Mr Blu alimchana Chid Benz kuhusu Madawa, kumsaidia Ali Kiba na Diamond zamani, Beef na Joslin
Vložit
- čas přidán 4. 07. 2016
- THE PLAYLIST ni Show kali ya weekend inayowashusha mastaa kibao ndani ya Studio za 100.5 TimesFM kuchagua ngoma 5 kali wanazozikubali na kupiga interview ya kibabe about Music, Fashion, LifeStyle & whats hot, whats trending.
Ni kuanzia Saa 6 - 8 Mchana, 100.5 Times FM na Presenter mjanja, Lil Ommy
Subscribe, Watch, Share. - Zábava
Love Blu from Mapoz era... and he is really honest.
Moja ya interview ninazopenda kufuatilia nipamoja na za mr blue i like the way how you respond questions and give out answers,na kitu kikubwa kinachomfanya blue kuendelea kudum kwenye game ni pamoja na kuheshim kaz yake, wasanii wenzake pamoja na fans kwa ujumla big up bro
lilommy wewe unakipaji cha utangazaji na una interview za kiutu uzima, very professional bro, ongeza juhudi na utafika mbali bro, nime subscribe tayari ilinisipitwe na interviews zako
Mr blue, very humble guy, I love him and I call him my little brother... Very good interview
Ahh ay bhn
hamonaiz. vidioz
You probably dont give a damn but does anybody know a tool to log back into an instagram account?
I was dumb lost the account password. I would appreciate any help you can offer me!
Lill 0my wa times alikuwa hot sana bonge la show ilikuwa
Lil Ommy Big Up Mzazi Show Kali Interviews Zako Zimeshiba
nakumbuka kitambo hicho nikiwa mdogo Sana katka mtu alonifanya smart kid Mm kuingia katka mziki basi n huyu jamaa namkubali kinoma ipo day nmm pia nitkua Kama yy god bless my talents,,,,,,,,,,, smart kid young central zone Dom town hip Hop culture college
aisee blue big up sana unajua kujieleza. interview zako zote kali
Ebana Kabaisa nakubali sana unajielewa sana big, kimziki kazi umeisimamia kikazi, respect kwa jamii eshima wa wana na wakubwa kwa wanene(vibopa) sema jali afya piga zoezi jenga mwili, misosi sio tatizo tatizo kubweteka kwa vitam, pambana na afya yako, unene sio inshu
Mr. Blue ni GodFather kwa wale wasiojua huyu jamaa alianzia mbali na bado anaenda mbali sana.
"unaweza kuwa umesoma lakini hujui hata Kenya inafananaje"... hahahahaah blue is right!!!!!!
mr bluu nimsanii ambaye anafunguka sanaaa namkubali
Nipo nilikwepo na nitakwepoo..aminia bro
Watoto wa kijanja sana. shule ya msingi na mnajua studio zilipo😂😂😂😂
Blue uko vzr mwanangu
nakukubali sn ommy unamaswali mazur sn na busara upo tofauti sn na wengine mkuu big up 👏
Lil Sama ndo jina lake
Team blue 🇹🇿👍
namkubali sana Mr blue kuliko mwanaziki yeyote wa hip hop
mfano WA kuigwa kwanza msafi saaaaaana
Napenda Hawa wasee, interview Ni Soo
Blue Babylon byser,halla ninja
😘😘😘
safi sana blu
nice interview ninja
Nakukubali Dogo
🔥
upo vzl xna kaka kwa kuwahoji wasanii vzl xna Kama ulivo muhoji Mr bru
KABISA BLUE
Blue Nakuelewa Sana
Madem c wa2. Ualimu tu nliwapangisha madem folen km nn, c andsome niko kawaida kbs. Nlishawala kinoma, 2napitia mengi sana.
Ernest chirewa
Blue Casanova 😂😂
KARIAKOO Inarudi Tena
Taaaaaaambweeee
Ommy penda sana wewe
mr bluu nimsanii ambaye anafunguka sanaaa namkubali