Wakaazi Nairobi wagharamika zaidi
Vložit
- čas přidán 3. 09. 2018
- Kwa siku nne sasa, wakenya wameendelea kugharamika zaidi kwenye nauli kufuatia kupanda kwa bei ya mafuta. Hata hivyo, athari hii imeanza kubainika kwa kuwa gharama ya usafiri imepanda na hata sasa kulazimu wengi kutafuta njia mbadala angalau kujiokoa. Mwanahabari wetu Agnes Oloo anatusimulia maisha ya mkaazi mmoja wa Nairobi anayetaabika baada ya mafuta kupanda
Citizen TV is Kenya's leading television station commanding an audience reach of over 60% and in its over 12 years of existence as a pioneer brand for the Royal Media Services (RMS), it has set footprints across the country leaving no region uncovered.
This is your ideal channel for the latest and breaking news, top stories, politics, business, sports, lifestyle and entertainment from Kenya and around the world.
Follow us:
citizentv.co.ke
/ citizentvkenya
/ citizentvkenya
plus.google.com/+CitizenTVKenya
/ citizentvkenya
tano tena mnakula,kusafiri na mahitaji yenu mnapewa na huyo tano wenu? mkiambiwa hamskii mambo hayo na bado sana
Ss kama Wajaluo hatucomplain nauli ya gari tutacomplain wakati bei ya ndege itapanda!!! kumira kumira😂😂😂😂
wapi wale wa tano tena???.......ukabila haisaidii wacheni kupiga kura kwa sababu ya kabila.........bora enzi za kidikteta ya moi.............
Hapo xaxa ndio tano tena imeanxia
Yuko wapi Ruto atuokoe jamani na zile pesa zake
uhuru ...wanyoe kabisa na ure ure webe...na mtu akileta porojo ...revisit them
Yes kenya has no many resources but people don't use them that's why people end up being like this as in Agriculture they sell their farm good to other countries inside of feeding it's own people whereas coffee and many things like tea benefits most of other countries.
Si mngempatia hiyo 20 jameni alichelewa kazi juu ya mbao wacheni hizo citizen nkt hamna aibu
Tano tena
Kenya is a country which no one can understand how they hike prices and yet it's said to be a wealthy country which i don't see my self so many people ending to be poor and poorer.
webe ni ure ure !!! uhulu!!!! nyoa hao na hiyo webe warikupatia
Na maajabu 2022 ikifika mtasema tena ruto tano tena wakenya tufikirie vizuri
1 watu wa pipeline wamekua wakitumia train Ata before mafuta ipande
Woiye Mungu saidia
At I mafuta haijui asubuhi.wallahi maconda hawataona mbinguni
soo sad
Life ni ngumu nilifikiria ni saudi pekee yake ndio watu usema life ni ngumu weee
Mafuta inajua asubui😂
maden zenye zinakobwa nje ya nchi ndio zinatuletea gharama , naona tukiuzwa bila kujua
MAFUTA INAJUA ASUBUHI HAHAHA