HUYU NDIE MCHEZAJI PEKEE ANAEWEZA KUZIBA PENGO LA CHAMA KATIKA KIKOSI CHA SIMBA
Vložit
- čas přidán 25. 06. 2024
- Simba Pro tunafahamu juu ya sakata la chama na tetesi zake za kumalizana na Yanga
Kwa kulitambua hilo Simba Pro tumeona tuje na Mchezaji ambae anaweza kua mbadala wake katika kikosi cha Simba
Mchezaji huyo ana kipaji na anaweza kua usajili mzuri kwa Simba kama wataamua kuchukua ushauri huu
Dullah anatupitisha katika undani wa nyota huyu
Kwa wale ambao wanahitaji kuungwa kwenye group la Simba Pro
Tuma ujumbe kwa namba 0626629644 kuomba kuungwa kwenye group Kisha tutakupa utaratibu wa jinsi ya kujiunga - Sport
Mfikishie Magoli taarifa hii. Nafikiri Hata Feitoto anafaa na mwenyewe anapenda kuja simba
Mungu atusaidie kiukweli, ukweli uwe mwingi kuliko uongo
Very talented player
Hapo ni mhimu kupeleka takwimu kwa viongozi Kama vipi mtumie m/kiti wa bodi boss mwenyewe mo, maana Mauritania wachezaji wake pia wanajituma sana
Waambieni viongozi wa simba kuhusu huyo mchezaji
Huyu dogo ni mali achukuliwe
Dogo huyu anafaa kuchukua namba ya chama17
Viongozi na wataalamu wa dawati la usajili tunawaomba mzingatie ushauri huu wasije wale jamaa wa imitation wakamchukua. Aje tumlee