🤣🤣🤣 NDO MAANA NAWACHUKIA SN VIONGOZI WA DINI..😡😡 wameua uwezo wa watu KUFIKIRI NA KUGEUZA MUNGU NDO MUAJI,, Yaan me nikose MAARIFA, niangalie mimi afu MUUAJI awe MUNGU 🤔🤔🤔 Hii ni Sawa na MZINZI kusema Aah. Alikuwa SHETANI TUU
Mtoto wangu aliwahi kuvunjika mkono akiwa anacheza na watoto wengine nyumbani............ tukampele hospital yawanajeshi HOSPITAL MILITARY nilikua naishi nchini BURUNDI kipindi hicho Tukaonana na dactari mbingwa wahiyo hospital anayeamika kuwa anahusika na watu waliyovunjika mifupa..... akatwambia kuwa tunatakiwa tutafute kiasi fulani cha fedha ili apasuliwe maana mkono ulikuwa umepinda kidogo akasema pia itabidi awekewe chuma... mimi nilipo sikia habari za kupasuriwa mkono wa mtoto wangu nakuwekwa chuma niliogopa..... Sikuamini tatizo nikubwa kiasi hiko...... nikamwambia sawa acha twende leo nyumbani tutafuta hizo pesa kwanza tutamurudisha kesho kiukweli sio kwamba nilikua sina pesa mdahuo nilikua nazo......... ila nilisita kubaki kwahiyo Hospital kesho ilipofika asubihi nikahamia hospital nyingine iko BUYENZI wanaita kwa SIMBA..... tulipofika tukaingia kuonana na dactari akahangali mkono wa mtoto ulivo akatuandikia BILL ya elfu albaini 40mill tu Wakachukua mtoto wakamunyosha ule mkono ili mfupa ukae sawa sawa wakamwekea vile vitu wanavyo weka kwa mtu aliyevunjika kawaida wakamuandikia na dawa za kumeza za maumivu tukazinunua siku hiyo tukarudi Nyumbani .... bila kupasuliwa, Mtoto wangu amepona Vizri huwezijua kama alishawahi kuvunjika mkono bila kuambiwa na mtu... .. Mkono wake uko sawa sawa kabisa ...... kwahiyo Mchungaji uko sahihi unachokiongeea ni kweli kabisa..... Jamani ndugu zangu elewa Vingine madagitari wanafanya ili waendeleze ujuzi wao kwenye mili yetu....... hivi TANZANIA kunawatu wangapi walishawahi kupasuliwa upasuwaji mkubwa kama huo wa ndugu yetu Marehemu MARCO ambao wapo wamepona? ili tuamini kwamba Marco yeye ilikuwa ni mapenzi ya Mungu alitowa na akatwa jina lake lihimidiwe........... inauma sana😭😭😭😭😭 Sitaki kuongea mengi ila Mungu awahurumie madagitari wetu. Maana kwa kweli niwatu wazuri na wabaya pia.
Ndo hivo madactali wote wanajifunza upasuaji kwenye miwili yetu na wengi wao ni kubebwa tu Awana uwezo wowote mi mama angu nilikataa akikatwe miguu mpk saiv yupo tz akuna madactali bingwa ni move tu pole sana kwa wafiwa wote kijana kaondoka Bado mapema😭😭😭😭😭
Mimi ni Muuguzi Mkunga, ni kweli kazi yetu ina lawama sana, sana, na siyo kweli mnavyosema ,laiti na ninyi mngewashauri ndugu zenu wa karibu wasomee hii tasnia ili waone ugumu wa kazi tuliyonayo, msingetukashfu namna hiyo! Ila kwa vile mhukumu wa haki na kweli yupo, ameketi mkono wa kuume wa MUNGU BABA AMBAYE NI YESU KRISTO! NDIYE ATAKAYETUHUKUMU KATIKA HAKI NA KWELI.
❤❤paulo anasema Kufa ni Faida na kuishi ni Kristo.Kama Yesu Kristo alikufa sisi ni Nani???? Nyie mnaojiita Watumishi mnafundisha nn??Acheni kuumiza wafiwa.kama huna cha kusema kaa kimya .Shinwa kabisa ktkt Jina la Yesu,
Kwa sababu aliekufa sio ndugu yako ndio mana unaongea ujinga Tanzania hatuna ma doctor wakufanya operation kubwa kama hizi hatuna watu wengi sana wanakufa hatuwajui huyu maarufu ndio mana tumesikia lakini waliowengi wanakufa watu wanaenda kupimwa wanaambiwa wanamagonjwa yasiotibika wakienda nje wanapona alafu ww unaongea nn acha watu waseme kama ww unaogopa kaa kimiya wenye ujasiri wa kusema acha waseme
Marehemu alishaenda zake,musiongeye kuhusu marehemu!Heri muendeleye kuombea watoto wake na kuwasaidia pia,hizo ma dactari ndiyo walifanya afariki haraka,operation wa moyo siyo kila ma dactari!Mungu asamehe hizo ma dactari
@@nembibenard8440 Wewe kuna vifo vingine ni makosa ya kibinadamu ndugu yangu, Mf ,ndiyo ukipewa dawa hospitalini unapewa utaratibu wa jinsi ya kuzitumia, Ukikosea matumizi ya dawa zinakudhuru na unaweza ukapoteza uhai
Mtumishi ukweli Mimi piaa nilienda hospital nilienda nikiwa na umwa mkono na mguuu chaajambu nika ambiwa Nina uvimbee kwenye ubongoo wakanambia ina takiwa wanani fanyiee upasuaji nikaenda kupima sehemu nyingine Hawa kuona kituu ukweli usipoo kuwa nawatu wenye kufikili kwakinaa una weza jikuta unakufaa kabla ya wakatii
Watumishi acheni kuwa na mihemko,madaktari wetu wako vizuri tu na wanafanya kazi nzuri tu,mapenzi yetu kwa mpendwa wetu yasitufunge macho na kusahau maelfu wanaoponywa kila siku na madaktari wetu hawahawa tunaowabeza leo.
Samahan unajua Hy Hali iliyompata au unaongea tuu fungua you tube andika aortic aneurysm halafu uone huo mshipa uliopasuka halafu uniambie umeelewa Nini achen kupotosha@@nembibenard8440
Asee hii ni hatari, na kweli Munishi nmemsikia nawewe pia ,nikama kuna kitu napata had sielewi tutawezaje kupona ikiwa ndivyo ilivyo,lkn Bwana Yesu atatupigania hakika
Mbarikiwa amuwezi kuimba nyimbo zote zinafanana hapana kanisa aliimbi nyimbo za harakati. Kanisa litaimba nyimbo za kumtukuza Yesu tu! Lakini siyo wote madactari wabaya wengingine wako wacha Mungu. Na kama tutakataa madactari wetu swali je ni wangapi wanakipato cha kwenda nje? Muhubiri kristo tu ayo mengine achia wanaharakati. Paulo anasema kufa ni faida kwa anaye mwamini kristo. Iwe wamepanga ama Mungu kapanga. Cha msingi tutakufa, na kuishi ni kristo. Tukiacha kumuhubiri kristo tutaingia kwenye mtego wa wanaharakati. Kumbuka Mungu alitabiri kufa kwa Yesu. Swali je nani atatimiliza unabii uo? Lazima watu wapange mabaya juu ya BWANA Yesu
Ni Kwa sababu hata Maana ya Kristo huijui, waefeso 2:12 inasema zamani tulipokuwa hatutendi mema ndio tulikuwa hatuna Kristo, Kristo hasa ni MATENDO MEMA YAKUZUNGUKE WEWE NA JAMII YAKO.. wewe unaabudu Mungu ASIEJULIKANA MATENDO 17:23
Hivi akiimba nyimbo na ma Dr ikawaingia wakajitambua tuwaokoe vipi wanadamu huko sio ndio kumtukuza yesu au Mungu kifupi Mungu kwa vyovyote vile anahaja na sisi wanadamu sio wanyama sijui harakat nini unavyojua
Tushkru mungu kwan marko amepigana vita ameumaliza mwendo mungu na atamvika taji ya uzima wa milele,kifo ni njia na kila mmoja atapita kwa namna yake.Tusikufuru ni safar yetu sote.Polen sana.
I support Munishi. Marco did not have a heart attack but a blocked artery. Unlocking the artery was the solution. Mot slaughtering someone like a goat. 😮😮
Yaan kweli kabisa madaktali wakati mwingine sijui wanakuwa napombe kidogo kichwan!! Mama yangu kidogo afanyiwe upasuaji wa macho tusinge tuma vipimo nje, bado kuna mtoto walisema ana saratan ya jicho anatakiwa afanyiwe upasuaji, bahat nzur kuna daktali alisema aone vipimo na kama vip apimwe tena mtoto , baada akagunfua kuwa jicho halina shida hiyo!!! jaman Kwakweli ni changa moto
Madaktari wetu ni changamoto Mimi ni muhanga nimeshuhudia hayo makosa kwa macho yangu niliambiwa na uvimbe wa kufanya upasuaji lkn nilienda hospital nyingine nilipewa dawa na nikapona ilikua 2021 saa hizi ningeshazikwa muda mrefu sana
Mimi pia ni muhanga, yaani nakumbuka kabisa kuna siku nilikuwa naumwa tu maumivu nikiwa mjamzito wa wiki 6 na kila ujauzito wangu uliopita mara kwa mara napata maumivu makali sana huwa napewa tu drip ya maji basi, sasa siku hiyo nikapelekwa hospitali fulani cha ajabu nilichomwa sindano mbili hata sijamaliza masaa mimba ikatoka. Sometimes uzembe ni mwingi sana kikubwa Tuombe sana tunapoumwa Mungu atupe madaktari sahihi
Hao ndio walikosea kwa nn hawakumpeleka Nairobi hospital I mean KUNA doctor's hapa KENYA Kwanza professional sasa hivyo pesa ya ndege mpaka DAR SALAM huoni ingemtibu TU vizuri tena yy walimwimbia president wetu kama walikuwa hawana pesa wangemwita tu angewasaidia anyway ishafanyika SIKU nyingine ikifanyika kitu jua Kenya wamesoma na malengo na wanafanya kazi KWA roho Moja poleni wafiwa.
Ujuaji ukizidi unaleta hasara mchungaji leo kawa doctor dah. Kila kazi ina ugumu wake kama ulifungwa ni ugumu wa kazi yako. Yesu alifufua wafu kwanini ahukwenda kumuombea afufuke. Utasema sio gharama yako sawa. Na doctor nikutibu tu na sikurudisha uwai wa mtu Unajua kutengeneza hela hii sio injili tena Siasa , kiki, dah vimeamia kanisani
Kweri kabisa mm niliambiwa nikwanguliwe jicho bahaty nzuri nikakutana na dakitali tunae juana akanizuia na kunipa ushauri na kunituma kwenye huduma na mpaka reo sijaona shida chicho
Jitaidi nduguyangu mbarikiwa kuongea machache ,angalia usije ukaumwa na kupelekwa hospital, wakati madaktari unawasema hawana uwezo wakutosha na mambomengiiiiii
Lakini jamani ,tuwe na habari kamili ya the Diagnosis of the patient kabla ya kutamka lolote kwa wauguzi wetu.Hamna hata mmoja wetu ambae ameugua na kutibiwa akapona Nchini Tz?
We nan kakwambia wanae ataishi milele? Au unajua kila mtu kaandikiwa kifo gani? Haya tuambie ww .. labda unajua marco alikuwa ameandikiwa afe kifo gan? Maana hiki unakikataa unaamn hakikuwa chenyewe hk kimesababishwa na uzembe wa watu. Acheni kkufuru kila nafsi itaonja umauti .. sali kabla hujasaliwa.
Dah kweli mjomba angu alifanyiwa uparesheni ya mgongo pesa nyingi ilitumika ila akupona alikufa mungu awalaani walitoa uwai wa mjomba angu wao na vizazi vyao
Ameongea point huyu baba msikilizeni kwa makini sana anaongea ukweli mtupu kuna rafiki yangu alifanyiwa operation ya fibroids aka anza ku bleed ma dr na manesi wakakimbia mbio wakamuacha amekufa kifo kibaya sana juu ya operation table kuna tatizo la ma dr Tanzania huo ni ukweli
Jamani hebu tuwaachie madaktar,mbona wachungaji kila idara mnataka muwe nyie,siasa nyie,Leo mmeingia tena kwa madaktar,tumekwisha,ongea huu upuuzi kwa wazungu,utaishia jera,acheni wenye fani jamani,hiyo sio fani yako
Ezekieli 3:16 Hata ikawa, mwisho wa siku saba, neno la BWANA likanijia, kusema, Ezekieli 3:17 Mwanadamu, nimekuweka kuwa mlinzi wa nyumba ya Israeli; basi, sikia neno hili litokalo katika kinywa changu, ukawape maonyo haya yatokayo kwangu. Ezekieli 3:18 Nimwambiapo mtu mbaya, Hakika utakufa; wewe usimpe maonyo, wala husemi na huyo mtu mbaya ili kumwonya, kusudi aache njia yake mbaya na kujiokoa roho yake; mtu yule mbaya atakufa katika uovu wake; lakini damu yake nitaitaka mkononi mwako. Ezekieli 3:19 Lakini ukimwonya mtu mbaya, wala yeye hauachi ubaya wake, wala njia yake mbaya, atakufa katika uovu wake; bali wewe umejiokoa roho yako. Ezekieli 3:20 Tena mtu mwenye haki aiachapo haki yake, na kutenda uovu, nami nikiweka kikwazo mbele yake, atakufa; kwa sababu hukumwonya, atakufa katika uovu wake, wala matendo yake ya haki aliyoyatenda hayatakumbukwa; lakini damu yake nitaitaka mkononi mwako. Ezekieli 3:21 Bali ukimwonya mwenye haki, kwamba yule mwenye haki asitende dhambi, tena ikiwa yeye hatendi dhambi, hakika ataishi, kwa sababu alikubali kuonywa; nawe umejiokoa roho yako.
Ezekieli 33:7 Basi wewe, mwanadamu, nimekuweka kuwa mlinzi kwa nyumba ya Israeli; basi ulisikie neno hili kinywani mwangu, ukawape maonyo yangu. Ezekieli 33:8 Nimwambiapo mtu mbaya, Ewe mtu mbaya, hakika utakufa, nawe husemi neno la kumwonya mtu huyo, aiache njia yake, mtu mbaya huyo atakufa katika uovu wake, lakini damu yake nitaitaka mkononi mwako. Ezekieli 33:9 Walakini ukimwonya mtu mbaya kwa sababu ya njia yake, kusudi aiache; wala yeye asiiache; atakufa huyo katika uovu wake, lakini wewe umejiokoa roho yako.
Watumishi ndiyo wenye kweli ya mungu nakwakua Kila mamlaka inatoka kwa mungu basi wao ndiyo viranja kuchunguza mamlaka hizi kama ni zanamna gani kwahiyo tuna Imani na watumishi wa mungu japo wanapitia magumu mengi
Hakuna jiwe litasalia juu ya jiwe iwe kusudi iwe bahati mbaya iwe ni uwezo mdogo wa madakitari, tuseme mungu karuhusu kifo cha huyu ndugu na mimi kipindi hiki tuwape faraja wafiwa
Mume wangu pia alifariki kwa kuziba mishipa ya damu, damu ikawa haifiki kwenye moyo ilikuwa ni kipindi cha corona basi hakupata matibabu wakang'ang'ania kuwa ameshikwa na corona basi tukamuangalia mpaka akafa😢 na walisema kabisa damu haifiki kwenye moyo kakini walivyokufa wakasema ni corona! Basi nashukuru Mungu kwa yote😢😢
Ndo ujinga waliowaingizia wazungu kuwa kila kifo ni bwana katwaa, waafrika tufike mahala tuamke na kupaza sauti kwa pamoja kuleta haki Duniani, tusibaki na unyumbu nyumbu tu, wa kwa kuwa halija kukuta wewe, nawe litakukuta tu.
Familia ilifanya kosa kumleta Dar walipo juwa tatizo ni Moyo wange kaa chini wawe namaamuzi sahii wangapi walisha pita operesheni Dar wakapona hapo wangepata majibu sahii uwezo wanao tena sana wange mpeleka Indian angepona safari ya Kenya tu Dar angefika Indian
ni ukweli kabisa pst, hata Marco asingekufa hawakumpa mda wa kupumzika alisafiri masaa marefu, kutoka Kenya, wangempa mda apumzike kwanza,, alafu ilikuwa ni mshiba wa damu ndo ulikuwa na shida hao wakapazua moyo ,
Au usomee udaktari mana unaujua udaktar zaidi..... Unayoongea hayana maana zaidi ya uchonganishi mana wakwenda ameenda acha familia iomboleze kwa amani
Wewee nawe mbarikiwa kuna muda sjui hujielewiiiii unasemaj hakustaili kufa kwani wwe ni munguuu hbr y vifo ni kazi ya munguuu hakuna wa kuweza kuzuiaaaaa
Death is spiritual just leave doctors alone they only treat, God heals if it was not the will of God for him to die he cud be leaving right now so lets just stop blame games guys..the will of God was done on earth as it is in heaven though it hurts so much😢😢🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nimeona comments za wanaoish kwa connection,kuanzia kufaulu kimchongo na kupata ajira kimchongo wanang'aka balaa na huo ndo ukweli.Ndo mana huduma nzuri zipo hospital private maana hakuna hakuna kubebana
Hata hivyo sio kifo cha kawaida, ati ghafla kashtuka moyo ,mara mshipa sijui vyenye alikuwa kenya alikosa mtu wa kumpa wasia wakwenda kwa Ezekiel maombi ingekuwa bora zaidi. Ila ndugu zanguni huku ticktok nako vifo vimezidi
Nirahisi kusema muacheni kashapumzika ni Sawa mana ishatokea lkn kwakwel usiombe yakukute na tusaidiane Kwa nyakat zijazo kuokoa majanga ya kbala ya wakat fikir anaambiwa Lipia milion17 mtu ameingia anaongea masaa18 badae ameshafarik. Tusifanye miili ya watu kua majaribio
Mwenyewe nilihisi hivyo baada ya kuangalia video ya Munishi,,,ila nimefuatilia maelezo ya daktari na kwanini hakuweza kwenda India.....nendeni mkafuatilie video ya alichokiongea daktari msibani ndio mtaelewa,,,,sio kila kitu mlaumu madaktari,,kwa uwezo wao hapo ndio walipofikia,,,na video ni ya dk 19:14 inaeleza dk za mwisho za Marco .... I think mtaelewa si tu kusikiliza upande mmoja na kufumuka na issue
Mmbalikiwa Asante sana Kwa somo. Fundisha watu tuelewe vifo vingi ni uzembe , na madkt weng TZ hawana mafunzo yakutosha
czcams.com/video/4QZ1UuNkcQI/video.htmlsi=EdQkPnn7TI_GEKzA
Roho ya mauti imeteketea
Fuatilia video hii uone maajabu
Haya
Elimu ya Tanzania ni KUFANYA kazi kwa halaka nikuesabu sana ya mshahala tu bila kufikili chochote Asante mungu kwa lbada hizo zinazo ENDELEA
czcams.com/video/4QZ1UuNkcQI/video.htmlsi=EdQkPnn7TI_GEKzA
Roho ya mauti imeteketea
Fuatilia video hii uone maajabu
Haya
Very true man of God very very true mimi nakupenda kwa sababu wewe husema ukweli mungu Akupe hekima zaidi
Dah wewe jamani Mimi naamini kama Mungu hajaamua ufe haufi Mungu ndivo alivopanga Baba yangu waache Madaktari
Kabisa Mungu hashindwi angetaka Marco aishi wala asingekufa
🤣🤣🤣
NDO MAANA NAWACHUKIA SN VIONGOZI WA DINI..😡😡 wameua uwezo wa watu KUFIKIRI NA KUGEUZA MUNGU NDO MUAJI,, Yaan me nikose MAARIFA, niangalie mimi afu MUUAJI awe MUNGU 🤔🤔🤔 Hii ni Sawa na MZINZI kusema Aah. Alikuwa SHETANI TUU
Mbarikiwa mungu akupe cku za kuishi
Mtoto wangu aliwahi kuvunjika mkono akiwa anacheza na watoto wengine nyumbani............ tukampele hospital yawanajeshi HOSPITAL MILITARY nilikua naishi nchini BURUNDI kipindi hicho Tukaonana na dactari mbingwa wahiyo hospital anayeamika kuwa anahusika na watu waliyovunjika mifupa..... akatwambia kuwa tunatakiwa tutafute kiasi fulani cha fedha ili apasuliwe maana mkono ulikuwa umepinda kidogo akasema pia itabidi awekewe chuma... mimi nilipo sikia habari za kupasuriwa mkono wa mtoto wangu nakuwekwa chuma niliogopa..... Sikuamini tatizo nikubwa kiasi hiko...... nikamwambia sawa acha twende leo nyumbani tutafuta hizo pesa kwanza tutamurudisha kesho kiukweli sio kwamba nilikua sina pesa mdahuo nilikua nazo......... ila nilisita kubaki kwahiyo Hospital kesho ilipofika asubihi nikahamia hospital nyingine iko BUYENZI wanaita kwa SIMBA..... tulipofika tukaingia kuonana na dactari akahangali mkono wa mtoto ulivo akatuandikia BILL ya elfu albaini 40mill tu Wakachukua mtoto wakamunyosha ule mkono ili mfupa ukae sawa sawa wakamwekea vile vitu wanavyo weka kwa mtu aliyevunjika kawaida wakamuandikia na dawa za kumeza za maumivu tukazinunua siku hiyo tukarudi Nyumbani .... bila kupasuliwa, Mtoto wangu amepona Vizri huwezijua kama alishawahi kuvunjika mkono bila kuambiwa na mtu... .. Mkono wake uko sawa sawa kabisa ...... kwahiyo Mchungaji uko sahihi unachokiongeea ni kweli kabisa..... Jamani ndugu zangu elewa Vingine madagitari wanafanya ili waendeleze ujuzi wao kwenye mili yetu....... hivi TANZANIA kunawatu wangapi walishawahi kupasuliwa upasuwaji mkubwa kama huo wa ndugu yetu Marehemu MARCO ambao wapo wamepona? ili tuamini kwamba Marco yeye ilikuwa ni mapenzi ya Mungu alitowa na akatwa jina lake lihimidiwe........... inauma sana😭😭😭😭😭 Sitaki kuongea mengi ila Mungu awahurumie madagitari wetu. Maana kwa kweli niwatu wazuri na wabaya pia.
Nimejifunza kitu kupitia wewe Na Mungu aturehemu
Ndo hivo madactali wote wanajifunza upasuaji kwenye miwili yetu na wengi wao ni kubebwa tu Awana uwezo wowote mi mama angu nilikataa akikatwe miguu mpk saiv yupo tz akuna madactali bingwa ni move tu pole sana kwa wafiwa wote kijana kaondoka Bado mapema😭😭😭😭😭
Mimi ni Muuguzi Mkunga, ni kweli kazi yetu ina lawama sana, sana, na siyo kweli mnavyosema ,laiti na ninyi mngewashauri ndugu zenu wa karibu wasomee hii tasnia ili waone ugumu wa kazi tuliyonayo, msingetukashfu namna hiyo! Ila kwa vile mhukumu wa haki na kweli yupo, ameketi mkono wa kuume wa MUNGU BABA AMBAYE NI YESU KRISTO! NDIYE ATAKAYETUHUKUMU KATIKA HAKI NA KWELI.
Ameen
Elizabeth endeleeni kufanya kazi njema...lawama hazikwepeki..ukifanya utalaumiwa hata usipofanya pia utalaumiwa..
❤❤paulo anasema Kufa ni Faida na kuishi ni Kristo.Kama Yesu Kristo alikufa sisi ni Nani???? Nyie mnaojiita Watumishi mnafundisha nn??Acheni kuumiza wafiwa.kama huna cha kusema kaa kimya .Shinwa kabisa ktkt Jina la Yesu,
Kwa sababu aliekufa sio ndugu yako ndio mana unaongea ujinga Tanzania hatuna ma doctor wakufanya operation kubwa kama hizi hatuna watu wengi sana wanakufa hatuwajui huyu maarufu ndio mana tumesikia lakini waliowengi wanakufa watu wanaenda kupimwa wanaambiwa wanamagonjwa yasiotibika wakienda nje wanapona alafu ww unaongea nn acha watu waseme kama ww unaogopa kaa kimiya wenye ujasiri wa kusema acha waseme
Marehemu alishaenda zake,musiongeye kuhusu marehemu!Heri muendeleye kuombea watoto wake na kuwasaidia pia,hizo ma dactari ndiyo walifanya afariki haraka,operation wa moyo siyo kila ma dactari!Mungu asamehe hizo ma dactari
@@nembibenard8440
Wewe kuna vifo vingine ni makosa ya kibinadamu ndugu yangu, Mf ,ndiyo ukipewa dawa hospitalini unapewa utaratibu wa jinsi ya kuzitumia, Ukikosea matumizi ya dawa zinakudhuru na unaweza ukapoteza uhai
Mtumishi ukweli Mimi piaa nilienda hospital nilienda nikiwa na umwa mkono na mguuu chaajambu nika ambiwa Nina uvimbee kwenye ubongoo wakanambia ina takiwa wanani fanyiee upasuaji nikaenda kupima sehemu nyingine Hawa kuona kituu ukweli usipoo kuwa nawatu wenye kufikili kwakinaa una weza jikuta unakufaa kabla ya wakatii
Mwisho wa siku bongo kila mtu anajifanya daktari..
Watumishi acheni kuwa na mihemko,madaktari wetu wako vizuri tu na wanafanya kazi nzuri tu,mapenzi yetu kwa mpendwa wetu yasitufunge macho na kusahau maelfu wanaoponywa kila siku na madaktari wetu hawahawa tunaowabeza leo.
Acha ujuaji ww mtu afe kwa uzembe watu wasiongee?
Samahan unajua Hy Hali iliyompata au unaongea tuu fungua you tube andika aortic aneurysm halafu uone huo mshipa uliopasuka halafu uniambie umeelewa Nini achen kupotosha@@nembibenard8440
Kabisa wanaingilia taaluma ambazo hawajazisomeaa acha mbarikiwa kupotosha
@@nembibenard8440na wewe ulikuwa nenda india ukapate matibabu
czcams.com/video/4QZ1UuNkcQI/video.htmlsi=EdQkPnn7TI_GEKzA
Roho ya mauti imeteketea
Fuatilia video hii uone maajabu
Haya
Asee hii ni hatari, na kweli Munishi nmemsikia nawewe pia ,nikama kuna kitu napata had sielewi tutawezaje kupona ikiwa ndivyo ilivyo,lkn Bwana Yesu atatupigania hakika
czcams.com/video/4QZ1UuNkcQI/video.htmlsi=EdQkPnn7TI_GEKzA
Roho ya mauti imeteketea
Fuatilia video hii uone maajabu
Haya
Mungu,tusaidie.na matokeo ya mtihani kutolewa na mwl wa chuo ni mbaya kuliko.Bora Necta itoe matokeo.Wanaostahili hawapati wanapata wasiostahili
Rafiki yangu na classmate wangu Emanuel Marishai alipasuliwa kichwa badala ya got
Wanaomkumbuka ☝️
Daah kwahyo alikufa?? 😢😢
@@Fx_expertmoneymaker001 hapana ila aliparalyse yule aliyepasuliwa kichwa
@@Fx_expertmoneymaker001 aliyepasuliwa goti badala ya kichwa ndiye alikufa
Mbarikiwa amuwezi kuimba nyimbo zote zinafanana hapana kanisa aliimbi nyimbo za harakati. Kanisa litaimba nyimbo za kumtukuza Yesu tu! Lakini siyo wote madactari wabaya wengingine wako wacha Mungu. Na kama tutakataa madactari wetu swali je ni wangapi wanakipato cha kwenda nje? Muhubiri kristo tu ayo mengine achia wanaharakati. Paulo anasema kufa ni faida kwa anaye mwamini kristo. Iwe wamepanga ama Mungu kapanga. Cha msingi tutakufa, na kuishi ni kristo. Tukiacha kumuhubiri kristo tutaingia kwenye mtego wa wanaharakati. Kumbuka Mungu alitabiri kufa kwa Yesu. Swali je nani atatimiliza unabii uo? Lazima watu wapange mabaya juu ya BWANA Yesu
😂😂😂😂kwani Kristo tunayetakiwa kumhubiri anataka tuishije? Je, anataka tutangaze jina la Kristo au tutangaze mafundisho ya Kristo?
Ni Kwa sababu hata Maana ya Kristo huijui, waefeso 2:12 inasema zamani tulipokuwa hatutendi mema ndio tulikuwa hatuna Kristo, Kristo hasa ni MATENDO MEMA YAKUZUNGUKE WEWE NA JAMII YAKO.. wewe unaabudu Mungu ASIEJULIKANA MATENDO 17:23
Rahisi kuwa na maelezo mengi kwa kuwa hayajakukuta
Hivi akiimba nyimbo na ma Dr ikawaingia wakajitambua tuwaokoe vipi wanadamu huko sio ndio kumtukuza yesu au Mungu kifupi Mungu kwa vyovyote vile anahaja na sisi wanadamu sio wanyama sijui harakat nini unavyojua
Hata kwenda muhunbur tu syo kaz ndgo wapendwa kwa sa wa hal ya chin
Mbona maneno ni mengi sanaaa, tumwachie Mungu, sasa mwisho mnakufuruu
Mambo yote YANAYO kusumbua mwachie mungu ila sisi hii ni Elimu muhimu sana na anatuelimisha ambalo tunauwitaji WA kujua
Jaman unachosema nikwer family 💞 hata ambao huwez Amin wanasema maneno mpaka jamaniiiii
Muachie Mungu kwa maana ukiongea hivyo maumivu yanaongezeka ,hacha Mungu hajawahi shindwa na ndo anayejua
Endelea kuimba Tenzi Mtumishi haya mengine unatuchosha wakati wa harusi waimbe nyimbo za msiba?
😂😂😂
Kasema kweli watalamu hatuna niujinga mwingi wamakalatasi
Mawazo ya Vijana wa Tanzania ni kama Mawazo ya Misukule,yaani wewe Unatia huruma
czcams.com/video/4QZ1UuNkcQI/video.htmlsi=EdQkPnn7TI_GEKzA
Roho ya mauti imeteketea
Fuatilia video hii uone maajabu
Haya
Ubarikiwe sana baba. Nilipomsikia munisi mimi nilimuelewa sana kumbe nawew umeona....Mungu akutunze sana mwe
Dogo alikosa maombi sio madaktari!
Ukimya ma usiri ulitawala
Tushkru mungu kwan marko amepigana vita ameumaliza mwendo mungu na atamvika taji ya uzima wa milele,kifo ni njia na kila mmoja atapita kwa namna yake.Tusikufuru ni safar yetu sote.Polen sana.
Ila huyu mchungaji Mungu amsaidie tu leo kwa mara ya kwanza naandika waziwazi
Nacheka
Kwann unasema hivi?
Anashida ya kisaikolojia anahitaji msaada.
czcams.com/video/4QZ1UuNkcQI/video.htmlsi=EdQkPnn7TI_GEKzA
Roho ya mauti imeteketea
Fuatilia video hii uone maajabu
Haya
😭 Kasome na wewe wakupe huo udaktari Ili tuwe tunatibiwa kwako
I support Munishi. Marco did not have a heart attack but a blocked artery. Unlocking the artery was the solution. Mot slaughtering someone like a goat. 😮😮
Munishi nmwibaji na cjasikia amewai kuwa doctor,uyu naye nmtumishi Wala sio doctor,,nkurobokwa kumewajaa tu
@@JacksonMutinda-jw5qw😢
Mtashangaa sana pale mtakapo ona kindi la zabroni likiendelea kumtukuza mungu kwa uzuri kabisa shindwa kabisa
Kabisaa
Yaan kweli kabisa madaktali wakati mwingine sijui wanakuwa napombe kidogo kichwan!! Mama yangu kidogo afanyiwe upasuaji wa macho tusinge tuma vipimo nje, bado kuna mtoto walisema ana saratan ya jicho anatakiwa afanyiwe upasuaji, bahat nzur kuna daktali alisema aone vipimo na kama vip apimwe tena mtoto , baada akagunfua kuwa jicho halina shida hiyo!!! jaman Kwakweli ni changa moto
Madaktari wetu ni changamoto Mimi ni muhanga nimeshuhudia hayo makosa kwa macho yangu niliambiwa na uvimbe wa kufanya upasuaji lkn nilienda hospital nyingine nilipewa dawa na nikapona ilikua 2021 saa hizi ningeshazikwa muda mrefu sana
Madaktari hasa vijana siwaamini kabisa
Mtu akisema ukweli mwamtukana,,,,akiwapanga mwashangilia mh 😢😢😢
Shangaa na weww
Mimi pia ni muhanga, yaani nakumbuka kabisa kuna siku nilikuwa naumwa tu maumivu nikiwa mjamzito wa wiki 6 na kila ujauzito wangu uliopita mara kwa mara napata maumivu makali sana huwa napewa tu drip ya maji basi, sasa siku hiyo nikapelekwa hospitali fulani cha ajabu nilichomwa sindano mbili hata sijamaliza masaa mimba ikatoka. Sometimes uzembe ni mwingi sana kikubwa Tuombe sana tunapoumwa Mungu atupe madaktari sahihi
😢 duh!
Hao ndio walikosea kwa nn hawakumpeleka Nairobi hospital I mean KUNA doctor's hapa KENYA Kwanza professional sasa hivyo pesa ya ndege mpaka DAR SALAM huoni ingemtibu TU vizuri tena yy walimwimbia president wetu kama walikuwa hawana pesa wangemwita tu angewasaidia anyway ishafanyika SIKU nyingine ikifanyika kitu jua Kenya wamesoma na malengo na wanafanya kazi KWA roho Moja poleni wafiwa.
Kwa nini walimufanya operation ?
Hafanani mwenye anaenda kufa😮😮
Duu yaan ww mchungaji bakukubali sana❤❤❤❤❤
Ujuaji ukizidi unaleta hasara mchungaji leo kawa doctor dah. Kila kazi ina ugumu wake kama ulifungwa ni ugumu wa kazi yako. Yesu alifufua wafu kwanini ahukwenda kumuombea afufuke. Utasema sio gharama yako sawa.
Na doctor nikutibu tu na sikurudisha uwai wa mtu
Unajua kutengeneza hela hii sio injili tena
Siasa , kiki, dah vimeamia kanisani
Kweri kabisa mm niliambiwa nikwanguliwe jicho bahaty nzuri nikakutana na dakitali tunae juana akanizuia na kunipa ushauri na kunituma kwenye huduma na mpaka reo sijaona shida chicho
Habari boss
@@Frank255-e5g sarama sana
@@saimongilala8938 Nina tatizo la macho kinyama kinaota kwenda kwenye kiini Cha jicho naomba namba yako ili unisaidie ndugu yangu
Ni wapi huko na mm nna shida ya macho.. 😢😢
Jitaidi nduguyangu mbarikiwa kuongea machache ,angalia usije ukaumwa na kupelekwa hospital, wakati madaktari unawasema hawana uwezo wakutosha na mambomengiiiiii
WAMEUA mwanangu hata wakinimalizia sawa tu.
Lakini jamani ,tuwe na habari kamili ya the Diagnosis of the patient kabla ya kutamka lolote kwa wauguzi wetu.Hamna hata mmoja wetu ambae ameugua na kutibiwa akapona Nchini Tz?
Figo inaangaliwa kwenye ultrasound scan sio x ray, usiwe mjuaji too much vitu vingine ni vya kitaalamu
Jaman shukuruni kwa kila jambo maneno mengi mwisho mtakufuru
Akifa kifo ka hiki mwanao uje utufundishe kushukuru
Punguzeni ujuaji @@modestapeter2997
We nan kakwambia wanae ataishi milele? Au unajua kila mtu kaandikiwa kifo gani? Haya tuambie ww .. labda unajua marco alikuwa ameandikiwa afe kifo gan? Maana hiki unakikataa unaamn hakikuwa chenyewe hk kimesababishwa na uzembe wa watu. Acheni kkufuru kila nafsi itaonja umauti .. sali kabla hujasaliwa.
Tatizo mbarikiwa Wewe unaongea sana unajifanya dictionary Kila kitu unajua wewe acha hizo huo siyo uhubiri unaongea mpaka uanaboa
Analeta siasa katika tiba.@@alexvenas2699
Dah kweli mjomba angu alifanyiwa uparesheni ya mgongo pesa nyingi ilitumika ila akupona alikufa mungu awalaani walitoa uwai wa mjomba angu wao na vizazi vyao
Kwel kabisa baba
Ameongea point huyu baba msikilizeni kwa makini sana anaongea ukweli mtupu kuna rafiki yangu alifanyiwa operation ya fibroids aka anza ku bleed ma dr na manesi wakakimbia mbio wakamuacha amekufa kifo kibaya sana juu ya operation table kuna tatizo la ma dr Tanzania huo ni ukweli
😅kamahakusitahili kufa ulitakanani afee? Wakati Mungu anawahitaji watukama hawa watendaomema ifahamkweli kwanza ya Mungu baas hautasemahivyotena
Jamani hebu tuwaachie madaktar,mbona wachungaji kila idara mnataka muwe nyie,siasa nyie,Leo mmeingia tena kwa madaktar,tumekwisha,ongea huu upuuzi kwa wazungu,utaishia jera,acheni wenye fani jamani,hiyo sio fani yako
Mcha Mungu ni Nuru ya ulimwengu, ya kumulika uovu kila mahali, haijalishi unatendwa na nani, yaani bila kujali cheo chake
Ezekieli 3:16
Hata ikawa, mwisho wa siku saba, neno la BWANA likanijia, kusema,
Ezekieli 3:17
Mwanadamu, nimekuweka kuwa mlinzi wa nyumba ya Israeli; basi, sikia neno hili litokalo katika kinywa changu, ukawape maonyo haya yatokayo kwangu.
Ezekieli 3:18
Nimwambiapo mtu mbaya, Hakika utakufa; wewe usimpe maonyo, wala husemi na huyo mtu mbaya ili kumwonya, kusudi aache njia yake mbaya na kujiokoa roho yake; mtu yule mbaya atakufa katika uovu wake; lakini damu yake nitaitaka mkononi mwako.
Ezekieli 3:19
Lakini ukimwonya mtu mbaya, wala yeye hauachi ubaya wake, wala njia yake mbaya, atakufa katika uovu wake; bali wewe umejiokoa roho yako.
Ezekieli 3:20
Tena mtu mwenye haki aiachapo haki yake, na kutenda uovu, nami nikiweka kikwazo mbele yake, atakufa; kwa sababu hukumwonya, atakufa katika uovu wake, wala matendo yake ya haki aliyoyatenda hayatakumbukwa; lakini damu yake nitaitaka mkononi mwako.
Ezekieli 3:21
Bali ukimwonya mwenye haki, kwamba yule mwenye haki asitende dhambi, tena ikiwa yeye hatendi dhambi, hakika ataishi, kwa sababu alikubali kuonywa; nawe umejiokoa roho yako.
Ezekieli 33:7
Basi wewe, mwanadamu, nimekuweka kuwa mlinzi kwa nyumba ya Israeli; basi ulisikie neno hili kinywani mwangu, ukawape maonyo yangu.
Ezekieli 33:8
Nimwambiapo mtu mbaya, Ewe mtu mbaya, hakika utakufa, nawe husemi neno la kumwonya mtu huyo, aiache njia yake, mtu mbaya huyo atakufa katika uovu wake, lakini damu yake nitaitaka mkononi mwako.
Ezekieli 33:9
Walakini ukimwonya mtu mbaya kwa sababu ya njia yake, kusudi aiache; wala yeye asiiache; atakufa huyo katika uovu wake, lakini wewe umejiokoa roho yako.
Isaya 58:1
Piga kelele, usiache, Paza sauti yako kama tarumbeta; Uwahubiri watu wangu kosa lao, Na nyumba ya Yakobo dhambi zao.
Watumishi ndiyo wenye kweli ya mungu nakwakua Kila mamlaka inatoka kwa mungu basi wao ndiyo viranja kuchunguza mamlaka hizi kama ni zanamna gani kwahiyo tuna Imani na watumishi wa mungu japo wanapitia magumu mengi
Mungu aipokee loho yako kaka imetuachia majonzi
Siyo loho...😂😂😂 ni roho
Hakuna jiwe litasalia juu ya jiwe iwe kusudi iwe bahati mbaya iwe ni uwezo mdogo wa madakitari, tuseme mungu karuhusu kifo cha huyu ndugu na mimi kipindi hiki tuwape faraja wafiwa
Kufa haiji bila wakatiwake 😢
Mume wangu pia alifariki kwa kuziba mishipa ya damu, damu ikawa haifiki kwenye moyo ilikuwa ni kipindi cha corona basi hakupata matibabu wakang'ang'ania kuwa ameshikwa na corona basi tukamuangalia mpaka akafa😢 na walisema kabisa damu haifiki kwenye moyo kakini walivyokufa wakasema ni corona! Basi nashukuru Mungu kwa yote😢😢
Duuuu pole
Daaa! Pole sana mwanamke mwenzang
IV kweli mtu uugue ghafla ufe kusafr kwend nje ishndkane ndan y wik mojtyuu
Ninyi ndio watu wasiyo na roho watu wa dunia hii tu waletao mafarakano
Bwana ametoa na Bwana atwaa jina la Bwana libarikiwe.. Pokeeni sana wafiwa.. Tumshukuru Mungu kwa yote
Ndo ujinga waliowaingizia wazungu kuwa kila kifo ni bwana katwaa, waafrika tufike mahala tuamke na kupaza sauti kwa pamoja kuleta haki Duniani, tusibaki na unyumbu nyumbu tu, wa kwa kuwa halija kukuta wewe, nawe litakukuta tu.
MUNGU atabaki kuwa MUNGU angetaka angezuia hata huo ugonjwa usingempata punguzeni kelele
Mchungaji yupo gerezani au naonaje🤦
Operation kubwa kama hizi,Nchi yetu haijashindwa kuajiri wataalam kutoka nje ya Nchi,ni tatizo sana kama Taifa lisipokua makini na watu wake.
Muwepole mungu awapefaraja
Kweni ww ni Mungu yaani ww kila kitu mjuaji
@gabrieljuma Kama vile ilivyo wewe kila kitu hujui kwani wewe ni shetani?
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa. Jichunguze@@modestapeter2997
Asante kwa kuenekeza ukweli dhidi ya swala hili
Kwani huyo mgonjwa ndo alikuwa wakwanza kufanyiwa hiyo operation? Au wote waliofanyiwa hiyo operation wamefariki kwa jinsi hiyo?
Jmn uxongee maneno ayo family na watanzania tupo kwenye wakat mgumu wa kumuombolez kjna ,rafk,ndugu yetu jmn
Familia ilifanya kosa kumleta Dar walipo juwa tatizo ni Moyo wange kaa chini wawe namaamuzi sahii wangapi walisha pita operesheni Dar wakapona hapo wangepata majibu sahii uwezo wanao tena sana wange mpeleka Indian angepona safari ya Kenya tu Dar angefika Indian
Tutasikia mengi
Kuishi kwetu ni kristo na kufa ni faida
Oooh lalala poleni sana ndugu zangu wa Zabroni
Hivi wewe mbarikiwa umebarikiwa na nani? Maana aliye barikiwa na Mungu hayuko hivyo,labda wa shetani
ni ukweli kabisa pst, hata Marco asingekufa hawakumpa mda wa kupumzika alisafiri masaa marefu, kutoka Kenya, wangempa mda apumzike kwanza,, alafu ilikuwa ni mshiba wa damu ndo ulikuwa na shida hao wakapazua moyo ,
Mmmh jmn
Au usomee udaktari mana unaujua udaktar zaidi..... Unayoongea hayana maana zaidi ya uchonganishi mana wakwenda ameenda acha familia iomboleze kwa amani
Wewee nawe mbarikiwa kuna muda sjui hujielewiiiii unasemaj hakustaili kufa kwani wwe ni munguuu hbr y vifo ni kazi ya munguuu hakuna wa kuweza kuzuiaaaaa
Mwachieni Mungu mwenyewe
Ni kweli kaka tumekuwa tukifanyiwa majaribio ktk miili yetu.
Mhungaji unakuwa mchochezi madactari waonekane hawaijui taaluma yaoooo jamaniiiiiii
Sio uchochezi Tz kwa upasuaji wa moyo bado saaana
Wangemwacha akaenda tu india
Ukweli huuma siku zote
Jmn Mungu nisaidie nihepushe na hizo balaa
Death is spiritual just leave doctors alone they only treat, God heals if it was not the will of God for him to die he cud be leaving right now so lets just stop blame games guys..the will of God was done on earth as it is in heaven though it hurts so much😢😢🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kwanza from Kenya, if it was the will of God wangekaa Kenya kutibiwa. He should have been treated hapa Kenya.😢
@@KidsKornerTV-ul6hs exactly
Ko hapo anahubiri kanisani au ?
Nimeona comments za wanaoish kwa connection,kuanzia kufaulu kimchongo na kupata ajira kimchongo wanang'aka balaa na huo ndo ukweli.Ndo mana huduma nzuri zipo hospital private maana hakuna hakuna kubebana
Kuna madaktari wengi sana na wengine tumesoma nao shule ya msingi na sekondari,uwezo wao ulikuwa si wa kuridhisha lakini sasa ni madaktari
Daaah hii ni kweli maana Tanzania Madactari ni wauwaji tu
Acheni uongo jamn muwe na woga kila mtu ataonja mauti
Hivi wewe pastor unayaongea haya ,ukiumwa wewe ,utaenda hospitali ipi wakati uko unawaaibisha mbele kuwa hawana utaalam
Nakukubali kabisa sifa
mzazi mwenzangu ni tanesco shinyanga aliombwa 200,000 ili apate kazi
Jamani TUACHE maneno mengi juu ya Kifo Cha wengine kwani India hawafi? Ikifika utakufa tu
Yaani ni wachache sana wanaofanyiwa upasuaji wa moyo wanapona hata akipona anakaa tu siku chache utasikia kafa.
Kama mungu kauwa kumchukwa mtuu wanke una weza kumponya mungu kashamwa
Siyo kila kifo kinatokana na Mungu
Ndio Yan bongo ni kazi sana bado tunatamaha ya pesa 17m zirudishwe
Eti wairudishe kwakweli
Acha maneno yako we Mzee
Lete maneno yako we kijana
Wewe acha kimdomo icho ivi ukikaaga kimya huwa mdomo unavimba sio
Ama wewe usipo koment mavidole yako Yanavimba? Au nyani haoni kundule
@@modestapeter2997 nawasiwasi na hekima zako mtumishi?
@@bitumwatemu2731Mithali 26:5
Umjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; Asije akawa mwenye hekima machoni pake.
💔😭😭😭😭 Inaniuma sanaa,
Mkristo ukiugua usiende jk hiyo hospital wakiristo wakienda wanakufa MUNGU ALIEUMBA MBINGU NA NCHI atusaidie mnielewe ninacho wambia wakiristo
Mbinguni tutaendaje bila kufa????
Naupenda sana utumishi wako Baba
Hata hivyo sio kifo cha kawaida, ati ghafla kashtuka moyo ,mara mshipa sijui vyenye alikuwa kenya alikosa mtu wa kumpa wasia wakwenda kwa Ezekiel maombi ingekuwa bora zaidi. Ila ndugu zanguni huku ticktok nako vifo vimezidi
Yes true
Bado kitambo kidogo,tu kazi itasonga
Nirahisi kusema muacheni kashapumzika ni Sawa mana ishatokea lkn kwakwel usiombe yakukute na tusaidiane Kwa nyakat zijazo kuokoa majanga ya kbala ya wakat fikir anaambiwa Lipia milion17 mtu ameingia anaongea masaa18 badae ameshafarik. Tusifanye miili ya watu kua majaribio
😭😭😭Mungu atusaidie.
Mnakosaga cha kuhubiri au
Mwenyewe nilihisi hivyo baada ya kuangalia video ya Munishi,,,ila nimefuatilia maelezo ya daktari na kwanini hakuweza kwenda India.....nendeni mkafuatilie video ya alichokiongea daktari msibani ndio mtaelewa,,,,sio kila kitu mlaumu madaktari,,kwa uwezo wao hapo ndio walipofikia,,,na video ni ya dk 19:14 inaeleza dk za mwisho za Marco .... I think mtaelewa si tu kusikiliza upande mmoja na kufumuka na issue
Kabisa kabisa
Zaharia aisha. Kweli nyimbo zake .
nikweli kabisa hospital atuna matabibu
Kama uongo jamani mngu amlaze mahali pema peponi
mbn Yuko tofauti na maelezo ya daktari
Mungu atuhurumie tu
Una jicho la Mungu brother
Madaktari wanatibu, ila Mungu anaponya