MBARIKIWA AIBUKA na KIFO CHA MARCO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024

Komentáře • 252

  • @ImaniTinda-h6x
    @ImaniTinda-h6x Před 16 dny +9

    Mmbalikiwa Asante sana Kwa somo. Fundisha watu tuelewe vifo vingi ni uzembe , na madkt weng TZ hawana mafunzo yakutosha

    • @mchungajiZachariatv
      @mchungajiZachariatv Před 11 dny

      czcams.com/video/4QZ1UuNkcQI/video.htmlsi=EdQkPnn7TI_GEKzA
      Roho ya mauti imeteketea
      Fuatilia video hii uone maajabu
      Haya

  • @EdwardMwasyamula
    @EdwardMwasyamula Před 15 dny +6

    Elimu ya Tanzania ni KUFANYA kazi kwa halaka nikuesabu sana ya mshahala tu bila kufikili chochote Asante mungu kwa lbada hizo zinazo ENDELEA

    • @mchungajiZachariatv
      @mchungajiZachariatv Před 11 dny

      czcams.com/video/4QZ1UuNkcQI/video.htmlsi=EdQkPnn7TI_GEKzA
      Roho ya mauti imeteketea
      Fuatilia video hii uone maajabu
      Haya

  • @beatricechepkorir9138
    @beatricechepkorir9138 Před 12 dny +2

    Very true man of God very very true mimi nakupenda kwa sababu wewe husema ukweli mungu Akupe hekima zaidi

  • @donathajasson6401
    @donathajasson6401 Před 17 dny +8

    Dah wewe jamani Mimi naamini kama Mungu hajaamua ufe haufi Mungu ndivo alivopanga Baba yangu waache Madaktari

    • @constancewakio604
      @constancewakio604 Před 13 dny +1

      Kabisa Mungu hashindwi angetaka Marco aishi wala asingekufa

    • @aaaaaah290
      @aaaaaah290 Před 12 dny

      🤣🤣🤣
      NDO MAANA NAWACHUKIA SN VIONGOZI WA DINI..😡😡 wameua uwezo wa watu KUFIKIRI NA KUGEUZA MUNGU NDO MUAJI,, Yaan me nikose MAARIFA, niangalie mimi afu MUUAJI awe MUNGU 🤔🤔🤔 Hii ni Sawa na MZINZI kusema Aah. Alikuwa SHETANI TUU

  • @Leokadiangailo
    @Leokadiangailo Před 18 dny +15

    Mbarikiwa mungu akupe cku za kuishi

  • @user-sf4hf1my3m
    @user-sf4hf1my3m Před 18 dny +13

    Mtoto wangu aliwahi kuvunjika mkono akiwa anacheza na watoto wengine nyumbani............ tukampele hospital yawanajeshi HOSPITAL MILITARY nilikua naishi nchini BURUNDI kipindi hicho Tukaonana na dactari mbingwa wahiyo hospital anayeamika kuwa anahusika na watu waliyovunjika mifupa..... akatwambia kuwa tunatakiwa tutafute kiasi fulani cha fedha ili apasuliwe maana mkono ulikuwa umepinda kidogo akasema pia itabidi awekewe chuma... mimi nilipo sikia habari za kupasuriwa mkono wa mtoto wangu nakuwekwa chuma niliogopa..... Sikuamini tatizo nikubwa kiasi hiko...... nikamwambia sawa acha twende leo nyumbani tutafuta hizo pesa kwanza tutamurudisha kesho kiukweli sio kwamba nilikua sina pesa mdahuo nilikua nazo......... ila nilisita kubaki kwahiyo Hospital kesho ilipofika asubihi nikahamia hospital nyingine iko BUYENZI wanaita kwa SIMBA..... tulipofika tukaingia kuonana na dactari akahangali mkono wa mtoto ulivo akatuandikia BILL ya elfu albaini 40mill tu Wakachukua mtoto wakamunyosha ule mkono ili mfupa ukae sawa sawa wakamwekea vile vitu wanavyo weka kwa mtu aliyevunjika kawaida wakamuandikia na dawa za kumeza za maumivu tukazinunua siku hiyo tukarudi Nyumbani .... bila kupasuliwa, Mtoto wangu amepona Vizri huwezijua kama alishawahi kuvunjika mkono bila kuambiwa na mtu... .. Mkono wake uko sawa sawa kabisa ...... kwahiyo Mchungaji uko sahihi unachokiongeea ni kweli kabisa..... Jamani ndugu zangu elewa Vingine madagitari wanafanya ili waendeleze ujuzi wao kwenye mili yetu....... hivi TANZANIA kunawatu wangapi walishawahi kupasuliwa upasuwaji mkubwa kama huo wa ndugu yetu Marehemu MARCO ambao wapo wamepona? ili tuamini kwamba Marco yeye ilikuwa ni mapenzi ya Mungu alitowa na akatwa jina lake lihimidiwe........... inauma sana😭😭😭😭😭 Sitaki kuongea mengi ila Mungu awahurumie madagitari wetu. Maana kwa kweli niwatu wazuri na wabaya pia.

    • @gracemarcus1146
      @gracemarcus1146 Před 18 dny +1

      Nimejifunza kitu kupitia wewe Na Mungu aturehemu

    • @AliceAlistidia
      @AliceAlistidia Před 14 dny

      Ndo hivo madactali wote wanajifunza upasuaji kwenye miwili yetu na wengi wao ni kubebwa tu Awana uwezo wowote mi mama angu nilikataa akikatwe miguu mpk saiv yupo tz akuna madactali bingwa ni move tu pole sana kwa wafiwa wote kijana kaondoka Bado mapema😭😭😭😭😭

  • @elizabethchiwamba8372
    @elizabethchiwamba8372 Před 3 dny +2

    Mimi ni Muuguzi Mkunga, ni kweli kazi yetu ina lawama sana, sana, na siyo kweli mnavyosema ,laiti na ninyi mngewashauri ndugu zenu wa karibu wasomee hii tasnia ili waone ugumu wa kazi tuliyonayo, msingetukashfu namna hiyo! Ila kwa vile mhukumu wa haki na kweli yupo, ameketi mkono wa kuume wa MUNGU BABA AMBAYE NI YESU KRISTO! NDIYE ATAKAYETUHUKUMU KATIKA HAKI NA KWELI.

    • @evflorasoledad1437
      @evflorasoledad1437 Před 2 dny

      Ameen

    • @doricebilauri5081
      @doricebilauri5081 Před 23 hodinami

      Elizabeth endeleeni kufanya kazi njema...lawama hazikwepeki..ukifanya utalaumiwa hata usipofanya pia utalaumiwa..

  • @righitkileo
    @righitkileo Před 17 dny +7

    ❤❤paulo anasema Kufa ni Faida na kuishi ni Kristo.Kama Yesu Kristo alikufa sisi ni Nani???? Nyie mnaojiita Watumishi mnafundisha nn??Acheni kuumiza wafiwa.kama huna cha kusema kaa kimya .Shinwa kabisa ktkt Jina la Yesu,

    • @nembibenard8440
      @nembibenard8440 Před 15 dny +1

      Kwa sababu aliekufa sio ndugu yako ndio mana unaongea ujinga Tanzania hatuna ma doctor wakufanya operation kubwa kama hizi hatuna watu wengi sana wanakufa hatuwajui huyu maarufu ndio mana tumesikia lakini waliowengi wanakufa watu wanaenda kupimwa wanaambiwa wanamagonjwa yasiotibika wakienda nje wanapona alafu ww unaongea nn acha watu waseme kama ww unaogopa kaa kimiya wenye ujasiri wa kusema acha waseme

    • @chisugimunvanesa2352
      @chisugimunvanesa2352 Před 11 dny

      Marehemu alishaenda zake,musiongeye kuhusu marehemu!Heri muendeleye kuombea watoto wake na kuwasaidia pia,hizo ma dactari ndiyo walifanya afariki haraka,operation wa moyo siyo kila ma dactari!Mungu asamehe hizo ma dactari

    • @zebedayokatamaduni9676
      @zebedayokatamaduni9676 Před 6 dny

      ​@@nembibenard8440
      Wewe kuna vifo vingine ni makosa ya kibinadamu ndugu yangu, Mf ,ndiyo ukipewa dawa hospitalini unapewa utaratibu wa jinsi ya kuzitumia, Ukikosea matumizi ya dawa zinakudhuru na unaweza ukapoteza uhai

  • @isayamwashibanda5819
    @isayamwashibanda5819 Před 18 dny +3

    Mtumishi ukweli Mimi piaa nilienda hospital nilienda nikiwa na umwa mkono na mguuu chaajambu nika ambiwa Nina uvimbee kwenye ubongoo wakanambia ina takiwa wanani fanyiee upasuaji nikaenda kupima sehemu nyingine Hawa kuona kituu ukweli usipoo kuwa nawatu wenye kufikili kwakinaa una weza jikuta unakufaa kabla ya wakatii

  • @amoskizigha4781
    @amoskizigha4781 Před 12 dny +3

    Mwisho wa siku bongo kila mtu anajifanya daktari..

  • @jmihenga9079
    @jmihenga9079 Před 16 dny +5

    Watumishi acheni kuwa na mihemko,madaktari wetu wako vizuri tu na wanafanya kazi nzuri tu,mapenzi yetu kwa mpendwa wetu yasitufunge macho na kusahau maelfu wanaoponywa kila siku na madaktari wetu hawahawa tunaowabeza leo.

    • @nembibenard8440
      @nembibenard8440 Před 15 dny

      Acha ujuaji ww mtu afe kwa uzembe watu wasiongee?

    • @MiragorethLaswai
      @MiragorethLaswai Před 14 dny

      Samahan unajua Hy Hali iliyompata au unaongea tuu fungua you tube andika aortic aneurysm halafu uone huo mshipa uliopasuka halafu uniambie umeelewa Nini achen kupotosha​@@nembibenard8440

    • @MiragorethLaswai
      @MiragorethLaswai Před 14 dny

      Kabisa wanaingilia taaluma ambazo hawajazisomeaa acha mbarikiwa kupotosha

    • @MiragorethLaswai
      @MiragorethLaswai Před 14 dny

      ​@@nembibenard8440na wewe ulikuwa nenda india ukapate matibabu

    • @mchungajiZachariatv
      @mchungajiZachariatv Před 11 dny

      czcams.com/video/4QZ1UuNkcQI/video.htmlsi=EdQkPnn7TI_GEKzA
      Roho ya mauti imeteketea
      Fuatilia video hii uone maajabu
      Haya

  • @medardkalinjuma5503
    @medardkalinjuma5503 Před 18 dny +6

    Asee hii ni hatari, na kweli Munishi nmemsikia nawewe pia ,nikama kuna kitu napata had sielewi tutawezaje kupona ikiwa ndivyo ilivyo,lkn Bwana Yesu atatupigania hakika

    • @mchungajiZachariatv
      @mchungajiZachariatv Před 11 dny

      czcams.com/video/4QZ1UuNkcQI/video.htmlsi=EdQkPnn7TI_GEKzA
      Roho ya mauti imeteketea
      Fuatilia video hii uone maajabu
      Haya

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 Před 18 dny +8

    Mungu,tusaidie.na matokeo ya mtihani kutolewa na mwl wa chuo ni mbaya kuliko.Bora Necta itoe matokeo.Wanaostahili hawapati wanapata wasiostahili

  • @jonathankessy9615
    @jonathankessy9615 Před 18 dny +15

    Rafiki yangu na classmate wangu Emanuel Marishai alipasuliwa kichwa badala ya got
    Wanaomkumbuka ☝️

  • @CalistusTitus-s5o
    @CalistusTitus-s5o Před 18 dny +8

    Mbarikiwa amuwezi kuimba nyimbo zote zinafanana hapana kanisa aliimbi nyimbo za harakati. Kanisa litaimba nyimbo za kumtukuza Yesu tu! Lakini siyo wote madactari wabaya wengingine wako wacha Mungu. Na kama tutakataa madactari wetu swali je ni wangapi wanakipato cha kwenda nje? Muhubiri kristo tu ayo mengine achia wanaharakati. Paulo anasema kufa ni faida kwa anaye mwamini kristo. Iwe wamepanga ama Mungu kapanga. Cha msingi tutakufa, na kuishi ni kristo. Tukiacha kumuhubiri kristo tutaingia kwenye mtego wa wanaharakati. Kumbuka Mungu alitabiri kufa kwa Yesu. Swali je nani atatimiliza unabii uo? Lazima watu wapange mabaya juu ya BWANA Yesu

    • @bcozhenry2698
      @bcozhenry2698 Před 18 dny +1

      😂😂😂😂kwani Kristo tunayetakiwa kumhubiri anataka tuishije? Je, anataka tutangaze jina la Kristo au tutangaze mafundisho ya Kristo?

    • @UAMSHOTV
      @UAMSHOTV Před 18 dny +1

      Ni Kwa sababu hata Maana ya Kristo huijui, waefeso 2:12 inasema zamani tulipokuwa hatutendi mema ndio tulikuwa hatuna Kristo, Kristo hasa ni MATENDO MEMA YAKUZUNGUKE WEWE NA JAMII YAKO.. wewe unaabudu Mungu ASIEJULIKANA MATENDO 17:23

    • @sifawayesu7079
      @sifawayesu7079 Před 18 dny +2

      Rahisi kuwa na maelezo mengi kwa kuwa hayajakukuta

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 Před 18 dny

      Hivi akiimba nyimbo na ma Dr ikawaingia wakajitambua tuwaokoe vipi wanadamu huko sio ndio kumtukuza yesu au Mungu kifupi Mungu kwa vyovyote vile anahaja na sisi wanadamu sio wanyama sijui harakat nini unavyojua

    • @cylviapatric7343
      @cylviapatric7343 Před 18 dny

      Hata kwenda muhunbur tu syo kaz ndgo wapendwa kwa sa wa hal ya chin

  • @EsauKalanje
    @EsauKalanje Před 16 dny +7

    Mbona maneno ni mengi sanaaa, tumwachie Mungu, sasa mwisho mnakufuruu

    • @EdwardMwasyamula
      @EdwardMwasyamula Před 15 dny

      Mambo yote YANAYO kusumbua mwachie mungu ila sisi hii ni Elimu muhimu sana na anatuelimisha ambalo tunauwitaji WA kujua

    • @ASHOCKSEYAGARA
      @ASHOCKSEYAGARA Před 15 dny

      Jaman unachosema nikwer family 💞 hata ambao huwez Amin wanasema maneno mpaka jamaniiiii

  • @daliaangelo3242
    @daliaangelo3242 Před 13 dny +2

    Muachie Mungu kwa maana ukiongea hivyo maumivu yanaongezeka ,hacha Mungu hajawahi shindwa na ndo anayejua

  • @ShukranMustapha
    @ShukranMustapha Před 18 dny +11

    Endelea kuimba Tenzi Mtumishi haya mengine unatuchosha wakati wa harusi waimbe nyimbo za msiba?

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 Před 18 dny

      😂😂😂

    • @SeljusiMalambo
      @SeljusiMalambo Před 18 dny

      Kasema kweli watalamu hatuna niujinga mwingi wamakalatasi

    • @myself4128
      @myself4128 Před 18 dny +1

      Mawazo ya Vijana wa Tanzania ni kama Mawazo ya Misukule,yaani wewe Unatia huruma

    • @mchungajiZachariatv
      @mchungajiZachariatv Před 11 dny

      czcams.com/video/4QZ1UuNkcQI/video.htmlsi=EdQkPnn7TI_GEKzA
      Roho ya mauti imeteketea
      Fuatilia video hii uone maajabu
      Haya

  • @RobertEmmanuel-pl9jj
    @RobertEmmanuel-pl9jj Před 17 dny +1

    Ubarikiwe sana baba. Nilipomsikia munisi mimi nilimuelewa sana kumbe nawew umeona....Mungu akutunze sana mwe

  • @Asidonia
    @Asidonia Před 17 dny

    Tushkru mungu kwan marko amepigana vita ameumaliza mwendo mungu na atamvika taji ya uzima wa milele,kifo ni njia na kila mmoja atapita kwa namna yake.Tusikufuru ni safar yetu sote.Polen sana.

  • @ibrahimmasanja9097
    @ibrahimmasanja9097 Před 18 dny +12

    Ila huyu mchungaji Mungu amsaidie tu leo kwa mara ya kwanza naandika waziwazi

  • @alphabartazary9692
    @alphabartazary9692 Před 18 dny +3

    😭 Kasome na wewe wakupe huo udaktari Ili tuwe tunatibiwa kwako

  • @janewambui6608
    @janewambui6608 Před 18 dny +2

    I support Munishi. Marco did not have a heart attack but a blocked artery. Unlocking the artery was the solution. Mot slaughtering someone like a goat. 😮😮

    • @JacksonMutinda-jw5qw
      @JacksonMutinda-jw5qw Před 18 dny +1

      Munishi nmwibaji na cjasikia amewai kuwa doctor,uyu naye nmtumishi Wala sio doctor,,nkurobokwa kumewajaa tu

    • @doricebilauri5081
      @doricebilauri5081 Před 23 hodinami

      ​@@JacksonMutinda-jw5qw😢

  • @StelaEliabi
    @StelaEliabi Před 16 dny +1

    Mtashangaa sana pale mtakapo ona kindi la zabroni likiendelea kumtukuza mungu kwa uzuri kabisa shindwa kabisa

  • @janejoel2465
    @janejoel2465 Před 18 dny +4

    Yaan kweli kabisa madaktali wakati mwingine sijui wanakuwa napombe kidogo kichwan!! Mama yangu kidogo afanyiwe upasuaji wa macho tusinge tuma vipimo nje, bado kuna mtoto walisema ana saratan ya jicho anatakiwa afanyiwe upasuaji, bahat nzur kuna daktali alisema aone vipimo na kama vip apimwe tena mtoto , baada akagunfua kuwa jicho halina shida hiyo!!! jaman Kwakweli ni changa moto

    • @DivinePromise-sv3qq
      @DivinePromise-sv3qq Před 18 dny

      Madaktari wetu ni changamoto Mimi ni muhanga nimeshuhudia hayo makosa kwa macho yangu niliambiwa na uvimbe wa kufanya upasuaji lkn nilienda hospital nyingine nilipewa dawa na nikapona ilikua 2021 saa hizi ningeshazikwa muda mrefu sana

    • @thelivingwordchannel9027
      @thelivingwordchannel9027 Před 18 dny

      Madaktari hasa vijana siwaamini kabisa

  • @NyemoJairos
    @NyemoJairos Před 18 dny +3

    Mtu akisema ukweli mwamtukana,,,,akiwapanga mwashangilia mh 😢😢😢

  • @florahlaanyuni8553
    @florahlaanyuni8553 Před 16 dny +1

    Mimi pia ni muhanga, yaani nakumbuka kabisa kuna siku nilikuwa naumwa tu maumivu nikiwa mjamzito wa wiki 6 na kila ujauzito wangu uliopita mara kwa mara napata maumivu makali sana huwa napewa tu drip ya maji basi, sasa siku hiyo nikapelekwa hospitali fulani cha ajabu nilichomwa sindano mbili hata sijamaliza masaa mimba ikatoka. Sometimes uzembe ni mwingi sana kikubwa Tuombe sana tunapoumwa Mungu atupe madaktari sahihi

    • @modestapeter2997
      @modestapeter2997  Před 16 dny

      😢 duh!

    • @maryaugustor6983
      @maryaugustor6983 Před 14 dny

      Hao ndio walikosea kwa nn hawakumpeleka Nairobi hospital I mean KUNA doctor's hapa KENYA Kwanza professional sasa hivyo pesa ya ndege mpaka DAR SALAM huoni ingemtibu TU vizuri tena yy walimwimbia president wetu kama walikuwa hawana pesa wangemwita tu angewasaidia anyway ishafanyika SIKU nyingine ikifanyika kitu jua Kenya wamesoma na malengo na wanafanya kazi KWA roho Moja poleni wafiwa.

  • @sifahamuli6902
    @sifahamuli6902 Před 11 dny

    Kwa nini walimufanya operation ?
    Hafanani mwenye anaenda kufa😮😮

  • @RoseKinunda
    @RoseKinunda Před 18 dny +7

    Duu yaan ww mchungaji bakukubali sana❤❤❤❤❤

  • @GloryChristopher-mq4ci

    Ujuaji ukizidi unaleta hasara mchungaji leo kawa doctor dah. Kila kazi ina ugumu wake kama ulifungwa ni ugumu wa kazi yako. Yesu alifufua wafu kwanini ahukwenda kumuombea afufuke. Utasema sio gharama yako sawa.
    Na doctor nikutibu tu na sikurudisha uwai wa mtu
    Unajua kutengeneza hela hii sio injili tena
    Siasa , kiki, dah vimeamia kanisani

  • @saimongilala8938
    @saimongilala8938 Před 18 dny +5

    Kweri kabisa mm niliambiwa nikwanguliwe jicho bahaty nzuri nikakutana na dakitali tunae juana akanizuia na kunipa ushauri na kunituma kwenye huduma na mpaka reo sijaona shida chicho

    • @Frank255-e5g
      @Frank255-e5g Před 18 dny

      Habari boss

    • @saimongilala8938
      @saimongilala8938 Před 18 dny

      @@Frank255-e5g sarama sana

    • @Frank255-e5g
      @Frank255-e5g Před 18 dny

      @@saimongilala8938 Nina tatizo la macho kinyama kinaota kwenda kwenye kiini Cha jicho naomba namba yako ili unisaidie ndugu yangu

    • @Fx_expertmoneymaker001
      @Fx_expertmoneymaker001 Před 17 dny

      Ni wapi huko na mm nna shida ya macho.. 😢😢

  • @bahatinyandula6425
    @bahatinyandula6425 Před 18 dny +1

    Jitaidi nduguyangu mbarikiwa kuongea machache ,angalia usije ukaumwa na kupelekwa hospital, wakati madaktari unawasema hawana uwezo wakutosha na mambomengiiiiii

  • @catherinewanjiru1055
    @catherinewanjiru1055 Před 10 dny

    Lakini jamani ,tuwe na habari kamili ya the Diagnosis of the patient kabla ya kutamka lolote kwa wauguzi wetu.Hamna hata mmoja wetu ambae ameugua na kutibiwa akapona Nchini Tz?

  • @officialgiventz5829
    @officialgiventz5829 Před 18 dny +2

    Figo inaangaliwa kwenye ultrasound scan sio x ray, usiwe mjuaji too much vitu vingine ni vya kitaalamu

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard4031 Před 18 dny +6

    Jaman shukuruni kwa kila jambo maneno mengi mwisho mtakufuru

    • @modestapeter2997
      @modestapeter2997  Před 18 dny +4

      Akifa kifo ka hiki mwanao uje utufundishe kushukuru

    • @lucasmollel4919
      @lucasmollel4919 Před 18 dny

      Punguzeni ujuaji ​@@modestapeter2997

    • @bitumwatemu2731
      @bitumwatemu2731 Před 18 dny +1

      We nan kakwambia wanae ataishi milele? Au unajua kila mtu kaandikiwa kifo gani? Haya tuambie ww .. labda unajua marco alikuwa ameandikiwa afe kifo gan? Maana hiki unakikataa unaamn hakikuwa chenyewe hk kimesababishwa na uzembe wa watu. Acheni kkufuru kila nafsi itaonja umauti .. sali kabla hujasaliwa.

    • @alexvenas2699
      @alexvenas2699 Před 18 dny +1

      Tatizo mbarikiwa Wewe unaongea sana unajifanya dictionary Kila kitu unajua wewe acha hizo huo siyo uhubiri unaongea mpaka uanaboa

    • @lwakainaza
      @lwakainaza Před 18 dny

      Analeta siasa katika tiba.​@@alexvenas2699

  • @NelONYANGO-y9d
    @NelONYANGO-y9d Před 16 dny

    Dah kweli mjomba angu alifanyiwa uparesheni ya mgongo pesa nyingi ilitumika ila akupona alikufa mungu awalaani walitoa uwai wa mjomba angu wao na vizazi vyao

  • @GodlistenMariki
    @GodlistenMariki Před 5 dny

    Kwel kabisa baba

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 Před 18 dny

    Ameongea point huyu baba msikilizeni kwa makini sana anaongea ukweli mtupu kuna rafiki yangu alifanyiwa operation ya fibroids aka anza ku bleed ma dr na manesi wakakimbia mbio wakamuacha amekufa kifo kibaya sana juu ya operation table kuna tatizo la ma dr Tanzania huo ni ukweli

  • @josephmarwa1295
    @josephmarwa1295 Před 18 dny +6

    😅kamahakusitahili kufa ulitakanani afee? Wakati Mungu anawahitaji watukama hawa watendaomema ifahamkweli kwanza ya Mungu baas hautasemahivyotena

  • @ZainabuBakari-yb4vj
    @ZainabuBakari-yb4vj Před 18 dny +2

    Jamani hebu tuwaachie madaktar,mbona wachungaji kila idara mnataka muwe nyie,siasa nyie,Leo mmeingia tena kwa madaktar,tumekwisha,ongea huu upuuzi kwa wazungu,utaishia jera,acheni wenye fani jamani,hiyo sio fani yako

    • @odamssanga6871
      @odamssanga6871 Před 18 dny

      Mcha Mungu ni Nuru ya ulimwengu, ya kumulika uovu kila mahali, haijalishi unatendwa na nani, yaani bila kujali cheo chake

    • @odamssanga6871
      @odamssanga6871 Před 18 dny

      Ezekieli 3:16
      Hata ikawa, mwisho wa siku saba, neno la BWANA likanijia, kusema,
      Ezekieli 3:17
      Mwanadamu, nimekuweka kuwa mlinzi wa nyumba ya Israeli; basi, sikia neno hili litokalo katika kinywa changu, ukawape maonyo haya yatokayo kwangu.
      Ezekieli 3:18
      Nimwambiapo mtu mbaya, Hakika utakufa; wewe usimpe maonyo, wala husemi na huyo mtu mbaya ili kumwonya, kusudi aache njia yake mbaya na kujiokoa roho yake; mtu yule mbaya atakufa katika uovu wake; lakini damu yake nitaitaka mkononi mwako.
      Ezekieli 3:19
      Lakini ukimwonya mtu mbaya, wala yeye hauachi ubaya wake, wala njia yake mbaya, atakufa katika uovu wake; bali wewe umejiokoa roho yako.
      Ezekieli 3:20
      Tena mtu mwenye haki aiachapo haki yake, na kutenda uovu, nami nikiweka kikwazo mbele yake, atakufa; kwa sababu hukumwonya, atakufa katika uovu wake, wala matendo yake ya haki aliyoyatenda hayatakumbukwa; lakini damu yake nitaitaka mkononi mwako.
      Ezekieli 3:21
      Bali ukimwonya mwenye haki, kwamba yule mwenye haki asitende dhambi, tena ikiwa yeye hatendi dhambi, hakika ataishi, kwa sababu alikubali kuonywa; nawe umejiokoa roho yako.

    • @odamssanga6871
      @odamssanga6871 Před 18 dny

      Ezekieli 33:7
      Basi wewe, mwanadamu, nimekuweka kuwa mlinzi kwa nyumba ya Israeli; basi ulisikie neno hili kinywani mwangu, ukawape maonyo yangu.
      Ezekieli 33:8
      Nimwambiapo mtu mbaya, Ewe mtu mbaya, hakika utakufa, nawe husemi neno la kumwonya mtu huyo, aiache njia yake, mtu mbaya huyo atakufa katika uovu wake, lakini damu yake nitaitaka mkononi mwako.
      Ezekieli 33:9
      Walakini ukimwonya mtu mbaya kwa sababu ya njia yake, kusudi aiache; wala yeye asiiache; atakufa huyo katika uovu wake, lakini wewe umejiokoa roho yako.

    • @odamssanga6871
      @odamssanga6871 Před 18 dny

      Isaya 58:1
      Piga kelele, usiache, Paza sauti yako kama tarumbeta; Uwahubiri watu wangu kosa lao, Na nyumba ya Yakobo dhambi zao.

    • @Frank255-e5g
      @Frank255-e5g Před 18 dny

      Watumishi ndiyo wenye kweli ya mungu nakwakua Kila mamlaka inatoka kwa mungu basi wao ndiyo viranja kuchunguza mamlaka hizi kama ni zanamna gani kwahiyo tuna Imani na watumishi wa mungu japo wanapitia magumu mengi

  • @Zuwenamchuzi
    @Zuwenamchuzi Před 11 dny

    Mungu aipokee loho yako kaka imetuachia majonzi

    • @desolz3809
      @desolz3809 Před 10 dny

      Siyo loho...😂😂😂 ni roho

  • @PetrolBhulugu
    @PetrolBhulugu Před 18 dny +3

    Hakuna jiwe litasalia juu ya jiwe iwe kusudi iwe bahati mbaya iwe ni uwezo mdogo wa madakitari, tuseme mungu karuhusu kifo cha huyu ndugu na mimi kipindi hiki tuwape faraja wafiwa

  • @maryamsuleiman6340
    @maryamsuleiman6340 Před 18 dny +2

    Kufa haiji bila wakatiwake 😢

  • @nantaembanusurupia5674

    Mume wangu pia alifariki kwa kuziba mishipa ya damu, damu ikawa haifiki kwenye moyo ilikuwa ni kipindi cha corona basi hakupata matibabu wakang'ang'ania kuwa ameshikwa na corona basi tukamuangalia mpaka akafa😢 na walisema kabisa damu haifiki kwenye moyo kakini walivyokufa wakasema ni corona! Basi nashukuru Mungu kwa yote😢😢

  • @MasumbukaNhagara
    @MasumbukaNhagara Před 12 dny

    IV kweli mtu uugue ghafla ufe kusafr kwend nje ishndkane ndan y wik mojtyuu

  • @StevenMsome-xc5zw
    @StevenMsome-xc5zw Před 18 dny +1

    Ninyi ndio watu wasiyo na roho watu wa dunia hii tu waletao mafarakano

  • @PhinaEdmund
    @PhinaEdmund Před 18 dny +2

    Bwana ametoa na Bwana atwaa jina la Bwana libarikiwe.. Pokeeni sana wafiwa.. Tumshukuru Mungu kwa yote

    • @odamssanga6871
      @odamssanga6871 Před 18 dny

      Ndo ujinga waliowaingizia wazungu kuwa kila kifo ni bwana katwaa, waafrika tufike mahala tuamke na kupaza sauti kwa pamoja kuleta haki Duniani, tusibaki na unyumbu nyumbu tu, wa kwa kuwa halija kukuta wewe, nawe litakukuta tu.

    • @melanialeonard4031
      @melanialeonard4031 Před 18 dny

      MUNGU atabaki kuwa MUNGU angetaka angezuia hata huo ugonjwa usingempata punguzeni kelele

  • @mariayegela239
    @mariayegela239 Před 13 dny

    Mchungaji yupo gerezani au naonaje🤦

  • @ManaseLazaro
    @ManaseLazaro Před 12 dny

    Operation kubwa kama hizi,Nchi yetu haijashindwa kuajiri wataalam kutoka nje ya Nchi,ni tatizo sana kama Taifa lisipokua makini na watu wake.

  • @Kahindi-k2o
    @Kahindi-k2o Před 18 dny +3

    Muwepole mungu awapefaraja

  • @gabrieljuma1459
    @gabrieljuma1459 Před 18 dny +3

    Kweni ww ni Mungu yaani ww kila kitu mjuaji

    • @modestapeter2997
      @modestapeter2997  Před 18 dny +1

      @gabrieljuma Kama vile ilivyo wewe kila kitu hujui kwani wewe ni shetani?

    • @bitumwatemu2731
      @bitumwatemu2731 Před 18 dny

      Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa. Jichunguze​@@modestapeter2997

  • @Kadiam726
    @Kadiam726 Před 17 dny

    Asante kwa kuenekeza ukweli dhidi ya swala hili

  • @vascoaidan8648
    @vascoaidan8648 Před 12 dny

    Kwani huyo mgonjwa ndo alikuwa wakwanza kufanyiwa hiyo operation? Au wote waliofanyiwa hiyo operation wamefariki kwa jinsi hiyo?

  • @AlexWilliam-r2p
    @AlexWilliam-r2p Před 18 dny

    Jmn uxongee maneno ayo family na watanzania tupo kwenye wakat mgumu wa kumuombolez kjna ,rafk,ndugu yetu jmn

  • @AmisiLulacha
    @AmisiLulacha Před 18 dny

    Familia ilifanya kosa kumleta Dar walipo juwa tatizo ni Moyo wange kaa chini wawe namaamuzi sahii wangapi walisha pita operesheni Dar wakapona hapo wangepata majibu sahii uwezo wanao tena sana wange mpeleka Indian angepona safari ya Kenya tu Dar angefika Indian

  • @crispakyando8854
    @crispakyando8854 Před 7 dny

    Tutasikia mengi

  • @user-dy8ss4ly8z
    @user-dy8ss4ly8z Před 16 dny +1

    Kuishi kwetu ni kristo na kufa ni faida

  • @DidierAKILIMupimbidjumaDidier

    Oooh lalala poleni sana ndugu zangu wa Zabroni

  • @eliudsinkala419
    @eliudsinkala419 Před 17 dny

    Hivi wewe mbarikiwa umebarikiwa na nani? Maana aliye barikiwa na Mungu hayuko hivyo,labda wa shetani

  • @caronafula-bd5co
    @caronafula-bd5co Před 18 dny +1

    ni ukweli kabisa pst, hata Marco asingekufa hawakumpa mda wa kupumzika alisafiri masaa marefu, kutoka Kenya, wangempa mda apumzike kwanza,, alafu ilikuwa ni mshiba wa damu ndo ulikuwa na shida hao wakapazua moyo ,

  • @leonaherman1249
    @leonaherman1249 Před 18 dny

    Au usomee udaktari mana unaujua udaktar zaidi..... Unayoongea hayana maana zaidi ya uchonganishi mana wakwenda ameenda acha familia iomboleze kwa amani

  • @user-ot1ff7yq2l
    @user-ot1ff7yq2l Před 18 dny

    Wewee nawe mbarikiwa kuna muda sjui hujielewiiiii unasemaj hakustaili kufa kwani wwe ni munguuu hbr y vifo ni kazi ya munguuu hakuna wa kuweza kuzuiaaaaa

  • @Gospelactorstv
    @Gospelactorstv Před 18 dny +1

    Mwachieni Mungu mwenyewe

  • @fridalyanguka1733
    @fridalyanguka1733 Před 18 dny

    Ni kweli kaka tumekuwa tukifanyiwa majaribio ktk miili yetu.

  • @DavidJunior-s4n
    @DavidJunior-s4n Před 18 dny +2

    Mhungaji unakuwa mchochezi madactari waonekane hawaijui taaluma yaoooo jamaniiiiiii

  • @Spark8Technoo
    @Spark8Technoo Před 16 dny

    Jmn Mungu nisaidie nihepushe na hizo balaa

  • @constancewakio604
    @constancewakio604 Před 13 dny

    Death is spiritual just leave doctors alone they only treat, God heals if it was not the will of God for him to die he cud be leaving right now so lets just stop blame games guys..the will of God was done on earth as it is in heaven though it hurts so much😢😢🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @KidsKornerTV-ul6hs
      @KidsKornerTV-ul6hs Před 11 dny +1

      Kwanza from Kenya, if it was the will of God wangekaa Kenya kutibiwa. He should have been treated hapa Kenya.😢

    • @constancewakio604
      @constancewakio604 Před 11 dny

      @@KidsKornerTV-ul6hs exactly

  • @andriessegotsane
    @andriessegotsane Před 18 dny +1

    Ko hapo anahubiri kanisani au ?

  • @mathiaszakaria7052
    @mathiaszakaria7052 Před 18 dny

    Nimeona comments za wanaoish kwa connection,kuanzia kufaulu kimchongo na kupata ajira kimchongo wanang'aka balaa na huo ndo ukweli.Ndo mana huduma nzuri zipo hospital private maana hakuna hakuna kubebana

  • @sebastianmwantuge5597
    @sebastianmwantuge5597 Před 18 dny

    Kuna madaktari wengi sana na wengine tumesoma nao shule ya msingi na sekondari,uwezo wao ulikuwa si wa kuridhisha lakini sasa ni madaktari

  • @josestudio4534
    @josestudio4534 Před 18 dny

    Daaah hii ni kweli maana Tanzania Madactari ni wauwaji tu

  • @CostansiaMtwigu-xh8li
    @CostansiaMtwigu-xh8li Před 17 dny

    Acheni uongo jamn muwe na woga kila mtu ataonja mauti

  • @NovatusSweetbert
    @NovatusSweetbert Před 18 dny

    Hivi wewe pastor unayaongea haya ,ukiumwa wewe ,utaenda hospitali ipi wakati uko unawaaibisha mbele kuwa hawana utaalam

  • @KizaNyoni
    @KizaNyoni Před 18 dny +2

    Nakukubali kabisa sifa

  • @GraceMhoja-bu3ce
    @GraceMhoja-bu3ce Před 17 dny

    mzazi mwenzangu ni tanesco shinyanga aliombwa 200,000 ili apate kazi

  • @VeredianaKalembi-gs4vs

    Jamani TUACHE maneno mengi juu ya Kifo Cha wengine kwani India hawafi? Ikifika utakufa tu

  • @GeorginaMkumbwa
    @GeorginaMkumbwa Před 15 dny

    Yaani ni wachache sana wanaofanyiwa upasuaji wa moyo wanapona hata akipona anakaa tu siku chache utasikia kafa.

  • @user-pw5lb6or4z
    @user-pw5lb6or4z Před 18 dny +1

    Kama mungu kauwa kumchukwa mtuu wanke una weza kumponya mungu kashamwa

  • @user-vh2qd6zu4o
    @user-vh2qd6zu4o Před 18 dny

    Ndio Yan bongo ni kazi sana bado tunatamaha ya pesa 17m zirudishwe

  • @NelsonDavid-f6u
    @NelsonDavid-f6u Před 12 dny

    Acha maneno yako we Mzee

  • @user-vc4xr1mf5q
    @user-vc4xr1mf5q Před 18 dny +2

    Wewe acha kimdomo icho ivi ukikaaga kimya huwa mdomo unavimba sio

    • @modestapeter2997
      @modestapeter2997  Před 18 dny +1

      Ama wewe usipo koment mavidole yako Yanavimba? Au nyani haoni kundule

    • @bitumwatemu2731
      @bitumwatemu2731 Před 18 dny

      ​@@modestapeter2997 nawasiwasi na hekima zako mtumishi?

    • @odamssanga6871
      @odamssanga6871 Před 18 dny +1

      ​@@bitumwatemu2731Mithali 26:5
      Umjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; Asije akawa mwenye hekima machoni pake.

  • @user-mi5ur8re7p
    @user-mi5ur8re7p Před 18 dny +2

    💔😭😭😭😭 Inaniuma sanaa,

  • @JohnJoseph-qq7ow
    @JohnJoseph-qq7ow Před 15 dny

    Mkristo ukiugua usiende jk hiyo hospital wakiristo wakienda wanakufa MUNGU ALIEUMBA MBINGU NA NCHI atusaidie mnielewe ninacho wambia wakiristo

  • @remigiusrwechungula7047

    Mbinguni tutaendaje bila kufa????

  • @NyanyamaNkombe
    @NyanyamaNkombe Před 18 dny

    Naupenda sana utumishi wako Baba

  • @AnnaAnna-sz3vo
    @AnnaAnna-sz3vo Před 18 dny

    Hata hivyo sio kifo cha kawaida, ati ghafla kashtuka moyo ,mara mshipa sijui vyenye alikuwa kenya alikosa mtu wa kumpa wasia wakwenda kwa Ezekiel maombi ingekuwa bora zaidi. Ila ndugu zanguni huku ticktok nako vifo vimezidi

  • @godliverokwero5233
    @godliverokwero5233 Před 18 dny +2

    Yes true

  • @Okay2Martin
    @Okay2Martin Před 14 dny

    Bado kitambo kidogo,tu kazi itasonga

  • @samwelmzava1174
    @samwelmzava1174 Před 16 dny

    Nirahisi kusema muacheni kashapumzika ni Sawa mana ishatokea lkn kwakwel usiombe yakukute na tusaidiane Kwa nyakat zijazo kuokoa majanga ya kbala ya wakat fikir anaambiwa Lipia milion17 mtu ameingia anaongea masaa18 badae ameshafarik. Tusifanye miili ya watu kua majaribio

  • @felisterandrew8741
    @felisterandrew8741 Před 12 dny

    😭😭😭Mungu atusaidie.

  • @BarakaWicklifu
    @BarakaWicklifu Před 18 dny +1

    Mnakosaga cha kuhubiri au

  • @FreyNetwork
    @FreyNetwork Před 18 dny

    Mwenyewe nilihisi hivyo baada ya kuangalia video ya Munishi,,,ila nimefuatilia maelezo ya daktari na kwanini hakuweza kwenda India.....nendeni mkafuatilie video ya alichokiongea daktari msibani ndio mtaelewa,,,,sio kila kitu mlaumu madaktari,,kwa uwezo wao hapo ndio walipofikia,,,na video ni ya dk 19:14 inaeleza dk za mwisho za Marco .... I think mtaelewa si tu kusikiliza upande mmoja na kufumuka na issue

  • @MwitaKihugi
    @MwitaKihugi Před 18 dny +1

    Kabisa kabisa

  • @fortuneakankizya5336
    @fortuneakankizya5336 Před 18 dny

    Zaharia aisha. Kweli nyimbo zake .

  • @andrewmaseta4635
    @andrewmaseta4635 Před 13 dny

    nikweli kabisa hospital atuna matabibu

  • @robertelly2315
    @robertelly2315 Před 17 dny

    Kama uongo jamani mngu amlaze mahali pema peponi

  • @tonytyson1019
    @tonytyson1019 Před 17 dny

    mbn Yuko tofauti na maelezo ya daktari

  • @Deus-vr3tw
    @Deus-vr3tw Před 10 dny

    Mungu atuhurumie tu

  • @jonathankessy9615
    @jonathankessy9615 Před 18 dny

    Una jicho la Mungu brother

  • @festondamenya6445
    @festondamenya6445 Před 16 dny

    Madaktari wanatibu, ila Mungu anaponya