GHARAMA ZA KULIPA ILI KUFIKIA NDOTO ZAKO | Ezden Jumanne
Vložit
- čas přidán 4. 09. 2022
- Ni gharama zipi tunazotakiwa kulipa ili kufikia ndoto zetu? Karibu sana katika somo hili tujiongezee ufahamu leo kupitia kitabu cha jinsi ya kufikia ndoto zako kiliachoandikwa na Godius Rweyongeza.
.
NUNUA KITABU HIKI LEO:
BEI: 20,000 TZS
SIMU: 0755848391
.
Tuandikie kwenye comments nini umejifunza katika somo hili na kama kuna mifano inayoendana na somo hili tafadhali tushirikishe na sisi tujifunze toka kwako, Each One Teach One! Karibu sana.
.
LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
.
WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
Voice-over Talent/ Content Entreprenuer
Instagram: @ezdenjumanne
Twitter: @ezdenjumanne
Facebook: Ezden Jumanne
Phone: (+255)759 191 076
Website: tinyurl.com/voiceovertanzania
.
SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
.
HAMASA YA LEO👇🏽
/ hamasayaleo
.
JE WAJUA?👇🏽
/ @youtubepesa255
.
VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
tinyurl.com/matangazo
.
.
#Gharama #Za #Mafanikio
NUNUA KITABU HIKI LEO:
BEI: 20,000 TZS
SIMU: 0755848391
From USA
@@jeoboyafricaboy8279 send a WhatsApp text to that number. The author will clarify everything
Naam,"Si wakati wa kutazama wengine wanafanya nini Bali sasa ni wakati wa wengine kutazama nini nafanya" Safi Sana,sana
Great nimependa sana iyo mkuu
Keep it up
Safi sana kaka mungu akubariki
Amazing amazing
Kaka Ezden Allah azidi kukufanyia wepesi uzidi kutuelimisha zaid
Daah apoku mtandaoni nikose kuingia Facebook
Santé kwakunipa mashauri Mazuri ubarikiwe
Asante kaka
Brother tupo pamoja Sana hakika mafanikio lazma ugharamike Kaka
Kupitia video zako nimejifunza sana kuongea shukran sana bro mungu akubariki
Safi sana na hongera sana
🙏
Somo zuri Sanaa mwalimu wetu
Asante
Unaniamsha Sana Kaka
Shukrn sna broo
Kitapatikana hapa kenya
Kweli brother nimekupata siku nikifanikisha nitakutafuta
Teacher Mimi nakufuatilia GA Sana nikiwa hapa Nairobi Kenya naweza pata aje kitabu yako pia elimu ya msingi ya fedha ya Dr mukiritia
Nitumie ujumbe kwenye WhatsApp tafadhali +255759191076
Kweli kabsa k
Nimepata kitabu cha JINSI YA KUFIKIA NDOTO ZAKO asanteni kwa uwaminifu wenu
Asalam alykum. How can I get the book in Mombasa Kenya. And how much is the book in ksh.
Waaleykum salaam please read the first comment or the description to get the number and ask the author.
Nitakihitaji
Let me find money first
We are together broo
👏
All the best...
Naitaji hiki kitambu please
Namba zipo kwenye description au first comment
Kaka vp kwa sisi tulioko Drc Congo tunakipataje hicho kitabu?
Soma comment ya kwanza
Aksante kk nimesha chukua namba
🙏🙏🙏
Sasa sisi ambao tuko mbali na Tanzania tutapataje hicho kitabu
Popote ulipo just tumia namba ya simu ya kununua kitabu, tuma ujumbe WhatsApp utapewa taarifa kamili. Asante
@@successpathnetwork basi nisaidieni hiyo number kwasababu Mimi nipo South Africa ila naitaji hicho kitabu
🙏🙏