Mwanamke mmoja anazuiliwa kwa tuhuma za mauaji
Vložit
- čas přidán 18. 09. 2023
- Wapelelezi jijini Nairobi wamemkamata mwanamke mmoja kwa tuhuma za kumuua kaimu mkurugenzi wa fedha katika hospitali ya Nairobi Eric Maigo. Cynthia Andalo aliyewasilishwa mahakamani atasalia kizuizini kwa siku tano huku uchunguzi na msako dhiidi ya mshukiwa mkuu ukiendelea.wapelelezi pia wamepata visu viwili vinavyoaminika kutumika kumuua maigo kwani vilikuwa na damu na alama za vidole zinazodaiwa kuwa za mtu mmoja
Justice for our brother, whatever challenges it's,human life is precious
Kenya hapawezi pita siku bila mtu kufa kwa maiwaji😂
A very painful death
Jesus this very painful why this to my uncle
Woi bona waamue haki ama ni pesa alikosa dio akauliwa
Mimi namalizia hata siku mbili nikiservive na maji,then unasikia mafuta imepanda,rais ruto jua hatuna guvu ya kupingana nawewe lakini kunaye ambaye tutamtuma kwako ambaye mungu na akufikie mahali uko,vile akifika kwa Nebuchadnezzah
Usichezi na mtu askari you cant hide
Aki the person once found should just be dealt with like that😢😢
Very painful aki ..😢😢 may they never have peace
Hawa waliuwana siojambo lenginne ispo kiwa mapenz tu
Hiyo chokora inyongwe.
Mimi kile naweza ambia ruto na kuria ni kwamba,wasijipinge kifua sana,ruto wewe saa zile watu wanakufa njaa juu ya kushindwa na gharama ya maisha dio unaendelea kupadisha maisha,wewe unajua Kuna boma hivi hakuna mtu hata mmoja anafanya kazi,wewe unajua mishahara ya watu wengu ni less than 20thousand mzazi na watoto na bado hii Dio unaifuata sijui ni manyumba za kupeleka wapi unasema unajenga,kwani tulikwamvis tunalala nje,mkae nkijua hakuna kitu tunaweza wafabyia since you are above the law,lakini mjue kunaye aliye above all,msone Nebuchadnezzah .machozi ya watu hautaenda bure hapatakosa mmoja take itskayo meabgika kwa meza ya mungu
So sad 25 times
Ni kama she killed him bcoz she felt jealous about the other girl