SIMULIZI YA UCHAGUZI MKUU 1985, MWL. NYERERE ALIVYOMPA KIJITI MZEE MWINYI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 06. 2020
  • SIMULIZI YA UCHAGUZI MKUU 1985, MWL. NYERERE ALIVYOMPA KIJITI MZEE MWINYI

Komentáře • 54

  • @GOLLANBANGILI
    @GOLLANBANGILI Před 8 měsíci +3

    Tanzania daima itazidi kuendelea na hakuna kukata tamaa ,ASKARI EEEE VITANI EE MAA WANACHEZA ,WANACHEZA NDOMBOLO KOFIA YACHUMA VITANI EE MAMA ,.ASIYEPENDA JESHI LETU ATOROKE SAANANE ZA USIKU............. ❤OUR NATION JAPO SIJAAJIRIWA NITAZIDI KUIPENDA TANZANIA .

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před 2 lety +1

    Tbc nawapenda sana kwa kumbukumbu zenu mnavyozitunza mungu ailinde Tbc na Tanzania yetu ya amani tu Tanzania

  • @josephjila957
    @josephjila957 Před 2 lety +4

    Zamani pazuri sana kumbe kuna maswali na Majibu

  • @abdulrazakyussef3177
    @abdulrazakyussef3177 Před 4 lety +2

    Chama Chetu Cha mapinduzi chajenga Nchi--Wimbo safi sana wakati nikiwa mwanfunzi wa shule. Lazima irejee tena.

  • @mrbayuali6916
    @mrbayuali6916 Před 4 lety +2

    Hongera Sana TBC kwa kutuelimisha kizazi kipya

  • @ashrafkhamis1051
    @ashrafkhamis1051 Před 4 měsíci +2

    Mwenye zimungu awarehemu wote waliotangulia mbele za haki😢

  • @oscarkasalile3966
    @oscarkasalile3966 Před rokem

    Television bora Tanzania inayosimamiwa na wazalendo wa Tanzania. Mungu aisimamie Television yetu.

  • @kilimanjaro255
    @kilimanjaro255 Před 4 měsíci

    Kusema ukweli mwl Nyerere alitusaodia sana sana,kuhakikisha anatujengea amani ni upendo tulionao hadi hivi sasa,

  • @mussahoza
    @mussahoza Před 4 měsíci

    nataman cku nilale hlf niamke nitokee miaka ya 80... nataman kuju maisha yao yalikuwaje miaka hiyo wallah

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Před 2 lety +3

    Namuona hayati Maalim Seif Kwa mbaaali,,,

  • @ashritaabdallah6474
    @ashritaabdallah6474 Před 4 lety

    Safi sana kukimbuka tuliokotoka

  • @MWAMALUMBILI
    @MWAMALUMBILI Před 4 lety +4

    Vya KALE NI DHAHABU

  • @eliahmashala5180
    @eliahmashala5180 Před 4 měsíci

    Aseee kitambo sana yaan

  • @user-rn9og1rk3l
    @user-rn9og1rk3l Před 4 měsíci

    Hii nchi aiseee

  • @butungo1
    @butungo1 Před 4 měsíci

    Nchi ilikuwa mbali sana

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 Před 3 lety +1

    Kumbe mlikuwa mnasema wenyewe kuwa kidumu chama cha mapinduzi, sasa kinadumu, mnalalamika!!

  • @ndinzeissa4778
    @ndinzeissa4778 Před 4 měsíci

    10:25 maoni hii ifundishwe mashuleni ili vizazi viji funze kwa imaleta fundisho kubwa sana kuwa mwasiasa mzalendo ana lelewa vipi

  • @herimohamed276
    @herimohamed276 Před rokem +1

    kumbe jesh nalo ni ccm

  • @ndinzeissa4778
    @ndinzeissa4778 Před 4 měsíci

    Imenikumbusha mbali sana ndio nimemali dalasa la saba 6:18

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 Před 3 lety +2

    Kumbe hawakuanza Leo kutoonekana majimboni!!!

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 5 měsíci

    👊✌️👊.

  • @mohamedmsemo941
    @mohamedmsemo941 Před rokem

    Msuya alikua jimbo la Mwanga na sio Same

  • @godcompeter9844
    @godcompeter9844 Před 2 lety

    Izo Mando nimezikubali

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Před 9 měsíci

    Tanzania tbc Tanzania national brocast good responsibility on nation us the brodidost will be Wisdom to announce opposition political party why thing change in the nation we don't refiuse lnfometion minister difend ccm rooling part but sametime on gavment political party cane ather position what will it be happening asheme on leadership let Africa change this system of national prodicst stick on rooling part

  • @jamaa2760
    @jamaa2760 Před 4 lety +1

    TBC mmenifurahisha sana tena Sana Kwa kutazama hii Picha mwendo,, Nashauri muanzishe Kipindi Maalumu kabisa na Mahususi cha "Siasa ya Tanzania" Itatukumbusha mengi kutufanya wamoja na kujua tuliko toka hasa kwa vijana wa kileo.

    • @jimj8285
      @jimj8285 Před 2 lety

      Huyo Nyerere aliharibu kila kituuuu! Akatomba nchi na kuleta umadikini! Wakoloni walifanya kila kitu kizuri,akaja yeye akafira kila kitu akidhani anajua saana Kumbe mzoga hawezi hata kutawala Choo cha kulipia,mzoga ukamshinda! Ajamtupia mwinyi masikini ya Mungu!!! Daah mwinyi alitupiwa tambara la mwanamke yupo mwezini limeoza linanuka mfyuuuu!!!

    • @alhaddajmohammed4768
      @alhaddajmohammed4768 Před 2 lety

      Ila zitolewe Historia za kweli mwanzo mwisho tangia kupatikana kwa Uhuru, waasisi waloanzisha mchakato wa Uhuru na sababu ya kudai Uhuru hadi kufikia kukamilika kwa kukabidhiwa Uhuru.
      Baadhi ya kizazi kipya/kizazi cha sasa hawaelewi uzuri historia ya kupatikana kwa Uhuru wa Tz Bara/Tanganyika na kupatikana kwa Uhuru wa Tz Zanzibar/Tz Visiwani.
      Bali imekuwa mazowea/destuli kusikia akitajwa na kusifiwa zaidi mmoja tu miongoni mwa Walioshiriki kupigania Uhuru wa Tz Bara/Tanganyika husikika kibwagizo cha Wimbo maalum/maarufu "KAMASIO......UHURU UNGETOKA WAPII......?!
      Inamaana alikuwa peke yake ktk kupigania/kuleta Uhuru, mbona majina ya wadhiriki wengine walopigania Uhuru hawatajitajwi ?!
      Inamaana yeye ndo alokuwa muasisi wa pekee/Mkuu aloleta Uhuru?!
      Itolewe historia ya kamili bila kukatakata ili Vijana/kizazi kipya na WaTz kwa ujumla wajifunze na kuelewa historia ya Uhuru kiundani.
      Kumtaja/kumsifu mmoja tu miongoni mwa walopambana kuleta Uhuru wakti wapo wengi hapo inakuwa si haki ni kuharibu na kupotosha ukweli wa histoeia na kuwavunja nguvu wengine/familia/jamii ya Wazazi waloshiriki kuleta Uhuru !
      Kauli ya DHAMBI US UBAGUZI NI.MBAYA.....basi kauli hii ienziwe kivitendo.
      Kutowataja na washiriki wengine waloshiriki/waasisi wa mchakato wa kupigani Uhuru na kutuletea Uhuru kutowatsjataja/kutowasifu kwa nyimbo/vibwagizo ktk Vyombo vya habari , ktk Makongamano/Mijadala, Vitabuni nk huo ni Ubaguzi hivyo tuepuke dhambi ya ubaguzi na madhara ya ubaguzi.
      Hata picha ya kuchanganya Udongo wa Tz Bara/Tanganyika na Tz Visiwami/ZNZ picha inaashiria Ubaguzi/ulimi !
      Iweje Vibuyu cha udongo anaonekana amevishika mtu mmoja tu wakti ile ilikuwa ni ishara ya Muungano?!
      Ilipasa wa Bara/Tanganyika ashike kibuyu cha ZNZ na wa ZNZ/Visiwani angeshika cha Bara/Tanganyika.
      Kitendo cha vibuyu vyote vya udongo kushikwa na kuchanganywa na Kiongozi mmoja tu ni ishara na dalili za ubaguzi wa hadharani !

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan7346 Před rokem

    nampenda sana mzee huyu alikuwa mwamba sana mwlm nyerere

  • @godcompeter9844
    @godcompeter9844 Před 2 lety

    Nimeona Toyo apo

  • @jailaniramadhan1788
    @jailaniramadhan1788 Před 4 měsíci

    rip mwinyi

  • @alimohd8427
    @alimohd8427 Před 2 lety

    WiFi wa kua hao,wa nakua mmoja mmoja

  • @haridsaid6286
    @haridsaid6286 Před 6 měsíci

    Kumbe hio nyimbo ya chama chetu cha mapinduzi ni ya kitambo

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan7346 Před rokem

    wimbo naukumbuka huu hapchama chetu chamapinduz cha njenga nchi nakumbuka nikiw darasa 3 mkapa na mrema 95 kapeni

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Před 2 lety

    Wakati huo nchi ikiwa bado nyeusi,,,,

  • @alimohd8427
    @alimohd8427 Před 2 lety

    Hao walosema kidumu chama cha mapinduzi ndo we nye dhiki na njaa

  • @MassaweSelestine-pd8mu
    @MassaweSelestine-pd8mu Před 4 měsíci

    Mama was kambo

  • @issakwisamwasanjobe541

    Agenda ya njaa inaendelea kulitafuna taifa halijapatiwa majibu

  • @edwardgafachu8932
    @edwardgafachu8932 Před 4 měsíci

    Watu walikuwa wakiimba kidumu chama cha mapinduzi, sasa kimedumu wanalalamika mbona hakiondoki madarakani, watz hatujaelewa tunachokitaka😂

  • @micamathew2595
    @micamathew2595 Před 2 lety

    Histori kwakweli inanifurahisha kwa kiasi kikubwa sana, afu watu wa zamani ni kama ni wachangamfu sana hahahahaaaa hakika nawapenda sana!!! Nyerere bana mpaka leo hii naweza nikasema, ni mwanadamu wa pekee pamoja na mtoto wake huyu aliyefariki juzi anayeitwa Magufuli. Hawa watu kweli walikuwa viongozi wa mfano hapa duniani. Mungu awarehemu hawa watu. Amen.

    • @abdulsalum8138
      @abdulsalum8138 Před 2 lety

      Pumbav sasa ww magufur alikuwa mpuuzi kama wapuuz wengne

    • @micamathew2595
      @micamathew2595 Před 2 lety

      @@abdulsalum8138 kumbe!!! Kwahiyo ww unaakili kumzidi Magufuli?? PhD, aise unayo??? Ww hata buku hujui kuhesabu ndugu!!! Pole.

    • @alhaddajmohammed4768
      @alhaddajmohammed4768 Před 2 lety

      Kila Kiongozi alokuwa/alopita Madarakani alikuwa na mazuri yake na mema yake.
      Enzi hizo ajira Jeshini kigezo/sifa Urefu (watu warefu) ambao kiasilia walikuwa wakitoka/wakipatikana kwao na jirani na kwake. Je, huo haukuwa Ubaguzi?!
      Afu anatwambia/alitwambia DHAMBI YA UBAGUZI NI MBAYA SANA NA NI YA KUIGOPA SANA, mmmh...! Mbona kauli/msemo havikuendana/haviendani na vitendo?!
      Zimezungumzwa/zinazungumzwa (zinajadiliwa) kero za Muungano na miongoni mwa kero hizo nashawishika kuziita ni UBAGUZI, He hazikujulikana/hazijulikani kwamba ni Ubaguzi?!!
      Nakubali kweli mwrema kwako m'baya kwa mwenzako.
      Like Kiongozi (binAdam) anayo mazuri/mema na maovu/mabaya yake.
      Leo mama anaonekana m'baya kwa baadhi ya watu na kumsifu sana Magufuli mmmh...!
      Kunabaadhi ya watu miongoni keep ni baadhi ya Viongozi wa Dini eti wanamlaumu kwanini anavaa Hijjab waktk Hijjab ni Vazi la sitara, eti kuvaa Hijjab ni kuutangaza Uislam (hata kama) kwani kunubaya gani kutangaza/kuonyesha imaan/Dini yako?!
      Mbona kunawanaovaa Misalaba na Sare (Uniform) za Uchungaji, Padre, Sister na ilhali ni Watumishi wa Serikali na Idara na Taasisi za Serikali?! Je, hilo si kosa ila kwa Muislamu ni makosa na ni haram !

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema Před 4 lety

    Baba wa Afrika, CCM oyee

  • @hamisalfan9150
    @hamisalfan9150 Před 2 lety

    wengine ata atujadhaliwa

    • @alhaddajmohammed4768
      @alhaddajmohammed4768 Před 2 lety

      Itolewe historia ya kweli na haki mwanzo mwisho vitabuni na kwenye Media ili muelewe.
      Vinginevyo itakuwa ni DHAMBI YA UBAGUZI na dhambi/laana ya ubaguzi ni mbaya sana.

  • @ramahzedon6688
    @ramahzedon6688 Před 4 lety

    Hii kipindi itengewe muda pekee yake

  • @jssaa4733
    @jssaa4733 Před 4 lety

    mbn kafupi

    • @jimj8285
      @jimj8285 Před 2 lety

      Ni mboro ndo maana kafupi! Mboo ya hanisi huwa fupi!!!

  • @lichilasalumu7983
    @lichilasalumu7983 Před 2 lety

    Mkapa Alikuwa mbabe kitambo tu kumbe

  • @mwasomola9026
    @mwasomola9026 Před 2 lety

    Inanikumbusha enzi za Chipukizi wa CCM tukiwa shule ya msingi kabla ya mfumo wa vyama vingi, huo wimbo ulikuwa ni zaidi ya wimbo wa taifa!

    • @user-fr7jj1bo7y
      @user-fr7jj1bo7y Před 6 měsíci

      kulikuwa na uchaguzi miaka hii kweli ?? kura ya ndio au hapana ?? it was shame elections