Mr Nana feat.Kassim Mganga - ZANZIBAR (Official Music Video) sms SKIZA 8546093 to 811
Vložit
- čas přidán 11. 01. 2017
- #Mr.Nana #Zanzibar #NgommaTz
Watch and share the brand new music video "ZANZIBAR" by Tanzanian bongo fleva artist Mr nana.
Director by Kwetu Studios - G PROJECT
Follow me on Twitter: / mrnanatz
Like me on Facebook: / mr nana singo
©2019 Administered by Ngomma VAS Limited.
Mbona huku mweus sana
Mr nana w xx iv kajichubua uyo n mwili wke mkubwa km nyumba😢........mwili huu n rangi hii ilikupendeza😢😢😢😢
2021 nikiwa Mombasa, bado nasikiza. Raha na amani moyoni kisiwani.
Its 2021 and iam still here. Iam from Nairobi , Kenya 🇰🇪 lakini Zanzibar ni my 2nd home. Namiss Tanzania tu sana. Ryt now niko Belgium, Brussels. Soon naja vacation Zanzibar kisha niende Arusha n Dare' Sallam. Pigeni likes hapa for Kassim mganga.
kiukwelinhii ni nyimbo bora na ya mwaka kwangu,..ngoja nione zifuatazo,lakini itabaki nyimbo bora... heshima kwako mwnye nyimbo Mr. Nana na bia kusahau Kassim Mganga....mmeitendea haki hii nyimbo
Hii Ngoma Kali Hadi leo mzee
Kaka umetisha, nimefatilia nyimbo zako zote za nyuma, tetemeko na ile nyingne umepiga hatua sana, shikilia hapo hapo.Navua vazi la ukiburi moyo wakondea, we wa haba mi huba nimekupokea, aaaaaaah casim tisha san wewe..... abydady......
january majigo umeniuwa kasim mganga
Ahh naiiiota naiootaaa!!!! nfike nzubaeee hatarii Kassim Mganga tajiri yaangu nipe raha mieeeeees
Zanzibar is beautiful
I'd love to visit
much love from Ethiopia
Zanzibar beuty cinty
Yaani umeua melody na beat
Watu wenye hekima I love u Zanzibar
tanga boy's mmetishaa
Weye wa haba mie wa huba,, never give up Zanzibar
Sikinai kusikiliza wimbo huuu..hakika unatunu za melody maridhawa za nyumbani...asante kwa song nzuri mr nana
Mr nana na kassim mganga nyimbo tamu sana eti nifike zubae big up to abby dady
kwako tena sina kauli moyo maridhia, navua vazi la kiburi naona nakuonea,
mi ndio wako ubavu wa pili, nafsi imeridhia, mi wa habba we wa hubba nimekupokea #Zanzibar
thankx
@@mrnanaafrica vp ile ngoma ya dada mtangazaji ile ya kwanza mbona siipati B baros
I love dis song walai
Lilyoo Kamone Bwoy thankx
@@mrnanaafrica welcome bro wewe umkali kzi zako nazipenda bro
love you my zanzibar (naendelea kujivunia)
Mr Nana ❤
Zanzibar ni kwe2 raha za mwambao good music tuwacheni 2we huru
Love Zanzibar born language
Uyu jamaa anajikoroga
Hela broo herehoa
hongera Nana
thankx myn
lizzy nkifu can you check me please +255714115019
tuliokutana tena 2020 gonga like twende sambamba
Nice song my blood unatisha faru wangu ngoma nzuri mashairi yamesimama
thankx
hassan from , morocco , thank you zanzibar , i hope one day visit ,i love this tsland
heshima kwako kasim mganga
song takes my breath away. @ Kassim is such a serenade artist.
Kumbe ndo Nana wa Didashaibu.hakiii watu wanabadilika saiv Nana ni muhendsam balaa
Yan huu wimbo nimeujua leo kumbe una wiki kbs
i visited Zanzibar early 2021, best slogan "karibu zanzibar". love from Somalia
Hapa mbona upo tofauti Nana
Anaeiangalia hii ngoma 2020 gonga like tujuane
wimbo mzuri sana kuanzia melody,mashairi na beat ...hongera bro Mr Nana
ana jicho la wembe aliponitazama kauchana moyo vipande
kauli yake kinyonge akitembea hatua zake kafuzu ulimbwende
lafudhi za kipwani pwani zinanimaliza ndani sina zaidi ya visiwani #Zanzibar
thankx
Thankx👌
Hapohapo ma Bros nice song mashallah naiota naiota zanzibar
Home sweet home zanzibarian...
Nice one brother...Zanzibar swet Home..😚😚
enjoy sis
naiota naiota. kweli.Nitafika huko inshaallah nijione na mimi.
Ali Shaffi utafikaa linii fanyaa ujee zanjii huku utakuwa hurudii
Nimepamiss home
bonge la song❤❤❤❤😮😮😮
Love u zenjbar
this is mr nana i used to know, alikuwa anaandika haswaaaaaaaaaaaaaa.... my favorite of all time
Ukikaa karibu na kasim utakua fundi sana. Sabab hii style uliopita nayo lwenye hii ngoma imekukaaa haswaaa. Kushinda ile style ulotumia kuimba "Nilonae" design kma timbulo flan hiv. Kazi nzur sana hii kaa karibu na huyu mzee wa mahaba utakua balaaa mwenetu. Mi nasubir nyingine kama hii.
Mashallah Zanzibar ne kwetu
Nice malody wah tamu sanaaa
ana jicho la wembe aliponitazama kauchana moyo vipande dahh bonge la dude big up brothers Mr. Nana na Tajir Wamahaba mmekimbiza sana hii kitu imetisha
thankx
May Allah bless our land in this coming elections all we want peace and unity kwetu
Naipend zanzibar
nice music Zanzibar ....watanzania plz niambieni Kama Zanzibar na TZ n nchi mbili tofauti ama...
ni nchi moja TANZANIA comes from
TAN-Tanganyika
ZAN-Zanzibar
Albert Mandari thenk u nyce to know Zanzibar is a highland??!
Noma sana...
Hii imeweza bro
zanzibarr is so beautiful, nice song
Eddy Roy Absolute
Love thi song mr nana
Safi sana tanga na zanzibar
Love zanzibar 👊👊👊
yan hii ngoma kali zaid ya kali bro tafuta watu wataosimamia mziki wako kwa ukubwa zaid weeeee unajua saana kuliko waliokua juu wengne umekosa promo kuazia kwenye tetemeko ad humu umefanya mauaji makubwa
omary issa kabisaaaa
enfin, j'aime ce retour au source kassim. ton dernier album manquait cette joie entremêlé de délicatesse
I love Zanzibar
anasauti nzuri huyu jamaa
This is my soooooong. Great job. Makes me wanna travel
Hii ngoma ikovizr nashangaa kwanin inawatamaji kidogo wa tz wenzangu tusapport ngoma ya wazanzibar
napenda sana ,,,congrats
WALAI KALI BROOO
Hi goma naipenda Sana
wawoooooo nice kazi naipenda sana ngoma ya kwetu hongereni sana kwa kazi nzur
Love Zanzibar
Mziki mzuri daima
Zanziber is the best
Hii song iko juu,you guys should team up again for another Mduara ka hii!!!
jamaa wajua sanaaa
gd brooo
Love Zanzibar and wanna go there back one day; from Algeria 😍
Rayene Kou Thenk u you like Zanzibar Hme
تنورو بلدنا يا الجزائريين 😙
welcome dear
nakubali sanaa
Sanatuu
Ilove u zanzubar
amazing music i love my home land Zanzibar. king of kibaku baku Kasim Mganga
muache kulawiti wa toto!!
u got some serious problems kwani watu wanalawiti zanzibar tu ktk hii dunia? kazi nzuri ukiona kitu kizur kipe sifa yake hata km unamatatizo na zanzibar dont talk rubbish wimbo hata km ungekua unahusu mombasa tanga kilwa wakati mzuri upe sifa yake zanzibar itakua km ilivo vyovyote vile upende usipende please just try to be neutral ona vitu nje ya box so ushauri wa bure usijitie kiwewe zanzibar ina wenyewe dont talk nonsense about zanzibar
+Kalinga Richard
acha usenge ww kwan uko ulipo ww watu hawalawitiwi
+Nuri Sahim .una onyesha umeishia form two kama wenzak!!
+Kalinga Richard
hahahah hata kama nimemaliza darasa la saba ila mm Nina Kitu ambacho ww ulie kuwa chuo kikuu huna kwn kumaliza form 6 or 4 ndo unaona ujanja mjini mjini mipango ww boya
perfect song.
nimeikubali🔥🔥🔥
🔥🔥🔥
Good job my Broo..
Zanzibar song imenibamba sana.
shukrani kaka
@@mrnanaafrica
Km uko DSM nitafute kaka nikupe Mchongo
Call 0712 254200
Au km VP nicheki hata inbox Fb Kwa Ac name Chollo Al Riyamiy.
Kaka nimekupigia hupokei cm niko dar nicheki hapa 0714115019
Kali kaka
Mr Nana nice songs
Mzuri sana 👌👌
My born land
6/12/2018 bado naangalia Zanzibar
🇴🇲 ❤️🇹🇿
nzuri
My born land😍
Jmn ngom nzur san
If you don't get tired with this sweets voices like it😊
that's what we call good music
yap!
bonge la ngomaaaaa
nimeipenda
Zanzibar my mother land,so beautiful song
Thankx dear
Mii nasoma Comenty tu maan so kwa goma hili
kazi nzuri sana kaka
I mic my land Zanzibar😍😍😪😪
Yussuf Ally Hahah unaishii Zanzibar wew
hot music sana
nice music i love it