MITIMINGI # 493 TENDO LA NDOA LEO HALIFANYWI KWA UFANISI NA WANANDOA KWA SABABU YA WANANDUGU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 08. 2024
  • Wanandugu wamesababisha ndoa changa kubomoka kutokana na kuwaelemea na kuwabania nafasi wanandoa hao na kuwaacha kupata nafasi ya kuboresha ndoa zao. Wengine wamechangia kubomoa na kuaribu huduma za Tendo la ndoa kwa sababu ya kutopewa nafasi katika ndoa zao. Je' Ni kwa kiasi gani wanandugu huchangia kunomoa ndoa izo leo hii?
    SOMO: NAFASI YA WANANDUGU KUJENGA AU KUBOMOA NDOA
    Mch na Mwl. Dr. MITIMINGI p. Senior Pastor #WCC & Counseling Psychologist +255 713 18 39 39

Komentáře • 76