Siri Nzito ya Azimio la Arusha, Ugomvi wa Kambona na Nyerere Yafichuka

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • Subscribe / uwazi1
    Kuna mambo mengi yalitokea hapo nyuma kabla na baada ya Uhuru ambayo ndani yake kuna mengi yakujifunza kwa Nchi yetu mashuhuri Tanzania, ikwemo Historia ya Nchi Yetu kwani ni Vizuri kujua tulikotoka na jinsi ambavyo wazee wetu walipambana kuhakikisha Uhuru wa Nchi yetu unapatikana.
    Miongoni mwa Majina Yaliotikisa wakati wa enzi za Tanu sambamba na wakati wa harakati za kutafuta Uhuru , ingawa wote tunajivunia jitihada za Baba yetu wa Taifa Hayati Mwl Julius Nyerere lakini ni vizuri pia kutambua mchango kwa wazee wetu wengine ingawa hatuwezi kulinganisha na jinsi Baba wa Taifa alivyopigania Nchi hii.
    Tunakukutanisha na Mzee lwanyantika Masha ambaye amefunguka kila kitu.
    / uwazi1
    / uwazi1
    / uwazi1
    WEBSITE: globalpublishe...
    FACEBOOK: / globalpublis. .
    TWITTER: / globalhabari
    INSTAGRAM: / globalpubli. .

Komentáře • 75

  • @musakihama5480
    @musakihama5480 Před 6 lety +6

    nilitamani Sana kuujua ubora wa Nyerere na kambona mtangazaji umenitoa kwenye focus.

  • @cosmaskamugisha5918
    @cosmaskamugisha5918 Před rokem

    Good history let every one love our country CCM keep peace for lever

  • @kayzarbalama6214
    @kayzarbalama6214 Před 6 lety +2

    Hongera kwa Mzee wetu. Ila kwa huyu Host hapana

  • @lawmarcusmwakagenda355
    @lawmarcusmwakagenda355 Před 6 lety +9

    Ufike wakati historia Kama hii itumike mashuleni. Ile ya ukoloni na kutawaliwa na utumwa ibaki kwenye vitabu library maana kizazi chetu kinaathirika na historia hii na kujisikia inferior sana kulinganisha na kizazi cha waliotutawala na kututumikisha

  • @jilalamaligisa4854
    @jilalamaligisa4854 Před 2 lety

    Hongera sana dada kwa kipindi hiki, hivi ndivyo vipindi tunavyotaka

  • @hajiharun3587
    @hajiharun3587 Před 6 lety +2

    Historian yetu inakanyagwa sana, poleni wazee wote mliopoteza Maisha na kufilisika kwa ajili ya Uhuru hewa mlioupigania ktk Nchi hii.

  • @sillasokew6045
    @sillasokew6045 Před 6 lety

    naamini watu kama huyu Prof. bado wapo wengi tu hapa tz historia ya nchi ingeandikwa ila ifundishwe na iishi katika mioyo ya wananchi. viva prof viva mtangazaji

  • @babumrisha
    @babumrisha Před 3 lety +1

    vyovyote vile, but I think kina Kambona walikua na hoja ya msingi....tanzania ya leo imetokana na siasa za ajabu-ajabu za kijamaa. Look at our fellow Kenyans, Zimbabwean, Zambians, Ghanaians, Nigerians etc...

  • @jeanmubemba1204
    @jeanmubemba1204 Před 3 lety

    Dr Mohamed said ,anafundisha sana mambo hayo na mimi humfuatilia sana makala zake you tube,hajawahi sema Nyerere aliibadilisha TAA kuwa chama cha siasa kazi yake ni kumlaumu na kuzigeuza juhudi zionekane za kidini.Hapa tuna shuhuda aliye wahi afanya kazi na wakati huo,amjibu sasa prof hapa.

  • @lugwetunje3896
    @lugwetunje3896 Před 4 lety +2

    Kambona was for multi party politics nyerere refused and kambona fled to UK mzee is not sincere

  • @kfastak
    @kfastak Před 6 lety +3

    Vijiji vya ujamaa .. hatar sana

  • @mwanawetumwagora6283
    @mwanawetumwagora6283 Před 6 lety +5

    Nikweli wana historia wa Tanzania hawaelezei viongozi wengine from primary to sec. Ninyerere tu anaelezewa kamavile yeye ndiye mpigagitaa yeye ndo mwimbaji, yy ndo mchezaji

  • @izzi198
    @izzi198 Před 6 lety +3

    Huyu dada kazingua, you can't interrupt mtu akiwa anazngumza listen first then utajua your next question.

  • @benderarulenge2477
    @benderarulenge2477 Před 2 lety

    Histori ya Tanganyika ,

  • @frenkmatei7992
    @frenkmatei7992 Před 6 lety

    Pamoja

  • @ibrahimerasto2888
    @ibrahimerasto2888 Před 6 lety

    Amen

  • @111dudi
    @111dudi Před 2 lety

    Nyerere hakutaka mtu yeyote Ainue kichwa.Azimio la Arusha liliua nchi, nyerere aipotoka na lenyewe likafa

  • @benderarulenge2477
    @benderarulenge2477 Před 2 lety

    Kambona mungu amrehemu sana,

  • @raymondkaswaga8334
    @raymondkaswaga8334 Před 6 lety +1

    Mtangazaji ovyoooo

  • @monicaashery1
    @monicaashery1 Před 6 lety +12

    So unprofessional and under-qualified to interview such a person; there is a substantial intellectual gap between the interviewer and interviewee. Global TV, can you do better to prep your staff? Are they trained Journalists? If so, how come they cannot even ask follow up questions? What a waste of an opportunity? Too scripted!

    • @bogohe
      @bogohe Před 6 lety +2

      Poor Journalist indeed- Please hire qualified journalists- what a missed opportunity!

    • @Julitha12
      @Julitha12 Před 4 lety +1

      Global 📺, Please don't repeat again to waste this Opportunity.

  • @MrKhatibu
    @MrKhatibu Před 6 lety +17

    Siku nyengine unapokwenda kuwahoji watu wazima ujue kuvaa nguo za heshima

  • @ezekielmwadomba4675
    @ezekielmwadomba4675 Před 6 lety +6

    HUYU DADA ANAHITAJI SHULE ZAIDI YA KUHOJI MTU,SABABU KWANZA HAANGALII NA UMRI WAMTU, AKIJANGE VIPI KATIKA KUHOJI.SASA UNAMUULIZA BABU YAKO,HUKU UNAMMINYIA PUA! HII SI HESHIMA KABISA

    • @monicaashery1
      @monicaashery1 Před 6 lety +1

      Amepoteza nafasi kubwa ya kuelimisha watazamaji na unna kwa ujumla kwa kutojua namna ya kuuliza maswali na kuunganisha points zaidi kwa kuuliza follow up questions. Hmm!

  • @newbornhaule1635
    @newbornhaule1635 Před 5 lety

    Huyu mwandishi yuko vizuri sana na ndiyo maana yeye ndiye aliyemhoji mavazi sio kosa lake tuanzie huko kwenye familia zetu na kwenye Imani zetu.... Chamsingi aongezee tu Juhudi

  • @dinocastico8495
    @dinocastico8495 Před 4 lety

    Naikumbuka hadithi ya mtu wa kale ndani yetu.. na hapa nimemfikiria mtikila, huku kuogopa wafu kwakuamini mizimu hubaki hai ndio itazidi kutuondolea maana halisi ya kujuwa history halisi. Leo watu hawajuwi waasisi wa chama cha TAA. Wala TANU. Aliye stahili azungumzwe ndio history haita badili rangi za bendera ya nchi ila itatufanya tujuwe wajibu wake katika taifa lake. Tukianza kwa uwongo hakika tutamalizia katika ukweli. Lkn kwakuwa iko hivyo kwa killa nchi tufundisheni tu ila ikifika kipindi cha maswali na mjibu😊😊

  • @ignasmwamwenda3154
    @ignasmwamwenda3154 Před 6 lety +4

    Hawa ni hazina kuu ya Taifa. Tunapo kuwa tunawahoji, tutumie mafundi wa kuhoji maana macho mengi hutegemea asali kutoka kwao. Nashauri mahojiano yarudiwe na watangazaji makini.

  • @chabakakilumanga2206
    @chabakakilumanga2206 Před 6 lety

    Hongera binti you have a bright future ahead of you.

  • @isacksteven755
    @isacksteven755 Před 6 lety +1

    Nikweli huyu ndie the hero of social justice aliona mbali, aliona mengi, wapo wakumubadili lakin nyerer atabaki kuwa nyerer

  • @danyrichojoro4004
    @danyrichojoro4004 Před 6 lety +3

    Kipindi kilikuwa kizuri ila mtangazaji amekiaribu. Ametukosesha point za msingi..mwandish maswali yake hayakuwa na utaratibu..amekuwa akimuondoa mzee masha kwenye truck.. Hasa kwenye habar ya Kambona na Nyerere

    • @monicaashery1
      @monicaashery1 Před 6 lety

      Thank, felt the same way; she missed the opportunity to get more info from such a golden source,

    • @clarauisso4044
      @clarauisso4044 Před 6 lety

      Danyr ich Ojoro

    • @jacksonmeshack6582
      @jacksonmeshack6582 Před 6 lety

      Huy Dada siyo kipaji chake amegushi coz anatok nje ya mada husika jamani

  • @azorysallah9304
    @azorysallah9304 Před 5 lety

    Channel makini,,mrembo ni mzuriii sanaa bright in mind as well

  • @kenanmalindisa6430
    @kenanmalindisa6430 Před 5 lety +1

    huyu mzee ana mambo mengi ya kuzungumza, sema sasa huyu mtangazaji ndo mpuuz...anakera balaa

  • @mussaharun7257
    @mussaharun7257 Před 6 lety +2

    Dkt Shika tu ndo unamuweza dada, hujajipanga kwenye siasa.

    • @monicaashery1
      @monicaashery1 Před 6 lety

      she is hopeless! Just wasted a golden opportunity to educate the public.

  • @emmanuelbonifas3517
    @emmanuelbonifas3517 Před 6 lety +1

    usione kusita kuongea hvy mzee akuzoea kuona mavazi ya ajabu kama hayo vaa mavazi kulingana na yule unaeenda kukutana nae

  • @manungda9955
    @manungda9955 Před 3 lety

    Wewe dada please mwaechie Mzee aeleze historia kwa utulifu unamzonga na maswali yako

  • @ferdinandmakore5002
    @ferdinandmakore5002 Před 5 měsíci

    Host ameharibu hii interview muhimu kwa historia ya Taifa. Intervation yake was unnecessary.

  • @fintanmkesha4338
    @fintanmkesha4338 Před 6 lety +1

    We dada hujasomea uandishi wa habar

  • @gabrielmzomkunda4881
    @gabrielmzomkunda4881 Před 5 lety +1

    Huyo host hafahi kabisa

  • @kibilawazebanga7455
    @kibilawazebanga7455 Před 6 lety +1

    Mmh watu wengine km hamjui theory za interview msikoment. Taratibu za interview zinamtaka mtangazaji anapomhoji mtu, amchukulie km wanalingana ndiyo atamhoji vizuri, sasa wanaomkosoa huyu dada naona hawajui science ya interview

  • @petermwalubinga9921
    @petermwalubinga9921 Před 4 lety

    mlimhoji mzee kwa muda mfupi na kutunyima uwezekano wa tusiowaandishi wa habari kuyajua mengi yanayozunguka mgogogoro wa Hayati Mwl Nyerere na Hayati Kambona ni vyema mkaweka muendelezo wa mahojiano yote

  • @bernadobaran6178
    @bernadobaran6178 Před 6 lety

    dada yuko vizuri kwa kuhoji...hongera sasa!

    • @alihamad6046
      @alihamad6046 Před 6 lety

      Mm sifuatilii hay mahojiano naangalia huuu mdomo wa huyu mtangazaji nimeupenda sanaaa😀😀😀😀

  • @caashamacalini3887
    @caashamacalini3887 Před 4 lety

    Kuna wazee wengi wazamani waliojiunga kwenye hii taa wengi Sana tena mikoan wakina Mzee fundikira, Yule babu watabora ndi ana historia zote mpaka Nyerere kumkaribisha tabora wakina azizi Ally mtuy nakaka take Mzee saksi fatilien wale wazee wakina mkapa WA juzi Tu hawo wazee hamna hata mmoja anae takes wala vyeo hawana ni mafukarakupindukua Baba wataifa kama aliwafunika vile hawatajwi mpaka Kesho hata historia hawa po

  • @akwilinaphilbert1320
    @akwilinaphilbert1320 Před 6 lety

    poor dressing code to you Dada..Mzee wetu huyo

  • @conradmwingira684
    @conradmwingira684 Před rokem

    So unprofessional journerlist

  • @josephharri9015
    @josephharri9015 Před 6 lety +2

    wivu unatusumbua sn watz

  • @shumsum7833
    @shumsum7833 Před 6 lety

    Kipindi ni kizuri ila Huyu msichana hafai kwa nafasi hii

  • @yonaboaz4109
    @yonaboaz4109 Před 6 lety +5

    unatumia lugha za kihuni hata kwa wazee? mfano unaposema unaweza ukafunguka mzee

  • @idrissannacho5612
    @idrissannacho5612 Před 6 lety +4

    Inasikitisha nchi haina historia

    • @monicaashery1
      @monicaashery1 Před 6 lety

      Hata waulizaji hawajui wanauliza nini na wafuatilie na swali gani.

  • @joelnaja9935
    @joelnaja9935 Před 6 lety

    huyu mdada aisee apewe msaada wa nguo make naona mshahara hautoshi kununulia mavazi,kanunulia rangi za midomo na kucha,kasahau mavazi

  • @jamesmashauri8315
    @jamesmashauri8315 Před 6 lety

    Muulizwaji naona amevumlia xana kwa sababu n mtu mkubwa na muhimu kwenye nchi,ila huyu dada nadhan anahtji elimu zaid

  • @caashamacalini3887
    @caashamacalini3887 Před 4 lety

    Huyu Mzee haelezi. Vizuri kama anafukia matuta. Mimi simuelewi kabisa Yule Mzee wa tabora anaeleza open alihojiwa ntampata huyu babu kama smenti na mchangaa hanacho

  • @salehlofy4251
    @salehlofy4251 Před 6 lety

    waislam tu ndo wanajistiri ujue...

    • @msetimarwa1438
      @msetimarwa1438 Před 3 lety +1

      Mtangazaji anarukiarukia matukio kabla Mzee Masha hajamaliza hoja anayoielezea! . Nlimatamani nifahamu kisa cha mtafaruki kati ya JKN na Kambona ila mtangazaji kamvuruga Masha na akaniondolea usikivu kabisa. Mtangazaji anazungumza kwa kupasapasa macho kama vile anaongea na boyfriend wake!