KIJANA MZALENDO AWAVAA WABUNGE CCM "KUMPELEKA MPINA NEC NIKUVUNJA KATIBA YAO WALIFAA WAFUKUZWE"
VloĆŸit
- Äas pĆidĂĄn 3. 07. 2024
- KIJANA MZALENDO AWAVAA WABUNGE CCM "KUMPELEKA MPINA NEC NIKUVUNJA KATIBA YAO WALIFAA WAFUKUZWE"
đJE, NA WEWE UNA HABARI?
đWASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
đWhatsApp (+255 767 400402)
đEmail: mwanahalisitvnews@gmail.com
đKWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com
Kijana upo vizuri.Mpina. Atetewe .Tupo pamoja. kulitetea Taifa.
Sema baba, nchi hii tumekuwa watumwa, watawala hawana mpango wa kugusa maisha ya mwananchi wa kawaida, mfanyakazi wa uma, sana labda kutoza ushuru na kubuni utitiri wa kodi...Mungu tunusuru...đđđđđđ
Kiufupi wtz Bado hatuna akili Bado hatujawa pamoja katika mambo yanayotuhusu
Msukuma ni mnafiki kama wale wabunge wanafiki wengine
Wabunge wetu wanaendaga bungeni na hoja za mama samia sio wananchi,ndio maana wanaokaa upande wa wananchi wanakuwa waasi.
Jamani kwa swala hili la sukari mm acha niwe mmbaguzi,naomba bashe akae pembeni,tuhangaike kwanza na uraia wake(msomali).Tusitumie muda mwingi kubishana na raia wa nchi hii.
Utafika mbali nimekuelewa ngosha wangu,
â@@HildegardMasawe
C wanasema Mnyarwanda
đąđź
Watanzania tubadilike ili tutafute haki zetu kwa kuweka umoja wa pamoja.
â@@user-br1dn8bc3uhuyo ni msomali asilimia đŻ siongei Vibaya ila wasomali ni wa binafsi inje ndani
Tunapenda vijana kama hawa. Tobowa kijana watekaji watakuteka.wao nikuteka . Ccm hawawezi kusema chochote. Sana sana kusifia watu.waliandaliwa kunogesha,
up sahihi Mama Yetu kazungukwa namajizi Mmm Mungu Amtienguvu naulinzi
Msukuma na uyo muuzakahawa wa zamani ni wanafiki wakubwa.
Mpina tunakuombea wewe ni mzalendo wa kweli unae simamia haki na misingi ya chama chetu.
Ndugu zangu tulisimamia nchi kwa nguvu zetu zote pamoja na chama mpaka Leo bila kujali tofauti zetu.Hebu fuateni maadili tulioachiwa na waa sisi waliotutangulia.Chama ni chetu na tunahaki ya kudai nyendo ya wanaotuongoza.
Huyo Rais Mwenyewe yupoyupo tuu hajui chochote hata hajui nini maana ya uongozi
Wasukuma. Mkisona Sheria mnasumbua sana
Msukuma na Lusinde wamedilika sana hawajielewi
Mpina upo sahihi
Ivi kweli Mpina anakosa gani ?
Shule hamna
â@@willykomba8376Siyo kweli,shule siyo kipimo cha kuondoa ujinga
Tuwapuuze Mungu Atashughulika nao
Hiyo ilikua enzi hizo ccm ilikua zamani hivi ni waporaji siyo viongozi tena
Tena bila Makonda CCM watu waliichoka kama wakati wa Kikwete. Shida hakuna chama kingine cha maana. KotÄ wamejaa mafisadi. Katiba ibadilishwe watu wawe huru kushiriki kwenye siasa bila ya vyama
Professor Assad alishawahi kusema hili bunge ni dhaifu
Bila utaifa na si uchama bunge dhaifu litasitawi
Uko vizuri
Mpina alikuwa mtu wa jpm na ndiyo maana kuna makundi ndani ya ccm hawamtaki Luhanga mpina same kwa bashiru, polepole na wengine wengi
Hata Tulia alikuwa wa JPM tatizo la mpina siyo mnafiki anaipenda Tanganyika yake kuliko hao wengine
Nchi yetu sisi hatupendi kuambiwa ukweli na shangilia mambo ya hovyo ndo maana mmi nashangaa watanzania tume
Inasemekana wakenya wanajitambua na kujua kutetea haki zao eti kwa sababu wamefanikiwa kielimu tofauti na sisi watanzania wengi ambao sio wasomi!
Kwa hoja kama hizo hutudumaza sana hazipaswi kutufanya kuridhika na kusubiri lini tuwe na idadi kubwa ya wasomi au wakina Mpina wengi kutufundisha kujitetea katika nchi yetu bali kuna wakati tuyatambue majira na nyakati. Tuwe na maamuzi ya kutenda na kusema kama nyeusi ni nyeusi kama ni nyeupe. Kwa kweli kama tutasubiri taifa lijae wasomi wengi basi majira na nyakati havitatusubiri.
Nchi hii sijui tutafunguka lini tujifinze hata Kwa majilani Kenya tulipende nchi yetu anaye chezea nchi yetu awe adaui wetu
Mbunge Msukuma na huyo mwenzake wanakosa confidence kujipambanua. Hoja zao inaonyesha wazi kabisa wao wanafuata upepo ili wawe kwenye kundi mamuluki na ili wapate huruma za kundi mamuluki. Ningependa kumshauri Mbunge Msukuma na yule mwenzake ni Bora na ikawa busara zaidi kwao mambo kama hayo ya kucheza na haki ya kura za watanzania ni Bora wawe wanapiga kimya ili wawaache wenye kupiga dili na maslahi yao binafsi wapambane na matokeo na laana ya haki za watanzania.
Tupilia mbali CCM.
Katiba
Msukuma kw wa ovyo ck hizi elimu yake kweli ni ya chini msukuma anatetea mambo ya hovyo bungeni kaathirika kisaikologia hana point tena anatetea ufusadi
Mpina ndiyo mbunge wengine mama kapiga mwingi , ipite ipite yaani ni kama wamezakiwa na wanyama sometime watu wanatekwa bunge kimya haya sasa tuseme bunge linajua mambo yanayo endelea na kukaa kumya siyo hatuna bunge linalotenda kazi tuna bunge picha na wachumia tumbo tu
Musukuma na Lusinde walijuwa waterezi wa haki. Kwa hili kuna mawili. Pengine kwa elimu yawo ndogo hawakuelewa. Ama kwa woga wa kutengwa, wanejiunga na wapigaji. Unampelekaje mbunge NEC mutetezi wa mali za umma unamwacha mpigaji. Kweli CCM kuna kazi.
0
hapa Kwa ka msukuma ni elimu ndogo, katiba mpya kigezo elimu iwe kuanzia 4m4 na awe anajua vizuri English maana hapa msukuma alimwona bashe binge la msomi bila kutafakari malezo anayotoa Kwa vile tu bashe alikuwa akichanganya na English
@@piusmaduka ukisema kuwa mbunge wa Tanzania lazima ujuwe English. Huo utakuwa uonevu. English kutakuwa hakuna wabunge. Kujuwa kiingereza sio usomi. Ni kuelewa sheria na haki za nchi. Karibu wabunge wote hawajui kiingereza, sio MÄ kosa yawo ni lugha hatuitumii. Kenya kiingereza ni lugha ya taifa. Wakaona wakubali Kiswahili pia kutumika. Kuna woga fulani kwa sasa. Kuna kundi limeiteka nchi. Hawa hawaguswi hata wakikosea. Rais amekuwa kama Mungu wa pili. Bungeni kwanza wanamuomba Mungu kisha Rais Samia. Maajabu haya. Tunaelekea pabaya. Tunazidi kupumbaa
â@@Mima-cl2imumeongea vema sana,hongera sana.
Hili Dili siyo la mtu mmoja,hii sukari +msamaha wa Kodi Ni mabilioni ya pesa,hata viwanda vya ndani vikifa wao wameshachukua Chao,hovyo kabisa!
Si mlikuwa hamumuelewi hayati JPM sasa ndio muone
Spika aitishe mkutano wa waandishi wa habari ajibu hoja muhimu kwasasa. Amechukua hatua kwa mbunge ameacha tuhuma nzito na kuzifunika.
SAWA kabisa, viongozi wetu wanalelewa na wizi kutoka kitovuni
Tutakutana 2025 tumechoka!
Kabisa kaka
Nchii yangu Tz ni nchii pekee ambayo viongozi Wana haki ya kufanya wanacho jisikia Wana haki ya kuvunja Sheria walizo ziweka wenyewe, wanafuja Mali za Nchi na hawachu kuliwi Sheria, ndio maana kila mwana siasa anataka kuwa kilanja akikosa huku anatimkia kule kwa masilahi ya tumbo lake na familia yake
Mpppppin âïžâïžâïžâïžâïž
Izo ni janja miongoni mwa mbinu za ccm hakuna kitu
Upo vizuri
Huku lake zone bwana ccm ifanye kazi ya ziada Kuna Siri kubwa mno wanawaficha tu kina msukuma wajanja,lkn mpina ni muwazi musukuma hataki mpina anaharaka ,
Yani spika ametuonyesha kuwa hoja za mpina zipo sawa ispokuwa Mpina amemkosea Spika kwa kuongea na waandishi. đđđđ
Walitaka wafanye siri kama bandari ?
Mimi binafsi naona spika katukosea watanzania kwa kutaka kutuficha kile alichotuambia mpina. Mpina ni mzalendo wa kweli.
Jamani ndugu zangu tumuombee Sana Mpina wetu pia tuungane kwa maombi nchi hii tunaumia saaana kwa Sasa Bungeni hawajui kutatua shida za wananchi kazi yao Ni umeupiga mwingi đ tuawasubili 2025
Eti jimbo lipo serias kumuweka mtu darasa la saba msukuma ,lusinde mptupishe bhana not u're Time now
MPINA ni mbunge anaejielewa kati ya wabunge wa ccm.
Bora mnyang,anywe ng,ombe ikiwezekana mpaka wamalizwe wote ili muendelee kuikumbatia CCM huko kanda ya ziwa
Mpina hajakosea chochote watanzania wanawaona kwa jicho la kuzumu
Mpina nakupa kura yangu
Hapa tuachane na vyama havitusaidii tuungane kama wakenya kudai haki zetu
Mmmh lile Sukuma gang tuliambiwa naanza kuwaona watu wake kwa sisi tulio soma "cuba'
Msukuma hua ni mnafki mm hua simuelewi mule hua amekaa kama zekomed ,na Wala haendan na ubunge, yaan hata kipind Cha magu alijifnya yupo vzr ,alafu Leo hii awam nyngne anakua kinyume na mwanzo ,ni mnafki mno ,aende tu afanye uigizaji wa zekomed Wala humo bungen hapamfai, maana amekaa kwa mfumo wakichawa
Natamani kumfahamu Kidata. Tupo Vidata wenzie wengi sana
Wote mnaopayuka hamna kazi mpina nani hakuna m wananchi anaetetewa na mpina msituhusishe tupo na bashe msituletee udimi wenu tumawajua waliostahiri kuwa na uchungu na nchi hii wametulia kimya bashe tccia bagamoyo tumain Lao kwako na bodi fanya kazi
Viongozi wa dini wengi ni na hawa.
Mbunge msukuma ni mnafiki sana, Hajitambui kabisa,
Msukuma shida sana
Chawa
Tumwombee msikuma aache unafiki na maneno mengi
Spika hapo umefeli sana
Siku hizi hakuna mtu mnafki kama msukuma zama Hali kuwa mtu safi ila Sasa alishakewa sifa
hilo ndilo tatizo la kua na bunge la chama kimoja.đą
Mimi ni ccm tokea mwaka 1972.nilichukuliwa. ukonga magereza. Tuwe pamoja baya tukemee tusiwachiye wapinzani
Itafika mwishotuu
Ndivyo ilivyo m ccm ivyo unavyo ongea kamacho miccm inakutolea macho
Mbona unasema wale walosema amekosea tu,
Sema na walosema Hakukosea kama wapo.> kama hawapo basi ni wabunge chawa tu!
Hatuna viongozi tanzania đčđż
Tatizo la mpina alitangaza kwenye vyombo vya habari wakati suala lilikua linafanyiwa maamuzi.
Hapana bwan umeongea vizuri lakina viongozi wa makanisa wanaokopa wanambiwa watakuwa wameingilia serikali kumbuka sakata la bandari
Sasa ivi wachungaji wanaogopa kuwaambia watu dhambi zao ndiomana hawahawa viongozi wasio waadilifu wanapeleka michango ya pesa wayoiba kwenye nyumba ya mungu na kuwafichia siri
Of coz
Wafugaji ni washenzi
Kwamba ccm wana wanachama milioni 34. Huyo ni Amos makala ila hii nchi
Hapo tuna spika hatuna wabunge kwanza haua ndio madhala ya kuwapa nchi wanawake sasa vilio kila kona taifa liko hoi
Hii tabia ya kuongea kwa sauti kubwa ni kuonesha msisitizo au ni hasira
Msisitizo
Kaka kuporwa mifugo nikushauri tu wananchi waache kuingaza mifugo kwenye maaeneo yaliyo hifadhiawa vinginevyo tunatwngeza jangwa wenyewe na hatutakuwa na wakumlaumu
Wasukuma wameanza kuchangamkađđđđđđ
Kupata kura kwa wasukuma ni kazi wamrudishe tu Mpina huyu Msukuma na yule Mgogo kazi yao kubwa ni uchawa tu Nsukuma kwenye Bandari alikuwa mnafiki vilevile hana lolite
dar jamani
Wakatoliki hatujasema chochote hadi sasa! Mimi nivumilie hadi lini?
Yaan mnasema tu ukabila haufai lkn huko mbeleni mm naona utafaa tu
Hakuna aliye juu ya Sheria
Nyerere alisema tuwashughulikie je tunawashughulikia sasa? Speaker anatushangaza sana kwa kweli hatuna bunge sisi bali tuna gereza la kuhukumu wanainchi. Sisi wanainchi tumefanya nini? Tunatakiwa kuenda mpaka bungeni kupika kelele kwa ajili ya Mbunge wetu Mpina.
Hakuna haki hapa tanzania wafanyakazi sekta binafisi hawapati mikopo kisa mikataba ya mwaka mmoja
Wabunge wte waliomsema vibaya mpina ni wanafiki na hawajielewi
Nalo neno kijana
Hata akienda mahamani hamuna mahaka Wala bunge ya mdee na wenzake yameisha yeye anajua aludi nyumbani kama amekata uchawa basi na ubunge kwisha
atari sana tz waziri asiekuwa raiya wa nchi usika lakini anawakimbiza mpaka basi, dah hii kari tz!.
Sio kweli, mwaka 1961, watu wote, wakuwemo ndani siku tarehe Tanganyika ilipo pata UHURU walihesabika kuwa ni raia. Tuwe tunarejea nyaraka na hotuba za viongozi wa nyakati hizo. Kizazi hiki hakijui historia hii. Bahati mbaya na kundi la vijana kwenye vyama vyetu ukiwasikiliza hawajui historia yetu. Ingawa tayari Mabega juu maana wao ni watawala wetu wa baadaye.
Mambo yatabadilika mapema kuliko wanavyodhani
Ila msukuma na tabasamu. Uchawa unawapunguzia heshima
Ukiona mbwa juu ya mti.
Mpina hawezi kuungwa mkono na wabunge kwani hahongeki
Viongozi wa dini wanaaminiwa na masikini tu nchi hii
Ndg yangu bunge letu limeingiliwa na wachawi haiwezekani watu tulio wachagua wafanye comedian kwa Watanzania.
Seo
Hatuna wabunge nchi hii
Msukuma na lusinde hakuna wabunge hapo
Mpina mbona alipima Zamani Kwa rula hukuongea wakati akiwa mifugo acha makasiriko wewe mbona Kama unapiga kampeni mapema Acho roho mbaya wewe huyo Umar mtetea ana Aya ya kwake
.Musimulaum musukuma Tunalaumu WASUKUMA WALIOKOSA WASOMI WA KUPELEKA BUNGENI WAKANGUKIA DARASA LA SABA. WAILIMUONEA SANA.)
Kule korogwe, wananchi walichangia wasomi,baadae wakaona wasomi hawasadii, wakaona wachague mwezao mganga mpiga ramli. Mfumo wenye njaa ya kutengeneza unaweza kumleta kiongozi wa aina yoyote. Raia tukifikia kuwachambua wasaka uongozi kama tunavyochambua wachezaji wa mpira, hao wabunge vilaza hawezi kuchaguliwa.
Huyo mama samia hana mpango, hata yule kijana kichoma moto picha ya rais samia ni sawa sawa tuuu samia hakuchaguliwa awe president so it wa just luck baada ya rais wa kweli kufariki
Mfumo wetu wa uchaguzi mgombea Urais anakuwa na mwenza hivyo ni kusema kuwa unachagua watu wawili yaani mgombea urais na mwenzi wake ambaye atakuwa Makamo wake wa Rais
Kwenye uvuvi umeongea kweli.....uvuvi haramu umemaliza samaki.....wakati wa Mpina na JPM UVUVI HAULUWA NA HASARA....WAVUVI HALALI TULIPATA FAIDA KUBWA SANA....LEO...mmmhmm. ..... Wengi wamepaki boti zao...
Bashe nyuma yake kuna asiyesemwa MUNGU wa Tz
Musukuma nilikuwa na muona wa maana kumbe zero kabisa [rushwa hupofusha]
Bunge la mchongo tz wachumiya tumbo
Ccmupigenikazi mbakatuse hizonikelelezaumbu
Alooooo
Msukuma tatizo shule nasikia hajasoma
Watumishi feki wapo sana
Viongozi kweli hatuna na hii serikali ni upuuzi mtupu
Hakuna atakaye fungwa wala kufukuzwa kazi wakiwajibishwa mimi nitaomba uraiya kwenda DRC nisiwepo.
Msukuma ni takataka
Je biblia na kurani ni ya viongozi wa dini tu? ???
Wabheja ngosha
Jamani hili bunge mnalijuwa ni la imla hawakuchaguliwa waliteuliwa na Magu. Hawajui lolote ni machawa sio watetezi.