There is more the government isn't telling about Kenya airways crew. Was the consignment natural minerals being smuggled out of the DRC for a Kenyan minister or member of Parliament?
Maajabu na aibu kusikia Wakenya Mama na Mwanae wazuuliwa kutoka Kongo jamani Sisi zote ni jamani moja ya Kiafrika tusitesane au kuoneana tuwe na Roho moja asante ❤
Mkoramen, Ruto, or any those corrupt individual who smuggle goods or drugs. DRC please just come and mention the names you know in kenya without fear or favour
Hihi serkali ina mengi sana.mliona Raisi alivyo sema bahada ya wahasi wa kongo kufanya uzinduzi hapo Nairobi?. Ali sema yakwamba kenya ni inchi ya kidemokrasia hawawezi kuzuia mtu yeyote anaye kuja kwa kufanya mambo yake. Hili swala lili leta mzozo kati ya kongo na kenya. Pili Raisi Ruto ana support Kagame kuivamia kongo. Serkali ya Kenya wasipo hangalia kuta toka shida kubwa kwajili ya hizi mambo
Media hujitoa kwa kazi yao aki,nawaona tu wengi wakirisk maisha yao saana,be blessed watangazaji wetu
Wana habari shukrani kwa kazi ya kujitolea kwa kuwapasha Wakenya yanayojiri hasa wakati huu wa Janga!
Kazi Njema Rashid na Lulu! Mola awape rehema maishani mwenu
There is more the government isn't telling about Kenya airways crew. Was the consignment natural minerals being smuggled out of the DRC for a Kenyan minister or member of Parliament?
Same question I'm asking here. Something fishy going on.
who flies minerals, also they are being held by the military that is unusual, quit the propaganda
Naona muungano wa marubani wakienda mgomo . They need to fight for their colleagues
But what if they might have been involved in strange dealings
Mungu utusaidie pekeeetu hatuwezi
Tuliomba Mungu aodoe hiyo dhoruba. Mungu ujibu maombi. Tunamshukuru katika Jina la Yesu.
Amen🙏🙏
Maajabu na aibu kusikia Wakenya Mama na Mwanae wazuuliwa kutoka Kongo jamani Sisi zote ni jamani moja ya Kiafrika tusitesane au kuoneana tuwe na Roho moja asante ❤
Mtu alisema hakuna elnino na akaambia mkubwa wa wheather a apologize what a leader?
Since were arrested bado kuachiliwa, ...???? Aaah???
Pastor Ezekiel prayer will destroy the kimbunga
Wanasemanga wanafanyanga miujiza wako wapi,Bure sana ni macho tu mnafungwa na hao watu,mbona hawaoni yatakayoipata Dunia??Wacha mwone lockdown yenye itakuwa 2025,hao mnaita mapaster cjui watakuwa wapi
Thus could be Gold smuggling and in DRC its illegal na ukishikwa unapotea, wengi huwa wanashikwa wanapotea never to be seen again
Mungu atamtoa juu yy anafanya halali yke kazini
Mkoramen, Ruto, or any those corrupt individual who smuggle goods or drugs. DRC please just come and mention the names you know in kenya without fear or favour
kenyans you are too insensitive, did you even listen
Na Nakuru?Na kiambu,muranga
Mungu atusaidie wallah
God bless you🙏
Yani some people are still waiting for compensation ndio watu in dangerous area ...haki my brothers from the mountains with money 😅
Nyumba za bei nafuu zimejengwa Kila Kona ya nchi,sasa waathiriwa wa mafuriko wakapewe hizo nyumba 🤔🤭😜🤣
😂😂hawana pesa.
Mlisema hamtaki nyumba
😂😂😂😂 hii akili ficha
@@Chebet_Surah 😄😄😄😄😄😄hutaki aseme
@@babewajeff 😂😂😂😂
Asc ❤❤👍
Mungu,tuonee huruma 😢
Hihi serkali ina mengi sana.mliona Raisi alivyo sema bahada ya wahasi wa kongo kufanya uzinduzi hapo Nairobi?.
Ali sema yakwamba kenya ni inchi ya kidemokrasia hawawezi kuzuia mtu yeyote anaye kuja kwa kufanya mambo yake.
Hili swala lili leta mzozo kati ya kongo na kenya.
Pili Raisi Ruto ana support Kagame kuivamia kongo.
Serkali ya Kenya wasipo hangalia kuta toka shida kubwa kwajili ya hizi mambo
God help my people. Amen 🙏
This could be trade issues went wrong
lulu kipnz ddangu naupnda snaa
Duh .... strange things are happening
Mjomba anasema uwongo
This is total chaos
And ruto is still leaving in self denial
Declear a national disaster
Mtukutu rais unangoja nini
PUNGUZENI ZAMBI , YESU YUKO KARIBU ANARUDI. TUBUNI NA KUOMBA.
Kenya must repent
My Government is check this situation. Turkwel you are can't fight water just move people.
Luos 😂eti kuku
Woiii
Niulize kwani roundi hii mwaura ndie msemaji wa serikali?.
I'm surprised as you ..
Heeeee nimeshangaa, when did this happen?
Gitwamba..mtahama na kiboko.,woiie
Baba Raila charity begins at home look at the people of Nyando not only nairobi
Baba aliambia watu wake wasihame