East Africa mnatia aibu kituo cha mref lakini studio km chumba cha msela!! mic zenyewe chache viti vichache yan hamstahili kujiita hilo jina kwakwel badiliken
Mr blue ukweli ww ni mzur hata tabia ila ninachokuomba kwa ss mrudie Allah SW yaan uandae Akhera yako hayo ya kupita mdg wangu nakupenda sn km kk angu Allah SW inshallah akutowe ktk kiza hicho na akuingize ktk muangaza
sorry to be off topic but does someone know a tool to get back into an Instagram account..? I was dumb forgot the password. I appreciate any tricks you can give me!
@@MtuSafi cheni haifai kwa mwanaume wa kiislam,kitu ambacho charuhusiwa kidini mwanamme avae ni pete tuu ya ndoa,iwe ni ya silva tuu,coz silva hutolipia zaka
samahani hakuna uhalali y pete ya ndoa kiislam but watu hujifanyia tu kw matakw yao but wanaume wakiisla huruhucwa kuvaa pete y silver awe kaoa awe hajaoa
Mr blue kitambo sana tangia nasoma o level kipndi cha nyimbo yke yake ya mr blue.nikikuona nakumbuka mbali sana mwanatabata mwenzangu big up sana
East Africa mnatia aibu kituo cha mref lakini studio km chumba cha msela!! mic zenyewe chache viti vichache yan hamstahili kujiita hilo jina kwakwel badiliken
Nakukubali blue uppo vizuri...
Aiseeeeeeeee miaka mingi kwenye game Mr blue
Mr blue ukweli ww ni mzur hata tabia ila ninachokuomba kwa ss mrudie Allah SW yaan uandae Akhera yako hayo ya kupita mdg wangu nakupenda sn km kk angu Allah SW inshallah akutowe ktk kiza hicho na akuingize ktk muangaza
Babilon killer,...jamaa simple sana•√#EastAfricaradio
Blue mtu makini sana man
Kwakuwa nimekuwa wakwanza acha roho mbaya weka like kuunga mkono uwepo wa huyu nyani zee Mr blue
Mausiano 15yrs
Birthday ya 31yrs
Inamaana wife wake alimpata akiwa na 16yrs!
Nakubaly sana baisa bz
Shikamooh ...#GOAT
sorry to be off topic but does someone know a tool to get back into an Instagram account..?
I was dumb forgot the password. I appreciate any tricks you can give me!
Blue love u
Jr anaongea Kwa hisia
👍
Kama nyumbani mwako hamna viti vya kutosha halafu unawaalika wageni unawasimamisha wengine unawaketisha xio poa.
Studio gan wagen wanasimama wenyej mnakaa af wanabadilishana kukaa kweli jmn badiliken kuweni na studio kubwa Kama wasafi
MENTOR*
Mr Cabhaisa
Nice interview
Balinaba
Blue bana acha vipuri afu inatosha sasa music tufanye ibada
We mbona hujaacha ushoga?
Inamaana mlianza ku date na huyo mkeo akiwa na miaka 16 !
Wondering too and he is confidently admitting on national radio. The guy is to face the law @unicef Tanzania
Gusa link czcams.com/video/6dhYJpLCkew/video.html
Ulisema utaacha mziki umrudie Allah wewe ni muislam usivae herini na cheni ayo ni haram
Cheni sio haramu hasa silver kwa mwanaume labda helen kwa mwanaume
@@MtuSafi cheni haifai kwa mwanaume wa kiislam,kitu ambacho charuhusiwa kidini mwanamme avae ni pete tuu ya ndoa,iwe ni ya silva tuu,coz silva hutolipia zaka
@@kdloon2030 Na saa pia
samahani hakuna uhalali y pete ya ndoa kiislam but watu hujifanyia tu kw matakw yao but wanaume wakiisla huruhucwa kuvaa pete y silver awe kaoa awe hajaoa
We mbona unafirwa sisi hatusemi?
Mkifanya nyie nisawa tuu akifanya mondi km ivi ulivyo fanya ww mnasema mpaka bc