Tanzania daima itazidi kuendelea na hakuna kukata tamaa ,ASKARI EEEE VITANI EE MAA WANACHEZA ,WANACHEZA NDOMBOLO KOFIA YACHUMA VITANI EE MAMA ,.ASIYEPENDA JESHI LETU ATOROKE SAANANE ZA USIKU............. ❤OUR NATION JAPO SIJAAJIRIWA NITAZIDI KUIPENDA TANZANIA .
Tanzania tbc Tanzania national brocast good responsibility on nation us the brodidost will be Wisdom to announce opposition political party why thing change in the nation we don't refiuse lnfometion minister difend ccm rooling part but sametime on gavment political party cane ather position what will it be happening asheme on leadership let Africa change this system of national prodicst stick on rooling part
TBC mmenifurahisha sana tena Sana Kwa kutazama hii Picha mwendo,, Nashauri muanzishe Kipindi Maalumu kabisa na Mahususi cha "Siasa ya Tanzania" Itatukumbusha mengi kutufanya wamoja na kujua tuliko toka hasa kwa vijana wa kileo.
Huyo Nyerere aliharibu kila kituuuu! Akatomba nchi na kuleta umadikini! Wakoloni walifanya kila kitu kizuri,akaja yeye akafira kila kitu akidhani anajua saana Kumbe mzoga hawezi hata kutawala Choo cha kulipia,mzoga ukamshinda! Ajamtupia mwinyi masikini ya Mungu!!! Daah mwinyi alitupiwa tambara la mwanamke yupo mwezini limeoza linanuka mfyuuuu!!!
Ila zitolewe Historia za kweli mwanzo mwisho tangia kupatikana kwa Uhuru, waasisi waloanzisha mchakato wa Uhuru na sababu ya kudai Uhuru hadi kufikia kukamilika kwa kukabidhiwa Uhuru. Baadhi ya kizazi kipya/kizazi cha sasa hawaelewi uzuri historia ya kupatikana kwa Uhuru wa Tz Bara/Tanganyika na kupatikana kwa Uhuru wa Tz Zanzibar/Tz Visiwani. Bali imekuwa mazowea/destuli kusikia akitajwa na kusifiwa zaidi mmoja tu miongoni mwa Walioshiriki kupigania Uhuru wa Tz Bara/Tanganyika husikika kibwagizo cha Wimbo maalum/maarufu "KAMASIO......UHURU UNGETOKA WAPII......?! Inamaana alikuwa peke yake ktk kupigania/kuleta Uhuru, mbona majina ya wadhiriki wengine walopigania Uhuru hawatajitajwi ?! Inamaana yeye ndo alokuwa muasisi wa pekee/Mkuu aloleta Uhuru?! Itolewe historia ya kamili bila kukatakata ili Vijana/kizazi kipya na WaTz kwa ujumla wajifunze na kuelewa historia ya Uhuru kiundani. Kumtaja/kumsifu mmoja tu miongoni mwa walopambana kuleta Uhuru wakti wapo wengi hapo inakuwa si haki ni kuharibu na kupotosha ukweli wa histoeia na kuwavunja nguvu wengine/familia/jamii ya Wazazi waloshiriki kuleta Uhuru ! Kauli ya DHAMBI US UBAGUZI NI.MBAYA.....basi kauli hii ienziwe kivitendo. Kutowataja na washiriki wengine waloshiriki/waasisi wa mchakato wa kupigani Uhuru na kutuletea Uhuru kutowatsjataja/kutowasifu kwa nyimbo/vibwagizo ktk Vyombo vya habari , ktk Makongamano/Mijadala, Vitabuni nk huo ni Ubaguzi hivyo tuepuke dhambi ya ubaguzi na madhara ya ubaguzi. Hata picha ya kuchanganya Udongo wa Tz Bara/Tanganyika na Tz Visiwami/ZNZ picha inaashiria Ubaguzi/ulimi ! Iweje Vibuyu cha udongo anaonekana amevishika mtu mmoja tu wakti ile ilikuwa ni ishara ya Muungano?! Ilipasa wa Bara/Tanganyika ashike kibuyu cha ZNZ na wa ZNZ/Visiwani angeshika cha Bara/Tanganyika. Kitendo cha vibuyu vyote vya udongo kushikwa na kuchanganywa na Kiongozi mmoja tu ni ishara na dalili za ubaguzi wa hadharani !
Histori kwakweli inanifurahisha kwa kiasi kikubwa sana, afu watu wa zamani ni kama ni wachangamfu sana hahahahaaaa hakika nawapenda sana!!! Nyerere bana mpaka leo hii naweza nikasema, ni mwanadamu wa pekee pamoja na mtoto wake huyu aliyefariki juzi anayeitwa Magufuli. Hawa watu kweli walikuwa viongozi wa mfano hapa duniani. Mungu awarehemu hawa watu. Amen.
Kila Kiongozi alokuwa/alopita Madarakani alikuwa na mazuri yake na mema yake. Enzi hizo ajira Jeshini kigezo/sifa Urefu (watu warefu) ambao kiasilia walikuwa wakitoka/wakipatikana kwao na jirani na kwake. Je, huo haukuwa Ubaguzi?! Afu anatwambia/alitwambia DHAMBI YA UBAGUZI NI MBAYA SANA NA NI YA KUIGOPA SANA, mmmh...! Mbona kauli/msemo havikuendana/haviendani na vitendo?! Zimezungumzwa/zinazungumzwa (zinajadiliwa) kero za Muungano na miongoni mwa kero hizo nashawishika kuziita ni UBAGUZI, He hazikujulikana/hazijulikani kwamba ni Ubaguzi?!! Nakubali kweli mwrema kwako m'baya kwa mwenzako. Like Kiongozi (binAdam) anayo mazuri/mema na maovu/mabaya yake. Leo mama anaonekana m'baya kwa baadhi ya watu na kumsifu sana Magufuli mmmh...! Kunabaadhi ya watu miongoni keep ni baadhi ya Viongozi wa Dini eti wanamlaumu kwanini anavaa Hijjab waktk Hijjab ni Vazi la sitara, eti kuvaa Hijjab ni kuutangaza Uislam (hata kama) kwani kunubaya gani kutangaza/kuonyesha imaan/Dini yako?! Mbona kunawanaovaa Misalaba na Sare (Uniform) za Uchungaji, Padre, Sister na ilhali ni Watumishi wa Serikali na Idara na Taasisi za Serikali?! Je, hilo si kosa ila kwa Muislamu ni makosa na ni haram !
Itolewe historia ya kweli na haki mwanzo mwisho vitabuni na kwenye Media ili muelewe. Vinginevyo itakuwa ni DHAMBI YA UBAGUZI na dhambi/laana ya ubaguzi ni mbaya sana.
Tanzania daima itazidi kuendelea na hakuna kukata tamaa ,ASKARI EEEE VITANI EE MAA WANACHEZA ,WANACHEZA NDOMBOLO KOFIA YACHUMA VITANI EE MAMA ,.ASIYEPENDA JESHI LETU ATOROKE SAANANE ZA USIKU............. ❤OUR NATION JAPO SIJAAJIRIWA NITAZIDI KUIPENDA TANZANIA .
Tbc nawapenda sana kwa kumbukumbu zenu mnavyozitunza mungu ailinde Tbc na Tanzania yetu ya amani tu Tanzania
Zamani pazuri sana kumbe kuna maswali na Majibu
Chama Chetu Cha mapinduzi chajenga Nchi--Wimbo safi sana wakati nikiwa mwanfunzi wa shule. Lazima irejee tena.
Hongera Sana TBC kwa kutuelimisha kizazi kipya
Mwenye zimungu awarehemu wote waliotangulia mbele za haki😢
Television bora Tanzania inayosimamiwa na wazalendo wa Tanzania. Mungu aisimamie Television yetu.
Kusema ukweli mwl Nyerere alitusaodia sana sana,kuhakikisha anatujengea amani ni upendo tulionao hadi hivi sasa,
nataman cku nilale hlf niamke nitokee miaka ya 80... nataman kuju maisha yao yalikuwaje miaka hiyo wallah
Namuona hayati Maalim Seif Kwa mbaaali,,,
Safi sana kukimbuka tuliokotoka
Vya KALE NI DHAHABU
Aseee kitambo sana yaan
Hii nchi aiseee
Nchi ilikuwa mbali sana
Kumbe mlikuwa mnasema wenyewe kuwa kidumu chama cha mapinduzi, sasa kinadumu, mnalalamika!!
10:25 maoni hii ifundishwe mashuleni ili vizazi viji funze kwa imaleta fundisho kubwa sana kuwa mwasiasa mzalendo ana lelewa vipi
kumbe jesh nalo ni ccm
Imenikumbusha mbali sana ndio nimemali dalasa la saba 6:18
Kumbe hawakuanza Leo kutoonekana majimboni!!!
Hahahahaha kitambo ndio tabiayao
👊✌️👊.
Msuya alikua jimbo la Mwanga na sio Same
Izo Mando nimezikubali
Tanzania tbc Tanzania national brocast good responsibility on nation us the brodidost will be Wisdom to announce opposition political party why thing change in the nation we don't refiuse lnfometion minister difend ccm rooling part but sametime on gavment political party cane ather position what will it be happening asheme on leadership let Africa change this system of national prodicst stick on rooling part
TBC mmenifurahisha sana tena Sana Kwa kutazama hii Picha mwendo,, Nashauri muanzishe Kipindi Maalumu kabisa na Mahususi cha "Siasa ya Tanzania" Itatukumbusha mengi kutufanya wamoja na kujua tuliko toka hasa kwa vijana wa kileo.
Huyo Nyerere aliharibu kila kituuuu! Akatomba nchi na kuleta umadikini! Wakoloni walifanya kila kitu kizuri,akaja yeye akafira kila kitu akidhani anajua saana Kumbe mzoga hawezi hata kutawala Choo cha kulipia,mzoga ukamshinda! Ajamtupia mwinyi masikini ya Mungu!!! Daah mwinyi alitupiwa tambara la mwanamke yupo mwezini limeoza linanuka mfyuuuu!!!
Ila zitolewe Historia za kweli mwanzo mwisho tangia kupatikana kwa Uhuru, waasisi waloanzisha mchakato wa Uhuru na sababu ya kudai Uhuru hadi kufikia kukamilika kwa kukabidhiwa Uhuru.
Baadhi ya kizazi kipya/kizazi cha sasa hawaelewi uzuri historia ya kupatikana kwa Uhuru wa Tz Bara/Tanganyika na kupatikana kwa Uhuru wa Tz Zanzibar/Tz Visiwani.
Bali imekuwa mazowea/destuli kusikia akitajwa na kusifiwa zaidi mmoja tu miongoni mwa Walioshiriki kupigania Uhuru wa Tz Bara/Tanganyika husikika kibwagizo cha Wimbo maalum/maarufu "KAMASIO......UHURU UNGETOKA WAPII......?!
Inamaana alikuwa peke yake ktk kupigania/kuleta Uhuru, mbona majina ya wadhiriki wengine walopigania Uhuru hawatajitajwi ?!
Inamaana yeye ndo alokuwa muasisi wa pekee/Mkuu aloleta Uhuru?!
Itolewe historia ya kamili bila kukatakata ili Vijana/kizazi kipya na WaTz kwa ujumla wajifunze na kuelewa historia ya Uhuru kiundani.
Kumtaja/kumsifu mmoja tu miongoni mwa walopambana kuleta Uhuru wakti wapo wengi hapo inakuwa si haki ni kuharibu na kupotosha ukweli wa histoeia na kuwavunja nguvu wengine/familia/jamii ya Wazazi waloshiriki kuleta Uhuru !
Kauli ya DHAMBI US UBAGUZI NI.MBAYA.....basi kauli hii ienziwe kivitendo.
Kutowataja na washiriki wengine waloshiriki/waasisi wa mchakato wa kupigani Uhuru na kutuletea Uhuru kutowatsjataja/kutowasifu kwa nyimbo/vibwagizo ktk Vyombo vya habari , ktk Makongamano/Mijadala, Vitabuni nk huo ni Ubaguzi hivyo tuepuke dhambi ya ubaguzi na madhara ya ubaguzi.
Hata picha ya kuchanganya Udongo wa Tz Bara/Tanganyika na Tz Visiwami/ZNZ picha inaashiria Ubaguzi/ulimi !
Iweje Vibuyu cha udongo anaonekana amevishika mtu mmoja tu wakti ile ilikuwa ni ishara ya Muungano?!
Ilipasa wa Bara/Tanganyika ashike kibuyu cha ZNZ na wa ZNZ/Visiwani angeshika cha Bara/Tanganyika.
Kitendo cha vibuyu vyote vya udongo kushikwa na kuchanganywa na Kiongozi mmoja tu ni ishara na dalili za ubaguzi wa hadharani !
nampenda sana mzee huyu alikuwa mwamba sana mwlm nyerere
Nimeona Toyo apo
rip mwinyi
WiFi wa kua hao,wa nakua mmoja mmoja
Kumbe hio nyimbo ya chama chetu cha mapinduzi ni ya kitambo
wimbo naukumbuka huu hapchama chetu chamapinduz cha njenga nchi nakumbuka nikiw darasa 3 mkapa na mrema 95 kapeni
Wakati huo nchi ikiwa bado nyeusi,,,,
Hao walosema kidumu chama cha mapinduzi ndo we nye dhiki na njaa
Mama was kambo
Agenda ya njaa inaendelea kulitafuna taifa halijapatiwa majibu
Watu walikuwa wakiimba kidumu chama cha mapinduzi, sasa kimedumu wanalalamika mbona hakiondoki madarakani, watz hatujaelewa tunachokitaka😂
Histori kwakweli inanifurahisha kwa kiasi kikubwa sana, afu watu wa zamani ni kama ni wachangamfu sana hahahahaaaa hakika nawapenda sana!!! Nyerere bana mpaka leo hii naweza nikasema, ni mwanadamu wa pekee pamoja na mtoto wake huyu aliyefariki juzi anayeitwa Magufuli. Hawa watu kweli walikuwa viongozi wa mfano hapa duniani. Mungu awarehemu hawa watu. Amen.
Pumbav sasa ww magufur alikuwa mpuuzi kama wapuuz wengne
@@abdulsalum8138 kumbe!!! Kwahiyo ww unaakili kumzidi Magufuli?? PhD, aise unayo??? Ww hata buku hujui kuhesabu ndugu!!! Pole.
Kila Kiongozi alokuwa/alopita Madarakani alikuwa na mazuri yake na mema yake.
Enzi hizo ajira Jeshini kigezo/sifa Urefu (watu warefu) ambao kiasilia walikuwa wakitoka/wakipatikana kwao na jirani na kwake. Je, huo haukuwa Ubaguzi?!
Afu anatwambia/alitwambia DHAMBI YA UBAGUZI NI MBAYA SANA NA NI YA KUIGOPA SANA, mmmh...! Mbona kauli/msemo havikuendana/haviendani na vitendo?!
Zimezungumzwa/zinazungumzwa (zinajadiliwa) kero za Muungano na miongoni mwa kero hizo nashawishika kuziita ni UBAGUZI, He hazikujulikana/hazijulikani kwamba ni Ubaguzi?!!
Nakubali kweli mwrema kwako m'baya kwa mwenzako.
Like Kiongozi (binAdam) anayo mazuri/mema na maovu/mabaya yake.
Leo mama anaonekana m'baya kwa baadhi ya watu na kumsifu sana Magufuli mmmh...!
Kunabaadhi ya watu miongoni keep ni baadhi ya Viongozi wa Dini eti wanamlaumu kwanini anavaa Hijjab waktk Hijjab ni Vazi la sitara, eti kuvaa Hijjab ni kuutangaza Uislam (hata kama) kwani kunubaya gani kutangaza/kuonyesha imaan/Dini yako?!
Mbona kunawanaovaa Misalaba na Sare (Uniform) za Uchungaji, Padre, Sister na ilhali ni Watumishi wa Serikali na Idara na Taasisi za Serikali?! Je, hilo si kosa ila kwa Muislamu ni makosa na ni haram !
Baba wa Afrika, CCM oyee
wengine ata atujadhaliwa
Itolewe historia ya kweli na haki mwanzo mwisho vitabuni na kwenye Media ili muelewe.
Vinginevyo itakuwa ni DHAMBI YA UBAGUZI na dhambi/laana ya ubaguzi ni mbaya sana.
Hii kipindi itengewe muda pekee yake
mbn kafupi
Ni mboro ndo maana kafupi! Mboo ya hanisi huwa fupi!!!
Mkapa Alikuwa mbabe kitambo tu kumbe
DUNIA ni mapito tu
Dude
Inanikumbusha enzi za Chipukizi wa CCM tukiwa shule ya msingi kabla ya mfumo wa vyama vingi, huo wimbo ulikuwa ni zaidi ya wimbo wa taifa!
kulikuwa na uchaguzi miaka hii kweli ?? kura ya ndio au hapana ?? it was shame elections