HUYU NDIE MCHEZAJI PEKEE ANAEWEZA KUZIBA PENGO LA CHAMA KATIKA KIKOSI CHA SIMBA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 06. 2024
  • Simba Pro tunafahamu juu ya sakata la chama na tetesi zake za kumalizana na Yanga
    Kwa kulitambua hilo Simba Pro tumeona tuje na Mchezaji ambae anaweza kua mbadala wake katika kikosi cha Simba
    Mchezaji huyo ana kipaji na anaweza kua usajili mzuri kwa Simba kama wataamua kuchukua ushauri huu
    Dullah anatupitisha katika undani wa nyota huyu
    Kwa wale ambao wanahitaji kuungwa kwenye group la Simba Pro
    Tuma ujumbe kwa namba 0626629644 kuomba kuungwa kwenye group Kisha tutakupa utaratibu wa jinsi ya kujiunga
  • Sport

Komentáře • 8

  • @TaifaNchimbi
    @TaifaNchimbi Před 7 dny

    Mfikishie Magoli taarifa hii. Nafikiri Hata Feitoto anafaa na mwenyewe anapenda kuja simba

  • @sangaelly8548
    @sangaelly8548 Před 2 dny

    Mungu atusaidie kiukweli, ukweli uwe mwingi kuliko uongo

  • @shukraninsikini112
    @shukraninsikini112 Před 6 dny

    Very talented player

  • @Yohana-ge3oh
    @Yohana-ge3oh Před 7 dny

    Hapo ni mhimu kupeleka takwimu kwa viongozi Kama vipi mtumie m/kiti wa bodi boss mwenyewe mo, maana Mauritania wachezaji wake pia wanajituma sana

  • @paschaziapaschal2570
    @paschaziapaschal2570 Před 7 dny

    Waambieni viongozi wa simba kuhusu huyo mchezaji

  • @abbasmaulid4591
    @abbasmaulid4591 Před 7 dny

    Huyu dogo ni mali achukuliwe

  • @PaskaliEdimundi
    @PaskaliEdimundi Před 6 dny

    Dogo huyu anafaa kuchukua namba ya chama17

  • @SelemanNahatula
    @SelemanNahatula Před 2 dny

    Viongozi na wataalamu wa dawati la usajili tunawaomba mzingatie ushauri huu wasije wale jamaa wa imitation wakamchukua. Aje tumlee