Wamiliki wa nyumba kwenye ghorofa kulipa ada

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 12. 2023
  • Wamiliki wa nyumba kwenye majengo yenye ghorofa wataanza kulipia ada nyumba hizo katika kaunti ya Nairobi kuanzia Januari mwaka ujao. Sheria mpya ya mali na ardhi ya mwaka 2022 ambayo tayari inatekelezwa inaipa kaunti ya Nairobi mamlaka ya kukusanya ada hiyo kuanzia Januari. Ada hizo zitaratibiwa kulingana na eneo ambako ardhi hiyo iliko na ukubwa wake.

Komentáře • 202

  • @MungaiEveTv
    @MungaiEveTv Před 6 měsíci +11

    Watu wa "Raila is the Lord of poverty" mumefikiwa!😂

  • @davidsamba6173
    @davidsamba6173 Před 6 měsíci +19

    That shows rent zinapanda zaidi. Mhhh Ruto hoyee tano tena 😅

  • @user-ud4bn8di1g
    @user-ud4bn8di1g Před 6 měsíci +27

    Especially kikuyus needs to pay twice hustler atawale 😂

    • @user-nz5dh6qq5x
      @user-nz5dh6qq5x Před 6 měsíci

      @@georgenyasudi4060 we dont even belong to kenya we are israelites waiting for our king so we can rule the world,,choke on that

    • @positivevibes1341
      @positivevibes1341 Před 6 měsíci +1

      ​@@georgenyasudi4060we are not going anywhere 😂😂😂 no wonder you guys are hated ukabila right left and center ,heal nyasudi heal tafadhali

    • @juliuskiunjuri437
      @juliuskiunjuri437 Před 6 měsíci

      ​@@positivevibes1341mwambie 😂😂😂

  • @FlevineOtieno
    @FlevineOtieno Před 6 měsíci +41

    People are crying Ruto this...Ruto that and in 2027, they will still reelect him. Let's face it, if we can't get past tribal lines and see through the bullshit that these politicians sell, we'll continue to remain captives.

    • @erickanyugo3253
      @erickanyugo3253 Před 6 měsíci +1

      Ruto 2027. Gachagua 2032. Murkomen 2042. Tupatane Kwa debe!!!

    • @catherineikovwa3401
      @catherineikovwa3401 Před 6 měsíci +3

      ​@@erickanyugo3253even you dont have shame

    • @travoxworld9839
      @travoxworld9839 Před 6 měsíci +1

      Yes they will still reelect him come 2027 cause they don't learn..

    • @kurtoyaro
      @kurtoyaro Před 6 měsíci

      ​@@erickanyugo3253usikue fala bana😂😂😂
      Jokes zingine ziii bana😂

    • @ahmedkulowabdi821
      @ahmedkulowabdi821 Před 6 měsíci

      If Raila will stop associating himself with kenyattas

  • @stanleymwangi5804
    @stanleymwangi5804 Před 6 měsíci +17

    People should not complain.Uhuru aliwambiya

    • @alexisgachachannel1276
      @alexisgachachannel1276 Před 6 měsíci

      Uhuru nini, mwizi?

    • @Ronald-gh6jl
      @Ronald-gh6jl Před 6 měsíci

      ​@@alexisgachachannel1276uare everywhere with bitterness and hatred
      Whats wrong with you?. U behave like u know the social media??.

    • @abushimba
      @abushimba Před 6 měsíci +1

      ​@@alexisgachachannel1276a better thief... At least anaiba kwa mpango... Huyu ni kupe... Ananyonya bila kufikiria kesho pia ni siku...

    • @cassandraakinyi3399
      @cassandraakinyi3399 Před 6 měsíci

      True

    • @FlevineOtieno
      @FlevineOtieno Před 6 měsíci

      @@abushimba 🤣🤣🤣🤣

  • @KarisBaya
    @KarisBaya Před 6 měsíci +11

    Ngoja mlipie hizo apartment's ndio mjue ruto ni mzuri

  • @JosephMwema
    @JosephMwema Před 6 měsíci +15

    You guys wait until all PSVs including matatus are instructed irrespective of whatever route to issue printed tickets and include a 5 percent tax for the state for every ticket issued. Wadau! Ndio sasa mta tii hadi mkubali!

    • @alexisgachachannel1276
      @alexisgachachannel1276 Před 6 měsíci

      Infact it is way overdue. Rule of law and order must and need to be established. Everyone should pay tax not some few people.

    • @Ronald-gh6jl
      @Ronald-gh6jl Před 6 měsíci

      ​@@alexisgachachannel1276and doesn't pay taxes and why?

    • @mourice1669
      @mourice1669 Před 6 měsíci

      That would be double taxation they are already paying fuel levy

    • @variousplaces
      @variousplaces Před 6 měsíci

      ​@@Ronald-gh6jlNo, they pay. But now it will be precisioning

  • @leahmburu9571
    @leahmburu9571 Před 6 měsíci +34

    Now I agree this government is not worth being around

    • @kelvinotieno2470
      @kelvinotieno2470 Před 6 měsíci +5

      With all those clear warnings you are seeing it now????

    • @Kimstar20
      @Kimstar20 Před 6 měsíci +1

      ​@@kelvinotieno2470😅

    • @SP1-media
      @SP1-media Před 6 měsíci +4

      Tugege hamngesikia😅😅

    • @kelvinotieno2470
      @kelvinotieno2470 Před 6 měsíci +1

      @@Kimstar20 Honestly how do you call this? They were warned in all languages they could understand. Wanyamaze kabisa because I get mad seeing them commenting.

    • @bbd359
      @bbd359 Před 6 měsíci

      Wacha zakayo apande mti ya ukuyu 😂​@@kelvinotieno2470

  • @evansanyona9499
    @evansanyona9499 Před 6 měsíci +30

    Kuna watu fulani walikuwa wanasema ni maombi si uchawi, Na hawapangwingwi walienda wapi?😂😂😂😂. Mlisema freedom is here, Mnajijua 😅😅. Sisi wengine tunalala kwa nyumba ya kuku hatuongei. Nataka zakayo afinye watu mpaka wajue that anything you do today is for your better tomorrow. I can see you are still punishing UHURU, Wale mlisema mnampunish mnajijua,😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂,🤸🤸🤸🤸🤸,😜😜😜😜😜😜😜, Kimewalamba😅😅😅, Walai msipolipia hewa mnayopumua Ng'ombe si cow😂😂😂. Don't do anything out of anger guys and don't give promises when you are over excited.

    • @jav856
      @jav856 Před 6 měsíci

      @evansanyona9499 so you mean if your could be president this could not happen bitter soul

    • @walenisi9278
      @walenisi9278 Před 6 měsíci

      ​@@jav856relax looser...it never happened in the previous governments

    • @yumedia8540
      @yumedia8540 Před 6 měsíci +1

      Wacha kiwarambe vizuri ndio waitishe maandamano peke Yao , Uhuru warned them and they were busy parroting ni maombi si unyenyenye nkt ata hi hewa iwekewe ushuru ndio mjue kusema Ruto na UDA ni nini

    • @aaa64sa13
      @aaa64sa13 Před 6 měsíci

      😂😂😂😂

    • @evansanyona9499
      @evansanyona9499 Před 6 měsíci +2

      @@jav856 How can you put taxes everywhere, Anywhere and to anything/ Everything at the same time? People don't have jobs, We haven't even healed yet from COVID 19, Endelea kupunish UHURU🤣🤣🤣🤣🤣

  • @communitywatch211
    @communitywatch211 Před 6 měsíci +9

    How do you make life easy for Nairobians with these punitive measures, then you go ahead and steal all the money collected

  • @leko3040
    @leko3040 Před 6 měsíci +3

    Watu wa apartments karibuni kwa bedsita I hope hamjadelete number za landlord wa kitambo

  • @georgegg1079
    @georgegg1079 Před 6 měsíci +2

    Hivi karibuni watatoza watu ushuru kulingana na nguo zile umevaa!

  • @user-yb8is9qq6f
    @user-yb8is9qq6f Před 6 měsíci +1

    Hizo pesa zone zitaenda kwa mfuko wa William samoei ruto jambazi sugu hapa kenya

  • @bahatilaizer8706
    @bahatilaizer8706 Před 6 měsíci +2

    Mtajua hamjui Huyu Ndiyo zakayo Acha Mimi nienjoy tu 🤸🤸🤸🤸🤸🤸

  • @samuelndegwamburu3273
    @samuelndegwamburu3273 Před 6 měsíci +2

    Soon we expect a new gadget for taxes the distance you've walked badala ya kwenda na Gari, unanyanyasa serikali kutopanda matatu, Gorverment institution kuweka na gadget ya kucharge hewa ile unavuta ukiwa huko, n expect more gadgets coming

  • @user-fb6ib6iq5n
    @user-fb6ib6iq5n Před 6 měsíci +1

    Tobaaa haya ni mengi kuelewa,bado hewa next🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️

  • @solomonkariuki4081
    @solomonkariuki4081 Před 6 měsíci +5

    What services is city council obligated to offer inorder to collect taxes!!? sewerage? dustbin? access roads!!

  • @lucymwai7645
    @lucymwai7645 Před 6 měsíci

    Oh my God, Mwathani iguree bururi witu thaa. Ati Ushulu kwa Manyumba.

  • @jabezjedidiah1429
    @jabezjedidiah1429 Před 6 měsíci +2

    Zak alidanganya watu na lollipop na chocolate kama ka kienyeji kajinga ghafla binfu mimba ndani ndi😂😂. Mabillioni mlikula ya campaign mtalipia.

  • @bbd359
    @bbd359 Před 6 měsíci +1

    Zakayo panda mti ya ukuyu😂
    Ama mkuyu .
    Ya ukuyu iki jaa panda ya zambarawe and don't fall down hakuna kushuka.😂
    Hakuna nusu mkate 😂panda full❤

  • @kagamedimaria4787
    @kagamedimaria4787 Před 6 měsíci +4

    Kweli wezi ni hixi county haki ya mungu

  • @bbd359
    @bbd359 Před 6 měsíci +1

    Eeee😂😂😂😅wacha ni cheke
    Sema serekali kusota mkenya lipa ushuru.
    My Vote 🗳 💜 ❤️ my choice.

  • @sherrykeya7370
    @sherrykeya7370 Před 6 měsíci +1

    I support 😂😂mimi kama mtu wa 💙💙

  • @muasemuase8849
    @muasemuase8849 Před 6 měsíci +3

    Hee! Lifts , common grounds ,parking etc think they are always included in rent as operation costs

  • @kelvinotieno2470
    @kelvinotieno2470 Před 6 měsíci +3

    Hatupangwingwi..... Hasora atawareeeeee!!!!!

  • @Purity34561
    @Purity34561 Před 6 měsíci +2

    Zakayo radaa bazuu gani tena imebaki kulipiwa

  • @jamaatuu
    @jamaatuu Před 6 měsíci +2

    Are we to expect services from the so called Nairobi county?! We all know the answer to that

  • @benardmakori9492
    @benardmakori9492 Před 6 měsíci +3

    Ati mlisema Raila the lord of poverty sasa your lord of richness hasora mwenyewe,anajua shida zenu he's at the throne weka pesa mvukoni niwaogope

  • @msa3957
    @msa3957 Před 6 měsíci +2

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣bottom up hoyeeee? Walipe muibe vizuri.

  • @nayasdouglasta5352
    @nayasdouglasta5352 Před 6 měsíci +1

    Mambo yameanza kuchamka sasa,kweli ni maombi ,sio uchawi

  • @washingtonmbiti9348
    @washingtonmbiti9348 Před 6 měsíci +1

    Nonsense. Ruto should rooted out as soon as possible

  • @elvisjuma550
    @elvisjuma550 Před 6 měsíci +1

    ❤❤❤😂😂😂😂RUTO TANO TENA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤HASELA ATAWALEEEEEEE.... NA WANASEMA 2027 N WOLKOVER

  • @charitykamau4785
    @charitykamau4785 Před 6 měsíci

    Hii pesa itaenda kwa mifuko ya politicians. Very sad

  • @yumedia8540
    @yumedia8540 Před 6 měsíci +1

    Now i have confirmed that indeed Ruto is a clueless president, Uhuru never did all these madness despite being paralyzed by covid 19 , hizi taxes zzooooote kwani hawa watu hawatosheki wanataka nini what does this Ruto guy want from us , hii pesa yoooore qnd we can't even smell the impact kwani zinaibwa na nani...... Huyu amezidi lazima ang'olewe Sasa, we are not captives in Kenya nkt

  • @MungaiFacebook
    @MungaiFacebook Před 6 měsíci +3

    Actually, I don't really follow.Can someone explain it to me 😢

    • @bbd359
      @bbd359 Před 6 měsíci +1

      😂😅 what don't you follow
      Do you own gorofa 😂bas utalipa ushuru
      Do your your house has lift swimming 🏊‍♀️ pool
      Lipa ushuru😂
      Sorry 😞

    • @MungaiFacebook
      @MungaiFacebook Před 6 měsíci

      @@bbd359 Ngai 😏 nitalala kama nimemaka lol🤔 Thanks for helping to get what they're saying

  • @ABBAHDISOLDIER
    @ABBAHDISOLDIER Před 6 měsíci

    Hapa ni noma

  • @werewaciori4254
    @werewaciori4254 Před 6 měsíci +2

    Tano tena."hii kenya itakua sawa wakati mtoto wa kaskini atatawala"maskini akipata matako hulia mbwata mlidhani waswahili walipaka mafuta kwa mgongo ya chupa sasa lambeni mbwata😢

  • @meshacknyabuto3602
    @meshacknyabuto3602 Před 6 měsíci +1

    It is good to pay it is bottom up bottom up😂

  • @nuruhabibasally
    @nuruhabibasally Před 6 měsíci +2

    Wametoka airport wameenda door to door mbona wakenya Wanaumizwa ivi Jaman

    • @kelvinotieno2470
      @kelvinotieno2470 Před 6 měsíci

      Sababu ni wajinga na sio wote. Kuna tu wale wajinga kupindukia

  • @sue15
    @sue15 Před 6 měsíci

    Kenya is becoming UK 🇬🇧 slowly 😅😅😅😅😂😂😂

  • @Jamax3comedy
    @Jamax3comedy Před 6 měsíci +1

    Kata sim kata sim tupo site 😂😂

  • @cryptoth4n0s77
    @cryptoth4n0s77 Před 6 měsíci

    i hear people invoking Ruto, Kikuyus, Tribalism and hustlers. We need to be honest with ourselves. Ruto, hustlers, kikuyus or tribes do not make laws. This law was passed by the MCAs and other national laws were passed by the parliament. We just need to profile the leaders from the hansard and know who voted for it or against it. Come 2027 none of those leaders that voted to increase the tax should be re elected whether KK or Azimio. We are so focussed on the president that we have forgotten its the work of MPS and MCAs to ease our living by enacting progressive laws

    • @mourice1669
      @mourice1669 Před 6 měsíci

      Parliament is being Controlled by the exexcutives!!!

  • @Prof-hu2sp
    @Prof-hu2sp Před 6 měsíci +1

    Let kikuyus eat there fruits

  • @KarisBaya
    @KarisBaya Před 6 měsíci +1

    Hii imeenda hii imeenda kabisa

  • @denl1234
    @denl1234 Před 6 měsíci +1

    Hahahaha sasa mtajua hamjui kwisha this is dangerous and wait and see next it will be worst ndio mjue si maombi ni uchawi sasa

  • @Mulei-Nasibu
    @Mulei-Nasibu Před 6 měsíci

    What does a lift, swimming pool and children’s playground gat to do with the county government? Foreal!

  • @judymoraamachongo99
    @judymoraamachongo99 Před 6 měsíci

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Wanakaa tu hivi kidogo wanafikiria vile watapata more taxes,,, mr hta wenye wanapita town watoe tax ya kupita

  • @charitykamau4785
    @charitykamau4785 Před 6 měsíci

    Next thing road tolls, tunafinywa pande zote breathing is now a problem. Hiyo ndiyo ndiyo bottom up kweli????

  • @bellaki4392
    @bellaki4392 Před 6 měsíci +1

    Lord Jesus have mercy 😢😢😢

  • @urbanfarmer4
    @urbanfarmer4 Před 6 měsíci +1

    Wea are we headed to

    • @aaa64sa13
      @aaa64sa13 Před 6 měsíci

      😂😂😂 number3 mbinguni

  • @onyangofranklinokoth4917
    @onyangofranklinokoth4917 Před 6 měsíci +2

    Haasorrra atawareeeeee😂😂😂, tawaaarrrrrrrrrrrrraaaaaaaa

  • @enockobbanda8225
    @enockobbanda8225 Před 6 měsíci

    Karibu malaa

  • @hellen8443
    @hellen8443 Před 6 měsíci +2

    Nini ingine wanataka ilipwe?

    • @aaa64sa13
      @aaa64sa13 Před 6 měsíci +1

      😂😂😂 Hewa....

    • @hellen8443
      @hellen8443 Před 6 měsíci

      @@aaa64sa13😂😂😂

    • @muzafarsharif9465
      @muzafarsharif9465 Před 6 měsíci

      ukiwa na Bibi unalipa tax kila ukitaka kufanya sex 😂😂😂

  • @jojoenterprises4818
    @jojoenterprises4818 Před 6 měsíci

    Ata state house ni gorofa😂😂😂,,, then nakuru mombasa kisumu pap.... Hehee

  • @festo1591
    @festo1591 Před 6 měsíci

    Hizo ada zinafaidisha raia kwa njia gani?ama hizo ada ndio mjilipe marupu rupu viongozi.

  • @gilbertnyiro2672
    @gilbertnyiro2672 Před 6 měsíci

    Hustler atawala

  • @sophiezakaria
    @sophiezakaria Před 6 měsíci

    Ruto achana na wakikuyu na biashara zao,c waliamka tene kukupigia kura yawa 😂😂😂😂tena uliiba roho zao,sasa mbona unawafanyia hivi 😜😜😜

  • @jeanjoseph3203
    @jeanjoseph3203 Před 6 měsíci +3

    Kenya Kenya Kenya if you want to leave to see your family if you want to leave to see your children all soldiers stay home we truly don't need your in Ayiti

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 Před 6 měsíci +1

    This is bullshit, kazii imewashinda

  • @fredricklemiso6191
    @fredricklemiso6191 Před 6 měsíci

    Watu wa gorofa 😅😅

  • @yumedia8540
    @yumedia8540 Před 6 měsíci +1

    Hatuoni matunda ya hii ushuru yote inaongezwa what nonsense is this UDA OR KK government azimio were right this Kk was Kenya kwisha na enyewe heri tunge zimia kuliko ku kwisha nkt

  • @adamkitara3014
    @adamkitara3014 Před 6 měsíci

    Mtajua hamjui . Na bado

  • @WWEST464
    @WWEST464 Před 6 měsíci +1

    Where are Kenyans getting money to pay all these taxes? Kenyan economy is on chokehold by Kenya Kwisha,they have persistently stiffled businesses from mama mboga,boda boda aka hustlers.enough is????

  • @NN-ed2hr
    @NN-ed2hr Před 6 měsíci

    Eti life made easy.

  • @ahmedkulowabdi821
    @ahmedkulowabdi821 Před 6 měsíci

    We need money to repay kenyatta loans

  • @user-kk1lb9qw5n
    @user-kk1lb9qw5n Před 6 měsíci

    Rent shall skyrocket

  • @jacklineachieng1131
    @jacklineachieng1131 Před 6 měsíci

    Tugege mpoo?✋✋✋✋🖐️🖐️

  • @imanhamudshaaban6197
    @imanhamudshaaban6197 Před 6 měsíci

    Its called municipal tax. Any residence for rental use is subjected to that. Go to Kigali and ask Kagame how domestic taxes are raised and collected for the good of public development. Muacheni kulalamika,maendeleo hayatakuja yenyewe. Watu wapenda bwerere sana,in this day and age? Snap out of it.

  • @evawanjiru2023
    @evawanjiru2023 Před 6 měsíci

    U said mnalipa deni miaka kumi wajinga nyinyi kikuyus mnaskia aje😮

  • @Wekeaudi-hc3cp
    @Wekeaudi-hc3cp Před 6 měsíci

    Dont coplain you will get your tax back during campaign

  • @Mogul_inthemaking
    @Mogul_inthemaking Před 6 měsíci

    Rent increase

  • @scarletsimpson4807
    @scarletsimpson4807 Před 6 měsíci

    alafu ndume zinaloot kila kitu. eti 176 million on internal travel in 3 months

  • @williamdolan1067
    @williamdolan1067 Před 6 měsíci

    Hustler goverment🤣

  • @euniceschoenfelder3570
    @euniceschoenfelder3570 Před 6 měsíci +1

    Waripe hatupatangi jua juu ya hiyo manyumba

    • @user-ud4bn8di1g
      @user-ud4bn8di1g Před 6 měsíci

      Don't worry my dear one day you'll get rich 😂

  • @leonardahawo4634
    @leonardahawo4634 Před 6 měsíci

    Ushuuru 😅😅

  • @NN-ed2hr
    @NN-ed2hr Před 6 měsíci

    Rent pia itaongezwa. They are making life unbearable for the common mwanainchi.

  • @kennethkoech7951
    @kennethkoech7951 Před 6 měsíci

    Government should be disbanded

  • @hidayasaidi7872
    @hidayasaidi7872 Před 6 měsíci

    Waiziniwengikenyahii

  • @beastpan5758
    @beastpan5758 Před 6 měsíci

    Kenyaaaa 😂😂😂

  • @harmatonkun6065
    @harmatonkun6065 Před 6 měsíci

    Rent ipande kabisa ifike 1million ndio matajiri tujuane..mmejazana sana Kwa city😌

    • @ElFortunaLa
      @ElFortunaLa Před 6 měsíci

      😂😂😂

    • @bbd359
      @bbd359 Před 6 měsíci

      Ur 😁 😂 😀 🤣 6065
      Very soon watu wanahama wakitafuta rentals in cheaper apartments zenye some use to say we can't stay here
      We have upgraded .
      Remember covid corona time even pastors waliuza maembe kwa Streets those who use to be comfortable with sadaka
      🐼 mbegu.

  • @robertkimani2420
    @robertkimani2420 Před 6 měsíci

    Kwani sword Ni ya kukata mboga

  • @ceciliahmwangi497
    @ceciliahmwangi497 Před 6 měsíci

    Ngoja tupandishe rent

  • @kinara5365
    @kinara5365 Před 6 měsíci

    KUKIPA USHURU NI KUJITEGEMEA😅

  • @lawrenceokaki489
    @lawrenceokaki489 Před 6 měsíci

    kulipa ushuru ni kujitegemea

  • @bbd359
    @bbd359 Před 6 měsíci +1

    Thats stupid bwana ushuru usuru even lift 😐 😂 lift is there for faster movements 😅
    Very soon kipchoge kemboi omanyala and rugby 🏉 😀 👌 team will pay tax for moving fast 😅😂
    They should run 🏃‍♀️ run 🏃‍♂️ slowly 😂

  • @josephinemirasi1948
    @josephinemirasi1948 Před 6 měsíci

    The guys are failing so they want to give kenyans reason to eject them by a coup. Kufeni kifo chenu nani.

  • @user-rh5yn3bc1o
    @user-rh5yn3bc1o Před 6 měsíci

    Kulen jeuri

  • @barsilyjuma4753
    @barsilyjuma4753 Před 6 měsíci +1

    ZAKAYO SHUKAAAAA😢😢😢😢

    • @bbd359
      @bbd359 Před 6 měsíci

      Aaa 😂😂wacha zakayo hapande Mti ya ukuyu
      Ama ili kuwa mti gani😂??

    • @barsilyjuma4753
      @barsilyjuma4753 Před 6 měsíci

      It's too much man

  • @rexmajoong5145
    @rexmajoong5145 Před 6 měsíci

    Lipeni

  • @hassanhussein9541
    @hassanhussein9541 Před 6 měsíci

    Si mtunyonge basii

  • @mathewnyamai6071
    @mathewnyamai6071 Před 6 měsíci

    A government of hypocrites thieves sycophants and liers

  • @zipporahkyeni7754
    @zipporahkyeni7754 Před 6 měsíci

    Ghai fafa 😢

    • @kelvinotieno2470
      @kelvinotieno2470 Před 6 měsíci

      Ndio hiyoooooo..... Hurubaro express 🤣🤣🤣

  • @JohnMwangi-jv3pp
    @JohnMwangi-jv3pp Před 6 měsíci

    Overtaxing wount solve anything

    • @isagreg8482
      @isagreg8482 Před 6 měsíci

      Lipeni ushuru hyo ndio Raisi wenu c uchawi ni maombi .
      Punishing Uhuru hahaha kuleni kiburi yenu

  • @zaveriamwai763
    @zaveriamwai763 Před 6 měsíci

    BY 2027 DA ONLY THING THAT UL NOT B TAXED ITS AIR... THIS GOV'T WILL TAX EVEN THE RAIN WATER INCASE U HAVE TANKS OR ANY OTHER STORAGE 💔💔💔
    NEXT it's da pets..cats dogs chicken etc🙄🤔

  • @georgendiga
    @georgendiga Před 6 měsíci

    The guy speaking is not human?

  • @salimmtenzi1263
    @salimmtenzi1263 Před 6 měsíci +5

    Most of these houses are owned by kikuyus

    • @hellen8443
      @hellen8443 Před 6 měsíci

      What’s your point here🤷🏾‍♀️

    • @wallacemunywa2507
      @wallacemunywa2507 Před 6 měsíci

      So what?

    • @paulgitau6055
      @paulgitau6055 Před 6 měsíci

      Own yours too

    • @bbd359
      @bbd359 Před 6 měsíci

      No alot of them are own by investors business men and kenyans a broad. ❤

    • @salimmtenzi1263
      @salimmtenzi1263 Před 6 měsíci

      @@paulgitau6055 yani imekuuma sana

  • @bbd359
    @bbd359 Před 6 měsíci +5

    Let me now be serious 🙄 😂
    The problem is they will increase rents also
    Nairobians are going to be hugely affected 😢
    Either watu warudi ushago ruto na sakaja wabaki na na nairobi.😅

    • @mourice1669
      @mourice1669 Před 6 měsíci

      😂😂😂 aim ya Ruto is to impoverish people wabaki wakimtegemea... he wants people to be poor

  • @aliathmani7165
    @aliathmani7165 Před 6 měsíci

    Mr, You are couting problems with with the people,
    Mr, President you are doing things that you understand but the don't, they just fill the weight.
    Mr, President we never thought it's real but politics, but it has come to our realization that it's real, and I believe you are ready to lose the coming elections and go home.
    Mr, President, though we are not sure of Destiny, we 've decided to find our way in the wilderness.
    This will be just a moi vs the rest of the country in 1992 project, that all I did good 4 the country will be hogwash.
    What you always tell the people is tax, without telling the people what problems are the course.
    Mr, President the business one can do now in kenya and thrive, is to tax people only, because the house's you tax most of the owners are retireries.😢😢😢😢

  • @agripinamuhavi5669
    @agripinamuhavi5669 Před 6 měsíci

    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @evawanjiru2023
    @evawanjiru2023 Před 6 měsíci

    Ata breast feeding mothers watataxiwa