TABIA 7 ZITAKAZO HARIBU MAISHA YAKO/ACHA SASA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 18. 03. 2023
  • Tabia 7 zitakazo haribu maisha yako, ziache sasa. Rafiki tabia ni kitu ambacho kinaweza kukufanya ufikie malengo au kufeli .Inategemea na wewe ni tabia za aina gani ulizonazo.
    Kama- OG MANDINO - alivyosema “ Tabia nzuri ndo ufunguo wa maisha. Na tabia mbaya ni mlango wa kufeli”. Kwanhiyo leo nashare na wewe Tabia 7 zitazokuharibia Maisha Yako. Kama hautoziacha kwa haraka then zinaweza kuharibu maisha kabisa. Kama moja ya tabia hizi ni yako, so ni hatari kwa maisha yako. Kwahiyo ni bora ukireplace na tabia nzuri na kuokoa maisha yako.
    Asante kwa kuangalia , usisahau Kulike video hii, share na rafiki na Subscribe kwa video mpya kila wiki (Jumapili na alhamisi)!!
    -----------------------------------------------------------------------------------------------------
    🏆Lengo Langu 🏆"Ni kushare na wewe Masomo chanya juu ya mambo mbalimbali katika Maisha na kuhakikisha tunakuwa sehemu ya mafanikio yako.
    🔴Nimeanzisha Podcast yangu mpya inaitwa Gonline kwenye Afripods, link hii 👉 afripods.africa
    Usiache pia kuniandikia mawazo kwenye comment section na share kwa wengine pia ila wajifunze zaidi.
    🔴Nifuate IG- / gonline_pos. .
    BIASHARA, MATANGAZO, KUSHIRIKIANA NA USHAURI EMAIL: onlinemedia364@gmail.com WHATSAPP : (+255) 629-718385
    ..............................................................................................................
    #Tabia #Maishayako2023#Tabiambaya

Komentáře • 9

  • @CollisBill-mu3zp
    @CollisBill-mu3zp Před 3 měsíci +1

    Asante sana ...Namii naungana nawe

  • @soccerupdates5
    @soccerupdates5 Před rokem +2

    Kwanza kabisa Kaka mkubwa Mungu Akubariki Sana na channel yako iweze kuwafikia watu wengi Kiufupi umenifungua Akili yangu Katika vitu vingi Brother 🙏🙏🙏

  • @Neemaa098-yf9os
    @Neemaa098-yf9os Před 13 dny

    Asante

  • @EdsonJohn-og7cm
    @EdsonJohn-og7cm Před rokem +1

    Nasubilia SoMo Hilo kwa hamu kubwa Sana brother

  • @zuberikhalifa6703
    @zuberikhalifa6703 Před rokem +1

    ❤❤❤

  • @angelmollel2002
    @angelmollel2002 Před rokem

    Great Thanks

  • @zuberikhalifa6703
    @zuberikhalifa6703 Před rokem

    That's true brother

  • @simonrwiza9553
    @simonrwiza9553 Před rokem

    Kiukweli nilikuwa miongon mwa watu walioflkufatilia Sana lakin nilipoteza simu nikawa nimesahau akaunt yko lakin. Nashauri usiwe unaweka maongeza yakingereza tumia lugha nyepesi kueleweka nasi tutakuwa wateja wako chukua mfano kwa Joel nanauka. Kinachonivutia kwako nikuweka video yamifano juu ya unachokiongelea