Nedy Music Ft Ruby - One and Only (Official Music Video)
Vložit
- čas přidán 3. 04. 2018
- Here is the official video"ONE AND ONLY" By NEDY MUSIC ft RUBY The Music video was shot in Tanzania by super talented East African video Director Hanscana of Hanscanabrand Lovely African Tune produced by YOGO BEATS (TNT PRODUCTION)
Nedy Music ft.Ruby latest song #One And Only►mkito.com/song/20492 /One and Only Hits of #Nedy Music ft Ruby► www.boomplaymusic.com/share/mu...
One And Only Ft. Ruby- Nedy Music.
Hit bongo flava artist Nedy music featuring Ruby from Tanzania has dropped a new video titled "One And Only".
Nedy Music latest Song One and Only ►mkito.com/song/20492 Tune into the Nedy Music ft.Ruby brand new song "One and only". Nedy Music other songs: Nedy Music latest song One and only► mkito.com/song/20492 Follow me on : / nedymusic - Hudba
❤ 2024 ngoma kali Sana hii kama tupo pamoja like hapa 💚
Nani mwengine anae ielewa one and only ya nedy na ruby? gonga like yako hapa💥💥💥👉😀😀
kama unamwelewa Nedy gonga like apa
Meddy unanikosha mwenzio kiukweli upo vizuri unavyoimba ukicheza ndo unanimaliza kabisaaaa dah Gud saana
Sichoki kuskiliza nakuichek hiingoma naipenda sana love neddy and ruby
Mambo vp
Nyimbo nzuri sana nimeipenda kinoma kama unamkubali# Nedy twende sawa
#killing it nedy mkiwa na rubi enyewe you are onle and only .........wish tufanye job pamoja
Kama mpaka leo bado unasikia uyu wimbo kama mimi gonga like apa jamani🙏🙏💃💃💃💃
Msanii anayeongoza kwa kupendeza bongo kwa sasa ni #nedy, kama unakubaliana na hili gonga like
f
Una mawazo kma ya kwangu
It's true ata Mimi natoka Kenya nampa heko msanii Nedy
nakubali
Namkubali xna nedy
Nedy we mkali kama unamkubali nedy gongs like we love u nedy congratulation
nimependa sana ruby aliposema #nedy aiyeiiyeiih! sina hata hamu kasha niua mdada huyu
Daaaah ngoma kali sana yaani da Rubby unanifurahisha hatari usipotee basi dada
Neddy ni King wa fashion Tz kwa upande wa wanaume, kama unamkubali gonga like!
Nakupenda sana ruby big up kwa nedy ujamshiriksha yule anayebana kisaut kama mtoto aisee angekuharibia nyimbo
Iko poa mzanzibari Wang ijayo muweke king Kiba ndan
.....slowly....... nedy.... one love ruby ahaaa umetisha Sana.... like za nedy na ruby hhhhaahaaa
Hakuna Jambo nzur Kama Mme mwema👈👈👈👈 ndoa ifungwe kwa mama nedy kawimbo katamuuuuuu
woow so nice ruby nedy hawana mpinzani ni malovee yakutoshaaaaa
safi ned nyimbo kari umenifuraisha ulivocheza ruby amefiti vzr
Ngoma kali aiseeee mmekutana mafundi wooote
Kama umeikubali hii nyimbo ONE AND ONLY Gonga like twende
xxx
Naipenda San iyo nyimbo kiukweri
The Lady has nice vocals.
Good work.
Umesmama wakwanza hakuna zaidi..we nati mi spana nakaza zaidi..nikuoe my baby tena ikibidi..ndoa ifungwe kwa mama nedy...
Huyu Neddy mrembo kweli...Rubby nae sauti tuu..nimekubali
2019 Kama bado unaiskiliza like twend pamoja penda sana coz unafanana na my lv
Ruby wewe ni Rihanna wa bongo
U have such amazing vocals
Yan wimbo huu mzuriiiiiiii....auna matus kama lismba lao
hii nyimbo inatibu kila ugonjwa aisee hii nizaid ya hit song nedy unakipaj aiseee daaah
Uwiiii ruby mama wakuache miaka miaaaaaa ninavokupenda uwiiiiiiii
Safi sana Ruby 💎... Umeonesha wazi kuwa huchuji
Mahamoud Jacob m 🤣🤣🤣🤣🤣
Nady tisha sna blood endelea kukaza ujue wakt unaanza ndo ulianza kutengeneza good music watu walijua unabahatisha bt now Nimekubari
you're my number one and only number one nakupenda sana minawew ni milele tusiachanee wakufa nakuzikanaaa
Napenda hizo movement
afu video Kali
Mwisho kabisa napenda melody hongereni 😂😂💪💪💪
Yeah i agree the melody iko dope ruby n nedy killed it
Oooohooo homa ya jiji hiyo! I felt goosebumps!!
wimbo umeshika nafasi ya chakula kweny maisha yangu yan msosi tupa kule naupenda sana
Oyaaa nedy ommy anazingua bwana tafuta management ambay itakusponsor internationally
Think abt dat
💞💞💞💓💓mmetisha ngoma kali
from nigeria we love you Tanzania n de song z great
Zarliah Araphaty Great
Welcome to Tanzania 😉
And We love Nigerian Songs..♥
huyu kaka n mnaigeria sio
We love u too
Amapiano imeharibu ladha ya muziki wa kitanzania. Hizi nyimbo ndiyo ladha ya Tanzania
Walioletwa na tuzo ya Ghana hapa tujuane,...
Nedy macho yako 2 yaniacha moto
#Goodmusic!🎶🎤🎧 Respect sana, hii ndo raha ya kuchagua kilicho bora Zaidi
😍😘😘😘 nakupendaga hatari Nedy Music nakukubali pia
Dah bonge ngoma mamamae ila rubby saluty kwako unaujua mziki kikubwa ni kujichunga usiwe kama vichaa wengine big up song
Nedy never seen your songs but you talented nmekubali
Loise Muthoni uyu jamaa si angesainiwa WCB
Loise Muthoni ahsante kaka
Pow
This song was made by the Best artist in our generation jeeeeez the lyrics 🔥🔥🔥🔥🔥🤦♂️ Kenyans twendeni nalo
Ongereni wimbo mtamu mungu awajalie✌👍💞
Baby baby ou sendje bali
Siji ouze wa falayi
come closia ninji daii
😍😍
Mpk 2021 tujuane unaosikiliza hii nipen likes zangu
*UMETISHA SANA MDOGO WANGU*
-HAKIKA NA RUBY KAIMBA VIZURI SANA-
location kalii,.. dance kaliii,.. rangi nzr ya video,.. evrthing kipo on point,.. bila kusahau sauti zenu,.. very nice song,.. #classic
Nimeipenda rubi komaa achana na wangaaaa! I love u Ned
kali sanaa
I ‘m in love with this song#Nedy Music 💋💋💋💋💋love you boy ...somewhere in Canada
Canada uinye wapi
Vip nt stop
Vip. Vip
Vip. Vip. Vip
Vip Bravo
ngoma hii ni balaa tamu hatarii❤❤❤
Honestly this girl she has so blessed with her voice any one who knows previously songs for herself
Her first hit song was #Na yule ....second song was #forever
Ruby - Na yule
mussa roman thanks dear I have already got check on it it's so nicely
miss Renee one love all are awesome
+baby anney Upo vzr xanaaa hongera Kwa kaz nzur
Amazing song keep it up 👍 👍 @nedy x ruby fireeeeee 🔥 🔥 🔥
Nice song
🔥🔥🔥🔥🔥🔥mbong la ngom asee nakukubal sanaaa 😘😘😘
uwongo mbaya uyu kaka yuko vzr sana masha Allah bye Nurin Noreen
bonge ya song
Ngoma kali sana Nedy hizi ni level kubwa sana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌🙌🙌👏👏👏👏👏🔉🔉🔉
Mathew Stanley fireee
Mathew Stanley sana unajua hauhitaji nguvu
Ngoma mpka leo one of the best collaboration
kiukweli hii nyimbo nimeipenda Sana big up Neddy and Ruby
Ngoma ipo vizuri sana .
Ngomaaa kaliii saaana 🔥🔥🔥🔥🔝🔝🔝🔝🔝🔥🔥🔛🔛🔛👊
Dogo unatufanya wa KIGAMBONI kufurahia upon wako. Allah akuzidishie NICE FILLING KTK UBUNIFU WAKO. BY MCHIZ WAKO JAY.
Nakupendaga we nedy ww mambo yako ni mofireeeee
Nipo Austraria nampata vzr nedy music haniangushi yaani amemfunika hadi boss wake boss wake boss wako jiwe juu ya jiwe
nurdin suley mmmh
perfecperfect 👌👌👌
Nedy uko sfi namkubali sna tu kaza butu jomba ni msanii wa ukweli sana
Iyi moja ni kali sana 🔥🔥🔥
Nandy akase kwa #Ruby
sannaaaa
Ngoma kali sana' kijana unajua ila PKP bado awajakupatia vizur
Hatuachani ever!! 💖💯💖💋💋💋
mziki poa
From Kenya I don't know which kind of language but good sound also have you nice voice congratulations for good song #Nedy
wimbo Nedy kautendea haki
Kiruby changu nakupenda nakukubali ebu toa video ya are you ready...tunakumiss aki
Ruby's voice is life... 😍😍😍
unajua sema Ruby kakukimbiza
Hamisi Kiyonga kwani hapa Kuna mashindano ya riadha Au
+Khaleed Mustafah poa poa kaka sema nakukubali
😂😂😂😂😂 na ashukuru kaimba kiitikio mwenyewe maana angemuachia Ruby Tungesema Mengine Hapa!
Kali hii kaka #Gistoff music likes zishuke hapa
Neddy upo handsome saaana jmn...lov u aiiiiii
Ruby ukovzuriii
Kanz nzur😍😍
Hogra kjna
Nedy fundiii ujawahi kuzingua Chalii
Mmmh hatariii mrembo Ruby pale Nedy Basi ni shida tupu...
You guys are on the next level..kazi nzuri 💯
Hakuna jambo jema kama mume mwema jamani me nataguta mme mwema 🙈🙈🙈🙈
Autampata kwa kumtafuta
Evangelique Habayumukiza unafta mme njoo
Umetisha neddy nakukubali wewe na rubby
Nedy 🔥🔥🔥
shikamoo rubiii
Team kenya nimependa hii
STRONG NANA nakubali .sana
Nandy Kasome Kwa Ruby Maisha Nandy Hawezi Kufikia Kipaji Cha Ruby Amini
Jamaaa anaweza mpaka kucheza
love
First comment today, wadau nipeni like zangu
Gud thing ni kwamba am in love wid nedy .....n nnavyo mpendaga Ruby bhas naona km nimeimbiwa mm
Ngoma kali sana
Hila kweli KAKA kwa sauti hapo ni no kabisa🤣🙈👈
Kaka angu wew shida jiwe juu ya jiwee