Dah ii kitu ndo inanifanya niumie kwann watu mnao jua kuimba sana ham sikiki sanaa wana skika wakina harmorap wanao imba usenge mwamba mm nakuombea mungu hii ngoma naona itafika mbali sababu naiskia skia mala nyingi mtaani
Hii nyimbo tangu ucku iachiwe naiplay mpaka muda huu inagonga iko poa sana yaan haikauki masikio narudia kila muda bado hainikinai kabxa bicup sana Mr Nana kwa Zawadi kama hii
Dah ii kitu ndo inanifanya niumie kwann watu mnao jua kuimba sana ham sikiki sanaa wana skika wakina harmorap wanao imba usenge mwamba mm nakuombea mungu hii ngoma naona itafika mbali sababu naiskia skia mala nyingi mtaani
Amina Mungu atajalia
Kama unamkubali gonga like yako hapa
dah mr Nana we Nouma saana no 1 like u brother Fanya kazi mashabiki tupo
Mwana anajua Sana I wish this song ifike mbali zaidi
hili goma Kali sana #nilonae🔥🔥🔥🔥
shukran
Goma kaliiii Sana mwanang Mr Nana✍️
Safiii
A najuwa kk bless
Brother mmekuwa shabiki yako rasmi.. Unajua sana
Hapo chacha nakubali
My favorite song bonge LA aidia
👌👌👌motooo +254 umetisha sana
Ndoma noma
Kazi nzur❤❤
Brother kazi nzur wish utakuwa the best in tz,Africa and all the world,,,,,,,,,,we love you
INSHAALWAH Mwenyezi Mungu naomba akubali maombi haya AMINA
Mista nana
Kwali kabisa kaka yangu
Laziiimaaaa
Wakaaaaeeeee
Kinywa waziiii
Yani inonyimbo atncbokula nkickiza nshiba
Wimbo umentoa choz mana mh imentokea
Asher Mtalumba pole sana 👌👌👌
Uko vzr sn
Waaah finally nimepata jina la huu wimbo😱😱😱na jina la msanii nimeishi kutafuta nikiserch.... good job bro💪💪💪
Thankx
Mazungumzo na wew uliepita
Yanamkera wa Sasa
Mitandaoni picha zangu kurusha ukome kabisa.
I love de song..
I love a singer Mr Nana.
Yeye ajapangisha kajenga kabisa tena ili penzi kuisha utasubiri Sana... Love the lyrics
nyimbo kali tatizo video ndyo mbaya
Unajua mdogo wangu kweli wewe Fundi.
Asante kaka nashukuru sana bosi naomba mawasiliano yako
🔥🔥🔥
Wow nice one
❤️❤️❤️❤️🔥🔥🔥🔥🔥
Huyu jamaa namkubali...hope you get more views my brother, gonga like
Mohamud Osman shukran sana
nimeanza kufatilia ngoma zako brother ! kazi safi sana
Wangu wabAya
Big up
Nice song bro
Blessed blessed
Mr nana nyimbo yako nzur 👌👌👌
Salma Lita asante sana salma
Kaka mzgo mzur
jitambulishe kenya br we are waiting for you! much love
Am coming..broo
thanks
Awesome
nice song i like it
Hii ngio ngoma naeza iweeka msitari wa kwanza kuliko zote, Naaikubali zaidi
Simbaaaaa nakukubali baba keep it up bro
thankx blood
no problem bro, i'm your number one fan since "Sinenepi"
huna kazi mbovu kaka
hainikianai brother imenigusa ile mbaya
thankx bro
Well done bro@mrnana pasua mawimbi
Thumbs up
Binafsi yangu sina ata chembe ya mapenzi... hongera my brother the song is dope
hatwariii...🔥🔥🔥
lm from sudan
sana 😍
I love this song big up bro
🤝😊😊😊
Hii nyimbo tangu ucku iachiwe naiplay mpaka muda huu inagonga iko poa sana yaan haikauki masikio narudia kila muda bado hainikinai kabxa bicup sana Mr Nana kwa Zawadi kama hii
RboyMnyange Kimelo aisee shukran sana sana Mungu akubarik
Aisee asante sana sana Mungu akubarik
Nakwambiya mm huyu mkaka nyimbo zake nazipenda nasikiza nikiwa saudi
Nimekupenda bure Mr nana.. Ngoma qaaaaaaliii
asante
Nana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥💥💥
Producer shallzbaro was here
Na nyimbo Zako kama zote mzee baba unajua Salut
sichoki kuiangalia wallahi
Hii ngoma Kali kuliko zoote
Habily BoyTz asante sana
Aaaa wap itafute hii alomshirikisha kasimu mganga inaitw Zanzibar
Asate💃💃💃💃💃💃💃💃💃
I love this song well well oooh from saud
Thankx dear
mzee baba sio poa mamae kaz nzuri sana mkuu
Kazi nnzuli ongeza bidii sana tuko pamoja
I like it so interestng
A boy from Zanzibar Kazi Nzuri
Cna maneno mr nana.. Inshort nilo nae kwa sas ananitosha😉😉
Nimeipenda,uko chonjo sn bro,keep it up
Iko pow Mr Nana big up
Nice
Asant Mr nan
shan George karibu
Home boy vipaj toka tanga 💪💪💪
Hujawah kuyumba bg up $ana
Kazi nzuri sana mkuu
Well done
We weka ngoma baba views ata ukipata 10 nd tunao kukubar♨♨♨♨
Achukue nafasi ya mtu pale wasafi Ana jua saana
Dkens Mo Pain Shukran sana
Kazi nzuri
B BAROS
Kumamake mr nana unajua mame kwanini wanakubania dah kumamake
Moses Rex twapigana hivyo hivyo Allah ataleta kheri zake ipo siku...shukran
Vyema kaka
ngoma kali sana Home boy
safi sana
Vizuri San
daha huyujamaa anajua mpaka bc hatar sana mzeebaba
Gerad amon Gerad amon shukran sana sana
mzik konk
One day watakuelewa acha wabebane ila hipo cku watakukumbuka kukubeba na wewe
ally gidion Saaanaaa one day yes
Inshallah shukran sana sana
Safiiii
Respected 2 u Mr Nana
RboyMnyange Kimelo thank you
+Mr nana gud music brother
In love with the song
brod unajua sanaaaaaaaaaa👌💥💥💥💥👌👌
asante blood
Big Tune 🎶 Mr Nana...
thankx brooo
Huyu jamaa namkubali Sana, dope 👑 🔥 🔥 🔥
Bonge la ngoma
Good job Mr Nana!!!!!
Asante
uko on fireeeeee broooooii keep it up
Dejong360 Johnny asante kaka
we mkalii sanaa
Asante sanaaa Bless
Masha'allah nice song
thankx
Nomaaa sanaaa
asante salma
Fireeeeee 🔥 🔥 🔥
heshima kaka kaz nzur
Gick Kass Asante sana
Yeye ajapangisha kajenga kabisa...hahaha maneno kuntu
haswaaaaaaa
Kudos