Mr Blu alimchana Chid Benz kuhusu Madawa, kumsaidia Ali Kiba na Diamond zamani, Beef na Joslin

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 07. 2016
  • THE PLAYLIST ni Show kali ya weekend inayowashusha mastaa kibao ndani ya Studio za 100.5 TimesFM kuchagua ngoma 5 kali wanazozikubali na kupiga interview ya kibabe about Music, Fashion, LifeStyle & whats hot, whats trending.
    Ni kuanzia Saa 6 - 8 Mchana, 100.5 Times FM na Presenter mjanja, Lil Ommy
    Subscribe, Watch, Share.
  • Zábava

Komentáře • 40

  • @oscardimoh3914
    @oscardimoh3914 Před 6 lety +2

    Love Blu from Mapoz era... and he is really honest.

  • @alfredmutalemwa7642
    @alfredmutalemwa7642 Před 7 lety +8

    Moja ya interview ninazopenda kufuatilia nipamoja na za mr blue i like the way how you respond questions and give out answers,na kitu kikubwa kinachomfanya blue kuendelea kudum kwenye game ni pamoja na kuheshim kaz yake, wasanii wenzake pamoja na fans kwa ujumla big up bro

  • @bakarizema7910
    @bakarizema7910 Před 7 lety +9

    lilommy wewe unakipaji cha utangazaji na una interview za kiutu uzima, very professional bro, ongeza juhudi na utafika mbali bro, nime subscribe tayari ilinisipitwe na interviews zako

  • @jessygoldnambua3590
    @jessygoldnambua3590 Před 7 lety +18

    Mr blue, very humble guy, I love him and I call him my little brother... Very good interview

    • @sullentmimaee1906
      @sullentmimaee1906 Před 6 lety

      Ahh ay bhn

    • @bahatimbeba7450
      @bahatimbeba7450 Před 6 lety

      hamonaiz. vidioz

    • @gerardojoel2526
      @gerardojoel2526 Před 3 lety

      You probably dont give a damn but does anybody know a tool to log back into an instagram account?
      I was dumb lost the account password. I would appreciate any help you can offer me!

  • @husseinibnuhassan1272

    Lill 0my wa times alikuwa hot sana bonge la show ilikuwa

  • @fadhilikangusi
    @fadhilikangusi Před 7 lety +3

    Lil Ommy Big Up Mzazi Show Kali Interviews Zako Zimeshiba

  • @amanndalu7688
    @amanndalu7688 Před 7 lety +3

    nakumbuka kitambo hicho nikiwa mdogo Sana katka mtu alonifanya smart kid Mm kuingia katka mziki basi n huyu jamaa namkubali kinoma ipo day nmm pia nitkua Kama yy god bless my talents,,,,,,,,,,, smart kid young central zone Dom town hip Hop culture college

  • @mahmadougronkjaer8316
    @mahmadougronkjaer8316 Před 7 lety +2

    aisee blue big up sana unajua kujieleza. interview zako zote kali

  • @mussaagrey5679
    @mussaagrey5679 Před 6 lety +1

    Ebana Kabaisa nakubali sana unajielewa sana big, kimziki kazi umeisimamia kikazi, respect kwa jamii eshima wa wana na wakubwa kwa wanene(vibopa) sema jali afya piga zoezi jenga mwili, misosi sio tatizo tatizo kubweteka kwa vitam, pambana na afya yako, unene sio inshu

  • @we66ooyeah
    @we66ooyeah Před 5 lety +1

    Mr. Blue ni GodFather kwa wale wasiojua huyu jamaa alianzia mbali na bado anaenda mbali sana.

  • @kaybuzohera8112
    @kaybuzohera8112 Před 7 lety +3

    "unaweza kuwa umesoma lakini hujui hata Kenya inafananaje"... hahahahaah blue is right!!!!!!

  • @johnnikolas2937
    @johnnikolas2937 Před 7 lety +2

    mr bluu nimsanii ambaye anafunguka sanaaa namkubali

  • @rashidomar1908
    @rashidomar1908 Před 5 lety +2

    Nipo nilikwepo na nitakwepoo..aminia bro

  • @esthernyokabikimiti5128
    @esthernyokabikimiti5128 Před 8 lety +6

    Watoto wa kijanja sana. shule ya msingi na mnajua studio zilipo😂😂😂😂

  • @lazarokisenya5457
    @lazarokisenya5457 Před 2 lety

    Blue uko vzr mwanangu

  • @akwilaisseri5312
    @akwilaisseri5312 Před 6 lety

    nakukubali sn ommy unamaswali mazur sn na busara upo tofauti sn na wengine mkuu big up 👏

  • @nicholascharles5547
    @nicholascharles5547 Před 4 lety

    Lil Sama ndo jina lake

  • @capastathedj2239
    @capastathedj2239 Před 5 lety +2

    Team blue 🇹🇿👍

  • @elibarickthomas6581
    @elibarickthomas6581 Před 5 lety

    namkubali sana Mr blue kuliko mwanaziki yeyote wa hip hop

  • @fredrickitala3903
    @fredrickitala3903 Před 7 lety +1

    mfano WA kuigwa kwanza msafi saaaaaana

  • @Chrisant_Jaboma
    @Chrisant_Jaboma Před 6 lety

    Napenda Hawa wasee, interview Ni Soo

  • @fubanjenjele9855
    @fubanjenjele9855 Před 6 lety +1

    Blue Babylon byser,halla ninja

  • @nanahmohamedy2468
    @nanahmohamedy2468 Před 7 lety +3

    😘😘😘

  • @hassanmakweto4012
    @hassanmakweto4012 Před 7 lety

    safi sana blu

  • @calvincharles8706
    @calvincharles8706 Před 5 lety

    nice interview ninja

  • @osmanmustafa2925
    @osmanmustafa2925 Před 6 lety

    Nakukubali Dogo

  • @abbasomary6212
    @abbasomary6212 Před 5 lety

    🔥

  • @mathewshedrack603
    @mathewshedrack603 Před 7 lety

    upo vzl xna kaka kwa kuwahoji wasanii vzl xna Kama ulivo muhoji Mr bru

  • @DiCulture
    @DiCulture Před 6 lety +1

    KABISA BLUE

  • @fadhilikangusi
    @fadhilikangusi Před 7 lety

    Blue Nakuelewa Sana

  • @beberurafiki1273
    @beberurafiki1273 Před 2 lety

    Madem c wa2. Ualimu tu nliwapangisha madem folen km nn, c andsome niko kawaida kbs. Nlishawala kinoma, 2napitia mengi sana.

  • @mussarizz1919
    @mussarizz1919 Před 5 lety

    Ernest chirewa

  • @Listondaniel
    @Listondaniel Před 5 lety

    Blue Casanova 😂😂

  • @hamzaadrin941
    @hamzaadrin941 Před 7 lety +1

    KARIAKOO Inarudi Tena

  • @edrickniwamanya439
    @edrickniwamanya439 Před 5 lety

    Taaaaaaambweeee

  • @Kathren-ed7xb
    @Kathren-ed7xb Před 7 lety +1

    Ommy penda sana wewe

  • @johnnikolas2937
    @johnnikolas2937 Před 7 lety

    mr bluu nimsanii ambaye anafunguka sanaaa namkubali