MITIMINGI # 525 WANAUME WENGINE NI MZIGO KATIKA NDOA NA FAMILIA
Vložit
- čas přidán 12. 09. 2024
- Wamama wengi leo hawatunzwi katika ndoa zao, wengine wametelekezwa na waume zao kupata huduma za ndoa ni mpaka watoe pesa kwa waume zaom
SOMO: NGUZO ZINAZOSHIKILIA UPENDO KATIKA NDOA
Mch na Mwl. Dr. MITIMINGI p. Senior Pastor & Counseling Psychologist #WCC +255 713 18 39 39
Barikiwa mchugaji
Kizuri hakidumu, mungu akulaze pema peponi, Amin.
💯💯💯💯💯💯 mchungajiii uko juuu nakubaliana nawe kwa kiwango cha hali ya juuu❤❤❤ unapasua miamba na anga kwa ukweli✔✔👏👏
Amina Sana mtumishi
Mafundisho mazuri kwa kuwakumbusha wajibu wa baba kwa mkewe hasante.
Mungu akupe pumziko la milele
Tunakukumbuka sana. Mungu akulaze maali pema peponi
Bb Mmungu akuhifadhi peponi...
Allah akuhifadhi ulipo
Continure resting in peace ulikuwa mwalimu bora sana baba tutakukumbuka kunapokuja
Kweli nitakukumbuka ila kwa mafundisho haya sina shaka kwasababu umepumzika tutakutana mbinguni
Ubarkiwe sana Baba MUNGU akutumie nabarikiwa nikiwa Muscat
Asante mtumishi endelea kupumzika kwa amani😥😥
mchungaji ubarikiwe kweli niwajibu wetu kuwatunza wake zetu
Kweli tupu mtumishi wa Mungu ubarikiwa sana
😂😂😂hapo chacha Mtumishi umegonga ndipo 👍👍👍
Nakukubal sana mkuu wa kazi
May God bless you sir, true teachings
Wanaume wapone
kweli mtumishi acha tuwaite baba sina
Waooo! Ninaimani Mungu atanijalia mume atakayenipenda
Uko sahh kabisa
ameen
Haya ni kiboko tosha asande kwa mafunzo mazuri
mafundisho ya leo nikiboko pasta mungu akubariki sana
May your soul rest in peace dr. Mitimingi.
Barikiwa sana mchungaji wangu pia asante kwa mafunzo mazuriiii👏👏👏
Hakika una mafundisho mtumishi ubarikiwe
I looove Dr.Miti Mingi.....you use Vaseline🤣
I’m Kenyan born living in +61..visit ...keep telling ‘these’ men .😀. Happy wife , happy life.
Lol. True my dear
Upumzike kwa amani
Kifo jamani rip
Hadi raha mmefanana hadi niwanaume wachacha sana kama wewe ubarikiwe
walio wengi hawajitambui siku hizo,ndiyo maana wanabebewa wake zao
Wapo wengi sn hila wa nakura nguvu za wenzawe awajierewi tu na ss tuna wapa dawa michepuko haiishi kwa ubaili wao
Wanaume kama hao hawapo cku hizi , yaan unakuta unapika chakula cha elfu tano yy kaacha elfu mbili akija anauliza na chenji imebaki
Najma 3 😂😂😂😂😂😂hatar sana
Wewe unachunga hasa inuliwa zaidi
Lala salama baba
Mafunzo mazuri ubarikiwe
Mwanamke na samaki ngoma droo😂😂😅😅😅 dah unanivunja mbavu mm
B bless pastor
amen
kweli mchungaji
Akina JOHN CENA wapo wengi hahaha
daaaah safiii
baba ameyagusa maishaa yanguu mume wangu sinaa
hakika ww ni baba unae jali
Amen.........
Such teachings are missing in churches that's why many marriages ain't lasting....
hatare
Wanaume wapone
Ameen
Sasa mbona unaumiza wengi roho jamani uuwiiii🙆
baba mchungaji na kauchumi kanatubana jamani
Wacha tumbapana na maisha 😂😂😂😂🤣
Amen baba sema tupone
Jimependa sanaaaa maubili yako mtumishi wa mungu
Amen
Hahahahahahah
mchungaji ubarikiwe kweli niwajibu wetu kuwatunza wake zetu
Ubarikiwe mpendwa kwa kuelewa hilo
Barikiwa mtumishi kwa somo zuri,hakika umeponya wanaume wengi