Enock Bella - I Swear (Official Video) SMS SKIZA 7913930 to 811
Vložit
- čas přidán 10. 01. 2019
- Watch I swear official music video from East Africa singer/songwriter Enock Bella Debase
Stream or download I swear - bit.ly/enockbella-Iswear
iTunes: itunes.apple.com/au/artist/en...
Spotify: open.spotify.com/artist/5nItA...
Amazon: www.amazon.com/s?k=enock+bell...
Deezer: www.deezer.com/en/artist/6365...
Tidal: tidal.com/artist/15533968
Google Play: play.google.com/store/music/a...
Enockbella
For Bookings
Contact +255713791312 +255652273437
Email: bookeneckbella@gmail.com
Follow Enock Bella On:
Instagram: / enockbellaofficial
Twitter: / enockbella
#Enockbella #Iswear #Video New video toka kwa ENOCK BELLA from Tanzania.
VIdeo Directed by Royal State Pictures - Hudba
nani mwingine amerudia kuona huu wimbo 2024❤❤
Najisikia furaha sana kwa dua na maombi yenu kwangu tafadhali msinitupe nyinyi ndo mabalozi wangu nipiganieni kadiri ya uwezo wenu amen
EnockBella tupo pamoja kaka
pande hz najaribu ku suport sana muziki wako
Nice sog
EnockBella big up
Do worr brother ok kaza
Tupo pamoja hata sisi mashambiki wako wa Kenya twakuombea
Mungu awabariki ndugu zangu maombi yenu ndo mafanikio yangu msichoke kuni pambania mwanzo mwisho
Tuko pamoja ndugu
Heshima uliyo nayo itakufanya ufike mbali sana nakuona mbalii sana komaa
Uko vizuri kaka nakukubali sana kwa kazi zako
Pamoja sana
Never mind kaka we are here for you just keep going and aslo aim higher 😍😘
Yani kama umesikiza huwimbo Mara kwa mara ukiigia u tube gonga like yko 👌
Hello
Aaah!!! Enock Bella ujue we nifundi mzee baba mko wapi shabiki wa enock gonga like twende pamoja.
tuko weng mzee
Issa John ....
Nakukubali sana
Nimeipenda
Nice song umebadika Bela wap like zake kwa song nzur
Kazi nzuri jamani Bella
kaz nzr
Please enjoy Video mpya ya sile ilofanyika inchin germany 🇩🇪 link hii hapa 👇🏾👇🏾👇🏾
czcams.com/video/EtCc-VIvF2s/video.html
🔥🔥🙌🙌😘
gud song
Kama wakubali ENOCK Gonga LIKE tuhone kama tuko pamoja
Wimbo mtamu Sana Kaka, wangapi wamekubali kuwa wimbo hui umehit saana? Basi mpe Kaka like zake👍
Hi ndo sauti tulio imiss Sana Kama akiendeleeaa hivi mbn atakuaa amazing Sana kuliko ile ya base Kama unakubaliana na mm gonga like hapaa
Ile ya base alkua ywabeba wale madogo... Ako top
Kaliii
Uko vizuri kaka
Good sna broo
@@jumaainnalilahwainnailaihr1377 safisan
Hii nyimbo nilikuwa nasubilia video yake bonge la nyimbo gonga like kama unaikubal hii nyimbo
Daaa"ngoma kal sana why'haija kk mjn
Unatisha kk
Iko vizur
Safiiiiiiiii saaaana sautiiii
Kali snaa
Hakuna wimbo naupenda kama huu duniani . ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kama unaamin jamaa atasimamia vizur sasa hiv kwenye game gonga like hapa twend sawa
walio sikiliza hii ngoma zaid y mara 10 kama mm nipe like
Iko vizuri sana hongera sana👌👌👌👌
ikopoa
Yaani hataree!!!
Nzur
Powe sana
Wangapi hawaamini wanachokiona
Mimi apa naona jamaa kaanza kulegeza sauti 😢
Digos.....mejengo
Number one
Ilove the way you Sing Enock uko free unajiachia poa na huvaa vinxuri Allah akuzidishie
enoki kuweza unaweza alafu unajiamin mungu yupo usichoke japo najua kuna vikwazo na anae viona niwewe sio sisi mashabiki inama funga kamba za buti nauendelee nasafali
Enock Bella yo always killed ma bruh hapo fresh weka kitu hapa kwenye neno langu
Bro hii kazi safi kabisa. Fan wako mkubwa kutoka 254. Man *you are talented*
From Kenya. This is my No. 1 favorite Tanzanian artist #TeamEnockBellaKenya🇰🇪🇰🇪
Mzee mzima enock bella tupo pamoja love from somalia 🇸🇴🇸🇴🇸🇴🇸🇴🇸🇴🇸🇴🇸🇴
Kwa mwendo huu mwaka huu lazima Tutusue . Enock Bella fans Kama unamkubali na unapenda muzik mzur wa Bella bac Gonga like twende sawa.
👏👏👏👏👊👊👏
Najisikia furaha sana dogo wangu Nairobi tunakupenda kanyagia hapo tu 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Namuona mzee ojode na mzee kibiriti..mziki bomba ndani nairobi Kenya high rise..thank you enock Bella
From Kenya iko there Respect bro if una like song iko there wap lik 🔥 🔥
Robert Mose
Duuh Kali kabisa bro kwa hizi style utaniweza kabisaaaaaa
Mm kanikamata ile mbaya afu toka interview akajeliwe bas imempa nguvu nikuchukulia in a positive way haikumvunja moja
gonga like twende sawa kama unamukubali enock Bella!
long time I'm waiting him job Mic this guy
Uko xaf
ngoma kali sanaa
kazi mzuri
Ngoma yenyewe ni mia juu ya mia. Nashukuru mola kwa fani ya muziki umerudi. Ile sauti ya baze pia irudishe angalau kidogo. Gonga like twende kazi
Kaka enock hongera sana kaz nzr
Khali sana bro Bella... Kama unamkubali Kaka Bella gonga like hapa.
Enock huu ndio uhalisia wako piga vitu kama ivi uone maa aniiiiiiii fireeeee
vizur san
Kama mziki huu umekugusa gonga like APA kama Ni shabiki wa enock
Tupiganieni Enock Jameni❤❤
Nice one Bella
Mob love straight outta Kenya😍😍🇰🇪🇰🇪
Enoki umetisha like spatag lakn leo naiman so mimi jamn ni za Bella Enock
wangapi wamefurahi kuona enock bella kafikisha M1 views acha like yako hapa
Ayeeeaaa uko tu Sawa twenda pamoja ..I swear iam commenting with clear thought 😘
I Swear imeifunika mwnza ya rayvan qonqa like bas...
Kaka ameshoot video mtaa wangu.........Highrise na majengo Nairobi. Gonga like ya Enock Bella.
Wallahi
Kije kwa waswahili
Majengo Nairobi
GEETECH 89 bro I believe in you just work hard you are star
Enock we fundi komaa mwana
Enock kumbe anasauti...Usirudie baze ulikuwa unaimba bana... I love,from kenya
My sweetheart song, sijuwi niseme nn kuhusu huu wimbo Yan nakupenda mpk naumwaa, kila nikibadilisha sm lazima niutafute niwe naoo
Can't get enough of this song, kazi safi Bella.
Inshallah 🙏 Mungu haachi mja wake👏👍🌹💜🤓.
I never knew Enock had such an incredible voice 😍😍
Naikubali 💝💝✔✔✔
Well done Enock
hii ndio miziki kijana achana na ukulumbembe karibu wanakupokea
Hii Ni kali kweli Bro Woow Nice Song
Kali sana kaka🔥
Cool
I swear🔥🔥🔥🔥
Firefireeee
Pumbu
We mzee baba we ndio unakata tamaa ila sisi wanao tunakukubali kinyama hujawahi kukosea na wala kwenye game hubahatishi wanao mkubali mzee baba eno like kama zote
saut hii usiache umetisha mungu akusimamie
Safii Enock bella gonga like kama hii ngoma ni yee babaaaa.
Bella tuko pamoja sana umetisha hii songs iko poas sana.
Good bro
Enok bela sasaivi anajitaidi sana ongela kakaangu enok
Elia Richard gud
Iko p
Ngoma kal kak
I swear hii ngoma ni kali sana!👍👍🤜
Mapigo ya ngoma kama yote kama umekubali shabiki kama mimi fanya kugonga👍.Enock B, kuja hii side ya NAMANGA BORDER,wala ata kashow kamoja
Nilikua nasubir ubunifu wako,safi sn
Ngoma Kali kama unamkubali enock konga like
NYAKIROTO
Hahahshaaaaa eti we dada sema na wazee waniache huru mie!!!!! Chukua mzigo wa bure huo na kamtoto wa bure tumboni.
Kazi nzuri sana mzee wangu , big up sana baba @Enock debase kwa #I swear kiukweli Kazi ipo sawa na beat ime tulia vizuri sana
Naamini juu ya kipaji chako kaka gud music
ally ramadhani good song 😗😗😗
l swear 💕💉enock unakipaji utafika mbali Mwenyezi Mungu azidi kukuinua..Unaimba Vizuri sana
Mzee baba apa umeua kumbe unajua achana base huku ndo kwako sasa ✳️✳️✳️✳️🔝🔝🔝🔝🔝🔝☢️☢️☢️☢️☢️☢️ like za kutosha kwa belaaa
Enock bella mungu atakuinua tena mimi nakubali sana nyimbo zako
Woooow 😭😭😭😭😭❤️❤️❤️❤️❤️ great message THIS right here is DOPE MUSIC!melodies vocals💯💯🇰🇪🇰🇪
Naipenda sn hihingoma
Daaah mwanangu unajua knom ,I appreciate u broo good muxic
Niliwahi kujipata kwa hali sawia na ino hapa. Enock, nilikukosa ila sasa naamini umenipa sababu ya kuliwazika! Kama ni shukrani nikupe kwani kando na burudani, naliwazika kwelikweli.
Huyu mtunzi anawaza sana... Idea simple halafu tena si simple.. Enock Endelea nasisi mafan wako twa-swear kukupa all the love na sapoti
Mwanzoni mwa kutengana yamoto niliyeona kuwa atapotea kabisa ni ww lakin kwa haya madude duuu umekuwa kiboko yao ulokuwa nao yamoto au ulikuwa unawatungia nyimbo nn mbona wote wawili wamebuma mumebakia wawili tu na mbosso uko vizuri ni baraaaaa
Deus Nyahenga kabisaaaa
Alaf aslay unamuachia nan kwamfano yaaan ??😂😂
Katka wale huyu ndiye kapotea sema kwa hii unaona kajitahid😁
Mboso abebwa wasaf
Kali xana mwanangu wa mikoroshin temeke
ENOCK AWESOME WORK #BACK IN KENYA.
sijawahi kucomment CZcams ila leo nimelazimika kuweka komenti yangu kwa Enock, hii ngoma ni nomaa
Kidoqookidoqoo wakiokua hawakupend na kukususaa watajileta et kwa kutakaa kukusaidiaa...
Kazaa buti ENOCK...
Sauti ya base 2pa kulee safi sana
Ili jamaaa ujue linajua eeeeh
kaka Bella unaweza sana sana yan per1
Hey enecko u r up.bravo gud songs.nijambo lawafika vijana wingi w leo.ndoa nyingi n watoto n vyakusingiziwa.wamejifunza n watakuwa makini.mabro kma umeikubali gonga LOVE n like yko
bella on top wapi like hapa 254 mwona aje......gonga like ukipitanga...
LUCKY STAN #KID 5 hi
Noma sana bonge LA song
here in Kenya nawakilisha Enock Bella mambo yote
Unaweza sana💪
tamu sana bro na thank God unakuja dear mob love my bro nakupenda bure karibu kenya
Bella napenda nikikuona ukiendelea..ngoma safi sana..Kenya na wewe
Mwanangu eeee hapo sawa kwanza sauti imepangiliwa pamoja na shakhili
We are now in 2020,,gonga like ya huyu msee
Kwa style hii mashabik tumerud nyumban man kumenoga
Ndugu yangu Enock kaza buti ngoma kali Sana naikuona mbali sana utafikia malengo yako ila tu usiwe na misifa na kiburi tu. kama wasanii wengine wakikuwa hivyo
Sauti tuliyoimiss sana mi bado nmekwama i swear😍😍😍
hizi bit mwannangu Kali sana
Kazi nzuri enock bella
Kauwaa
I'm Douglas from Kigali Rwanda, Mr. E.Bella he is big man he is talented young guy plz give him some most likely
enock hii nyimbo kali sana broo siishiwi hamu ya kuwatch
Oyoohh hii Sauti inakufaa sana kuliko ile ya base Kama umekubali hii sauti twende na likes nyingi hapa chini
good work!! ila bella wa2 saiv hawakufatilii tu ila ukweli ngoma kali na utunzi mzuri kaka!!
Anyone from diaspora, time ya kurelaxy weka like twende pamoja
Wow nimehangaliya zaidi yamara 10 nimeipenda saaana
fan wako mkuu kaka...... jipe moyo na njoo Kenya ni nyumbani
Gonga likes twende zetu team Enock
Penda sana
Ckuwahi kukuelewa ila kwa ngoma hii nimeielewa nawe kama imeikubali ngoma hii like nying tafadhar
Safiiii hii nyimbo na zinginee sijawahi kuzichokaa
Bella hii apa imeniacha kimya ,nimeikubali asilimia 100 kutokea Nairobi 254 Kenya
Nakukubali sana Enock pambana utafika mbali tu usijali nipo pamoja nawe hata kwakuzicheki video zako God be with u forever love you. From B.Z.M Classic.
Sikupingi jaa nakukubaligi kinoma noma kachaa.
Kaka ennock bell nakubal mdogo ako nakuiga kwamamb meng xn blaza unajua sio sili lakini mganga mungu mchawi pesa tu
Binafsi huwa nakuelewa sana nice video nice sounds nice music
Bonge la ngoma hii,Na kukubali mze baba@@Babu tale....and fella😁😁😁😁😁😁
Pole kwa kuowa tunda ujala ww nakubali kazi zako mi mshabiki wako namba 1
2021 from Liberia 🇱🇷. Love his voice from Yamoto band. Y’all need to get back together and take Africa on top! One ☝️ love, Africa from Monrovia Liberia
hatari mzee kazi safi nimepnda sana vile hii wimbo iko na ;mafanzo mazuri kwa sisis vinjan na pia wazazi star......star......star.... pongezi kutoka kwa kakajay 254
Califonia (majengo)....sio mimi I swear
ngoma kaliii xanaaa Bella