mwanangu katika ngoma zako hii Kali yazote mwanangu humo humo.. umetunga tens Kali kama unakubali verse yakwanza gonga like twende sawa.... {ngoja kidogo}
Katika watu wanaozidi kunisurprise na kuniprove wrong basi niwewe... nilidhani utapotea baada ya kuvinjika kundi ila for sure unazidi kufanya kile kilicho na maajabu ya karne... Ngoma juu ya ngoma... ikitoka hit 🔥inakuja hit zaidi 🔥🔥.....big up sana dogo....
Nawakilisha Sudan kusini kama shabiki kuu wa yamoto band na hii nikazi nzuri kaka yangu enock Mr bass.... Bidii yako nimeipenda sana usiyasikie wanao sema kuhusu sauti yako wanjue unafanya sanaa hakuna kilicho mbaya katika Sana'a🇸🇸🇸🇸
Wapo wapi wale walio mdisi #Enock kuwa hawez? Iyo ndo inaitwa without management pambana mzee baba tupo pamoja nawe. Kama ume ielewa hii ngoma gonga like
Wako wapi wanao mkubali Enock? Gonga like
Saldoh Mascot nice
Saldoh Mascot namkubali
Kama kawa
Saldoh Mascot mimi
Nakwambia, kijana anasauti namaneno yakutibu mapenzi
Enocki mbona kaka me nakukubali sana .... sema ujawai tuangusha mafans wako wa bezz.. kama umependa mziki gongo like apo👇 twende nalo🎼🎸🎺🎻🎷🎹🎧
Mtisha wimbo mzuri
mwanangu katika ngoma zako hii Kali yazote mwanangu humo humo.. umetunga tens Kali kama unakubali verse yakwanza gonga like twende sawa.... {ngoja kidogo}
noumaaa mzee👊👊
Dady Vivy11 ni msala man!!!
Kweli enock braza umeweza,,nakusikiza,,
wasafi tv NIYETU SOTEtumewasha dah enock katisha
Yeah
kumbe hata ww unaweza #BELLA nice song big up much kama ni mTz uspite bila kutia #LIKE yako kwahapa enock bella juuuuuuuu waueeee
enock umenifanye niamin kila kitu kinawezekana kama tu.utajituma na kuweka nia hongera sana kaka
Kwa lumba utakuwa mkali sana keep it up
Nime kubali hii nikali kuliko ata sauda ngoja kidogo hatallllllll Sanannaaa
Kenya imekukubali I say big up Sana wapi like za Africa Mashariki
Mafrango Mo yuko sawa.jamaa
Wenzangu wa Mombasa wapi likes za enock....nzuri,Kali endelea hvyo hvyo
Nipe like Kama ameimba Kama christiani Bella
I like the song big up young boy.
Kabisaaaa
nyimbo ina hisia kishenzi yaaan walioikubali hii ngoma dondosha like hapa
Enock nakukubali sana kabisa
nomaaaaa 51 gonga like km umemuelewa the base enock
Ally Libaku
Nakwambia, kijana anasauti namaneno yakutibu mapenzi
duuu. Kali. sana. mpaka. naurudia. rudiaaa. uko. vizuri
KAZI NZURI
AlikibaVEVO Dah? Gud for ur support bro hii ndo tofauti ya King na wanamziki wengine.
AlikibaVEVO ally very good Sana
Nice support kiba
AlikibaVEVO kimyaa sanaa mwanangu kiba tunasubiri vitu vipya kutoka kwako usituregeshe nyuma sisi wanaa wa 001
Soon naachia ngoma msijali fans wangu nawakubali sana support yenu ni kubwa sana kwangu..... 🔥🔥🔥🔥
Nimependa hapo Chidi bodabooooodaaah..
enocki bella nimependa sana sauti yako kaka inaitwa bass be proud of yourself
Pilii wooo daah jamaa kanigonga moyo kwel Kama umemuelewa naomba like zako
Katika watu wanaozidi kunisurprise na kuniprove wrong basi niwewe... nilidhani utapotea baada ya kuvinjika kundi ila for sure unazidi kufanya kile kilicho na maajabu ya karne... Ngoma juu ya ngoma... ikitoka hit 🔥inakuja hit zaidi 🔥🔥.....big up sana dogo....
Anajitahidi kwa kweli, na atafika mbali tu
Nimemkubali huyu jamaa.ni mwimbaji mzuri wa aina yake!tofauti na wenzake ana ladha yake ya kipekee
Aisee hata mimi niliona sasa nitammiss mdogo wangu. Daaa tumuombee
Big up @ enock Bella
Mungu akuongeze zaidi na zaidi
jamani bela ni zaid ya wnzake kwan avuma mpaka msumbiji huku,pigeni like kaka,dada,baba,mama,vijana na watoto kama tupo pamoja.
Jammaa broo nakubali vibaya sana. Nyimbo zako furaha na majonzi yote burudisho tosha. Gonga like.jamaa yupo vizuri.
hatalee belaa
mambo ni hivii🔥🔥
Mmh tamu....weka mbali na watoto
Enock Bella Mimi Kama shabiki wako naomba uimbe huu mtindo... Hii style iko Sawa Sana ki rhumba rhumba walai hii iko Sawa Sana... Nakupenda sana
🔥🔥🔥🔥🔥 hii ngoma siichoki kuiona kutoka 254 tunawasapoti wanamziki wa tz kama tunakubaliana na wtz gonga like twende sawa
NGOMAAA KALIII KINOMAAAA LAZIMA ITIKISE KWENYE TRENDING ZA BONGO...GOOD ENOCK BELLA
Gonga likes kama unamkubali dogo
Acha nimsifie naaliye suka hiyo ngoma kaisuka vizur enock emetembeanayo vizur kinouma nouma safi sana
Nawakilisha Sudan kusini kama shabiki kuu wa yamoto band na hii nikazi nzuri kaka yangu enock Mr bass.... Bidii yako nimeipenda sana usiyasikie wanao sema kuhusu sauti yako wanjue unafanya sanaa hakuna kilicho mbaya katika Sana'a🇸🇸🇸🇸
kuna kaladha furan hiviii,kaza bro
Ashraf Ashraf
Nakwambia, kijana anasauti namaneno yakutibu mapenzi
Ramazani Mulongeca hatar sana
daaàaah we jamaa mbona faaaiyaaaa,,,,,big deal from +255
Hiii goma umeuwa broo watangoja xana siokidogoo
Upo vizur saut yako baazi ya nyimbo km kristian bellaa god unanikosha sanaa
kaz nzur big up
Mm umenikuna aisee wewe hatari sana
Duuuh!huyu jamaa kumbe ni mwimbaji mzuri sana,alafu ana ladha na sauti ya kipekee
Ngoma Kali kiukwel
Wew unajuwa pia Aslay mboso beka
Wasiwe na roo mbaya mpendane pia msapotiyane
Wewe jamaa ni mo 🔥🔥🔥🔥🔥
As normal as ussual uh kill it broo
Tafuta korabo na Christian bella unaweza
Nakupenda sana enock Bella
Bonge la ngoma..de base
Ngoma Kaaaliiii Saaanaa!🙌🔥
DAWA ZA MAGONJWA SUGU/TIBA ZA MAGONJWA SUGU/: czcams.com/play/PLRMIRcpWDhtwnm4xMHx4DeZVSXFXw6gCi.html
Joakim Kenedi
Nakwambia, kijana anasauti namaneno yakutibu mapenzi
yko vzur jman
kaza buti mdogo angu Enock Bella.
upo vizuri.
Usngizi na ndoto tamu tamu
kaka unajua %
Haupo pekee yako. Unamungu ndio mtowa riziki. Utafika mbali broo kazi nzuri.napenda nyimbo zako sanaa.
Minimurundi hongerasana nakukubari wenimwanaum
Nice song 😘😘😘😘😘👌😗
Bukuru Issa mugisha Nice kaswada
you see hee... Nakwambia, kijana anasauti namaneno yakutibu mapenzi
Bukuru Issa mugisha Nice kaswada
Nakwambia, kijana anasauti namaneno yakutibu mapenzi
ON FIRE🔥🔥🔥💕💕💕
hii ndio staili inayokufaa Enock ya uimbaji
Mm Jock from MORO TURIANI
Hii ngoma naikubali kuliko ngoma zake zoteeeeee....!!!
kazi mzuri sana
Nabahan Seif
Nakwambia, kijana anasauti namaneno yakutibu mapenzi
Nice song bro
Mwanalizombe huyooo..anayaimba mapenzi kwa ufasahaaa...maana mapenzi yanaishi hukooo...good boy..
For the first time nampenda huyu jamaa. Nice song bella.
Kali sana hii
motoooooo
Clam waku 6 years ago 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nice song..big up Enock
bro chonjo sana naikubali hiii ngoma
NGOJA KIDOGO NOW COMMENT LESS.... IT'S 🔥🔥🔥
Sauti sio good vers sio good Chorus sio good njoo tufanye kazi niko arusha
Denisi valentini
Nakwambia, kijana anasauti namaneno yakutibu mapenzi
daaaah!!! big up dogooo,nyimbo Kali,unajuwa kuimba na una sauti ya aina yakee
Hapo sawa mm hupenda sana rumba nahiinaka kama rumba
naona unaziachia tu mwananguuu
vzur
Enock unajua fanya ufanye ngoma mbili na kiba ,na Christian bella we unajua boy usitoke kwenye hyo tune
Enok Bella harmonize na hormorapa Kama wanafanania sura kwa mbali sana
wejamaaa hii sauti yako aina mpinzani tena ya pekee kwenye industry ya misic hu
Ngoma kaliiiii
daaah ngoma kalii xana hii siichokagi yaan since imetoka
nakubali kazi nzuri
nice song nic vdo.....kazaaa kipaj unachoo de base
kichupaaa iko POWA
Wapo wapi wale walio mdisi #Enock kuwa hawez? Iyo ndo inaitwa without management pambana mzee baba tupo pamoja nawe. Kama ume ielewa hii ngoma gonga like
Nakukubali kinoma enock ihii nyingine idia imetokea wapi duh ww nifimbi ijayo kaka bado unamea tu ninoma. Wote umetokanao✌✌
ngoma kali dogo kaza but
Nikama Rumba Kali kutoka Kinshasa Congo, I like it.
Safi sana mzee wa sauti nene nimekubali hii ngoma
nimekubal kaka... nyimb nzur sana... saut adimu iyooooo
Hiii nyimbo haitoisha utam kwaanae jua vitu vizur
Yamoto nzima wewe ndio mjuaji na kutulia kwako niujanja unajua sana
this man will take over bongo flavor naipenda kaka
Mi fan waok mkubwa. Enock B uko ju sana.
koffi olomide wa bongo ni enock kijana balaa
Sanaaa tuuuu Enock me saiti yako tuuu
This guy is the dope although underrated .. I feel he is more talented than the other former Yamoto band ..
A big fan from 254
Nimekupenda ghafla enock Bella big up sana
wonderful bro congratulations nazikubali kazi zako
enock bella oyeeeeeeeee ngoja kidongo kaka am finished
Ngoma zangu usizipite #Elephant b boy _Song KIDAN
dogo fanya colabo na Christian belle mziki wako mzuri sana
enockiiii ngoja kidogo nipeni na miguu
Asanta kaka, noma kabisa
nzuri sana nimependa cz huwezi choka kusikiliza nyimbo nzuri kama hii big up bella💀💀💀💀💀
The truth be told,namiss sauti ile yako nzito uloimba nayo yamoto
poa sana kaka 💪✅🔥💪🇲🇿🙏✅💪🔥🔥
HUIMBA MWENYEWE HII SONGI. LOVE YOU BROO
Nyimbo nzuri sana, félicitations
kwanza niseme asante kaka kwa kazi ziri. st don
First one nimekuwa mdau wako
Nimeamin unaweza brother.... kumbe nia ndo chachu ya mafanikio 🙏
Ngoja kidogo💝 bro umeweza