Huyu ndiye aliyekuwa Mh.Benjamin W.Mkapa also known as Ben wa CCM. Mwenyezi Mungu umpe Pumziko la amani popote pale katika maisha yake mapya pamoja na ndugu zetu wengine. Amen
Shujaa, mahili, kiongozi Benjamin William Mkapa nitakukumbuka daima, upumzike kwa amani, Raha ya milele uumpe ee Bwana na mwanga wa milele umwangazie apumzike kwa amani amen🤲🙏.
Kumbe toka zamani ccm walikuwa wanafanya siasa safikabisa mungu azidi kukidumisha chama cha ccm
Huyu ndiye aliyekuwa Mh.Benjamin W.Mkapa also known as Ben wa CCM.
Mwenyezi Mungu umpe Pumziko la amani popote pale katika maisha yake mapya pamoja na ndugu zetu wengine.
Amen
Mungu wangu wa kweli na haki naomba uwapumzishi mahali pema peponi amina.
Shujaa, mahili, kiongozi Benjamin William Mkapa nitakukumbuka daima, upumzike kwa amani, Raha ya milele uumpe ee Bwana na mwanga wa milele umwangazie apumzike kwa amani amen🤲🙏.
Daah!!Hata Rais wangu wa Kenya mwendazake Moi alihudhuria
Kumbukumbu nzuri safi sana Tbc
Namuona mzee moi wote wapo wamekufa dunia ni mapito tufanye mema
ila Mseveni ndo bado
R.i.p Benjamin William mkapa
Grandpa ❤❤❤ rst easy
Namuona Mzee wetu Kenya Daniel moi
Kumbe records mnazo.
Haya tuwekeeni siku Mwl Nyerere anakabidhi Madaraka kwa Mzee Mwinyi
Unaulizwa usenge
Tuwaenzi kwa Mema yao namkumbuka alipambana na mfumko wa bei kwanza miaka kumi mfumko haukutisha
R i p mkapa kwa kutuvusha pare rufiji dah
Benjamin William Mkapa(Beni),dah!😭
See you on the next life Ben!!
Rest in peace
Kumbukumbu nzuri
Pumzika kwa aman mh Mkapa
Mzee MKAPA ni Nembo kubwa ya Nchi yetu.
Ameacha alama, Sijui wengine wataacha alama zipi.
MKAPA alikuwa kiongozi shupavu sana
Safi sana
Pumzika mzee wa Afrika BWM.
Endelea kupumzika kwa amani Hayati Benjamini mkapa
Mercedes Benz ☺☺
Hii nch walah nitawaenz marais watatu tu,,jk Nyerere,,mkapa na jp-maghufur ,,
Kwa sababu ni makafiri wenzako
Museven lipo tu mpaka leo na halina aibu😂😂😂
ha😂
Kifo hakina huruma
😥😥😢
R i p benja
Ah tumetoka mbali
Napenda sana adabu ya jeshi. Pumzika kwa amani Rais Ben Mkapa.
Apumzike nyinyi kwel mikundu uyo sasa yupo motoni muwaji mkubwa uyo
@@brytonmnyama6562 Pole sana ndugu. Naona una hasira. Huenda ulipata matatizo wakati wa uongozi wake. Pole sana.
@@brytonmnyama6562 alikufira nn
Mwanga WA milele umpe ewe bwana apumzike Kwa amani
❤😂😢😅😊🎉😮😂😊😂😂😊
Tumepoteza jembe
wewe kakuwambia nan kuwa kapswa mwaka2000 usiwe unatuma tuma
Unayumba wewe. Term yake ya pili ilikuwa 2000. Unabisha nini?
mhula wa pili n kweli
This man is mwehu wallah sass term yake ya pili ni lini😂😂😂😂😂