Video není dostupné.
Omlouváme se.
Wasafiri wakwama baada ya barabara ya Garissa, Wajir na Tana River kukatika
Vložit
- čas přidán 7. 08. 2024
- Kaskazini mwa Kenya ni kuwa shuguli za usafiri katika kaunti za Garissa, Wajir na Mandera zimetatizika kwa siku ya tatu hii leo baada ya barabara inayounganisha kaunti hizo kuharibiwa na mafuriko. Foleni ndefu za magari zimeshuhudiwa huku wafanyabiashara waliokwama wakilalamikia hasara. Feisal abdulrahman anaarifu kuhusu namna abiria wanaotumia barabara hii wameendelea kukesha barabarani
Poleni mwnye waliaswa n wt2 mwenu kwenye mafuriko
i cant imgn i have been stranded in garissa for 2 day with my wife and my son,we had to go back to wajir safari iliishia hapo
waaa serikali ya Mungu
Ugaidi.kenya
Akuna serikali kule
Kila siku serekali, we need a Referendum to protects our ppl lives that is dying day and night due to bad governance and corruption.
Kenyans 😂😂...speed boat of UN is now PSV .....just wondering who is the new boss?
Hiyo barabara ilisombwa na mafuriko last year wakaunda diversion hopo kando 7 month baadaye Hali ni hiyo ..na ati kuna serikali
Shule nayo
Watoto wata swim ?
It's getting hard for the citizens. It's better for kids to stay home than to risk. I just feel for the sick who wants to get to hospitals