Uhamie Tena yanga ya Leo ipo vzuri kesho ipo chini inachangisha pesa za usajiri mtaani....utahama hadi lini ndg yangu.....wew nenda lkn utakumbuka kurudi kwa waheshimiwa....unaiona timu mbovu harafu ndo caf inazidi kupanda nafasi....Sasa utopolo subili wakushukie....wanashuka kiwango mpaka caf kule wanastuka....watu wanapita mtaani wanaomba pesa za usajiri....haya nendeni na ukiona mtu anahama kwa timu kuwa mbovu jua huyo alikuwa syo mshabiki wa timu husika yupo studio kwa ajiri ya maisha Bora yaende pia kuvamia uchambuzi wa mpira fani ambayo inakulazumu ufanye hvo kumbe pengne ungechambua hata matembele nyumbani ungefaa sana
Oscar, nimeihifadhi vizuri, clip yako uliyosema mwanzoni kabisa kuwa, unaiona Yanga ikiongoza kwa malalamiko. Na uliipa Yanga nafasi ya tatu. Sijui leo utatuambia nini..!!?
Baba levo umenifurahisha Sana aseeeee😂
Karibu JANGWANI Oscar,,achana na huyo Mkigoma 😂😂😂
Sio rahisi kuhama timu bana uongo😂😂😂😂
Karibu bro
Nice baba levo
Baki huko huko ucje tulete mikosi,ulisemaga Simba atashika nafasi ya 1
Azam. 2
Yanga. 3
Sasa tim yako ndo inashika nafasi ya3😂😂😂
Maendeleo hayana chama utahamia mpaka ukweni kisa ukweni wamekuzidi maisha....utahama mpaka lini ndo ujue ungekuwa mwanamke ungekuwa malaya
Karbu sana Oscar ascar
Uhamie Tena yanga ya Leo ipo vzuri kesho ipo chini inachangisha pesa za usajiri mtaani....utahama hadi lini ndg yangu.....wew nenda lkn utakumbuka kurudi kwa waheshimiwa....unaiona timu mbovu harafu ndo caf inazidi kupanda nafasi....Sasa utopolo subili wakushukie....wanashuka kiwango mpaka caf kule wanastuka....watu wanapita mtaani wanaomba pesa za usajiri....haya nendeni na ukiona mtu anahama kwa timu kuwa mbovu jua huyo alikuwa syo mshabiki wa timu husika yupo studio kwa ajiri ya maisha Bora yaende pia kuvamia uchambuzi wa mpira fani ambayo inakulazumu ufanye hvo kumbe pengne ungechambua hata matembele nyumbani ungefaa sana
Karibu yanga mkuu
Karibu ndugu ila uwe radhi Kwa matokeo yote
We Oscar ndo ulisema yanga msimu huyu inamaliza nafasi ya 3,Simba nafasi ya 1
Nmeikumbuka
😂😂😂😂😂😂😂kweri mandeleo ayana chama
Hatukutaki wananchiii
Hatukutaki
❤
Lams nini
Rams nn
Huyu Oscar ilipoanza ligi alisema yanga atamaliza wa 23
😅😅
Osca ni Yanga tangu ZAMANI hapo anazuga tu mshamba huyo
Kwanza kaka Oscar umechelewa Kwan upo redio yenye ladha unakaaje kusherekea timu ambayo haiendan na ladha unayoipata wasafi tv
Mzee wa NEUTRAL amesalim amri kakubal yaishe😅😅 chezea guade ww
Oscar unaongea balaa
Oscar, nimeihifadhi vizuri, clip yako uliyosema mwanzoni kabisa kuwa, unaiona Yanga ikiongoza kwa malalamiko. Na uliipa Yanga nafasi ya tatu. Sijui leo utatuambia nini..!!?
Unafikir unafadida gani palee simba Oscar tenaa sijui unajikuta nan mjinga mmoja tu wewe
We uaminiki muda yoyote unatuacha
Ndiomana homunaizi ali kutandika pia wewe osika huna faida yeyote kwenye timu nenda nyie wote mamuluki
Jaman oscar si mshabiki wa Yanga ni mwanachama wa Yanga kabisa acheni matusi mfatilieni kwenye page zake muone
Babalevo unakitu mwilini
😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
😅😅😅
😅😅