WIMBO HUU WAWALIZA ZABRON SINGERS MBELE ya JENEZA LA MWENZAO WAKIMUIMBIA WIMBO MAALUM WALIOMTUNGIA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • WIMBO HUU WAWALIZA ZABRON SINGERS MBELE ya JENEZA LA MWENZAO WAKIMUIMBIA WIMBO MAALUM WALIOMTUNGIA
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 506

  • @everlynewanyama3804
    @everlynewanyama3804 Před 18 dny +40

    If tears could bring this guy back 😢we've really cried..tis well .till the resurrection morning.hugs from kenya 🫂🫂🫂

  • @EltonKivuyo-cv2gq
    @EltonKivuyo-cv2gq Před 18 dny +57

    Ndivyo Imani yetu inavyo jaribiwa ,ninacho waombea sana .Msije mkamkatia Mungu tamaa kwaajili ya hili,tazameni kusudi la Msalaba

    • @user-cp8nz7jn8m
      @user-cp8nz7jn8m Před 17 dny

      Poleni sana nimejikuta nimelia

    • @maryannBoke
      @maryannBoke Před 14 dny

      Poleni sana Kwa family yao Marco zabron singers 😭💔💔😭😭 inauma sana

  • @ruthgeorges1001
    @ruthgeorges1001 Před 18 dny +20

    Not only Zabron singers are mourning in Kenya we knew him through your touching songs 😢we are mourning too may God comfort you guys

  • @lucymwai7645
    @lucymwai7645 Před 18 dny +23

    Mungu aiweke roho yake pahali pema peponi. 😢😢from Kenya

  • @esthermagova6673
    @esthermagova6673 Před 18 dny +17

    Japo ni uchungu farijikeni katika yesu mungu awatie nguvu wakati huu mgumu 😢😢😢

  • @dianaimali-kt4cj
    @dianaimali-kt4cj Před 18 dny +8

    Kama machozi yangeweza kuamusha mtu aleye kufa basi Marco angeamka leo maana nimelia sana😭😭😭😭😭😭 ila hatuna hiyo uwezo rip shujaa,,,pole zangu from Kenya mungu hawatie nguvu😭💔

  • @modestamarakammbishi1127
    @modestamarakammbishi1127 Před 18 dny +11

    Poleni sana,kwa familia na wana zablon,,mungu amechukuwa kilicho cheke,,mungu wa mbinguni awafariji na kuwa tia nguvu

  • @user-zt3eq4ku5m
    @user-zt3eq4ku5m Před 18 dny +13

    Polen sana mungu awatie nguvu familia, ndgu marafiki, na kanisa kwa ujumla mbele Yake nyuma yetu mungu pekee aijua sababu.

  • @jamesmakau9476
    @jamesmakau9476 Před 18 dny +7

    I am in U S A. 19000 miles away from Tanzania but I love the songs of this team. I am writing this with a lot of tears. I wish I can be next to this brothers and sisters and sing this with combo with them. Someone needs to talk to be please.

  • @user-yk3cb3gd1g
    @user-yk3cb3gd1g Před 18 dny +9

    Mungu tujalie mwisho mwema, tutaonana tena Marco
    Mungu awe mfariji wenu familia na zabron singers kwa ujumla.. ! Pumzika kwa amani bwana alitwaa na bwana ametoa jina lake lihimidiwe!😢

  • @AminaBlessed
    @AminaBlessed Před 18 dny +5

    mungu asie waacha wana wake ,,
    -kwa hiki kipindi kingumu sana mungu awe upande wenu kuwafariji . hapa kenya twaomboleza na nyinyi na tunawaombea neema ya bwana iwe juu wenu ndungu na dada zetu❤❤❤❤ tunawapendaz. neema itoshe😢

  • @emilysang2759
    @emilysang2759 Před 18 dny +3

    I used to play their,mkono wa Bwana daily in my work place computer daily from 9 am to 8pm Monday to Saturday,but from Friday nimeshindwa am in deep pain,imeniumiza Sana.Pole Sana our neighbors Tanzania.

  • @petronilaEmanuely-fv1rg
    @petronilaEmanuely-fv1rg Před 18 dny +14

    Mungu awatie nguvu poleni sana na ni msiba mzito san

  • @EmmanuelMatela-kt7lh
    @EmmanuelMatela-kt7lh Před 18 dny +10

    Polen sana watumishi wa Mungu mwenyez Mungu awatie nguvu sana

  • @ElishaIsaka
    @ElishaIsaka Před 18 dny +7

    Poleni sana ndugu zangu chakufanya tumuombe dua ndugu yetu aliye tangulia mbele za haki mung ailaze mahali pema peponi roho ya marehemu

  • @IsakaPaul
    @IsakaPaul Před 15 dny +1

    Pole sana mungu azidi kuwaongoza

  • @helladeogratias7630
    @helladeogratias7630 Před 18 dny +30

    Ni msiba wa Taifa huu

    • @MashakaMagesa
      @MashakaMagesa Před 18 dny

      Msiba wa Taifa ni ule akifa kiongozi wa Kitaifa ndiyo maana hata bendera waga zinapepea nusu mlingoti.

    • @imranbasy4022
      @imranbasy4022 Před 18 dny +5

      ​@@MashakaMagesafikiria kwa upana alichomaanisha kwa kusema msiba wa taifa.

  • @KasanaKikuli
    @KasanaKikuli Před 6 dny

    Hakika maisha yetu Mungu ndiye anayajua, wimbo huu umeniliza na kunikumbusha mbali sana 😭😭😭😭😭 Mwenyezi Mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu

  • @EsterMsafiri-t8u
    @EsterMsafiri-t8u Před 18 dny +2

    Mungu awatie nguvu poleni sana Zabron singers tunaumia pamoja na nyinyi

  • @Bee-iq2wm
    @Bee-iq2wm Před 18 dny +1

    From Kenya, So painful. May God give fortitude to Zabron Singers and the entire family. @ Japheth and Victoria na wengine, mungu awafariji wakati huu mgumu. Mjane wa Marco pole sana. Siku moja tutakutana nae na tujumuike pamoja kwenye kiti cha enzi. Poleni

  • @puritymuiruri3353
    @puritymuiruri3353 Před 18 dny +3

    Pokeeni pole zetu kutoka kenya ,maumivu makali kweli mungu awape nguvu zabron singers na familia ya Marco

  • @derickmedson540
    @derickmedson540 Před 17 dny +1

    Poleni sana alafu pia mnajua sanaaa❤❤❤❤❤ mungu awaweke Kwa huduma yake

  • @GloriaVaati-ls9ql
    @GloriaVaati-ls9ql Před 18 dny +3

    😢😭😭😭angekuwa hapa tungeskia sauti yake tamu aki mbona kaenda jamani Mungu mbona

  • @eunicemutiso5788
    @eunicemutiso5788 Před 11 dny

    av watched this hundred times in disbelief! poleni Wana zablon tumo safarini sisi wote

  • @bethmainagakunga4017
    @bethmainagakunga4017 Před 13 dny

    Mungu awafariji mioyo yenu Marco ameiaga dunia sissi tumebaki tusonge mbele na kutumainia MUNGU asubuhi njrma inakuja wafu wafufuke waliolala ndani ya YESU..poleni sana

  • @CarolineAuma-o9x
    @CarolineAuma-o9x Před 18 dny +1

    Poleni Sana. Mungu awatie nguvu. Wakati Huu wa. Uchungu,Caroline from kenya

    • @Sheba22468
      @Sheba22468 Před 18 dny

      Subscribe for me too dearest 🥰

  • @Hellenah_Sufii
    @Hellenah_Sufii Před 18 dny +2

    Hili linaumiza sana😭😭. Enda salama Michael ❤❤❤.

  • @fridaymganga4327
    @fridaymganga4327 Před 18 dny

    Nimejikuta nalia sana! Huu wimbo unaumiza sana! Kuliko unavyodhan. Nimemkumbuka kaka simon! Kwann Mungu alituhudu aondoke

  • @HephzibahEsther-m1f
    @HephzibahEsther-m1f Před 18 dny +2

    May God heal us in Kenya and our family in Tanzania.We love so much.May God Comfort you

  • @WairimuJane-p2t
    @WairimuJane-p2t Před 18 dny +1

    Have cried so much,may God comfort you zabron singers

  • @GraceMangerere
    @GraceMangerere Před 18 dny +1

    It's painful surely.mayGod take care of his family.From kenya

  • @ombendaud5938
    @ombendaud5938 Před 18 dny +8

    Inauma sana Mungu tusaidie sana

  • @WashingtonWanjala
    @WashingtonWanjala Před 18 dny +5

    Kenya tuko pamoja nanyi pole sana

  • @EvaYohana-f8o
    @EvaYohana-f8o Před 16 dny

    Mungu awatie nguvu family ya zbron kazi yake mungu haina makosa tumuombee ndugu yetu marco apumzike kwa aman tutaonana mbinguni kwa baba marco amna

  • @wanjirukimani7014
    @wanjirukimani7014 Před 18 dny

    Our condolences to the Zabron singers , family of Marco and the entire Tanzania country and citizens. We love you here in Kenya and pray for you.

  • @edinanyaonge
    @edinanyaonge Před 15 dny

    Mungu awatie nguvu.
    Japo yanazushwa mengi ila daima Mungu ni mwema

  • @SuzanLyatuu
    @SuzanLyatuu Před 18 dny +1

    Mungu hufanya njia pasipo na njia hata hili mtalishinda poleni sanaa

  • @magangasau9060
    @magangasau9060 Před 18 dny

    Poleni zabron. Singers kwa msiba uliowakumba. Ni huzuni sana kumpoteza.marco kwa huo umri mdogo. Mungu awafute machozi nyote. RIP Marco

  • @Tamarrind97
    @Tamarrind97 Před 18 dny

    😢😢😢😢😢 poleni poleni sana. Mungu Mwenyewe awafariji na kuwapanguza machozi. Lala salama kaka Marco 🙏🏽

  • @FaithJoel-yz7ho
    @FaithJoel-yz7ho Před 17 dny

    Poleni sana watumishi wa mungu.acha Mungu hamlaze mahali alipojichangulia Marco na Mungu hawafariji na hawatie nguvu

  • @gamgangweesechota3589
    @gamgangweesechota3589 Před 18 dny

    Poleni sana sana wapendwa, Mwenyezi Mungu ameona mnaliweza hili jaribu atawafunga moyo mkuu litapita,pumzika kwa amani Marco

  • @OmbenKilesi-np1ro
    @OmbenKilesi-np1ro Před 18 dny

    Daaaah,,, ee Mungu nakuomba huyu ndugu yetu umlaze mahala pema peponi 😭😭😭😭🤲🤲🤲💔

  • @nyaswieelias183
    @nyaswieelias183 Před 18 dny

    Poleni sana Zabron Singers. Mungu awafariji nyote pamoja na familia ya Marco

  • @Magdalene-er2ur
    @Magdalene-er2ur Před 18 dny

    Kweli ni huzuni sanaa na upweke ndani ya mioyo,kijana mdogo kuacha family ikiwa bado wanamhitaji.mungu ingilia Kati hili

  • @FabianJeremiah-p3t
    @FabianJeremiah-p3t Před 18 dny +5

    Poleni sana mungu awatie nguvu

  • @jacklineemanuel4755
    @jacklineemanuel4755 Před 18 dny +1

    Ikiwa machozi yanaweza kumuamsha kaka Marko hakika angeamka ni wapi pumzi ya uhai inauzwa niwapi pumzi ya uhai inauzwa hakika wangenunua kaka aamke ....ASANTE MUNGU TUFUNDISHE KUHESABU SIKU ZETU😢😢😢

  • @ConfusedDahliaFlower-gz9fk

    It's such a loss watching from US in tears

  • @elickbahingaye-fp1re
    @elickbahingaye-fp1re Před 18 dny +1

    Nimelia sana Yan nmeliaaa Mungu nitie nguvu maana huyu kijan kaniumiza Sana kwanini majambazi na wahalifu wengine wanaishi Ila huyu kaondoka mapema sana😢😢😢😢😢 daaaahh

  • @juliuswerema3655
    @juliuswerema3655 Před 18 dny

    Poleni sana kwa kipindi hichi kingumu mungu awatieh nguvu

  • @TimothyMsuko
    @TimothyMsuko Před 18 dny

    Mungu ndiye anajua ,Naomba awafariji poleni Mungu amlaze mahali pema

  • @simionmomposhi1728
    @simionmomposhi1728 Před 18 dny

    haki inauma sana pole sana japhet na victoria machozi yenu imenikuza rip marco na nyinyi wote wa zabron singers

  • @lydiamichael5509
    @lydiamichael5509 Před 18 dny +10

    Poleni sana hakika niuchungu ila yote tumuachie Mola

  • @irenemuriithi2943
    @irenemuriithi2943 Před 18 dny +1

    Mungu mwenyezi awafariji 🇰🇪.

  • @HappyMsofe-i6w
    @HappyMsofe-i6w Před 18 dny

    Mungu afanyike faraja kubwa kwenu🙏🏾,poleni sn ndugu

  • @user-cp1gu8xw6m
    @user-cp1gu8xw6m Před 17 dny

    Poleni sana😢 Hakika wote tutarudi mavumbini. Mungu awatie nguvu hakika inaumiza sana

  • @ibrahimrasimi256
    @ibrahimrasimi256 Před 18 dny

    Daaah 😭😭 it pain lakin wacha mungu Aitwe mungu kazi yake haina makosa ndugu jamaaa na marafiki wa zabron singers Mungu awatie nguvu katika kipindi hichii kigumu😢

  • @ImmaniLazal
    @ImmaniLazal Před 18 dny +2

    Pole sana jaman mim nimeumia mungu ampokee mbingini

  • @greenspan2011
    @greenspan2011 Před 18 dny

    Poleni wan Zabloni singers familia jamaa na marafiki, sisi kama your fans twaendelea kuwashikilia na maombi. Amani ya bwana na iwe nanyi mkimpumzisha. Mpendwa Marco

  • @LouiseLove-up8fg
    @LouiseLove-up8fg Před 17 dny

    Ties has fallen after listening to this song,rest in peace my dear brother...at first i thought that it was a joke 😢😢now I can see that it's true you have left us by b

  • @irenejepkemboi2806
    @irenejepkemboi2806 Před 15 dny

    Poleni sana majirani and God comfort you all.

  • @MerlinaKubadesha
    @MerlinaKubadesha Před 16 dny

    Polen zabeon family and marco familiy god blessed maeco family from tz mwanza🇧🇼

  • @user-yk2nl1po6g
    @user-yk2nl1po6g Před 18 dny

    So heartbreaking take heart wsnazabron singers na familia ya marco kwa jumla😢😢😢

  • @THEANGLEGABRIELSFAMILY

    Poleni tuko pamoja katika hili kutoka mombsa Kenya 😢

  • @user-bo6pm8ld3u
    @user-bo6pm8ld3u Před 18 dny

    Mungu wafariji na ailaze roho yake mahali peponi pole zangu kwa familia

  • @DaizyJeptoo-y2g
    @DaizyJeptoo-y2g Před 18 dny

    I have mourned sana mungu mbona haki😢😢😢😢😢
    Ila hatuna sababu yoyote ya kuuliza kazi ya mungu

  • @VedianaNyamka
    @VedianaNyamka Před 18 dny

    Poleni Sana MUNGU MWENYEZI awatie nguvu inauma Sana

  • @user-jo3qb6lq2k
    @user-jo3qb6lq2k Před 18 dny

    Msiba kwetu sote yesu tunakuitaji sana mungu tusaidie tunahisi kuchoka tupe nguvu mungu mungu akulaze mahali pema Kaka Marco😢😢😢

  • @moureenKhaoya-k3e
    @moureenKhaoya-k3e Před 18 dny

    😢😢😢😢 I'm crying 😭😭 too sad may God give these team strength and his family

  • @rebeccawangare3141
    @rebeccawangare3141 Před 17 dny

    Poleni sana , may the LORD JESUS comfort you..R. I. P brother.

  • @GodfreyJohn-kf8qn
    @GodfreyJohn-kf8qn Před 16 dny

    Mungu awatie nguvu watumishi wa Mungu katika kipindi hiki kigumu

  • @kissamahiki7895
    @kissamahiki7895 Před 15 dny

    Hawa ndugu wanamaumivu makali sani mwenyewe Kila nikiona crip zao naishia ku😭😭😭😭😭Eee Mungu wakumbatie uwemfariji wao🙏

  • @user-kd1uw8rt4f
    @user-kd1uw8rt4f Před 17 dny

    Inauma sana,lakini si wote tuko safarini.mungu angekuwa anaulizwa swali,angeulizwa sana kwanza na watoto wangu wanapenda zabron singers

  • @daisyo.m3981
    @daisyo.m3981 Před 16 dny

    Poleni sana wanzetu Watanzania...Toka hapa Kenya tumeguzika poleni poleni poleni

  • @nurukiwia93
    @nurukiwia93 Před 18 dny

    Poleni sana. Inauma sana. Ila mungu akawe faraja kwenye huu wakati mgumu.

  • @babawaimanitv7284
    @babawaimanitv7284 Před 18 dny +2

    Prt isaack from Kenya poleni wapendwa

  • @FelistarMagige
    @FelistarMagige Před 18 dny

    Poleni sana ndugu jamaa namarafiki pumzika kwa amani ndugu yetu

  • @user-ix7fq7jh1i
    @user-ix7fq7jh1i Před 18 dny

    Hakika kizuri hakidumu kama ambavyo wasemavyo wahenga wetu, hatuna namna ya kusema au kufanya ,zaidi ya kumrudishia utukufu wake Mungu,pumzika Kwa Amani kipenzi Cha wengi,aAmina

  • @ThomasMagoti-it4ty
    @ThomasMagoti-it4ty Před 18 dny

    Poleni Ndg Zetu Mungu Atusaidie Tumeumia Sana 😭

  • @positivitymotivationalCH9

    Oh my goodness this so 😭 😭Dear Lord strengthen your hearts and especially Marco’s family at this difficult time

  • @owenbilly1687
    @owenbilly1687 Před 18 dny

    Poleni sana tuko na nyinyi zablone sigers pole sana kutoja kenya

  • @elizabethmasalu9444
    @elizabethmasalu9444 Před 18 dny

    Pole sana Oberd Kazimilia kaka yangu na familia nzima tunawaombea uvumilivu

  • @LeahCosmasNzoka-po3dr
    @LeahCosmasNzoka-po3dr Před 17 dny

    Mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu 🙏

  • @rehemamasanja8875
    @rehemamasanja8875 Před 17 dny

    Mungu awatie nguvu wapendwa, nakosa sentensi, inauma sana

  • @user-yb2ls3bp6r
    @user-yb2ls3bp6r Před 18 dny

    God give them all the strength in Jesus name 🙏 love from Kenya

  • @user-ix1pi3xe5q
    @user-ix1pi3xe5q Před 18 dny +1

    Poleni sana sana jmn daah ni rahisi kusikia lakn ni ngumu kumeza mweee 😭😭

  • @constanceade5094
    @constanceade5094 Před 17 dny

    lnaumaaa 😭😭😭😭sitaki kufikiria familia na jamaa mnavyoumia...poleni Mungu wape nguvu wakati huu mgumu

  • @mugesiabrigitte8843
    @mugesiabrigitte8843 Před 18 dny

    Poleni Sanaa wapendwa wa Zablon singers… kweli hili limeumiza moyo Sanaa😭😭😭😭😭😭😭. RIP Mike

  • @naomkemuma2259
    @naomkemuma2259 Před 18 dny

    Mungu awatie nguvu .kaa na imani kuwa there is a bright morning

  • @PetroChibago
    @PetroChibago Před 15 dny

    Poleni sana najua mpo kwenye kipindi kigumu sana ila mungu yupamoja nanyi

  • @MatayoMoleli
    @MatayoMoleli Před 17 dny

    Mungu akupe pumziko lamilele mteule wa bwana

  • @shamsidaniel5582
    @shamsidaniel5582 Před 17 dny

    Pole kwa Familia Ndugu na Jamaa Mungu akawe Faraja

  • @QueenRachel-l1g
    @QueenRachel-l1g Před 15 dny

    Mungu awe faraja sana kwetu,ata sisi roho zetu zinauma saaana

  • @RahatLeonard
    @RahatLeonard Před dnem

    Jamani waonee uruma Watoto jamani uyatima wa wote siyo pouwaa jamani ebu mwambie bwana ateende kama mumbo alivyo sema katika nyimbo yake ya mwisho jamani usikate tamaa ivyooo mungu yupo

  • @alicemuiruri-qn1kl
    @alicemuiruri-qn1kl Před 18 dny +2

    Yauma kweli🇰🇪

  • @bwaribeatrice285
    @bwaribeatrice285 Před 18 dny

    Av shade tears. Death is really cruel😢 my God comfort everyone. Dunia twapita eeh mungu tufunze kuhesabu siku zetu..so painful 😢😢

  • @abinelysemundi2073
    @abinelysemundi2073 Před 17 dny

    Pole sana kwa ndugu jamaa na marafiki wote.

  • @lydiahkadenyi2115
    @lydiahkadenyi2115 Před 15 dny

    Poleni Sana team zabron and the entire family

  • @JosphatKairu
    @JosphatKairu Před 12 dny

    Poleni sana aki mungu amueke pahari pema

  • @AnacletEdward
    @AnacletEdward Před 18 dny

    Mungu awatie nguvu ktk kipindi hiki kigumu Wana wa Mungu, amen

  • @monicaken
    @monicaken Před 18 dny

    I cant stop asking Lord kwa nini Uliruhusu?? 😢😢😢it's not easy