Kusah x Ruby - Nadondosha (Official Video)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 08. 2024
  • #Kusah #SlideDigital #nadondosha
    (C) Slide Digital
    Kusah Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
    ffm.to/kusah
    Written & Performed by Kusah
    Follow Kusah on:
    / _kusah_
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: / slidedigitaltz

Komentáře • 935

  • @vonpol414
    @vonpol414 Před 4 lety +6

    wale waliosikiliza zaid ya mara1 uku wanasoma komenti tujuane like ziusike....@team Ruby

  • @bobramaphyno4610
    @bobramaphyno4610 Před 5 lety +4

    Huyu jamaa anastahili sapoti coz yuko vizuri kwenye uimbaji nakubali sana gonga like hapa twende sawa

  • @moto-junior
    @moto-junior Před 15 dny +2

    Wale Wa 2024 ebu weka likes tukumbushane

  • @Therealmontanah
    @Therealmontanah Před 5 lety +448

    Aya sasa natka kuona like zakutosha sana kwaambaye kailewa ngoma nzima pamoja na kichupa kama nilivozikubali mimi😊

    • @khalidanipher5837
      @khalidanipher5837 Před 5 lety +1

      WOzaaaaaa

    • @ramseyrmsy3366
      @ramseyrmsy3366 Před 5 lety +1

      Faraja Issa kwa kua gar sina nimeielewa kwamba wachumba wa siku hiz mapenz hawana hua( tunafanya pesa zetu nimepunguza ukali wa maneno hapo)na sio mwanamke

    • @Therealmontanah
      @Therealmontanah Před 5 lety

      ramsey Rmsy ya ukweli nikwamba wanawake wa sasa wanatazama pesa kwanza na mpango huu unapelekea mapenzi kutokua ya kweli hivo basi siku jamaa akikosa nirahisi mwanamke kukimbia kwa sababu mwanamke yeye alifuata pesa tu na sio mapenzi

    • @Therealmontanah
      @Therealmontanah Před 5 lety +1

      NTAKUPOST INSTAGRAM mbona Cheka tena mamii

    • @DrElaantz275K
      @DrElaantz275K Před 5 lety +2

      cheki hii leo kanuni 7 za kutombana na dr elaan czcams.com/channels/rCS1Zg0c6-PDOKCPGtN2aw.html?view_as=subscriber

  • @kalundepius3161
    @kalundepius3161 Před 5 lety +221

    Kama na wewe umeirudia rudia gonga like zenu kuna mjeda anabisha hapa

  • @zuhuraabiki1103
    @zuhuraabiki1103 Před 5 lety +48

    Ruby una voice 🔥 hujawahi tuangusah mashabiki zako nyimbo kali

  • @mabyserolouchcraig2431
    @mabyserolouchcraig2431 Před 3 lety +2

    Ruby ni mkali sana yani ukiangalia nyimbo za kusah alizo imba na kusah ni kali kuliko ulizo imba pekeyako ....after lady jay dee mkali wao mwengine ni ruby😍

  • @abeidmayanga809
    @abeidmayanga809 Před 5 lety +66

    Ila ruby unatukomesh wanaume namaneno yako wallah nyimbo nzr sanaa

  • @tonymverah8059
    @tonymverah8059 Před 2 lety +12

    Kusah and Ruby could have been a perfect duet. They complete each other so well

    • @asia9930
      @asia9930 Před 2 lety

      Mrudiane jamani mlikuwa mnaendana 🥺🥺🥺🥺🥺

  • @dianaokoth4767
    @dianaokoth4767 Před 5 lety +35

    Best couple ever😘😘😘 i just love you ruby,, likes kwa wale wameskiza hii ngoma for almost 5 times

    • @mohdseif2816
      @mohdseif2816 Před 5 lety +1

      yanini nilale mlango wazi wakati riziki co yangu

  • @bonysenvua142
    @bonysenvua142 Před 5 lety +2

    *Ruby una sauti nzuri. Imba nyimbo za kunung'unika utapata mashabiki wengi. Sio kila nyimbo unadharau wanaume*

  • @missfey3328
    @missfey3328 Před 5 lety +9

    Nakupenda ruby si wewe tuu kazi yako hata life style yako I'll be you're side as shabiki NO:- 1 forever

  • @faridaothman
    @faridaothman Před 5 lety +3

    Wangapi wanaamini Ruby level nyingineeee💕💕💕💕💕 like hapa

  • @mauwapuga4777
    @mauwapuga4777 Před 5 lety +8

    Walahi ii Ngoma nimeiangalia Leo zaidi ya mara 20 kutoka india

  • @haysanhassan2685
    @haysanhassan2685 Před 5 lety +2

    Huyu director wa hii video ni balaa jipya kwenye industry. Jamaa anaonekana fundi na camera ina quality kali sana

  • @lydiaakimana7988
    @lydiaakimana7988 Před 5 lety +2

    Ruby we ni wa juu saana yaani nikiona ngoma yako nafurahi kabla hata yakuisikiliza maana hujawahi kuniangusha 👌🏾👌🏾👌🏾all the way from 257 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮likes zenu abiwacu tumenyane 💃🏽💃🏽💃🏽

  • @asichou9251
    @asichou9251 Před 3 lety +140

    Wa ngapi tumerudi uku Bada ya kuona song ya Mama lao
    🤣🤣🤣🤣

  • @senoritadg8599
    @senoritadg8599 Před 5 lety +136

    waja kama unampenda Ruby kama mm gonga like twende sawa 👍

  • @user-xi1pi4zr3b
    @user-xi1pi4zr3b Před 5 lety +2

    Wangap wanaikubali hii couple na kusapot ngoma kali za Ruby na kusah gonga like hapa

  • @philipogodwin8623
    @philipogodwin8623 Před 5 lety +1

    Ruby nakuelewa weweeeee umetusongezea kusah sasa kila ngoma lazima nimsikilize mko vizuri #dondosha umenikosha sanaaaaa najivunia Afticanruby nice works

  • @yatvonline3703
    @yatvonline3703 Před 5 lety +4

    Ruby huyu jamaa kweli ni mafanikio kwako kweli kua na mtu mwenye kukupa fikra mizigo kila ukiachia mm naweka stoo much thanks

  • @adolphmwangoje2887
    @adolphmwangoje2887 Před 5 lety +17

    Waooooo....ruby umeniludsha moyo wangu kukubali music yko ngoma klisana

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 Před 5 lety +1

    Watu mnapagawa sana na sauti ya ruby but mnajua kama nyimbo ni utunzi...so credits to kusah ...bonge la songwriter kwenye game..

  • @djpaulwalker2542
    @djpaulwalker2542 Před 5 lety +2

    Kwa kweli wimbo Wa Ruby zote zinependeza kweli na uendele hvo mrembo.

  • @t33pelos77
    @t33pelos77 Před 5 lety +14

    Weraaaaaaah hatare fire ngoma qallii video.imesimama kilakitu kipo sawa 💯☑

  • @emmanuelbonifase1114
    @emmanuelbonifase1114 Před 5 lety +13

    Ebana ruby eeeh kama VIP nimedondosahaaa ahahahaah 1000

  • @anovenord
    @anovenord Před 5 lety +2

    Rubby nilimiss sana kaz zako dada.. mim ni real fans kwako

  • @samadumohammed9292
    @samadumohammed9292 Před 4 lety +1

    Mwanaume gani unaringia jina, pesa huna gari huna kiwanja huna hats pkpk huna,babaaa utaweza wapi weeeeeeeeere,hakuwezi kabisaaaaaa

  • @o1oB
    @o1oB Před 5 lety +16

    This woman!Lord!...tuwapeleke na rieng' sasa...twende mama!wapeee ❤👌

  • @mariamumustapha2586
    @mariamumustapha2586 Před 5 lety +12

    Nawapenda bure kusah na ruby 😘😘
    New song wallah

  • @amissislywachako1772
    @amissislywachako1772 Před 5 lety +1

    *MWANAMKE GANI WE UNARINGIA JINA MUME HUNA HATA MCHUMBA HUNA , HESHIMA HUNA BUSARA HUNA UTANITOA WAPI.....SHAAAA*

  • @victormwansasu8764
    @victormwansasu8764 Před 5 lety +14

    Top in town Ngoma kalii kinoma sanaa

  • @jumannemashaka2006
    @jumannemashaka2006 Před 5 lety +5

    Dah hii nyimbo kali mpaka natukana kikwetu🤔 lukumanzila mapuyuyu🤗

  • @mtumishihewa7595
    @mtumishihewa7595 Před 5 lety +7

    wcb4life
    asante ruby..
    nani yuko hapa kwajili ya msanii wetu mpy wa #wcb ruby

  • @ramadhanimohamed6503
    @ramadhanimohamed6503 Před 2 lety +1

    Matokeo ya huu wimbo tumeyaona kama walitupa ujumbe yajayo na wamedondosha kweli😢

  • @juliethbaraka4856
    @juliethbaraka4856 Před 5 lety +21

    hongereni sana nyimbo huchoki kuisikiliza kha!

  • @ashurasalum8290
    @ashurasalum8290 Před 5 lety +4

    My roho😍😍😍ila hapo kwenye kukata uno nitaweza mie kweli

  • @danterey
    @danterey Před 5 lety +231

    This lady can sing....
    The crafting of this video is just on another level.
    The director did a good job

  • @michaelkarakacha272
    @michaelkarakacha272 Před 5 lety +1

    Msambaa wa kwanza kuwa msanii kutoka lushoto bumbuli ilov u ruby

  • @euniceletta6385
    @euniceletta6385 Před 5 lety

    Yan nmetok kumckiliza nandy Na billnass nmekuja huku nmegundua huu wimbo ni fayaaaaaa😍😍😘

  • @stephanozibe2740
    @stephanozibe2740 Před 5 lety +20

    Mziki mzuri ata haukulazimish kusikilza much love baby Ruby X Kusah boy♥️♥️♥️🇹🇿

  • @rodneytheonest
    @rodneytheonest Před 5 lety +16

    I swear this song is 🔥🙌🏾
    Na hapo bado ruby hajatuimbia high notes zake... 🔥🔥🔥🙌🏾 hatareee

  • @leilanondi5781
    @leilanondi5781 Před 3 lety

    Dah hii nyimbo kali,,,naiangalia zaidi ya mara 10 kwa siku

  • @lundebwoys4487
    @lundebwoys4487 Před 5 lety +1

    Big up Sana kusah ruby anaonekana yupo juu kwa ajili yako

  • @senoritadg8599
    @senoritadg8599 Před 5 lety +3

    ivi nyie mnao dislike mnajua kweli au ndo mnabonyeza bonyeza tu ...awe nyimbo tamu atari all the way from Mombasa

  • @kauthariramadhani1526
    @kauthariramadhani1526 Před 5 lety +59

    Alafu namuona Ruby anapenda nyimbo za kuchanba wa kaka na ni mwanamke anayependa wanaume wenywe mkwanja hii aidi imemkaa sana maana hapa inakuja nivumilie alofanaya na baraka,achaniwaze na the mafik and mputampuna na dashie by the way so sweet jomon😍😍😍👌

    • @hasnaabduly4945
      @hasnaabduly4945 Před 5 lety +1

      😂😂ila kweli

    • @ngumaonline5550
      @ngumaonline5550 Před 5 lety +1

      kwel kabsaa

    • @crershawmafia1009
      @crershawmafia1009 Před 5 lety

      Mbona analea huyo kusah sasa? 🤣🤣🤣

    • @hasnaabduly4945
      @hasnaabduly4945 Před 5 lety +4

      @@crershawmafia1009 nani kasema anamlea huoni kama kusah anafanya kaz au huyo ruby anavuma sababu ya kusah kumuandikia nyimbo kali kifupi wanasaidiana

    • @loveofficial74
      @loveofficial74 Před 5 lety +2

      Anachoimba ni vitu ambavyo vinatuzunguka katika maixha yetu ya kila siku

  • @momax_tv
    @momax_tv Před 5 lety +1

    Walai huyo producer amepiga binge LA beet naipenda sana

  • @alalwialalwiii8194
    @alalwialalwiii8194 Před 3 lety +1

    Jamani dondoshaa imemrudishaaa mkee wanguu😍😍

  • @simonkefa2772
    @simonkefa2772 Před 4 lety +7

    what a big song from the lovely Ruby,here in Kenya we love you mrembo

  • @hillarykomen4801
    @hillarykomen4801 Před 5 lety +18

    Ruby is always on point, n she's really pretty

  • @tamalikwizera8230
    @tamalikwizera8230 Před 5 lety +1

    Burundi tunaku hintaji ruby and kusah lov sanaaaaaa dodosha

  • @sampalsa_Official
    @sampalsa_Official Před 5 lety +1

    @Ruby and @Kusah KizaZi sana my family najua mmenizaa kweli Kazi kubwa sana mama and baba big up sana na Mwenyez Mungu awazidishie

  • @herrychristopher9801
    @herrychristopher9801 Před 5 lety +20

    mpoo vzr hongereni ipo fire

  • @kiokomoses7754
    @kiokomoses7754 Před 5 lety +36

    Ruby baby is back on truck...I love it..#254..nice delivering

  • @bamboomedia9296
    @bamboomedia9296 Před 5 lety +1

    Ila nyie
    Ni noma sana jaman mnajua music kwa kweli

  • @metaorucho7091
    @metaorucho7091 Před 4 lety +1

    Mzuri kama nini 🥵❣️+254🇰🇪🇰🇪

  • @issanaseeb7699
    @issanaseeb7699 Před 5 lety +5

    Simu za tecno buana bora wazitoe ile nakuja ku Comment niwe wa 5 imejizima yaani daaaahhh

  • @ibrahcataryan7114
    @ibrahcataryan7114 Před 5 lety +7

    bongee moja la mkwajuu,parfect combo ruby vs kusah

  • @maryamsalum6509
    @maryamsalum6509 Před 3 lety +2

    Jammmaaaaniii na kuimba nae kote akaniacha😂😂😂😂😂

  • @fetychina3273
    @fetychina3273 Před 3 lety

    Mlipendezana kweli yani dah!kweli ukikiona chanini mwenzio anaweza atakipata lini hongera aunt Ezekiel

  • @dominiqitta
    @dominiqitta Před 5 lety +14

    Ruby has great talent and choice of genre. Great collaboration and beat

  • @Dj_anaetumia_kanda_AloyceG
    @Dj_anaetumia_kanda_AloyceG Před 5 lety +23

    Ngoma nzuri imekutana na Video Kali sana akika kichupa kimesimama sana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥....

  • @anifaramadhani5027
    @anifaramadhani5027 Před 3 lety +1

    Kusah rudiana na Rubi bhana mlipendeza Sana kuliko uko uliko uyo wake mozee bhana

  • @mufasamufas6023
    @mufasamufas6023 Před 5 lety

    Unaweza kujua kuimba ukawa huna bahati huyu ni mkali sana kwenye kuimba na hili ni bonge la hit 🔥🔥🔥nashangaa wiki ya pili sasa hata nusu milion views haijafika🤔

  • @abdirahmanfarah6794
    @abdirahmanfarah6794 Před 5 lety +26

    Kwa wale wajanja wameelewa ngoma zima nipeeni like asapa😂

  • @razackmfilinge5794
    @razackmfilinge5794 Před 5 lety +21

    Mmetisha Dady&momy.....

  • @anjelinamnyambi2171
    @anjelinamnyambi2171 Před 3 lety

    Ruby jaman Kama ningekuwa na uwezo ningewafanya mrudiana na kusah hakika mlikuwa mnapendeza sana

  • @yuusufnuur5752
    @yuusufnuur5752 Před 5 lety +3

    Nakuelewa rubby wauu hebu kama umeipenda ngoma hii gonga like za kush tujuane

  • @lulually8211
    @lulually8211 Před 4 lety +3

    Kama unaupenda huu wimbo gonga like

  • @OmanOman-xe7gw
    @OmanOman-xe7gw Před 5 lety +1

    Eeeh uyu dada ana sauti ni fire uyu mwimbo😙

  • @tamimally4282
    @tamimally4282 Před 5 lety +2

    what a beautiful song is this!!!!!!!!! u ar de baddest all of u ruby & kusah

  • @terryanyango9804
    @terryanyango9804 Před 3 lety +3

    Your Dark colour was PERFECT!!!!!
    Its was a power statement

    • @soniaharrison1016
      @soniaharrison1016 Před 2 lety

      I was not sure I was watching the same person. You are so right her complexion before was beautiful,. I am at alias for words. Black.people stop degrading your race.

  • @juicetales6743
    @juicetales6743 Před 5 lety +35

    My phone has a bad voice but I understand this a hit.my house is really shaking and kutetema.
    Team Kenya piga like

  • @neemagilbert6132
    @neemagilbert6132 Před 4 lety

    Wanaoamn huu wimbo waliimba kama vile walijua,wataachana maana ni mwendo wa michambo tyuuuu😃😃😃

  • @kombakomba7922
    @kombakomba7922 Před 4 lety +1

    Nyimbo ni zaidi ya nzuriii,mmetisha

  • @usamaidd5752
    @usamaidd5752 Před 5 lety +3

    Hii Duo Balaaa Ruby*Kusah Utabaki kuwaita shemelaa huna gari,nyumba &sura huna Duuuuuuh iliobaki tumia mkorogo

  • @mwasimbega8712
    @mwasimbega8712 Před 5 lety +8

    Waooooooo kazi nzurii sanaa

  • @zeidytheislandgirl7616
    @zeidytheislandgirl7616 Před 5 lety +1

    Mhhhh sema mmetisha San kusah couple nzuri

  • @abdulqareemabdallah2579

    Rubi umedondosh hatriiii sanaaa kusa vipi hapo nimeipenda hiyooo rub upo juu

  • @yascomdoe5686
    @yascomdoe5686 Před 5 lety +8

    we kussah watakuloga ujue duuu we jamaa ni moto asee legeza kidogo😀😀😀😀😀

  • @shakiramuhammad8790
    @shakiramuhammad8790 Před 3 lety +5

    My favourite song ever.my sweet Rudy.you really have beautiful voice my Ruby.My wish is to meet you Ruby

  • @carolaysher5411
    @carolaysher5411 Před 5 lety +2

    Hehe ruby ft kusah 👌👌

  • @ashasvlog9246
    @ashasvlog9246 Před 3 lety

    Naona sasa utashuka kimziki hi ndio level yako sijui umeenda fata nn bongo movie.🥺

  • @maestrotv8264
    @maestrotv8264 Před 5 lety +27

    Hawa viumbe wanajua.sana

  • @benmwasakujonga3575
    @benmwasakujonga3575 Před 5 lety +4

    Nyimbo nzuri na imeimbwa poa sana be blessed Miss Ruby

  • @milicentakitsa8442
    @milicentakitsa8442 Před 4 lety

    Ruby umepata mkali wao, I really like the song💖💖

  • @fatmachambotanzania9379
    @fatmachambotanzania9379 Před 5 lety +2

    Wow nice song najua hamjawahi kosea 🔥🔥🔥🔥🔥❤❤❤❤👏👏👏👏

  • @venusmalima3457
    @venusmalima3457 Před 5 lety +9

    Pendaneni Sana ili mfanye vitu vingi,vikubwa na vizuri kama hivi

  • @soniemaina
    @soniemaina Před 4 lety +5

    She reminds me of Ray C. Mob love from K🇰🇪 NYA Ruby 💕

  • @magzakky2781
    @magzakky2781 Před 5 lety

    She is the only reason I started to love bongo music yaani kabarikiwa Sana nakupenda ruby Ata mtoto wangu nitamwita after u. 😘 Much love from Kenya

  • @hatamimnimempendabulejaman1596

    Naipendaga hii nyimbo na Ile na nachelewa kama inafanana. Wamependeza

  • @rebecaanania5863
    @rebecaanania5863 Před 5 lety +32

    Mr&Mrs kusah your voice is 🔥🔥

  • @neemagerald1302
    @neemagerald1302 Před 5 lety +18

    Mamaaaaa utaniuwa ruby wangu huwa huniangushii mama pambana tupo nyuma yakooooo

  • @zakiakayanda1444
    @zakiakayanda1444 Před 5 lety

    Wow yn ni bonge la nyimbo daah inadatisha sana kitu konk

  • @farug6559
    @farug6559 Před 4 lety

    Najua kuna wasanii wakali wa kike kuliko ww ila kwasasa bado sjawaona..... Ruby I wish one day tutaonana nikwambie ni kiasi gani napenda unavoimba.. U'R DE BEST ASEE CHALII YA KIKE.. BOOOOOOOOOOOM i'tz Faru G 4rm CHUGA aaaaaaaaaaaaarif

  • @allydamas3832
    @allydamas3832 Před 5 lety +4

    wimbo mzuri video nzuri pia keep it uppppp

  • @masiihiddajjaal
    @masiihiddajjaal Před 5 lety +3

    Huyu ni MIMI kabisa ruby ananiimba!..

    • @FatmaFatma-hu4cr
      @FatmaFatma-hu4cr Před 5 lety

      Lol Hilo Jina lako itakuwa kweli amekuimba wewe 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @alicemateru5622
    @alicemateru5622 Před 5 lety +2

    Nimeangalia mara tano..... Waliokubali haka kamstari (sikuhizii bila pesa hakuna mahaba) gonga like

  • @munadlebobo5234
    @munadlebobo5234 Před 5 lety +23

    Aise kizazi sana ngoma na nusu🔥🔥🇰🇪

  • @raymonddamas3900
    @raymonddamas3900 Před 5 lety +35

    KUSAH... WE JAMAA TUSHAKUELEWAAAAA SANAAAA🙌