Wapelelezi wa DCI wamtambua mwanadada anayeaminiwa kuua Eric Maigo

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 09. 2023
  • Wapelelezi wamemtambua mshukiwa mkuu wa mauaji ya kaimu mkurugenzi wa fedha katika Nairobi hospital Eric Maigo. Sasa imebainika kuwa anne adhiambo, ndiye mwanamke aliyenaswa kwenye kamera za CCTV akitoroka baada ya mauaji ya Maigo. Wapelelezi waliokuwa wanaendeleza uchunguzi wamepata nguo alizokuwa amevaa wakati wa tukio nyumbani kwake mtaani kibra.
  • Zábava

Komentáře • 456

  • @billm6829
    @billm6829 Před 10 měsíci +59

    If this us how police identify and track corrupt govt officials tugekua far as a country

    • @alphanyjames4897
      @alphanyjames4897 Před 10 měsíci

      things are changing we as kenyans are heading samewhere

    • @mahmoodmohammed1679
      @mahmoodmohammed1679 Před 10 měsíci +3

      Facts....hii kma ingekua ni kesi ya MTU mkubwa serikalini izi CCTV zisingepatikana for some reason....

    • @alphanyjames4897
      @alphanyjames4897 Před 10 měsíci +1

      @@mahmoodmohammed1679but the truth will always kam out free data ikiwa after years it will kam out

    • @sophianasiekukatampoi7824
      @sophianasiekukatampoi7824 Před 10 měsíci

      😂😂😂😂

    • @MAYWAHITO
      @MAYWAHITO Před 10 měsíci

      Imagine

  • @samwelnyangau9828
    @samwelnyangau9828 Před 10 měsíci +91

    its the courage she has that is still shocking me

    • @wanjalaspha797
      @wanjalaspha797 Před 10 měsíci +3

      Recidivism, she's an ex convict

    • @gwg216
      @gwg216 Před 10 měsíci +2

      True her courage is on another level.....

    • @lovvy854
      @lovvy854 Před 10 měsíci +4

      Yote hii ni ku panic cz ametowa roho ya mtu already akiliaio yake

    • @phoebewanjiru1955
      @phoebewanjiru1955 Před 10 měsíci +4

      She may have taken drugs. How can she stump someone 25 stabs?

    • @lovvy854
      @lovvy854 Před 10 měsíci

      @@phoebewanjiru1955 ata sio drugs huyu ako na roho ya mapepo yanafuata labda alishawai kufanya kitendo kibaya zaidia hio

  • @cheptanuichepsit3146
    @cheptanuichepsit3146 Před 10 měsíci +130

    Let us dedicate our life to Jehovah God 🙏,as in you will be always at the right place at the right time with the right people,,rip maigo

  • @mowawajowangu8216
    @mowawajowangu8216 Před 10 měsíci +16

    Waah! Maswali ni mengi majibu ndiyo hakuna😢

  • @Irandabale
    @Irandabale Před 10 měsíci +38

    What a daring and corregous murderer!!Going over razor sharp wires is another level. Proper crook.

  • @mimsbaibe6mimsgul737
    @mimsbaibe6mimsgul737 Před 10 měsíci +33

    My condolences to the family wababa wachaneni na dogodogo this really sad 😢whats goes around comes around sasa watoi wamebaki bila baba this so evil

    • @phoebeadikinyi3441
      @phoebeadikinyi3441 Před 10 měsíci +2

      Woooo jamani,na by the way unaweza pata ni mtu anajuwa huyo jamaa vizuri juu hawezi ingia pale kama hajui hapo

    • @mercymburu7163
      @mercymburu7163 Před 10 měsíci +1

      Watoi wagani, I think Eric was not married

  • @evanswesonga5016
    @evanswesonga5016 Před 10 měsíci +8

    Showing us how she escaped, how did she get in? Something left out.

  • @halimaadan3412
    @halimaadan3412 Před 10 měsíci +17

    Mauaji imekua mob huu mwaka sijui kwanini😢

  • @aheudit
    @aheudit Před 10 měsíci +15

    ' Tiger woman gachagua said there are tigers in Kenya you said it's not true, this tiger was spotted recently. Despite all it's a sad situation

  • @kaibungarose4207
    @kaibungarose4207 Před 10 měsíci +11

    She is analogue, the digital world caught her

  • @NjeriLydia
    @NjeriLydia Před 10 měsíci +13

    Mahali sielewi ni kama waliingia kwa hio nyumba pamoja ama?

  • @milkah_george5877
    @milkah_george5877 Před 10 měsíci +9

    Hii cctv inakuanga wapi wengine wakiuliwa na pesa za wananchi zikipotea,anyway,Ann ajisalimishe tu hana otherwise

  • @Karengakii
    @Karengakii Před 10 měsíci +7

    No matter what in this life try to create a relationship with God that you may be safe in his hands, the world is fading and the life itself is not parmenent
    Don't forsake God for fame Remember there's death give your life to Christ and be saved God bless you.

  • @erickmanyara53
    @erickmanyara53 Před 10 měsíci +31

    That is a seriously traumatized character because the behaviour clearly is daring and dangerous

  • @MichaelKhaemba-uh9ys
    @MichaelKhaemba-uh9ys Před 10 měsíci +16

    Wakati akipambana kuruka fence ndo wange alert security haraka but they delayed so much

    • @thomasmarende2445
      @thomasmarende2445 Před 10 měsíci +4

      Mimi sijaelewa hili tukio. Nikama naota.yani dem anajitokeza na kuua MTU , badae tunasikia ati anatafuta vyatu, uyu ni mwizi au muuaji? Anyway we leave all to almighty God who is in heaven.

    • @mubatsievonne4649
      @mubatsievonne4649 Před 10 měsíci

      ​@@thomasmarende2445she's both,a murderer and a thief.

    • @elizabethamukhale3735
      @elizabethamukhale3735 Před 10 měsíci +1

      Maybe they thought she wanted to commit suicide ndio wakatake time kumbembeleza

    • @CleophasKoech-yi6yp
      @CleophasKoech-yi6yp Před 10 měsíci

      ​@@thomasmarende2445nikama viatu vyake vilianguka wakati alikua akichinjwa na hizo wire za fence.

    • @thomasmarende2445
      @thomasmarende2445 Před 10 měsíci

      @@CleophasKoech-yi6yp anyway wacha Tu believe, Mimi tangu citizen TV iyanze porojo za abnuasi huwa siamini citizen TV news zao.

  • @maverick_spirit
    @maverick_spirit Před 10 měsíci +9

    This CCTV footage is not complete. Show also the entry of the two. And how is she really jumping over electric fence? Was it really LIVE? Traumatizing.

    • @davidwanyama
      @davidwanyama Před 10 měsíci +1

      That's not electric fence, electric fence is thin like a thread

  • @oloem268
    @oloem268 Před 10 měsíci +23

    I know they will catch her soon, she has no where to hide now that she is known and she has serious injuries. On another note ,could you be doing the same with mweshimiwas , don't just be telling as that one mweshimiwa is involved in illegal gold business or wash wash and you don't give us the name or picture.

  • @eddahwekesa1951
    @eddahwekesa1951 Před 10 měsíci +45

    Kwanza kabisa adhiambo ni nani kwa iyo nyumba 😢😢😢

  • @fridahwayua9393
    @fridahwayua9393 Před 10 měsíci +32

    The effort and the courage she has if she can put it in money finding activities,,,haki angekuwa billionaire,,she is a risk taker if she can jump over an electric fence😳

    • @webbtz3591
      @webbtz3591 Před 10 měsíci

      Isn't an electric fence.

  • @wendie954
    @wendie954 Před 10 měsíci +3

    Cctv mbona isionyeshe vile aliingia,wabanaz na ndogo ndogo😢😢😢

  • @kenjuma3058
    @kenjuma3058 Před 10 měsíci +5

    She is so familiar in that compound from the reaction of the lady in black.

    • @thebold6700
      @thebold6700 Před 10 měsíci +3

      I have been reading comments and I concur with you. How comes the two Househelps never regarded her as a stranger to raise the alarm. She looked someone they know well.

    • @qrankmw.
      @qrankmw. Před 10 měsíci

      ​​@@thebold6700....ehhh....the oj simpson case...they even planted a glove....and it is danstan omari...of that time mr cochran.. who found the glove could not fit.....
      ...ombeta and danstan need to reach this girl...for the truth to be known...whether she did it or not....server/cctv itolewe yote without editing.....anything else will be chebukati ..cherera story - opaque...with injustice cj reading scripts witten from cotu headquarters or by a thesis from non existent student at teams university (UG) - sak.aja....
      ...be the salt of the earth...seek ye first the truth...and all the rest shall be added unto you...

  • @jacklinemaravi8688
    @jacklinemaravi8688 Před 10 měsíci +4

    Woi.poleni kwa familia..😭😭😭😭😭😭

  • @twelve1993
    @twelve1993 Před 10 měsíci +5

    People are coming up missing nowadays.
    Remember the NHIF lady who was shot,There was no case,no follow up... Nothing.
    Now a finance manager at a big hospital.
    Someone doesn't want something to be known.

  • @victordan9158
    @victordan9158 Před 10 měsíci +3

    Hii Nairobi vitu zinaendelega usiku mungu tu anajua. ...Eish. ...

  • @zakiakondo2849
    @zakiakondo2849 Před 10 měsíci +6

    Aisee huyu msichana ni jambazi sugu muuaji hana hata uoga na anajua nn afanye kukimbia😢

  • @user-td3ss6nk2d
    @user-td3ss6nk2d Před 10 měsíci +6

    Kwani ilikuaje hadi akaingia ndani kwa dr..? kuna problem somewhere walikulana au? Kamfanya nini hadi afanye hayo mauaji mabaya namna hiyo........baby girl come out useme ukweli wako.

    • @lilac8794
      @lilac8794 Před 10 měsíci +1

      Maybe maigo sexually assaulted her and she was not in her right mind

    • @user-td3ss6nk2d
      @user-td3ss6nk2d Před 10 měsíci

      @@lilac8794 for sure dear, kuna kitu behind.

    • @PearlHeaven-vs3cu
      @PearlHeaven-vs3cu Před 10 měsíci +1

      Maybe former mboch na hakulipwa

  • @maryguya9430
    @maryguya9430 Před 10 měsíci +9

    Neighbours seem to know her.. coz they should have stopped her

  • @kazikazini1042
    @kazikazini1042 Před 10 měsíci +5

    Sijaona nyaya za umeme bali za nyembe au nyaya wembe

  • @neemanyerere1939
    @neemanyerere1939 Před 10 měsíci +6

    Sasa mbona hatuoni wakiingia ndani ya nyumba na huyo mubaba cctv inaonesha tu akiruka uko nje ata atujaona vile ametoka kwa hiyo nyumba mmh maswali ni mengi majibu ndo hakuna😢

  • @elizabethotienonyaure992
    @elizabethotienonyaure992 Před 10 měsíci +3

    How did they get the name

  • @vansoham930
    @vansoham930 Před 10 měsíci

    Poleni kwa familia

  • @nataliasally
    @nataliasally Před 10 měsíci +6

    Kwani hizo waya hazifanyi kazi how comes anazishika na hakuna shock

  • @alexinamaina794
    @alexinamaina794 Před 10 měsíci +3

    Adhiambo alikujaje kwa hiyo nyumba?..alipitia wapi akaingia kwa compound?walikuwa na uhusiano gani na mwenye? nyumba?

  • @cosytvkenya3232
    @cosytvkenya3232 Před 10 měsíci +2

    Pple will go for any job offer that will make better life . No tym to calculate the results of of it as long as it's a good deal

  • @moseskimanimacharia
    @moseskimanimacharia Před 10 měsíci +3

    Wapi ua😂 la umeme, security hakuona damu! ama majeraha mbaya ni gani?

  • @rosekadzokillian9700
    @rosekadzokillian9700 Před 10 měsíci +2

    Waah, nae anaugua hapo alipo,.... Haya atapatikana tuu.. Siku za mwizi ni 40 only

  • @joycemusyoka837
    @joycemusyoka837 Před 10 měsíci +5

    Wanaume mtaacha kuchenzea wanawake , all the man 👞 ujifunzwe kuheshimu wemen ok , wanawake fire 🔥

  • @user-re3og8fc4k
    @user-re3og8fc4k Před 10 měsíci +35

    A woman climbing those fence like a spiderman is shocking. She might have gone through tough times in life,but killing a grown up man ,seams like a cover up somewhere.There is someone in the house with a white shirt how come he never botherd to come out to confront the lady jumping the wall?????

    • @eunicemutiso5788
      @eunicemutiso5788 Před 10 měsíci +1

      Nimejikuta napasua kicheko matangani na design huu dem ameramba barbed wire na mdomo😂

    • @aminaanab1071
      @aminaanab1071 Před 10 měsíci +2

      Very true

    • @phoebeadikinyi3441
      @phoebeadikinyi3441 Před 10 měsíci +1

      Waah!huyu mwanamke ni genius, dealing with sitima ni kama wamecomunicate na sitima,this is serious

    • @tonyirimu
      @tonyirimu Před 10 měsíci

      Were you watching with your ears closed ?

    • @user-re3og8fc4k
      @user-re3og8fc4k Před 10 měsíci

      @@tonyirimu what do you mean???

  • @SulaimanMohd-xl3jc
    @SulaimanMohd-xl3jc Před 10 měsíci +24

    Tuonyesheni CCTV wakiengia wote kwa nyumba

    • @qrankmw.
      @qrankmw. Před 10 měsíci +3

      ....ehh...hapo umenena...cctv ifunguliwe yote bila editing.......bila hiyo..itabakia kua mambo ya chebukati na cherera - opaque.....

  • @decoloniz_afro
    @decoloniz_afro Před 10 měsíci +2

    That electric wire woi....she must be hurt wherever she is......but kitendo alichofanya cha. Unyama woi

  • @brisbanesokoth5541
    @brisbanesokoth5541 Před 10 měsíci +6

    Wanaume mtakufa kama hamuwezi jiheshimu na kutulia kwenu

  • @evalynewanjiru9685
    @evalynewanjiru9685 Před 10 měsíci +2

    😢hao wamama hawajiulizi mbona mtu arukie kwa ukuta kama sio mbaya🤔🤔🤔wangesema nduru

  • @terrywatahi1203
    @terrywatahi1203 Před 10 měsíci +4

    She's now regretting her deeds 😢😢

  • @sammiebabu8550
    @sammiebabu8550 Před 10 měsíci +1

    Ghaiii huyo security namjua n wa nyumbani ghaiii poleni sana

  • @calvinochieng8123
    @calvinochieng8123 Před 10 měsíci +6

    Damu ya binadamu huwa ni mzito sana hauezi hepa popote dunia hii,

  • @shawakc7125
    @shawakc7125 Před 10 měsíci +4

    what have I just watched wooi

  • @user-ke6zr1yf2j
    @user-ke6zr1yf2j Před 10 měsíci +48

    I think there is more to this story than meets the eye. She does not seem in a rush after stabbing someone 25 times. We need CCTV showing them entering the residence as well.

    • @gwg216
      @gwg216 Před 10 měsíci +3

      Tru hii story iko wiered sana sana..... We don't want to judge but aaaaai

    • @lilac8794
      @lilac8794 Před 10 měsíci +6

      Maybe maigo sexually assaulted her and she was not in her right mind

    • @yobrabrayo
      @yobrabrayo Před 10 měsíci

      ​@@lilac8794nkt

    • @matindepaulanne1781
      @matindepaulanne1781 Před 10 měsíci +1

      ​@@lilac8794 But if you leave a club with a man what do you expect... Kwanza kama umekunywa pesa zake.

    • @alicehappiness509
      @alicehappiness509 Před 10 měsíci +2

      ​@@matindepaulanne1781am asking the same question. Minor akienda clubbing is treated as a grown up.

  • @Victor-qu5nz
    @Victor-qu5nz Před 10 měsíci

    Why???

  • @drogbake4190
    @drogbake4190 Před 10 měsíci +4

    If daring was a person 😢

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv Před 10 měsíci +7

    Dunia simama ni shuke 😭😭😭

  • @WENSLOUSSEME
    @WENSLOUSSEME Před 10 měsíci

    nice one

  • @jemimahmumbua6688
    @jemimahmumbua6688 Před 10 měsíci +4

    1:04 kuna watu wanamchungulia kwa mlango kutoka side ya tank.mbona jawakusaidia😢😢

    • @puritynduku8940
      @puritynduku8940 Před 10 měsíci +2

      Asking the same...apa kuna kitu tunafichwa

  • @alicehappiness509
    @alicehappiness509 Před 10 měsíci +5

    So the lady watching her jump over that fence couldn't have raised an alarm...scream or something...even after seen her clothes stained with blood!!! Again the watchman pia couldn't notice anything??

    • @mercywangui835
      @mercywangui835 Před 10 měsíci

      I wonder too,there is a lady there in the door

    • @kikiharry1886
      @kikiharry1886 Před 10 měsíci

      I wonder too,.hata wapige kelele or picha in this era.. I have so many questions with just that small episode...

  • @robinsonritho3140
    @robinsonritho3140 Před 10 měsíci +55

    Funny thing despite this CCTV evidence a good lawyer can get her out if there's no direct evidence she committed the crime

    • @governordavid9398
      @governordavid9398 Před 10 měsíci +5

      Actually it's a very easy case

    • @qrankmw.
      @qrankmw. Před 10 měsíci

      ....ehh...what other evidence do you have...?....escaping is not an offence...!!...the captors need to be jailed...!!...ni mtoto...so..afanyiwe medical check...na captors wawekewe charges sawa sawa...

    • @matindepaulanne1781
      @matindepaulanne1781 Před 10 měsíci +7

      Everyone is innocent until proven guilty ...

    • @nairobski4886
      @nairobski4886 Před 10 měsíci +8

      Clothes with blood stains of maigo,.knives with dna prints of ...

    • @beautifullyMade2024
      @beautifullyMade2024 Před 10 měsíci +5

      I don't think so...DNA seems to be all over.

  • @lornamwavali5599
    @lornamwavali5599 Před 10 měsíci +1

    Walete full video vile waliingia kwnza

  • @neriousjellagat4306
    @neriousjellagat4306 Před 10 měsíci +10

    Sasa huyu si angewatch Kwanza how to get away with murder

  • @cindyrobins8257
    @cindyrobins8257 Před 10 měsíci +6

    Huyu ni kama alitumwa auwe

  • @japhetkahindi4791
    @japhetkahindi4791 Před 10 měsíci +9

    This lady is worthy akiller

  • @akinyiokeyo4618
    @akinyiokeyo4618 Před 10 měsíci +2

    It is a difficult one to decipher...but one thing is for sure,kama there was a payment agreement after a service which was not honoured,such can occur....just my two cent worth if opinion,sad though...

    • @allanngugi7664
      @allanngugi7664 Před 10 měsíci

      Pay for services , some people desperately need the money .

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS Před 10 měsíci

    Ohoo God. Who to trust now

  • @Akatsa66
    @Akatsa66 Před 10 měsíci

    Like a movie

  • @puritymutheu1237
    @puritymutheu1237 Před 10 měsíci +1

    What can I comment now?

  • @deborahmoige2363
    @deborahmoige2363 Před 10 měsíci +4

    Who is she to Eric?tuanzie hapo

    • @gwg216
      @gwg216 Před 10 měsíci

      Yaani hii story inashangaza na inaogofywa sana pia ju huyu mtoi ilifika aje point ya kukua kwa nyumba ya huyo mtu.... Plus anakaa anajua sana vile ata move.. Move kuruka ma fence until she finally got away 😮

  • @sierratopservices9105
    @sierratopservices9105 Před 10 měsíci

    there's no security patrol guard why?

  • @evalindama9710
    @evalindama9710 Před 10 měsíci +1

    Huyu ni hatari kwa usalama alifaa aende aibe kwa bank instead ya kuua

  • @judymoraamachongo99
    @judymoraamachongo99 Před 10 měsíci +1

    Am shocked if she is a lady,, rest easy bro 😢😢😢

  • @olivermuthoka5587
    @olivermuthoka5587 Před 4 měsíci

    Hii case ilienda wapi

  • @user-wt4uj7mr8p
    @user-wt4uj7mr8p Před 10 měsíci

    Yes

  • @alicehappiness509
    @alicehappiness509 Před 10 měsíci +5

    Those saying the man assaulted the lady....am here wondering,the so called *minor* was out Partying at night,goes home to a *grown man's* house expecting candy!!!

  • @ag-tm7je
    @ag-tm7je Před 10 měsíci +5

    Na si kunaonekana kulikuwa na watu hakuna aliye notice Kuna kitu imefanyika

    • @jaymwinyi6957
      @jaymwinyi6957 Před 10 měsíci +1

      Ingekua ni mombasa angechangamkiwa

    • @leochemkoros1595
      @leochemkoros1595 Před 10 měsíci +2

      Wondering too. May be she is not the murderer. May be she witnessed the murder and was running away. May be the guy did something bad to her???????????????

  • @user-nl4vz8rk1l
    @user-nl4vz8rk1l Před 10 měsíci +2

    Tuonyeshe akiingia kwa nyumba acheni hii ufala

  • @jonathankisilu9021
    @jonathankisilu9021 Před 10 měsíci

    There is a lot of missing information..whonis Adhis' to marehemu??..under 18yrs?..we are not shown how she climbed up to the top of the tank.. 🙄...Alafu kwani ye ndiye ako na hizi nguo pekee??😢..!

  • @judahwillgofirst7964
    @judahwillgofirst7964 Před 10 měsíci +6

    I'm sure angekuwa mkikuyu, angekuwa judged hata kama her side of the story haijaskika,, anyway let's hope, polisi watajua what happened.

    • @Eddyke
      @Eddyke Před 10 měsíci +5

      Wakikuyu wako na historia mbaya

    • @missc5119
      @missc5119 Před 10 měsíci +2

      @@Eddykewell as you can see si mkikuyu.its funny everyone is she is a victim innocent until proven guilty. Yeah the same way you judged all the others with no evidence of doing the deed the same way we are judging her

    • @Eddyke
      @Eddyke Před 10 měsíci +2

      @@missc5119 we judge her peke yako... Don't bring tribalism here... they's no wey this girl climbed those walls just for money. She was hurting

    • @emilysawayi5787
      @emilysawayi5787 Před 10 měsíci +2

      A killer remains a killer

  • @pabloesc7755
    @pabloesc7755 Před 10 měsíci +1

    Yaani wanatazama mtu akiruka fences bila kuchukua hatua kali kama vile kumkatakata kwa mapanga na kisha waite polisi.....nkt!

  • @KwituRanch
    @KwituRanch Před 9 měsíci +1

    1:43 pray for kenya😢😢

  • @masanjaabasi8970
    @masanjaabasi8970 Před 10 měsíci

    Yani unauwaje mtu demu 🙌🙌🙌

  • @salomeomashibo1971
    @salomeomashibo1971 Před 10 měsíci

    JAMENI HAKO NA UJASIRI WA HALI YAJUU Erck Rip

  • @carolkendi2322
    @carolkendi2322 Před 10 měsíci +1

    lazima amesumbua mamake huyu mtoi aki t sad😊

  • @jembekali5928
    @jembekali5928 Před 10 měsíci +80

    Hahaha..... smells like a cover up... clothes are conveniently displayed and pictured as if in a shop, the investigation focuses on her escape (via CCTV) but nothing about their entry into the compound. The name of the suspect is known but you give an age range. Since the suspect in question is a minor, it introduces a technicality. By the way, while the suspect is struggling to jump over the wall, there is one person visibly seen through the window of the building - how come they don't notice any unusual activity outside and raise an alarm? One could ask a million questions but this feels like the usual circus prepared for a gullible public. The answer to this gruesome murder lies somewhere else - his workplace.

    • @KanuMoto
      @KanuMoto Před 10 měsíci +17

      You missed the river by a boat. The ladies seen are in the neighboring compound to Eric after the murderer jumped over. Second, it's 6:25am and seeing a lady up and about in a compound of several tenants, you cant raise alarm unlike seeing a dude.

    • @bettywabuko5071
      @bettywabuko5071 Před 10 měsíci +9

      Haijulikani penye alielekea, na nguo zilipatikana kwa nyumba yake?

    • @oloem268
      @oloem268 Před 10 měsíci +11

      I don't agree with you on some but on that cctv issue I do. There should be a video of them walking in together.

    • @ericmatheri9394
      @ericmatheri9394 Před 10 měsíci +5

      Also am also asking myself the same question, whom did he enter with in the house? Which was his house? or is this a different compound that the suspect entered in a bid to escape? Only DCI will unravel the mystery.

    • @kauskimkulima2171
      @kauskimkulima2171 Před 10 měsíci +4

      If there is no CCTV it doesn't mean it is a cover up

  • @vugutsadickson487
    @vugutsadickson487 Před 10 měsíci +1

    Kwani hukukuwa na mtu kwa hiyo boma? Na mfanyikazi alikuwa anamwambia ashuke kwani wanakuana, mbona hakumuuliza we ni nani? Na kwani aliingilia wapi? Na kwani Eric hakupiga nduru hata akidungwa kisu? Na mshukukiwa kwani hakukuwa na damu yeyote kwa nguo zake?

  • @roziialex
    @roziialex Před 10 měsíci +1

    Huyu dam ninani kwa hiyo nyumba.labda ata siyeye aliuana.kuna maswali mob sana ..nakaa hakuonekana akiuana..itabidi wafanye kazi kubwa sana ...kujua nani alifanya hicho kitendo.....mungu asaindiye ukweli ujulikane aki

  • @user-mh8tn7oo9b
    @user-mh8tn7oo9b Před 10 měsíci +3

    So the CCTV dint record her getting in but only getting out.. n this CCTV also cannot show us the door for the decease... okay.... maybe it has selective amnesia

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 Před 10 měsíci +3

    wanaume tulieni na mwanamke moja. Haya yote ni wivu wa mapenzi. But ujinga gani kwenye dunia hii ya sasa ya cameras kufanya ushenzi huu

  • @tomcalvinceKeTv.
    @tomcalvinceKeTv. Před 10 měsíci +6

    The world is coming to an end, Jesus come take as home😭

  • @khalifbulle4194
    @khalifbulle4194 Před 4 měsíci

    Asc

  • @chrisnmbugua612
    @chrisnmbugua612 Před 10 měsíci

    Huyo madam must have watched too much movies

  • @user-ch9ei7hp4c
    @user-ch9ei7hp4c Před 10 měsíci

    Cctv must show Maigo and her before also

  • @jamessonofjesuschrist9077
    @jamessonofjesuschrist9077 Před 10 měsíci +1

    Huo msichana ni takataka ata ata kutotoka ni kas bure atapatikana tu , damage ya maigo itamusubua sana

  • @amirshariff4070
    @amirshariff4070 Před 10 měsíci

    people are really hustling

  • @petergitau1632
    @petergitau1632 Před 10 měsíci

    uyo den aliingia vipi kwa uyo wenada zake?

  • @cindyrobins8257
    @cindyrobins8257 Před 10 měsíci +2

    Huyu hatamaliza 24 hours

  • @danlubale9732
    @danlubale9732 Před 10 měsíci

    😢

  • @DeejeyNayak
    @DeejeyNayak Před 3 měsíci

    tupee ukweli

  • @denojasega
    @denojasega Před 10 měsíci +6

    Na vile iyo wire hukata😢

    • @mubatsievonne4649
      @mubatsievonne4649 Před 10 měsíci +2

      Ako na majeraha chungu mzima huyo mshenzi,hakujua Kuna cctv?

    • @gwg216
      @gwg216 Před 10 měsíci +1

      @@mubatsievonne4649kabisa she must have been hurt badly.... I just wonder coz wanasema ni dem young 15 to 17 years ilifika aje stage ya kujuana na huyo maigo hadi akafika kwake.... Such a mystery indeed

    • @denojasega
      @denojasega Před 10 měsíci

      @@gwg216 i remember period ya elections vita ilitupata kwa place imefenciwa na hiyo wire so ilibidii niruke fence...nakuambia nilikatwaa,..ogopa iyo kitu naniii sai najua hana amani

  • @sanitablessed
    @sanitablessed Před 10 měsíci +1

    Mapenzi shikamoo,,,,,,

  • @reggie-n
    @reggie-n Před 10 měsíci +17

    Innocent until proven guilty .I can't judge her negatively before listening her side of the story.

    • @samsonmburu9940
      @samsonmburu9940 Před 10 měsíci +5

      You can as well defend her.

    • @qrankmw.
      @qrankmw. Před 10 měsíci +5

      ...ehh....well said....she does not look a killer...
      ...the other ppl in that apartment didnt seem suprised seeing the girl climbing the wall....
      .....my premature judgement...she is the victim..

    • @peterkariuki9073
      @peterkariuki9073 Před 10 měsíci +1

      Shaitwani wewe!

    • @user-wy6tv5uq5c
      @user-wy6tv5uq5c Před 10 měsíci

      ​@@peterkariuki9073😂😂😂

    • @lilac8794
      @lilac8794 Před 10 měsíci +1

      Maybe maigo sexually assaulted her and she was not in her right mind

  • @sarahwambuu8632
    @sarahwambuu8632 Před 10 měsíci

    Scary😮

  • @koechcollins9504
    @koechcollins9504 Před 10 měsíci +2

    This one from kibra was just high on alcohol and drugs. Now regrets for life.

  • @vugutsadickson487
    @vugutsadickson487 Před 10 měsíci +1

    Kumbe hiyo wire haikuangi na shock🤔

  • @qrankmw.
    @qrankmw. Před 10 měsíci +3

    ....ehh...she doesnt seem okay...
    .....she does not seem desperate to get away...
    ...she looks like someone who has managed to get away from her captors...or getting away from something she didnt expect....
    ...i could be wrong...but...she will say much if given protection.....
    ....i would be more worried about what goes on in those apartments....

    • @anneekiru5071
      @anneekiru5071 Před 10 měsíci +1

      Her clothes were found soaked in blood. She was in approved school. I see a daring person who doesn't fear to jump over and get injured. Off course there may be accomplices

    • @qrankmw.
      @qrankmw. Před 10 měsíci

      ​@@anneekiru5071....ehh...cctv yote itolewe....also...hiyo ploti ina mambo....huyo kuruka haikustua sana aliyetokea...mwingine alionekana dirishani kwake akiendelea na mambo zake...hiyo ploti kuna mambo zisizo za kawaida.....

    • @godsfavour1603
      @godsfavour1603 Před 10 měsíci

      @@anneekiru5071 wait how many cloths did she have?if they found her cloths in socked blood how come she was seen with the same cloths jumping the fence 🤔🤔🤔 this does not add up

    • @anneekiru5071
      @anneekiru5071 Před 10 měsíci

      @@godsfavour1603 she removed them. They were found where she lives. What kind of children are taken to Approved School? Anzia hapo

    • @qrankmw.
      @qrankmw. Před 10 měsíci

      ​@@anneekiru5071...ehh..jamaa alipokua akifanya kazi pia kuna pesa zinapitia.....pesa nyingi.....
      ..wenye tamaa ya pesa...wengine wako na pesa .....na wenye tamaa ni wengi ....