HUYU ndio YOMBO MSUKUMA! Anawavunja MBAVU watu kwa sauti na COMEDY zake alivyoanza UTASHANGAA!
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- SUBSCRIBE CHANNEL YA YOMBO MSUKUMA
www.youtube.co...
Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe
play.google.co...
😅😅😅namkubali sana yombo kwasababu yombo hata uki like kazi zake ana jibu
Hana baya mwanangu wa nguvu
kazi yake mzur lkn apunguze video zamatusi
Jama sio pow mm nilijuw yuko na wenziw kumb one man army salute yombo msukuma😂😂😂😂
Ata mimi wallah nilikuwa yeye sauti yake ni ile ya yombo tu, daaaaaa huyu yombo katisha hii ndio inaitwa don't care
🎉Yuko vizurmwamba
Aisee, yaani hongera sana Yombo, mimi nilikuwa nadhani mko mundi, nampenda sana Msukuma anakiburi 😅 na muhaya naapampasi take 😂.
Mama yangu alikuwa Msukuma alituacha Jan 2022, mamayangu angekupenda sana sana. Angecheka sana. Hongera sana Yombo.
Niliipenda clip ya majeneza 🤣
Uyu bro namu agaliya sana apa UK 🇬🇧. Niki toka kazi. Nahaza kupika shakula. namu, watch every day nikiwa home! Nikiwa napika shakula home ata na watoto zangu wana sheka sana vituko va bro! Nakubali sana bro! Well done bro! Una weza kazi yaku shekesha!🇧🇮🇹🇿🇷🇼🇨🇩🇿🇦🫵🏿👊🏿 MUNGU Ibariki Africa.
Hi naomba mawasiliano na wewe if you don't mind i need to ask you something zena🇹🇿
Yaani Yombo una kipaji Mungu akufikishe kwenye Ndoto zako.
Yombo nakukubali Sana na unakipaji Sana Yan huyu jamaa yombo anatiririka Sana yani anakipaji
Huyu jamaa nomaa saana anakipaji kwakwelii anaweza 💪🏽💪🏽namufuata tukoka Burundi Bujumbura
Vraiment félicitations yoomboooooo courage 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Bhana ee.. me mwenyewe ninavipaji vingi na sijui navikuzaje.. now nipo na simu natengeneza film na beats... Umenipa nguvu yombo high five to you 💙
Jamaa yuko safi kabisa👏👌
Yombo nakukubali jama yangu we ninoma sana salut😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤😂❤❤❤❤
Duh jaman kiukweli nimependa haya mahojiano sikujua kwamba yombo ntamwona nilijua ni katuni zile zinasetiwa duh yombo unakipaji mungu akuzidishie ujuzi wa Sanaa yako
Salute kwa yombo msukuma nilidhani ni watu wengi kumbe ni mmoja mungu atamfikisha mbali anatuburudisha
Jamaa namkubali sana huyu 😂😂😂😂talented kubwa sana Yombo you are my comedian ever
Huyu kweli shida, kama vyote kajifunza na kaweza nampa salout
@@albertkatuga2434 sana alafu kupitia CZcams vyote
Dah me nilidhan Kuna watu wanamsaidia yupo vizuri nampenda sana
Namkubali sana yombo anakipaji sana uyu bro ❤❤🎉
Kwa hiyo yombo ni wewe unatumiaga majina ya chausiku na alex❤❤❤❤ much love from Uganda
Yaani hongera Sana bro sky bwana mimi nakukubali yaani unawaibuaga watu uchagui ubagui
Yombo kanishinda tabia wallahi mm nilijua mpo wengi sasa ndo umezidi kunishinda tabia na mwanamke tena umeweza sana🎉🎉🎉
Nakupenda sana yombo nanikubari sana kazi zake❤❤
Asante sana mtangazaji sikutegemea kumuona Yombo Msukuma asante kwa kipaji alichonacho Mungu azidi kumuinua.
FREDRICK BUNDALA A.K.A SKY WORKER NAKUPENDA SANA BROO❤❤❤
Hiyo sauti yakike umetisha sana 🌹🌹🌹🌹
Eeee Munguweee Asante kuniwonesha yombo kweli nimeflahi asante mutangazaji❤❤❤
Dah aisee yombo uko juu sana one man army 😅😅😅
Sky walker we ni noma noma noma, one day tutakutana I keep grinding
Nampendaga kaijage😂😂😂😂❤❤❤
Kazi yako ni njema kaka, Mungu akubariki Sana,keep on
😂😂😂😂😂😂. Hahahahaha. Huyu Yombo mbona hatariiiiii. Sana
Huyu jama ninoma sana bro nakubali sana kumbe kajake ndie yeye na yombo ndie yeye daa jama nimnoma sana
Leo katu surprise mashabiki wake, huyu ndio msanii sasa
Hongera sana Yombo
Daaaaah huyu mwambaaa Ni hatariii sanaaaaa
Jamani avuwe icho kidude tumuone😂😂❤❤❤
Yombo hongera sana
Yombo na kupenda sana 😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂😂
Nakukubali sana yombo kutoka kenya
Next TX dullah Mnyama🤣🤣🤣
Yombo msukuma ww jamaa ww duh😂😂😂
Mashaallah zidisha bidii
Yombo msukuma anapenda kuwatrash madem 😂😂😂😂😂😂😂😂
Jamaal anakipaji ,Yuko vizuri sana
Nakubali mwanangu yombo kinoma chukuwa like zako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
😂😂😂jamani kwa kaijage
Naitwa nancy nampenda yombo yamaniiiiiii ❤❤❤❤❤
Khaaaaaah upo moto yombo 😂😂😂😂
Jamani yombo nakupenda sana Ila yombo nataka awe yanga make mm mshabiki wayanga Asa nataka awe upande wangu make namuogopa
Yombo unajua sana yan
Big up yombo
duuu yani huyu yombo Mimi simchoki kumsikiliza ata kama una mawazo kidogo yanapotea mungu akuzidishe Sana kaka
Yombo unatupa Raha sana,endeleaaa sana
Uko Safi sana
Bro huyu Mwamba noma Yani yombo Sio hatakidogo
Kinehe mzehe!! Gothoraga majob hareee wakwetu!!nene nerehooo oboko tegeta vava!!
Wow 👌 👏
Huaga nacheka sana nikiona video zakee 🤣🤣🤣🤣
Ukitumia mtandao vizuri, unaweza kukuongezea ujuzi kwenye maisha. Kama mimi nimejifunza kuendesha gari kwa mara ya kwanza kupitia CZcams 💪
Mimi nimejifunza kusuka kupitia CZcams 😊
Mzee kama mim tu ujue s
@@roselynealima3618 nakubali. Bando lako halijakwenda bure 💪😊
@@zarafisaidi5942 Upo sawa ndugu ✔️ . Nakubali 🙌💪
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂wallah uyu kaka nampendag sn jmn😂😂😂😂😂😂
washabiki wako wengine tuko Oman 🇴🇲 unatusaidia kupunguza stress 😂😂 nakukubali sana
Sura yake ninayo kabisa kwenye simu yangu
Apokwa kaijage ndoameniuwa😂😂
Kati ya mtu mshenz ni huyu mwamba😅😅😅
Kazi nzuri sana,ushauri tu kamilisha kazi moja uingie kazi jengine,hata matamgazo usiunganishe apo kwa apo,ukisema ahsanteni ikimaliza unaianza tena hatupendi
Yomboo yomboo❤❤❤❤
🎉🎉🎉🎉 yombo nakukubali sana jamani🎉🎉🎉
Tuna kuku Bali saana uku Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 we ni noma
Kuku bali?
@@BigZhumbe ninge semaje kk
@@VannlyTembo Ni neno moja mkuu KUKUBALI ukiweka space linapoteza maana.
@@BigZhumbe hongera kwa kumfundisha mwengine angeishia kumkebehi tu
Huyu bro atafika mbali kama ataeendelea kuwa humble ila kuna wengine mazarau umaarufu kidgo tuu taabu
Kiukweli huyu kijana angelikuwa inchi za kizungu kwahii kazi yake angekuwa tajiri
Alafu yombo sio mzee nikijana mdogo tu
huyu ni mwamba sana, ni kipaji kikubwa sana. natamani serikali ingekua na incubation hub ya kuvikuza aina hii vipaji. na kugeuza hizi talanta kuwa biashara rasmi
Am from +254 ee bana wee unanipampa sana brother kazi njema
❤❤❤❤❤ much love from Uganda 😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣 duuh ngoja nkamfollow
Jamaa namkubali sanaa mungu amfungulie milango yake ya Riziki
😂😂😂 he’s so talented 💪🏾💪🏾
Huyo yombo mbn hafanani namatusi yake😂😂😂😂
Yombo Niko natazama mahojiano Yako nahuyo mtangazaji
Ataaar saaaan man yombo
Yombo yuko na creativity kali
Niko fan wake zaidi
Mzee komba kwa umbea😂😂😂
Walah nimesheka san yombo anajuw kwakweli kila sauti anawez
Character inayopendwa ni ya Kaijage na mzee komba
Hongera sana kaka nyombo
Hili jini aisee😂😂😂
Sasa hapo nimekukumbuka ulvosema uliishi nyamanoro na ni fundi cm
Ila wahaya mnatuonaje😂
Much love Kwa yombo. ❤❤❤
😂😂😂😂😂 mbavu zangu
Mbona km ana meno marefu km ngiri😂
😂😂😂 yani uyo jamaa ninoma nime fulahi sana kwavituko vyake natamani kilasiku awepo hapo ili niendelee kuinjoi poa ndogo nakutakia mafanikio mema
Noma
❤❤❤❤❤ hakuna wakukufikia yombo
Yombo wangu😂😂😂😂
Good
jaman nampenda komba jaman nachekaga mpk bc
😂😂😂😂iyo ndo sauti halisi
Kumbe muha mwenzangu 😅 ndo maana
Mwakyeiii nakavuvuu
Real talent
Namkubali Sana yumbo jupo juu
Mungu akutangulie ufike mbali sana
yombo pamoja sana