KUSAH ft RUBY - Kelele (Official Video) Sms 9664313 to 15577 Vodacom Tz
Vložit
- čas přidán 27. 08. 2024
- #Kusah #SlideDigital #Kelele
(C) Slide Digital
Kusah Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
ffm.to/kusah
Written & Performed by Kusah
Follow Kusah on:
/ _kusah_
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz
Hiii kali sana jmn wapendanao wote kama kuna mtu anakupend au unampenda like hapa ili tue saw 💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃👌
Ruby n bwanake waah big up sister naomba like jomoni japo nimechele🤔🤔
Sijajuta kumpenda ruby love you forever dear,, tunasikiliz kaz nzur kutok muscat🎵🎵🎵🎵🔊🔊
Kaz nzur sana😍....kngne hupend kuvaa uchi dada ang unajistiri hadi raha...nawapenda bure😘😘😘
Aigooooo aigooooo!!!!!! Ooh darling halaf tumetoka mbali sioni dalili za kukuumiza ukalia!!!! oooh darling mwenzako nakupenda kweli tufike wawil sitaki mwingine kwa safari!! penzi letu lime take over nimekunywa nina hangover umegeuka gar umenigonga umenishka kichwa umeninyongaaa 🙌🙌🙌🙌🙌Kama umeelewa hzo vocal tupia ma like Kama yote
We n 🔥🔥🔥
Huhuhu nakuona mkorea huhuhu aigoooo oppaaa
Nmezielewa sana waooooh
Kheri d Luyagaza I'm the one
Penz letu lime take over
Wa Eid Leo weka like hapa 2024
Wale walo nidhulumu... nikawapa wakaiba. Ukaifuta na sumu....ukaijenga na huba 😘
Mzk mzuli sana kusa unajitahid japo watu bado wengi awajajua kipaji chako fanyaaa kwel mana me ni moja ya shabiki no 1 na wallah mutafika
Ruby always the best nipeeni like Leo wadau
Yani uyudada anajua mpaka naumia ndani ya roho
Misijaona mwanadad muimbaj kama ruby tz.. Aowengin wanatembelea nyotatu
Margaret Wanjiru anajua sanaaa
Kaka nakubali
Rubby unajua kuimba hadi unakera😘😘
Nami pia from +254 kenya 🇰🇪 boy nimejiipa kwa huu wimbo like zangu tafadhali ❤️
My ruby.... Utabak juu I can call you queen 👸 of bongo fleva.... Kukupenda tu
Daah uyu Kussa nilikua nafikiria anatembelea nyota ya rubby ila kaniakikishia... keep it up.. Labda naweza kua mshabiki wako...kwa juu udi zako
Kweli lakin alivyo kuw na rubi alikuw mzuli cca ivi namuona kakond kawa mweus hawa nyot zao zilikuw zimeendan sijui kuma gn kafany penz lao limevulugika
Huyu mtaalam wa kuandika mashair jamaa hatar sana
Ruby penzi langu limetake over nimekunywa nna hangover👯👯
Angusha like za kutosha
💞💞
Safi i repeat your my rihanna wa bongo
Baba baba nikumbateeeeee mahaba niongezeee aaaaaaash nyegeeeee kama zote
Sister rubby unaniuwaga sauti yako tuuu yani mie hoiiiiiii👌👌
Woooooooow Ruby! How I wish there was a way mtu angeweza comment akitumia sauti.
Yaaani wewe dadangu nakupendaga sana, napenda sauti yako yapendekeza kwa hakika....so fulfilling and satisfying vocals. Just sweet, smooth vocals. Mistari nazo hujachelewa hata!
May God continue making your voice stronger and stronger everyday.
Hiii ngoma ni Kali kinyamaa nilkuwaga sijapata bahati ya kuiskiliza vizur🔥🔥🔥🔥🔥
Simi wa Bongo yupo na Shemela
Gud music forever
tulioko hapa kwaajili ya ruby, naomba nione like zenu
Pamoja
Kama wewe ni team ruby KANYAGA twende
Nampenda Sana
Ila huyu kusa amemuumiza ruby nilikuwa nampenda sasaiv simwelew et yuko kwa ant ezekier najuw wataachana ty
Husband and wife mashallah kaz nzur sana big ❤ 2 ruby and her husband kusah 😘😘😘
Kumamake jamn Naombeni. Like Na mm. Ruby balaa
🤣🤣🤣🤣 Sio mchezo
Mganga Evarist97 😄😄😄😄
😀😀😀
😂😂
We fala kwl sasa kwnn utukame
Daaah unajua dadaake mpaka wasio kupenda wanaumia salute kwako upo vzuri sanaaaaaaa ngoma kali sanaaaaaaaa
Umemuumiza Sana Sana Ruby muombe msamaha,alikuwa anaimba kwa isia Sana kwako
ruby piga kazi pia deal na target za trend au cheza na trends za mziki hasa media tours na mitandaoni sana kupost kwa kuwwfanya mashabiki wako waone your active every time
Jamani kusah ni handsome 😍🙈🙈🙈
Saaaana ad wivu jmn
Nikupe no yake akukanyage😂
@@wisperfect3860 huhuhu kwa kweli ntashukur🤣🤣😋
Tyriphela Salma unampenda au 😊💛😄😂😁
@@ulricamakalla5565 utamuomba hela hamchelewi
Nawapenda sana ruby na mumeo mungu awatunze tuzidi pata radha tamu
Uyo ni mumeo tuu mwenye wivu ajinyonge❤❤❤🎉
Alafu ukamuacha Mungu anakuona kucheza na hisia za mwanamke
This lady is so talented, she needs more support. I love Rubi
Perhaps The best place for her will be #WCB
Mana anayumbishwa sana
MTT ruby mungu alikubariki sauti mwaaaaa mungu akup long life pend xn ww
Weeeee kusah weeeee ruby Ur kill it baby ila kelele wana kelele na wapenda sana
Ruby wewe mzuri jamani nakasauti kako tu nikikiskia huwa nafurahi sana love u so much
nice song
Kaka upo vizuri na umemshirikisha mwenye sauti ya ujazo yenye kuzaja furaha mioyoni mwa watu kazi nzuri
#Diamond. #kanyaga nfiyo imetoka mtapata tabu sana jamsni. #Kusah ugesubili. kidogo. aya kazi kwenu.
only talented musician make a best song, I appreciate on you ruby
peter james ng'hwaya salala sawaa
Baada ya kiba
Wimbo mzuri
Vocal safi
Utulivu kama wote
Napenda uimbe kwa hisia zaidi mkaka,
Big up kaka,
Big up Ruby
Kama mtu anataka ushauri juu ya kuimba aniitte#Imbatokamboyoni#
Nyimbo kali🔥🔥
Ruby for life, ruby for +254💯🇰🇪😍
Ruby is underrated sana.....yani sauti tamu mpaka nashindwa
Ur the best ruby, hujawahi kosea
Ruby ni kipaji halisi ndio maana wengi tunamkubali Mungu akuongoze vizuri ili uzidi kutukonga mashabiki wako tunakupenda sana.
Ruby ruby huu wimbo upo kwenye replay issa a turn up y’all 🙌🏽🙌🏽🙌🏽 kusah sauti yako hitting those vocals like nothing
Wanakuja wakienda ila ww Rubby,Mungu tu ndo ajuwa siri ya sauti yako nzuri mashaallah...big love from 001 kenya
Ruby let me start by saying first so amazing on this video your clothes style was so perfect.you husband also he looks nice i love the song and am very sure yeye ndie alie andika that song too.good job love GOD bless you and him na mtoto wako😘😘😘😘😘😘😘🔥🔥🔥🔥🔥👌
oooh ruby my kenyan epic love will never stop..the way you tone those love songs...❤🔊🎧we need more...please make a kenyan tour....please ruby do so....
Ruby ukiimba bila beat sisikilizi tu bali nitacheza pia....#the undisputed Ruby
Mmmmm mumeuwa yan kit🔥🔥🔥💡
Daaah huu mzik me nkiuskizagaa napata feeling za Jamaica
Walio sema ruby hatokuja kunenepa weka ublue kwenye ishara ya mkono wa poa hapo💪😂
Yaani ruby kelele kila ninapojaribu kusikiriza najionaa nimeludia tana na tena sichoki sante
Ruby yo sure our reigning Queen
We Ruby weweeee let's go kelelelele
Beat qali... kifunyoksiiiiiii, Melody qali,video qali...never disappoint ... ruby we ni konyoooo💥💥
Nyimbo nzuri sana rub kazi nzuri dada yng
I love her voice.
Its One in a million.
Mmeuaaa saaaan 💥💥💥💥💥❣️💥💥💥
kaka mzuri huyu jamani sauti yake sasa Aaa ruby umepata bwana mtamu Sana huyu anaonekana tu
Hakuna kitu ninachokipenda kama video ya music yenye story nzuri na wahusika wanaojua, huyo father aliigiza poa sana kwenye wimbo wa Ruby Ntade na kwenye wimbo huu pia ametisha sana, kuhusu Ruby sina la kusema zaidi ya kushangaa kwanini anakwama na kipaji kikubwa hivyo alichonacho👑👑
Tulorudisha zaidi ya mara mbili tujuwane apa kupitia like#kelele....... love much my rubby from Burundi 🇧🇮
Super Talented, Jay_z and Beyonce🔥🔥🔥🎧🎧Mungua awaajalie
OfficialSwankyOTr yaass jay-z n’a beyonce wa ki tanzania i love from France
aisee wete mmebarikiwa vipaji mungu azidi kuwabaliki
Kaz nzuri dogo bumbuli oyeeee
Tunaopenda mziki mzuri alafu ni team bin raden simbaaaa pita hapa
Nisawa
TEAM MFALME #SIMBAAA HATUPITWI
Safi na jyimbo kelele mambo ni fire hawamu tano sio mchezo mchezo live Ruby gold schatz
BongeLaNgoma. ....💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥...Kusah Naye Anakwiva
Ruby and kusah ur ma favorite human bein kwa kweli😋😋😋😋
Good
Good work Ruby👌👍👊💥🔥🔥💯✔😚😚😚😚
Haukoseag wallah nawapend sanaaaaa na Mungu awabarki na awatangulie kwa kila jambo adi pale kifo kitakapowatenganisha 🙏💞💞💞
Huyoooo kwa aunt now... Daaah shikamooh muda...🙌
kusah ni handsome..... jomon
Unajuwa sana bby Ruby kama kuna wa Congo wanao mukubali Ruby nipeni like apa
Aseee ruby hii song mlipiga,,umeiachia sauti yako halisi,nataman sana kusikia huu wimbo umeimba wwe mwanzo hadi mwisho ingenoga Sana.lkn pia mmeutendea hak wimbo.napenda sana saut yako.
Amaizing song! Amaizing lyrics .... great talent, ningekua nagawa tuzo ningekupa sasa hv ... tatzo bongo hawajui mziki ... CONGLATES 👏🏽👏🏽👏🏽
hakuna wa kufanana na Ruby nakupendraaaa😘😘😘
Hatujamaliza kukanyagan imekuja kelele 😂😂😂😂😂aiseee 😍😍😍
Yaani tunapiga kelele huku tunakanyagana
🤣🤣🤣 kwakwel yaaan full kelele na kukanyagana
My favorite song ever
I thinks sijui nmesikiliA mara ngapii
You guys i nees to see this couples forever
Kusa mdogo wangu kaza buti tupo nyuma yako
kama unamkubali Ruby kila biti anapaanalo weka like
Hii nyimbo unaeza kuombea mkopo kabisaa na ukapewa
Best couple in town... Kazi nzur
Mtoto wetu cjui atakuwa whitney huston ama nene mana wazazi MashAllah masauti kama yote big up ruby
Ruby unajua hadi basi❤❤❤
waooooo mr and mrs napenda sna kazi zenu love u ruby
Nawapenda nyie watu Mungu awainue zaid kipaji chenu watu wakielewe zaidi
Huyu Kusah anamtumia Ruby, Akiwa star tu ruby hana chake.. na alivyo mzuri wadada wa wzuri watamkoma
Kama uko hai maneno yako yameyimia kitambo
Kusah Ana talanta kubwa sana love from kenya
Lov song nizuri baraa wenechuki wakajambane mbeleeeee
Kusah🥵🥰....sioni dalili ya kukuumiza ukalia 🤗
Sheeeesh 🔥 🔥 that lady's voice 😍😍😍😍💋💋
Ruby always bring the house down am your biggest fan darling
Wakenya one love🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
nyimbo tamu hii.....thumb up for kussah n ruby
Beat, vocals, lyrics on replay. Sentimental to the bone
Ruby ungekuwa wcb kwa sasa ungelifanikiwa sana ila sijui kwann unachelewa kuwa pale.
Wangeza kuvumiliana wangefika mbal sna wote 2 pil waliendana sana
Jamani kwanini kuna kuachana pole Sana DA ruby
Walai Rudy,she’s such a beautiful soul,Kusah you lost diamond while correcting………let me keep quite🤣🤣🤣🤣🤣
Niliwapenda sn ruby na kusa mlikuwa mnaenda kabisa yani mgevumiliana tu umeniumiza kweli mlivo achana jama nawapenda sana mimi