/store/apps/de...
Jamani kuna mtu hapkasema nyumba yenyewe mbaya dahhh hii dunis sijui ufanye nini ili usifiwe na watu wote lakini nadhani mwenyepesa hawezi kusema mbaya itakuwa unaishi chumba kimoja sasa wivu umekuchorokoa pole hongera mwanangu omari
Yes, watu washindane kwa vitu positive, sikila siku umbea ya mange Ati amesema hivi, amesema vile upuzi mtupu na wivu ndio imekuwa talk of wambea wasio jifaidi na chochote
Safi sana Mimi napenda ivi Ili watu maharufu wabadilike wamezidi sana kupanga manjumba ya watu kifupi Inaamasisha🎉🎉🎉🎉🎉🎉🔥🔥🔥🔥🔥💯✔️✔️✔️
Hongera sana kk lil ommy kwa kujenga nyumba half man half amaizing💪
Mtangazaji ghali na mwenye mafanikio tz ✊✊✊✊✊THE MVP HALF MAN HALF AMAZING 🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽✌️👊👊👊👊
Au hili ndio ghetto la Ngwea!!
Congratulations brother MVP
Mwamba kiutani utani ana toboa alianzia maisha v.o.t fm Tabora
Allah akuzidishiye kila laheri inshaalah Lili omy
Ma Shaa Allah Tabarakallah
Kwel nmeamin mnyamwez n mnyamwez tu ata kama unamzidi pesa...
Hii hata boss wake hafurukuti na pesa zake zote. Unyama ni mwingi 🙌🏽
Jambo zuri hili Omari Tambwe
Nice one.
Big up mwanetu 👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼
The mvp❤❤❤
Ongera bro
Masha'Allah
Mnyamweziii ndaniii ya uzunguziiii
Congratulations my brother mnyamwezii😊
Mbona giza hauoni vizuri
Safi sana THE MVP ❤❤❤
Halaf wengine nyumba za kawaida wanapiga fujo tu.Congrats Ommy🙌
Noma sana hongera sana kaka lilommy
Ongera brother
Bismillah Mashaallah 🎉
I SALUTE YOU OMMY👍👊👊🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
MashaAllh❤
Napenda sana aya mambo❤
Tambweee Kwa sauti ya sepetu👏👏👏💛
Mashallah mashallah
Congrats 🎉🎉❤❤
Jamani kuna mtu hapkasema nyumba yenyewe mbaya dahhh hii dunis sijui ufanye nini ili usifiwe na watu wote lakini nadhani mwenyepesa hawezi kusema mbaya itakuwa unaishi chumba kimoja sasa wivu umekuchorokoa pole hongera mwanangu omari
😂😂😂😂😂😂😂😂
Ndio binadam tulivyo huwez kusifiwa nawote iwe kwa mazuri au mabaya km mtu hawez kumsifu Mungu anayempa pumzi ww ni nani .
Hongera Mnyamwezi org
HONGERA BROTHER❤❤
Chris ulikua wapi bana? Mimi apa shabiki yako mkubwa Sana kutoka Kenya ila umepotea Sana bana sikuskii sana
aya ndio mambo tunataka bongo
Hongera sn
❤❤❤❤❤
Be proud of yourself, sasa unapiga nyumba yenyewe usiku
Uwiiii kila mtu anajenga eeeeh Mungu nione na mimi.. najua nitaweza🙏..
Inshaallah ❤
Ok
Sh ngap
Yes, watu washindane kwa vitu positive, sikila siku umbea ya mange Ati amesema hivi, amesema vile upuzi mtupu na wivu ndio imekuwa talk of wambea wasio jifaidi na chochote
Dizasta ana vipya Siku hizi.mnipe History za vina
Daaa ilaa Sanaa inalipa sanaaa
Tambweeee
Napenda watu marufu wameanza kufanya vitu vizur
Mwanetu Chris ulikua likizo nini mzee
Kongole Tambweee
Mwaka huu kama hujajenga kunywa panadol ulale😂😂😂😂😂ni kumoto
NYUMBA HATA SIO GHARAMA KUISHA,,VILE VITU VILE UNAVYOTAKA UVIWEKE KWAJILI YA KUIPENDEZESHA,,,VILE NDO NUKSI VILE
😂😂😂😂😂😂 jmn vijana piganeni kila jmbo linasiriyake
Usafini kunabaraka...sio makondeni uchawi na njaa vinatawala😭😭😭😭😭
kwahyo kwa akili yako alipofika kwa wasafi ndo amejenga hii nyumba?
Mbona sioni namba za mafundi
sio umbea umbea kila siku
Mkilogwa mnalalamika😁😁😁😁😁😁😁
Acha roho ya uwanjbiiii
Naziomba ñamba za mafundi nina shida nazo
Mvp
Nyie nyie watu iyo nyumba unge pewa pesa yake ukae nayo ni miaka 50 kwa bajeti yako bila kufanya kazi unafanya mchezo nini nakujenga
Too much umbea and less achievement, mwendele ku watch app ya mange 😂😂😂😂😂😂
Nyumba yenyewe mbaya,
Waja🙌
😂😂😂😂
Wewe ukute unaishi chumba kimoja na gesi, viatu, ndoo za maji 😂😂
Yako nzuri ipo wapi kaka
Wewe unayo?