KIJANA MZALENDO AWAVAA WABUNGE CCM "KUMPELEKA MPINA NEC NIKUVUNJA KATIBA YAO WALIFAA WAFUKUZWE"

SdĂ­let
VloĆŸit
  • čas pƙidĂĄn 3. 07. 2024
  • KIJANA MZALENDO AWAVAA WABUNGE CCM "KUMPELEKA MPINA NEC NIKUVUNJA KATIBA YAO WALIFAA WAFUKUZWE"
    🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
    🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
    🔘WhatsApp (+255 767 400402)
    🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
    🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com

Komentáƙe • 199

  • @johakhimu.mgembe.3297
    @johakhimu.mgembe.3297 Pƙed 20 dny +13

    Kijana upo vizuri.Mpina. Atetewe .Tupo pamoja. kulitetea Taifa.

  • @jumakisailo8496
    @jumakisailo8496 Pƙed 3 dny

    Sema baba, nchi hii tumekuwa watumwa, watawala hawana mpango wa kugusa maisha ya mwananchi wa kawaida, mfanyakazi wa uma, sana labda kutoza ushuru na kubuni utitiri wa kodi...Mungu tunusuru...😭😭😭😭😭😭

  • @MasterG-dc1tx
    @MasterG-dc1tx Pƙed 20 dny +18

    Kiufupi wtz Bado hatuna akili Bado hatujawa pamoja katika mambo yanayotuhusu

  • @jumaabdalla3374
    @jumaabdalla3374 Pƙed 16 dny +3

    Msukuma ni mnafiki kama wale wabunge wanafiki wengine

  • @mtakamatv
    @mtakamatv Pƙed 20 dny +10

    Wabunge wetu wanaendaga bungeni na hoja za mama samia sio wananchi,ndio maana wanaokaa upande wa wananchi wanakuwa waasi.

  • @user-gc1ez1yv4k
    @user-gc1ez1yv4k Pƙed 20 dny +18

    Jamani kwa swala hili la sukari mm acha niwe mmbaguzi,naomba bashe akae pembeni,tuhangaike kwanza na uraia wake(msomali).Tusitumie muda mwingi kubishana na raia wa nchi hii.

    • @HildegardMasawe
      @HildegardMasawe Pƙed 19 dny

      Utafika mbali nimekuelewa ngosha wangu,

    • @user-br1dn8bc3u
      @user-br1dn8bc3u Pƙed 17 dny

      ​@@HildegardMasawe
      C wanasema Mnyarwanda
      😱😼

    • @annambele789
      @annambele789 Pƙed 10 dny

      Watanzania tubadilike ili tutafute haki zetu kwa kuweka umoja wa pamoja.

    • @stevenlugojeremia2323
      @stevenlugojeremia2323 Pƙed 3 dny

      ​@@user-br1dn8bc3uhuyo ni msomali asilimia 💯 siongei Vibaya ila wasomali ni wa binafsi inje ndani

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza Pƙed 20 dny +11

    Tunapenda vijana kama hawa. Tobowa kijana watekaji watakuteka.wao nikuteka . Ccm hawawezi kusema chochote. Sana sana kusifia watu.waliandaliwa kunogesha,

  • @Hagai-oh4ti
    @Hagai-oh4ti Pƙed dnem

    up sahihi Mama Yetu kazungukwa namajizi Mmm Mungu Amtienguvu naulinzi

  • @selemsigala4771
    @selemsigala4771 Pƙed 20 dny +18

    Msukuma na uyo muuzakahawa wa zamani ni wanafiki wakubwa.
    Mpina tunakuombea wewe ni mzalendo wa kweli unae simamia haki na misingi ya chama chetu.

    • @EmmanuelMollel-du6lh
      @EmmanuelMollel-du6lh Pƙed 17 dny

      Ndugu zangu tulisimamia nchi kwa nguvu zetu zote pamoja na chama mpaka Leo bila kujali tofauti zetu.Hebu fuateni maadili tulioachiwa na waa sisi waliotutangulia.Chama ni chetu na tunahaki ya kudai nyendo ya wanaotuongoza.

    • @Ambwene
      @Ambwene Pƙed 15 dny

      Huyo Rais Mwenyewe yupoyupo tuu hajui chochote hata hajui nini maana ya uongozi

  • @dida_official
    @dida_official Pƙed 18 dny +2

    Wasukuma. Mkisona Sheria mnasumbua sana

  • @marianamontoedi1318
    @marianamontoedi1318 Pƙed 20 dny +12

    Msukuma na Lusinde wamedilika sana hawajielewi
    Mpina upo sahihi

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b Pƙed 20 dny +9

    Hiyo ilikua enzi hizo ccm ilikua zamani hivi ni waporaji siyo viongozi tena

    • @Mima-cl2im
      @Mima-cl2im Pƙed 20 dny +1

      Tena bila Makonda CCM watu waliichoka kama wakati wa Kikwete. Shida hakuna chama kingine cha maana. Kotę wamejaa mafisadi. Katiba ibadilishwe watu wawe huru kushiriki kwenye siasa bila ya vyama

  • @SelemaniIkombe-y8q
    @SelemaniIkombe-y8q Pƙed 19 dny +2

    Professor Assad alishawahi kusema hili bunge ni dhaifu

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward Pƙed 17 dny

      Bila utaifa na si uchama bunge dhaifu litasitawi

  • @JOSEPHMwakibinga
    @JOSEPHMwakibinga Pƙed 9 hodinami

    Uko vizuri

  • @MeenaHassan-fd9vv
    @MeenaHassan-fd9vv Pƙed 19 dny +6

    Mpina alikuwa mtu wa jpm na ndiyo maana kuna makundi ndani ya ccm hawamtaki Luhanga mpina same kwa bashiru, polepole na wengine wengi

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa Pƙed 16 dny

      Hata Tulia alikuwa wa JPM tatizo la mpina siyo mnafiki anaipenda Tanganyika yake kuliko hao wengine

  • @FilbertKalembe-fy4oq
    @FilbertKalembe-fy4oq Pƙed 17 dny +1

    Nchi yetu sisi hatupendi kuambiwa ukweli na shangilia mambo ya hovyo ndo maana mmi nashangaa watanzania tume

  • @samwelshepa8443
    @samwelshepa8443 Pƙed 19 dny +1

    Inasemekana wakenya wanajitambua na kujua kutetea haki zao eti kwa sababu wamefanikiwa kielimu tofauti na sisi watanzania wengi ambao sio wasomi!
    Kwa hoja kama hizo hutudumaza sana hazipaswi kutufanya kuridhika na kusubiri lini tuwe na idadi kubwa ya wasomi au wakina Mpina wengi kutufundisha kujitetea katika nchi yetu bali kuna wakati tuyatambue majira na nyakati. Tuwe na maamuzi ya kutenda na kusema kama nyeusi ni nyeusi kama ni nyeupe. Kwa kweli kama tutasubiri taifa lijae wasomi wengi basi majira na nyakati havitatusubiri.

  • @francissimwinga-gb2vd
    @francissimwinga-gb2vd Pƙed 19 dny +1

    Nchi hii sijui tutafunguka lini tujifinze hata Kwa majilani Kenya tulipende nchi yetu anaye chezea nchi yetu awe adaui wetu

  • @samwelshepa8443
    @samwelshepa8443 Pƙed 19 dny +1

    Mbunge Msukuma na huyo mwenzake wanakosa confidence kujipambanua. Hoja zao inaonyesha wazi kabisa wao wanafuata upepo ili wawe kwenye kundi mamuluki na ili wapate huruma za kundi mamuluki. Ningependa kumshauri Mbunge Msukuma na yule mwenzake ni Bora na ikawa busara zaidi kwao mambo kama hayo ya kucheza na haki ya kura za watanzania ni Bora wawe wanapiga kimya ili wawaache wenye kupiga dili na maslahi yao binafsi wapambane na matokeo na laana ya haki za watanzania.

  • @paull8659
    @paull8659 Pƙed 20 dny +8

    Tupilia mbali CCM.

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 Pƙed 11 dny

    Msukuma kw wa ovyo ck hizi elimu yake kweli ni ya chini msukuma anatetea mambo ya hovyo bungeni kaathirika kisaikologia hana point tena anatetea ufusadi

  • @danielkanso
    @danielkanso Pƙed 8 dny

    Mpina ndiyo mbunge wengine mama kapiga mwingi , ipite ipite yaani ni kama wamezakiwa na wanyama sometime watu wanatekwa bunge kimya haya sasa tuseme bunge linajua mambo yanayo endelea na kukaa kumya siyo hatuna bunge linalotenda kazi tuna bunge picha na wachumia tumbo tu

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im Pƙed 21 dnem +29

    Musukuma na Lusinde walijuwa waterezi wa haki. Kwa hili kuna mawili. Pengine kwa elimu yawo ndogo hawakuelewa. Ama kwa woga wa kutengwa, wanejiunga na wapigaji. Unampelekaje mbunge NEC mutetezi wa mali za umma unamwacha mpigaji. Kweli CCM kuna kazi.

    • @kadasoemmanuel
      @kadasoemmanuel Pƙed 20 dny +2

      0

    • @piusmaduka
      @piusmaduka Pƙed 20 dny +3

      hapa Kwa ka msukuma ni elimu ndogo, katiba mpya kigezo elimu iwe kuanzia 4m4 na awe anajua vizuri English maana hapa msukuma alimwona bashe binge la msomi bila kutafakari malezo anayotoa Kwa vile tu bashe alikuwa akichanganya na English

    • @Mima-cl2im
      @Mima-cl2im Pƙed 20 dny +3

      @@piusmaduka ukisema kuwa mbunge wa Tanzania lazima ujuwe English. Huo utakuwa uonevu. English kutakuwa hakuna wabunge. Kujuwa kiingereza sio usomi. Ni kuelewa sheria na haki za nchi. Karibu wabunge wote hawajui kiingereza, sio Mąkosa yawo ni lugha hatuitumii. Kenya kiingereza ni lugha ya taifa. Wakaona wakubali Kiswahili pia kutumika. Kuna woga fulani kwa sasa. Kuna kundi limeiteka nchi. Hawa hawaguswi hata wakikosea. Rais amekuwa kama Mungu wa pili. Bungeni kwanza wanamuomba Mungu kisha Rais Samia. Maajabu haya. Tunaelekea pabaya. Tunazidi kupumbaa

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz Pƙed 20 dny

      ​@@Mima-cl2imumeongea vema sana,hongera sana.

    • @brysonkaale3003
      @brysonkaale3003 Pƙed 19 dny +2

      Hili Dili siyo la mtu mmoja,hii sukari +msamaha wa Kodi Ni mabilioni ya pesa,hata viwanda vya ndani vikifa wao wameshachukua Chao,hovyo kabisa!

  • @jumaabdalla3374
    @jumaabdalla3374 Pƙed 16 dny +1

    Si mlikuwa hamumuelewi hayati JPM sasa ndio muone

  • @ayoubmtumishi50
    @ayoubmtumishi50 Pƙed 18 dny +1

    Spika aitishe mkutano wa waandishi wa habari ajibu hoja muhimu kwasasa. Amechukua hatua kwa mbunge ameacha tuhuma nzito na kuzifunika.

  • @MukameMachel
    @MukameMachel Pƙed 13 dny

    SAWA kabisa, viongozi wetu wanalelewa na wizi kutoka kitovuni

  • @user-xx8fb4ed5u
    @user-xx8fb4ed5u Pƙed 20 dny +9

    Tutakutana 2025 tumechoka!

  • @alfagindo7814
    @alfagindo7814 Pƙed dnem

    Nchii yangu Tz ni nchii pekee ambayo viongozi Wana haki ya kufanya wanacho jisikia Wana haki ya kuvunja Sheria walizo ziweka wenyewe, wanafuja Mali za Nchi na hawachu kuliwi Sheria, ndio maana kila mwana siasa anataka kuwa kilanja akikosa huku anatimkia kule kwa masilahi ya tumbo lake na familia yake

  • @user-wg3yu5uy4w
    @user-wg3yu5uy4w Pƙed 12 hodinami

    Mpppppin ☑☑☑☑☑

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 Pƙed 11 dny

    Izo ni janja miongoni mwa mbinu za ccm hakuna kitu

  • @GabrielMwakasege-sx9wv
    @GabrielMwakasege-sx9wv Pƙed 18 dny

    Upo vizuri

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 Pƙed 17 dny

    Huku lake zone bwana ccm ifanye kazi ya ziada Kuna Siri kubwa mno wanawaficha tu kina msukuma wajanja,lkn mpina ni muwazi musukuma hataki mpina anaharaka ,

  • @ayoubmtumishi50
    @ayoubmtumishi50 Pƙed 18 dny +6

    Yani spika ametuonyesha kuwa hoja za mpina zipo sawa ispokuwa Mpina amemkosea Spika kwa kuongea na waandishi. 😂😂😂😂

    • @mariamfaicalhassan2890
      @mariamfaicalhassan2890 Pƙed 11 dny

      Walitaka wafanye siri kama bandari ?

    • @user-jj7qv7kh2s
      @user-jj7qv7kh2s Pƙed 9 dny

      Mimi binafsi naona spika katukosea watanzania kwa kutaka kutuficha kile alichotuambia mpina. Mpina ni mzalendo wa kweli.

  • @ConnieJohn-ts9rp
    @ConnieJohn-ts9rp Pƙed 18 hodinami

    Jamani ndugu zangu tumuombee Sana Mpina wetu pia tuungane kwa maombi nchi hii tunaumia saaana kwa Sasa Bungeni hawajui kutatua shida za wananchi kazi yao Ni umeupiga mwingi 🙄 tuawasubili 2025

  • @user-jy4pm3hh9s
    @user-jy4pm3hh9s Pƙed 17 dny

    Eti jimbo lipo serias kumuweka mtu darasa la saba msukuma ,lusinde mptupishe bhana not u're Time now

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x Pƙed 19 dny

    MPINA ni mbunge anaejielewa kati ya wabunge wa ccm.

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds Pƙed 20 dny

    Bora mnyang,anywe ng,ombe ikiwezekana mpaka wamalizwe wote ili muendelee kuikumbatia CCM huko kanda ya ziwa

  • @MichaelNkungu-on1ub
    @MichaelNkungu-on1ub Pƙed 14 dny

    Mpina hajakosea chochote watanzania wanawaona kwa jicho la kuzumu

  • @GodfreyKiyeyeu
    @GodfreyKiyeyeu Pƙed 12 dny

    Mpina nakupa kura yangu

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k Pƙed 16 dny

    Hapa tuachane na vyama havitusaidii tuungane kama wakenya kudai haki zetu

  • @user-uy5nx1bj5r
    @user-uy5nx1bj5r Pƙed 17 dny

    Mmmh lile Sukuma gang tuliambiwa naanza kuwaona watu wake kwa sisi tulio soma "cuba'

  • @user-hu9bf7nw4c
    @user-hu9bf7nw4c Pƙed 18 dny

    Msukuma hua ni mnafki mm hua simuelewi mule hua amekaa kama zekomed ,na Wala haendan na ubunge, yaan hata kipind Cha magu alijifnya yupo vzr ,alafu Leo hii awam nyngne anakua kinyume na mwanzo ,ni mnafki mno ,aende tu afanye uigizaji wa zekomed Wala humo bungen hapamfai, maana amekaa kwa mfumo wakichawa

  • @bonifacerobert2960
    @bonifacerobert2960 Pƙed 18 dny

    Natamani kumfahamu Kidata. Tupo Vidata wenzie wengi sana

  • @user-ox9cu9hx2r
    @user-ox9cu9hx2r Pƙed 17 dny

    Wote mnaopayuka hamna kazi mpina nani hakuna m wananchi anaetetewa na mpina msituhusishe tupo na bashe msituletee udimi wenu tumawajua waliostahiri kuwa na uchungu na nchi hii wametulia kimya bashe tccia bagamoyo tumain Lao kwako na bodi fanya kazi

  • @user-so8fm4jm3v
    @user-so8fm4jm3v Pƙed 20 dny +1

    Viongozi wa dini wengi ni na hawa.

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s Pƙed 20 dny +15

    Mbunge msukuma ni mnafiki sana, Hajitambui kabisa,

  • @VictorZimba-kg3xr
    @VictorZimba-kg3xr Pƙed 12 dny

    Spika hapo umefeli sana

  • @user-bd1jv7oi3j
    @user-bd1jv7oi3j Pƙed 16 dny

    Siku hizi hakuna mtu mnafki kama msukuma zama Hali kuwa mtu safi ila Sasa alishakewa sifa

  • @abdulsalaamkahttan1037
    @abdulsalaamkahttan1037 Pƙed 17 dny

    hilo ndilo tatizo la kua na bunge la chama kimoja.😱

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza Pƙed 20 dny +3

    Mimi ni ccm tokea mwaka 1972.nilichukuliwa. ukonga magereza. Tuwe pamoja baya tukemee tusiwachiye wapinzani

  • @DamasAmos-ue2gh
    @DamasAmos-ue2gh Pƙed 19 dny

    Ndivyo ilivyo m ccm ivyo unavyo ongea kamacho miccm inakutolea macho

  • @xaixaiobrigado4846
    @xaixaiobrigado4846 Pƙed 20 dny

    Mbona unasema wale walosema amekosea tu,
    Sema na walosema Hakukosea kama wapo.> kama hawapo basi ni wabunge chawa tu!

  • @Ambwene
    @Ambwene Pƙed 15 dny

    Hatuna viongozi tanzania đŸ‡č🇿

  • @ramadhanikapona4317
    @ramadhanikapona4317 Pƙed 17 dny

    Tatizo la mpina alitangaza kwenye vyombo vya habari wakati suala lilikua linafanyiwa maamuzi.

  • @FilbertKalembe-fy4oq
    @FilbertKalembe-fy4oq Pƙed 17 dny

    Hapana bwan umeongea vizuri lakina viongozi wa makanisa wanaokopa wanambiwa watakuwa wameingilia serikali kumbuka sakata la bandari

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq Pƙed 20 dny

    Sasa ivi wachungaji wanaogopa kuwaambia watu dhambi zao ndiomana hawahawa viongozi wasio waadilifu wanapeleka michango ya pesa wayoiba kwenye nyumba ya mungu na kuwafichia siri

  • @MalijasJRCharles-vl2rq
    @MalijasJRCharles-vl2rq Pƙed 18 dny

    Of coz

  • @yasiniSwedi-qg5oc
    @yasiniSwedi-qg5oc Pƙed 7 dny

    Wafugaji ni washenzi

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x Pƙed 19 dny

    Kwamba ccm wana wanachama milioni 34. Huyo ni Amos makala ila hii nchi

  • @DaimonMwapelele
    @DaimonMwapelele Pƙed 16 dny

    Hapo tuna spika hatuna wabunge kwanza haua ndio madhala ya kuwapa nchi wanawake sasa vilio kila kona taifa liko hoi

  • @MrKhatibu
    @MrKhatibu Pƙed 20 dny +1

    Hii tabia ya kuongea kwa sauti kubwa ni kuonesha msisitizo au ni hasira

  • @onesphorymgedzi995
    @onesphorymgedzi995 Pƙed 18 dny

    Kaka kuporwa mifugo nikushauri tu wananchi waache kuingaza mifugo kwenye maaeneo yaliyo hifadhiawa vinginevyo tunatwngeza jangwa wenyewe na hatutakuwa na wakumlaumu

  • @user-by7pz4sx1s
    @user-by7pz4sx1s Pƙed 14 dny

    Wasukuma wameanza kuchangamka😂😂😂😂😂😂

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Pƙed 20 dny

    Kupata kura kwa wasukuma ni kazi wamrudishe tu Mpina huyu Msukuma na yule Mgogo kazi yao kubwa ni uchawa tu Nsukuma kwenye Bandari alikuwa mnafiki vilevile hana lolite

  • @januarysila1569
    @januarysila1569 Pƙed 20 dny

    dar jamani

  • @bonifacerobert2960
    @bonifacerobert2960 Pƙed 18 dny

    Wakatoliki hatujasema chochote hadi sasa! Mimi nivumilie hadi lini?

  • @user-wj6zj1ly4e
    @user-wj6zj1ly4e Pƙed 19 dny

    Yaan mnasema tu ukabila haufai lkn huko mbeleni mm naona utafaa tu

  • @user-fj4kj8xc5x
    @user-fj4kj8xc5x Pƙed 17 dny

    Hakuna aliye juu ya Sheria

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Pƙed 20 dny

    Nyerere alisema tuwashughulikie je tunawashughulikia sasa? Speaker anatushangaza sana kwa kweli hatuna bunge sisi bali tuna gereza la kuhukumu wanainchi. Sisi wanainchi tumefanya nini? Tunatakiwa kuenda mpaka bungeni kupika kelele kwa ajili ya Mbunge wetu Mpina.

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3u Pƙed 20 dny

    Hakuna haki hapa tanzania wafanyakazi sekta binafisi hawapati mikopo kisa mikataba ya mwaka mmoja

  • @jumaabdalla3374
    @jumaabdalla3374 Pƙed 16 dny

    Wabunge wte waliomsema vibaya mpina ni wanafiki na hawajielewi

  • @user-ok6lv3je4b
    @user-ok6lv3je4b Pƙed 19 dny

    Nalo neno kijana

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b Pƙed 20 dny

    Hata akienda mahamani hamuna mahaka Wala bunge ya mdee na wenzake yameisha yeye anajua aludi nyumbani kama amekata uchawa basi na ubunge kwisha

  • @MathewsSikazwe-up4qd
    @MathewsSikazwe-up4qd Pƙed 19 dny

    atari sana tz waziri asiekuwa raiya wa nchi usika lakini anawakimbiza mpaka basi, dah hii kari tz!.

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward Pƙed 17 dny

      Sio kweli, mwaka 1961, watu wote, wakuwemo ndani siku tarehe Tanganyika ilipo pata UHURU walihesabika kuwa ni raia. Tuwe tunarejea nyaraka na hotuba za viongozi wa nyakati hizo. Kizazi hiki hakijui historia hii. Bahati mbaya na kundi la vijana kwenye vyama vyetu ukiwasikiliza hawajui historia yetu. Ingawa tayari Mabega juu maana wao ni watawala wetu wa baadaye.

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k Pƙed 16 dny

    Mambo yatabadilika mapema kuliko wanavyodhani

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x Pƙed 19 dny

    Ila msukuma na tabasamu. Uchawa unawapunguzia heshima

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x Pƙed 19 dny

    Ukiona mbwa juu ya mti.

  • @user-sj4vo9cg2c
    @user-sj4vo9cg2c Pƙed 17 dny

    Mpina hawezi kuungwa mkono na wabunge kwani hahongeki

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x Pƙed 19 dny

    Viongozi wa dini wanaaminiwa na masikini tu nchi hii

  • @AdelinaAloys
    @AdelinaAloys Pƙed 19 dny

    Ndg yangu bunge letu limeingiliwa na wachawi haiwezekani watu tulio wachagua wafanye comedian kwa Watanzania.

  • @DouglasChuwa-ec7mv
    @DouglasChuwa-ec7mv Pƙed 19 dny

    Seo

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x Pƙed 19 dny

    Hatuna wabunge nchi hii

  • @marandoruzali1946
    @marandoruzali1946 Pƙed 20 dny +3

    Msukuma na lusinde hakuna wabunge hapo

  • @user-mh5mx1kn8j
    @user-mh5mx1kn8j Pƙed 18 dny

    Mpina mbona alipima Zamani Kwa rula hukuongea wakati akiwa mifugo acha makasiriko wewe mbona Kama unapiga kampeni mapema Acho roho mbaya wewe huyo Umar mtetea ana Aya ya kwake

  • @benardsamizi-qo4yp
    @benardsamizi-qo4yp Pƙed 19 dny +3

    .Musimulaum musukuma Tunalaumu WASUKUMA WALIOKOSA WASOMI WA KUPELEKA BUNGENI WAKANGUKIA DARASA LA SABA. WAILIMUONEA SANA.)

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward Pƙed 17 dny

      Kule korogwe, wananchi walichangia wasomi,baadae wakaona wasomi hawasadii, wakaona wachague mwezao mganga mpiga ramli. Mfumo wenye njaa ya kutengeneza unaweza kumleta kiongozi wa aina yoyote. Raia tukifikia kuwachambua wasaka uongozi kama tunavyochambua wachezaji wa mpira, hao wabunge vilaza hawezi kuchaguliwa.

  • @MeenaHassan-fd9vv
    @MeenaHassan-fd9vv Pƙed 19 dny +4

    Huyo mama samia hana mpango, hata yule kijana kichoma moto picha ya rais samia ni sawa sawa tuuu samia hakuchaguliwa awe president so it wa just luck baada ya rais wa kweli kufariki

    • @mkadammkadam
      @mkadammkadam Pƙed 18 dny

      Mfumo wetu wa uchaguzi mgombea Urais anakuwa na mwenza hivyo ni kusema kuwa unachagua watu wawili yaani mgombea urais na mwenzi wake ambaye atakuwa Makamo wake wa Rais

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 Pƙed 19 dny

    Kwenye uvuvi umeongea kweli.....uvuvi haramu umemaliza samaki.....wakati wa Mpina na JPM UVUVI HAULUWA NA HASARA....WAVUVI HALALI TULIPATA FAIDA KUBWA SANA....LEO...mmmhmm. ..... Wengi wamepaki boti zao...

  • @AdelinaAloys
    @AdelinaAloys Pƙed 19 dny

    Bashe nyuma yake kuna asiyesemwa MUNGU wa Tz

  • @user-jc8vt7ct9t
    @user-jc8vt7ct9t Pƙed 19 dny

    Musukuma nilikuwa na muona wa maana kumbe zero kabisa [rushwa hupofusha]

  • @kingibandajembe2247
    @kingibandajembe2247 Pƙed 19 dny

    Bunge la mchongo tz wachumiya tumbo

  • @user-pk9yr4go8p
    @user-pk9yr4go8p Pƙed 20 dny

    Ccmupigenikazi mbakatuse hizonikelelezaumbu

  • @susujeremiah195
    @susujeremiah195 Pƙed 18 dny

    Alooooo

  • @ShebbyMageta
    @ShebbyMageta Pƙed 19 dny

    Msukuma tatizo shule nasikia hajasoma

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k Pƙed 16 dny

    Watumishi feki wapo sana

  • @user-jc8vt7ct9t
    @user-jc8vt7ct9t Pƙed 19 dny

    Viongozi kweli hatuna na hii serikali ni upuuzi mtupu

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza Pƙed 20 dny

    Hakuna atakaye fungwa wala kufukuzwa kazi wakiwajibishwa mimi nitaomba uraiya kwenda DRC nisiwepo.

  • @user-ux3xu9gs8d
    @user-ux3xu9gs8d Pƙed 18 dny

    Msukuma ni takataka

  • @NdeshaPaul-uz9bw
    @NdeshaPaul-uz9bw Pƙed 18 dny

    Je biblia na kurani ni ya viongozi wa dini tu? ???

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x Pƙed 19 dny

    Wabheja ngosha

  • @fadhilimoshi5754
    @fadhilimoshi5754 Pƙed 20 dny +2

    Jamani hili bunge mnalijuwa ni la imla hawakuchaguliwa waliteuliwa na Magu. Hawajui lolote ni machawa sio watetezi.