#LIVE
Vložit
- čas přidán 1. 07. 2024
- #daimond #timuyawananchi #mkapastadium #sisco #milladayo #tanzania #utalii #simba #simbafans #tff #caf #michelo #mbwaduke #gsm #nbcsports #nbcsports #sportspesa #feitoto #tpmazembe #robertinho #rajacasablanca #mbet #phiri #baleke #bocco #ntibazonkiza #tanzania #live #livestream #trendingshorts
- Sport
Hata ya chama yalianza hivihivi Tanzania hii niko pale Simba sc wapo serious sana na usajili msimu huu
Dah! Hatari sana 💪🦁
💥💥💥💥💥#simbafc_fans staying tuned TAREHE 4/07/2024 MAMBO NI MOTO💥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 FEI TOTO NI MNYAMAAAAA
AZAM INAWACHEZAJI BORA SANA. TENA INAKIKOSI KIPANA SANA KULIKO HATA YANGA.
Kalibu
Feitoto
Msimbaz❤
aaaaaaaah kama nikwel inshalah
Ni ngumu sana fei kwenda simba labda sijui itokee nini maana moja ya vipengere vilivyoko azam na yanga ni pamoja kutouzwa simba
Tetesi zako nizaukweli sana❤
Yanga wanaumia
WABAYA WANAOIOMBEA MABAYA SIMBA NA WASHINDWE KABISA KWA JINA LA YESU
Mamiina
Amina
Azam sisi na wao hatuna matatizo watupe tuu feisal
Yess kuna haja ya kumwiita Mchungaji Mwamposa aiombee timu
Kabisa
❤❤❤
Modwej mwaga pesa kwa Feitoto na Mayele
Shida viongozi wa azam wengi ni yanga ndio maana dude ilikuwa rahisi
Simba tukitaka mchezaji .kwania tunamchukua...
itakua sajili kubwa sana unyamani mo kamilisha iyo watu wakupigie saluti
Peleka mwenyewe Kwa walokole
Yanga wamezoea kudanganywa
Kila kitu wanachukulia ni uongo...
Aliye sikia jina la marehem Yusufu maji hebu gonga like hapo ili mwana michezo huyo apumzike kwa amani huko aliko
Mambo mzuli ayataki alaka
Mo msajili mayele
AZAM WATACHEMKA
Haya yangu macho!!! viongozi wasimba mkumbuke kupeleka wachezaji kwa walokole wawaombee ooo yanga wachawi!!
😂😂😂😂😂🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
@JohnJoseph Jamaa ni sikio la kufa, badala ya kuandaa timu halafu wamuombe Mungu awawezeshe washinde, wao wanafanya kinyume chake... 😂😂😂 msimu ulioisha walimuita Mwamposa akawaombea na timu lao bovu matokeo yake wakaishia kula mkono... 😂😂😂 tano baba 😂😂 tena na nafasi ya tatu juu... chaliii kuleee shirikishooo mammaee 🤣🤣🤣😂😂😂
Mke wa kudhulumu haoleki
Wakimtoa tutadhihirisha kuwa wao ni Simba B
Kwayo nanyinmliomchukua Chama ni Simba B
simba na taperi wao mo hawana hela ya kumnunua fei ni ndoto hiyooo
Tapering mama yako ngombe weee
Tapeli mama yako siyo simba msinge weee
LKN HUWA MNAWAZA NN KUONGEA UPUUZI??
Una teseka ukiwa wp
Hersi ndo tapeli namba moja utopolo amkeni musione munafanya vizur mukajiona majibwa kumbe makenge tuu
Mhuuu ya kwl???! Eb tusubl