Njia (6) za kuondoa AIBU na kuweza kutengeneza kujiamini, network na connection

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 10. 2019
  • Jifunze jinsi ya kuondoa aibu na kuweza kutengeneza network na connection na watu na kukuza kujiamini. Nina uhakika ushawahi pitia hili au kama bado unalotatizo hili na linakusumbua unashindwa kabisa kuongea na watu/mtu au unashindwa kuwakilisha jambo fulani mbele za watu kwasababu ya aibu. In case kama ulikuwa ujui hili pia linaweza kuwa chachu ya kuchelewa kufikia mafanikio yako. Unashindwa kuinterrate na watu na hilo tatizo linaitwa Social anxiety. Na ndo maana baadaya kupata comment kutoka kwa mmoja wa subscribers wang nikaona nishare na wewe pia njia hii 6 za kuondoa aibu na kutengeneza network na connection na watu wanaokuzunguka au wapya na kuweza kufikia mafanikio yako. Karibu
    ....................................................................................................................................
    🔴 SUBSCRIBE MY CHANNEL 👇
    czcams.com/channels/k-G.html
    🔴Follow me on Instagram - / zahir11gome. .
    🔴Twitter - / zahir11gomelo
    🔴TAZAMA VIDEOS ZANGU ZINGINE AMBAZO UTAZIPENDA 👇👇
    ⚡ JINSI YA KUKUZA KUJIAMINI ZAIDI 2019/HOW TO BE CONFIDENT 2019
    • JINSI YA KUKUZA KUJIAM...
    ⚡Kwanini ni muhimu kuwa na VISION/MAONO katika maisha na kama hauna unawezaje kujua VISION yako/Maono yako- • Kwanini ni muhimu kuwa...
    ⚡Ni bora ufe ukijaribu Kuliko kukata tamaa katika ndoto zako ( Best Motivational Video) - • Ni Bora Ufe Ukijaribu ...
    ⚡Epuka Makosa haya 6 Kama unataka kufanikiwa katika maisha/biashara haraka
    • Epuka Makosa 6 Kama un...
    ⚡Jinsi ya kupanga Bajeti-50/30/20
    • Jinsi ya Kupanga Bajet...
    ⚡Je unapitia maisha magumu/wakati mgumu katika maisha? Usikate tamaa. Angalia Hii-
    • Je unapitia maisha mag...
    ⚡Angalia Hii : Kabla ujakata tamaa katika maisha
    • ANGALIA HII : Kabla uj...
    ⚡Jinsi ya kutengeneza na kuwa na pesa nyingi/Acha mambo haya matano (5)
    • JINSI YA KUTENGENEZA N...
    ⚡JILIPE MWENYEWE KWANZA
    • Jilipe wewe mwenyewe k...
    ⚡FIKRA/MAWAZO YA WATU WALIOFANIKIWA - • FIKRA/MAWAZO YA WATU W...
    ⚡ KWANINI UNAFELI KATIKA MAISHA NA UNASHINDWA KUFIKIA MAFANIKIO KATIKA MALENGO NA NDOTO ZAKO - • KWANINI UNAFELI KATIK...
    ⚡Siri 3 Jinsi ya kuweka malengo - • SIRI TATU ZA JINSI YA ...
    .....................................................................
    🔴Background Music from ROSS BUGDEN- INTERSTELLAR CZcams link
    czcams.com/channels/QKG.html...
    #aibu #network #connection
  • Jak na to + styl

Komentáře • 117

  • @GOnlinepositivity
    @GOnlinepositivity  Před 4 lety +13

    ⚡SLL⚡Kitendo cha kuwa na aibu ya kuongea na watu kimekuletea athari gani gani /kupoteza nini katika maisha.

    • @Juma_Content
      @Juma_Content Před 4 lety

      G Online nilimpoteza mchumba wangu

    • @GOnlinepositivity
      @GOnlinepositivity  Před 4 lety

      Pole sana husiruhusu next time ikutokee tena. Aibu inaharibu mambo mengi. Asante kwa comment yako

    • @Juma_Content
      @Juma_Content Před 4 lety +1

      Na chengine mi Nina wasiwasi na siwezi ku control mawazo yangu

    • @GOnlinepositivity
      @GOnlinepositivity  Před 4 lety +1

      Nina video ya hiyo soon. Ila kuwa na wasi wasi na mawazo yako hiyo inamaanisha unadoubt kichounachofikiri train akili kujiamini kwenye kila wazo lako na utaweza fanikisha kila unalowaza. Kila unaloona limefanikiwa lilianza kama wazo au mawazo.Jaribu kutuliza akili yako na jiamini

    • @jemairisparick7541
      @jemairisparick7541 Před 4 lety +1

      Being shy it has affected me for more than two years n for sure it has kept me away from even those who could help me alot expecially in my studies bt those who understand me they have been standing with me until I realized that I have lost very important pple bt right know it's like two weeks I can't believe my eyes I can't be stopped 💃💃 I opened up my mouth speak out confidently 👏👏👏 I appreciate your good work brother God bless you 😇

  • @tidythom9930
    @tidythom9930 Před 4 lety +6

    am so inspired ...i also escaped to give a morning speech when i was at school .....but thanks to u

  • @silasjoseph9220
    @silasjoseph9220 Před 4 lety +6

    Iko vizur sana be blessed keep it up kutuelimsha bro

  • @filvobrowbrown6238
    @filvobrowbrown6238 Před 4 lety +5

    masomo yako yanahelemisha na kufudisha watu🙏🙏🙏🙏🤲🙏🙏

  • @ngendakumanasalumdiki4885

    Iyo kweli. Songa mbele kijana.

  • @malimaabeid7779
    @malimaabeid7779 Před 4 lety +2

    Asante sana nimeongeza kitu katika maisha yangu

  • @katemajr9374
    @katemajr9374 Před 4 lety +4

    Shukrani Sana Kaka🙏🏾

  • @gabrielmauki1171
    @gabrielmauki1171 Před 4 lety +3

    Asante sana kaka

  • @kavamaangandengeaa2376
    @kavamaangandengeaa2376 Před 4 lety +2

    Ninzuri sana

  • @fatmaaliy7855
    @fatmaaliy7855 Před 3 lety +3

    Thank you so much

  • @mbelemmunga-ps4df
    @mbelemmunga-ps4df Před 2 měsíci

    aibu imenifanya nikose vitu vingi katika maisha yangu shulen nafel nikiwa nawatu najitenga yani imenifanya nisiwe bora kwasababu nilikua na shindwa ata kuuliza kitu nilikua sijuw ruga yaapa nilipo ivo sababu ya aibu imenifanya nichelewe kujua vitu vingi ila kwasa abu ya ushauri wako I hope nita badilika🙏🙏 ahsante

  • @lizzybahati9833
    @lizzybahati9833 Před 3 lety

    Ngoja nifanye mazoezi maana naibu sana Ahsante sana

  • @salmasaidi2875
    @salmasaidi2875 Před 4 lety +2

    Nikweli kabisaaa
    Shukran

  • @user-br7oo9hr8n
    @user-br7oo9hr8n Před 2 měsíci

    Asante xn

  • @joseefaidabutu7294
    @joseefaidabutu7294 Před 4 lety +3

    Asante

  • @franciscamoshi7671
    @franciscamoshi7671 Před měsícem

    Thank u.

  • @jenifamato-uc1jz
    @jenifamato-uc1jz Před rokem +1

    Kwanzia sasa nitajifunza kijiamini na kuongea vizur na watu bila aibu nakuangalia watu usoni Amen

  • @RashidJuma-e9d
    @RashidJuma-e9d Před měsícem

    Aibubimenifanya nifeli Sana katika masomo yangu,maranying ntakua muoga wa kuliza pale sipo elewa na kujipa usahihi wa jambo nililofanya Mimi mwenyewe.

  • @laralara3660
    @laralara3660 Před 3 lety

    Asante sana

  • @nusralilobwa4752
    @nusralilobwa4752 Před 4 lety +6

    Mungu akutangulie uzid kutuelimisha hakika inapendeza sana.

  • @footballskillsunited6250

    imenikosesha kazi nyingi sana

  • @mohammadahmer4818
    @mohammadahmer4818 Před 3 lety

    Asante san bro

  • @stefanojoseph4135
    @stefanojoseph4135 Před 4 lety +1

    Good job bro

  • @yazidulunda4649
    @yazidulunda4649 Před 4 lety +1

    Very story

  • @user-nj4wp5xz2p
    @user-nj4wp5xz2p Před 11 měsíci

    Thanks

  • @elikomsuya9667
    @elikomsuya9667 Před 4 lety

    Nakubali Kaka nmekuelewa

  • @crisantz2944
    @crisantz2944 Před 2 lety

    Asante kaka

  • @rickjoseph6274
    @rickjoseph6274 Před 3 lety

    Bro nikama ulikuwa unanizungumzia mm et sema maneno haya yame kuwa na impact kwangu nahs nisha pona. Thkxfuly

  • @mohamedissaak9203
    @mohamedissaak9203 Před 3 lety +1

    Shukran my brother mungu akujazie killa laa kheeri. Maana umetu nnufaisha na elimu ulio nayo thank you very much broooo👌👏

  • @leonardelias3636
    @leonardelias3636 Před 2 lety +2

    Aibu imenifanya niwe mtu mpweke na mtu mwenye uoga wa hali ya juu yaan imefkia sehemu na namuongopa mtu nimpendaye mpaka najihisi labda mimi nikimwongelesha huyu dem nahisi nitatukanwa

  • @NgaduNambajin
    @NgaduNambajin Před 26 dny

    naaibu sana nashindwa kuongea na watu najikuta mpweke

  • @rosemarymussa9453
    @rosemarymussa9453 Před 4 lety +6

    Asante bro...

  • @jenniferkanuya2029
    @jenniferkanuya2029 Před 2 lety

    Thank you so much brother nimejifunza kitu so i have to change my life style now

  • @jemairisparick7541
    @jemairisparick7541 Před 4 lety +4

    🙈🙈 That was my problem thanks brother l

  • @Issa_negro
    @Issa_negro Před 3 lety +2

    I've lost my girl friend kwa sababu ya kuwa na aibu tu...siwezi kuongea nae video call then akiniambia tutoke out ninakataa kufuatana nae

  • @abdulyrajabu6302
    @abdulyrajabu6302 Před 2 lety

    Nimepta somo zuli sana Jins ya kutokuwa na aibu

  • @judithkidiwa7973
    @judithkidiwa7973 Před 4 lety +2

    Mungu akubariki . Uzidi kutuelimisha

  • @NgaduNambajin
    @NgaduNambajin Před 26 dny

    na aibu sana nashindwa kuongea na watu najiisi mpweke sana

  • @ebenezerymetta358
    @ebenezerymetta358 Před 4 lety +3

    Shukrani sana kaka

  • @devotavomela3604
    @devotavomela3604 Před 3 lety +1

    Nice brother god bless u💥

  • @bakarimwasenga1707
    @bakarimwasenga1707 Před 4 lety +3

    #umeeleweka kaka

  • @faidaeliza3274
    @faidaeliza3274 Před 3 lety +1

    love you video for us 🇺🇸🇺🇸😘

  • @emanuelbernard6521
    @emanuelbernard6521 Před rokem

    Kuchekwa

  • @salumsaid8515
    @salumsaid8515 Před 7 měsíci

    Nimekuwa nikishindwa hata kuuliza maswali ninapokuwa chuo baada ya mwalimu kumaliza kusomesha au pale anapotoa nafasi ya kuchangia kitu pia nimekuwa nikishindwa kumfundisha mwenzangu kile tulichosomeshwa hata kama nimefahamu vizuri sana hasa hasa mwanamke

  • @neozoran244
    @neozoran244 Před 2 měsíci

    👊

  • @thaniyanassoro9783
    @thaniyanassoro9783 Před 3 lety

    asante sana kwan mm hiyo tabia nilikuwa nay aso now nitajifunza

  • @rahelchaula513
    @rahelchaula513 Před rokem

    🙏🙏🙏

  • @misspinadavid6320
    @misspinadavid6320 Před 3 lety +1

    Ahsantee Sana umenipa ujasir mungu hakujlie kwani napenda kuimba kwaya kanisani ila nahofu aibu imenijaa

  • @kingstonendawa8671
    @kingstonendawa8671 Před 3 lety +2

    Duh nashukuru sana kwayote umeongea ni sahihi kabsa.Mimi ni mfanyabyashara tatizo la aibu li menitesa kiukweli nimekuwa na tatizo la kushindwa kukutanisha macho nawatu hata wafanyakazi wangu wamekuwa wakiniaribia kuniibia na mengi maovu nimekuwa nikijihami kwa kuwafukuza ila hata nikileta wengine na wao wanakuja na yaleyale.kiukweli aibu yaweza kukupa karaha bada yaraha.Mungu akupe umri murefu afya njema mafundisho yako huwa yanatupa kujuwa muelekeo bola na sahihi

  • @loycerobson8639
    @loycerobson8639 Před rokem +1

    Tatizo langu kubwa ni uoga Mimi ni muoga huta kudai Haki yangu naogopa nifanyeje

  • @sylviacornely4688
    @sylviacornely4688 Před rokem

    kitendo Cha kuona aibu kimenifanya niishie peke peke, bila marafiki hata nakosa mtu wa kushare naye changamoto za maisha

  • @jassyjesca6543
    @jassyjesca6543 Před 2 lety

    Daah kinani Fanya nionekane shaif mbele za watu

  • @rashidsaid8365
    @rashidsaid8365 Před 3 lety +2

    aibu ilinikosesha pisi kali nyingi tu 😑

  • @peterwafula1522
    @peterwafula1522 Před rokem

    Kwanzia Leo niteza kuongea na watu bila uwoga nakuangaliana uso Kwa uso

  • @HalfaniJuma-tj4jr
    @HalfaniJuma-tj4jr Před 6 měsíci

    Aibu

  • @user-qd3fx3no6r
    @user-qd3fx3no6r Před rokem

    Kitendo cha kutwakujiamin kimenisababishia bishara yang kufaa

  • @bina2557
    @bina2557 Před měsícem

    Naanza haya mazoezi sasa

  • @vicentgeorgekindeketa7168

    Kutokujiami kumenikosesha mambo mengi Sana kielimu na kimaisha ki ujumla ninaomba nikushirikishe jambo langu kama utaweza kunisaidia

  • @annajaydenjayden3517
    @annajaydenjayden3517 Před 3 lety +1

    Nna tatizo kubwa Sana kisaikology na inanipelekea kufel katika kufikia malengo yangu tatizo kubwa n aibu nashindwa kumface hata mtu mmoja napochangamana na watu nahisi kuwa uncomfortable na nnashikwa na uoga saana ata nashindwa kutoka kukutana na watu tofaut muda mwingi nakuwa pekeangu ndan nahisi hili tatizo linaendelea kukua na umri wangu unazidi kwenda kabla nitimize ndogo muda mwingne nashinda nikilia nikihisi nmerogwa nahitaji msaada nahitaji mtu wa kunijenga kiakili na kunfunza mbo mengi nisiyoyajua nataman kuishi Kama watu wengne Ila nmeshndwa🙏

  • @salumsaid8515
    @salumsaid8515 Před 7 měsíci

    Niko na swali naomba nisaidie
    Je kitu gani kinaweza kuondosha kujiamini kwa mtu baada ya kuwa anajiamini mwanzo

    • @GOnlinepositivity
      @GOnlinepositivity  Před 3 měsíci

      Kuna mambo mengi ambayo yanaweza kuchangia mmomonyoko wa hali ya kujiamini kwa mtu, hata baada ya kujiamini mwanzoni. Baadhi ya mambo hayo ni pamoja na:
      Maoni Hasi au Ukosoaji: Maoni hasi yasiyobadilika au ukosoaji, iwe kutoka kwa wengine au kutoka kwa kujikosoa, kunaweza kuondoa hali ya kujiamini ya mtu hatua kwa hatua. Hii inaweza kutoka kwa wenzao, watu wenye mamlaka, au hata mazungumzo ya ndani ya mtu mwenyewe.
      Kufeli au Vikwazo: Kukabiliwa na kushindwa au vikwazo kunaweza kuwa pigo kwa kujiamini kwa mtu, hasa ikiwa mtu huyo anachukua vikwazo hivi kama kushindwa binafsi badala ya fursa za kujifunza. Kushindwa mara kwa mara au vikwazo vikubwa vinaweza kusababisha kupoteza kujiamini kwa muda.
      Kujilinganisha na Wengine: Kujilinganisha kila mara na wengine, haswa inapoonekana kuwa wengine wamefanikiwa zaidi au wana talanta, kunaweza kusababisha hisia za kutostahili na kupungua kwa kujiamini.
      Ukosefu wa Usaidizi: Kutokuwa na mazingira ya kuunga mkono au mfumo wa usaidizi kunaweza pia kuchangia kupungua kwa kujiamini. Kuhisi kutengwa au kutoungwa mkono kunaweza kufanya iwe vigumu kwa watu kujiamini na uwezo wao.

  • @Soccer_Life2
    @Soccer_Life2 Před 3 lety

    Alafu sisi wenye atujui kigerenza ndio atari nifanyeje? Brother

  • @saidimkubwa5158
    @saidimkubwa5158 Před 4 lety

    Mm ninahaya kwl na sijajuwa tatzo nini

    • @GOnlinepositivity
      @GOnlinepositivity  Před 3 lety

      Haujiamini ndo maana. Tengeneza KUJIAMINI kwanz then unaweza kumface yoyote bila haya.

  • @vickykurey9268
    @vickykurey9268 Před 2 lety

    Imesaidia naqbal

  • @floraemeeelias7840
    @floraemeeelias7840 Před 2 lety

    Aibu imeniletea kuto kupiga hatua kwenye maisha kwa mfano napenda kufanya biashara ila naona kuongea watu kabsa

  • @lizzybahati9833
    @lizzybahati9833 Před 3 lety

    Yaan ni mm kabisa niko na aibu so poa 😆😆😆

  • @shazmakhamis4991
    @shazmakhamis4991 Před rokem

    Kitendo chaaibu kimenipa hasara kubwa kwenye biashara yangu ya netwek kuongea Nawatu naona kama atanikosoa kiufup nakosa komfidens

  • @daudsilvan5521
    @daudsilvan5521 Před rokem

    namba zako za Whatsapp naomba

  • @husnaiiyas2489
    @husnaiiyas2489 Před 7 měsíci

    Asante sana

  • @mathameshac119
    @mathameshac119 Před 3 lety +1

    Asante

  • @NgaduNambajin
    @NgaduNambajin Před 26 dny

    na aibu sana nashindwa kuongea na watu najiisi mpweke sana

  • @mhelelaedward9728
    @mhelelaedward9728 Před 3 lety +2

    Na kwann mtu anatetemeka akiwa mbele ya watu

    • @GOnlinepositivity
      @GOnlinepositivity  Před 3 lety

      Ni kukosa kijiamini mbele za watu.Tips hizo zitasaidia , kama kuna mtu na tatizo hilo share naye hii video.Asante

  • @faizsalim2002
    @faizsalim2002 Před 2 lety

    Siwezi kujitoaa mbele za watu

    • @GOnlinepositivity
      @GOnlinepositivity  Před 2 lety

      Inakupasa ufanye hivyo sasa, unless utakosa connections nyingi na watu ambao kwa namna moja au nyingine wanaweza kukusaidia.

  • @kjhabarimedia6806
    @kjhabarimedia6806 Před 10 měsíci

    Asante

  • @NgaduNambajin
    @NgaduNambajin Před 26 dny

    na aibu sana nashindwa kuongea na watu najiisi mpweke sana

  • @NgaduNambajin
    @NgaduNambajin Před 26 dny

    na aibu sana nashindwa kuongea na watu najiisi mpweke sana

  • @mchmwal...z.a.ndelwa7838

    Asante