Wakazi wa Pumwani na Estleigh walalamikia unyakuzi wa ardhi ya umma

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 16. 02. 2022
  • Wakazi wa Pumwani na Estleigh walalamikia unyakuzi wa ardhi ya umma
    Ardhi za umma kwenye mitaa hiyo zinadaiw akunyakuliwa na mabwanyenye
    Nyumba za madaktari wa Hospitali ya Pumwani zilibomolewa
    Nyumba za wafanyikazi wa kampuni ya maji Nairobi pia zilibomolewa
    Majumba ya kibinafsi yanaendelea kujengwa kwenye ardhi hiyo
    Kamati ya ugatuzi yazuru mitaa ya Pumwani na Eastleigh

Komentáře • 17

  • @bichaurasebit8360
    @bichaurasebit8360 Před 2 lety +1

    How i wish sonko was there to intervene.....watu wanadhulumiwa sana haki zao sana sana watu duni...
    I stand with Sonko 💪💪💪

  • @suleimanmaxamed395
    @suleimanmaxamed395 Před 2 lety +9

    That's why Uhuru sacked Sonko because he was protecting poor people who were being eaten up by Uhuru government owners

  • @salmahussein3583
    @salmahussein3583 Před 2 lety +5

    Sonko alikuwa corrupt bt alikuwa ana protect mali ya Uma, ona Sasa 🙄 🙄 🙄, afadhali sonko Mara Mia

  • @annkimani9434
    @annkimani9434 Před 2 lety +2

    Hiyo n kazi ya uhuru

  • @lilianchristensen5198
    @lilianchristensen5198 Před 2 lety +1

    😭😭sonko sonko oui oui sonko 😭😭

  • @mosesomwera7881
    @mosesomwera7881 Před 2 lety +1

    where are we heading to as a Nation??

  • @mosesomwera7881
    @mosesomwera7881 Před 2 lety +1

    this is Evil....

  • @bANana-yf1qm
    @bANana-yf1qm Před 2 lety

    Tano Tena... Vumilieni,, if you voted this government in, shut up.

  • @gracegrace6798
    @gracegrace6798 Před 2 lety

    Zz

  • @fatumaadan5368
    @fatumaadan5368 Před 2 lety

    Wacha sisi tunyamazi wale wako na pesa wanatutesa

  • @peninahruth2870
    @peninahruth2870 Před 2 lety

    Tunachagua serikali ikishaa shika viti inasahau ule mwanannchi aliye wachagua...kazi nikujipiga vipua matusi nawalio wachagua kumbomolewa manyumba wethout compensiation....wajenge zao kubwa juu walio jenga sio wenye nnchi tena wenye nchi huwa niwale tunajichagulia...if presdent know nothing abt this asimame asene hio mijengo inajengwa isimamishwe nawenye kumbomolewa warudishiwe or he make things clear what is happening

  • @salimwheatgrass6711
    @salimwheatgrass6711 Před 2 lety

    Nchi ya baphomet.

    • @asparagusonly
      @asparagusonly Před 2 lety

      Ati?🤣🤣 Mimi naona ni nchi ya mafala... Na wewe ndio unaongoza kwa hio ufala😂😂😂. Ati baphomet🤣... umeona documentary moja ya illuminati sa wee ni expert 🤣😂

    • @asparagusonly
      @asparagusonly Před 2 lety

      Kwanini umetoa jibu yako?😂 Ni kwasababu unajua ni ufala sindio?🤣🤣🤣

  • @annkimani9434
    @annkimani9434 Před 2 lety +2

    Rutooo tosha