POMBE NA UKRISTO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 09. 2024

Komentáře • 36

  • @JohansenJonathan-r1k
    @JohansenJonathan-r1k Před 4 dny

    Asnteeeeeee Sana mwl

  • @user-ob2ik5gy1b
    @user-ob2ik5gy1b Před 3 dny

    Pombe ni najisi na ndiyo maana mungu akaiaramisha.

  • @johannesjoseph7496
    @johannesjoseph7496 Před měsícem

    Nakubaliana na wewe mtumishi,ila ni vyema kukaaa mbali na pombe maana mara nyingi umpelekea mnywaji kufanya matendo ya uovu pasipo kufikiri kwa usahihi,,,,,pombe uzima sub conscious mind.

  • @ubongosahihi
    @ubongosahihi Před 7 měsíci +1

    Waoooo Mwalimu siku fahamu Kama upo humu barkiwa 🎊🎊🎊🎊

  • @blessingbisimwajanesbisimw6966
    @blessingbisimwajanesbisimw6966 Před 7 měsíci +1

    Ubarikiwe mwalimu,naona mwengi ne hapo Tanzania anajiita mzee WA upako anasema pombe sio zambi

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 Před 7 měsíci +2

    Umeeleweka vizuri mwalimu.

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 Před měsícem

    Ameeee.❤❤❤❤

  • @gilbertmsangi5969
    @gilbertmsangi5969 Před 26 dny

    Mwalimu niko kwenye group lako mwaka wa pili sasa ila leo ndio nimejua una youtube channel

  • @godwinkileo7702
    @godwinkileo7702 Před 5 měsíci +1

    Maanayake kama walioambiwa wasinywe pombe maana yake pombe sio nzuri

  • @roseombay2086
    @roseombay2086 Před 7 měsíci +1

    Amina

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 Před 7 měsíci +1

    Rozi Mhando.kaleta agenda.

  • @user-fq3xt6fe4n
    @user-fq3xt6fe4n Před 7 měsíci +2

    Mwalimu mwenzangu umenijibu maswali ambayo nilishindwa kuyapata na watu wote wa dini zote wameshindwa kupata majibu juu ya pombe

    • @ahmadamohamed1907
      @ahmadamohamed1907 Před 6 měsíci

      Uelewa wako ndipo ulipoishia

    • @richardmwandanji65
      @richardmwandanji65 Před 5 měsíci

      Usilewe kwa mvinyo ambamo humor Kuna uchafu vipi kamamtu anasema hiki chakula ni kichafu. Wawezakusema amekupa ule au wewe ndo umeamua ule uchafu

    • @lucaspaulo5371
      @lucaspaulo5371 Před 5 měsíci

      We ndo umefundisha vizuri mno ila walokole hawataki kusikia hivi.

  • @richardmwandanji65
    @richardmwandanji65 Před 5 měsíci +1

    Usipotoshe soma vizuri kwenye mvinyo hakuna utukufu ndomana kila alie pewa utumishi wa mungu aliagizwa asitumie hata mzinzi halaumiwi ila anafundishwa

    • @isayakigava9283
      @isayakigava9283 Před 5 měsíci

      Hajapotosha ila ametoa mtazamo tofauti na wa kwako,unanafasi yakutafakari zaidi kabla hujakataa au kukubaru

  • @kalistokyando1670
    @kalistokyando1670 Před 5 měsíci

    Ndugu yangu usipotoshe watu. Utahukumiwa. Usipotoshe watu. Acha!!!

  • @gregorymhanze
    @gregorymhanze Před 6 měsíci +1

    Kuna sehenu ktk bilia inasema ole wao waamkao asubuhi na mapema kufata pombe /mvinyo hiyo imekaaje

  • @mwenda8911
    @mwenda8911 Před měsícem

    Huu ni upotovu, mithali20:1 mlevi ana kelele,ni mwenye ungomvi, pia inadhohofisha afya. Pombe pia upotosha maandili. Genesis 19:32-38 baba hakujua akilala na wanawe. Genesis 9:20-27 inaketa laana kwa vizazi. mithali31:3 -7

  • @user-vy8tb2hq9w
    @user-vy8tb2hq9w Před 4 měsíci

    Hatari wewe ! Unahatari kubwa bibiria ina makatazo mengi ya unywaji ya pombe !😢

  • @NicolausMgosi-sz5qv
    @NicolausMgosi-sz5qv Před 3 měsíci

    Basi kama SI mbaya ukitaka kunywa uwe unaiombea kama unavyoombea chakula kingine kila mtu atabeba frushi lake mwenyewe. Mungu akufunulie maana unataka kuelewa ila wagalatia 5:19-21 imekujibu

  • @JohnKapinga-wo1ow
    @JohnKapinga-wo1ow Před 5 měsíci +1

    Wewe ndugu fundisha vizuri pombe ni dhambi

  • @harunizephania6154
    @harunizephania6154 Před 2 měsíci

    Kama unakakuwa mtu safi usinywe pombe

  • @ebengapierre8826
    @ebengapierre8826 Před 3 měsíci

    Samson km alikatazwa kunywa pombe ni kwasababu alikua mnaziri wamungu kutumia pombe sio zambi atakidogo

  • @paulndosa2649
    @paulndosa2649 Před 6 měsíci +2

    Bora umekiri kuwa huo ni mtazamo wako and you stand to be corrected. Unapokuwa na Roho mtakatifu ndani yako ni udhihirisho wa kuwa unatembea na Yesu. Uko ndani ya Yesu na Yesu yuko ndani yako. Kama pombe inakuondolea Roho mtakatifu maana yake hauna Yesu ndani yako na hutembei naye na hujampokea, hivyo hauko salama kiroho. Biblia inasema wale waliompokea Yesu aliwafanya kuwa wanae. Sasa kama wewe si mwanae mbinguni utapitia mlango upi?

  • @hassankimaro3633
    @hassankimaro3633 Před 4 měsíci

    Ndugu zangu kila kilichokatazwa na MUNGU huwa ni kizuri na kitamu Sana hivyo ni hiari yako kuamua kunywa pombe , kufirwa au kufira vyote hivyo vimekatazwa Ila huna haja ya kubishana we endelea aidha kuyafanya hayo au kutii maamrisho ya MUNGU

  • @user-tn9zj1oy8e
    @user-tn9zj1oy8e Před 2 měsíci

    Mpotoshaji

  • @user-oi5bi2ey2v
    @user-oi5bi2ey2v Před 7 měsíci +2

    Tusome wagalatia 5:19-21

    • @jonamnyone8014
      @jonamnyone8014 Před 5 měsíci

      Ulevi na ulafi ni miongoni mwa matendo ya mwili. Hapa Biblia haijazungumzia kunywa pombe wala kula chakula bali ulevi na ulafi. Kunywa pombe si ulevi, vivo hivyo kula chakula si ulafi. Kunywa pombe + kula chakula kupitiliza ndio matendo ya mwili.( Wagalatia 5:19-21)

  • @wisdomhalisi......8891
    @wisdomhalisi......8891 Před 5 měsíci +1

    Pombe na MUNGU haijawahi kutokea, WATU WA MUNGU WAKIWA NA NGUVU YA MUNGU(ROHO MT) HAWARUHUSIWI KUNYWA POMBE,
    ANYWAYE POMBE YU NA SHETANI, NUHU ALIPOLEWA POMBE HAKUSEMA TENA NA MUNGU(MWA,9:20)
    MNAOSALI MKIMTAKA MUNGU NA NGUVU ZAKE LAZMA UACHE POMBE, NA WATU WA SHETAN MKIMTAKA SKETANI KUNYWA POMBE.
    NB..TUMEUMBWA WATU WOTE TUMTUMIKIE MUNGU NA SI SHETAN......MCHUNGAJI AKO NA SHETANI LAZIMA AMSAPOTI JOKA......
    POMBE NI MARUFUKU.....

    • @LearntowinLTN
      @LearntowinLTN Před 4 měsíci

      Uko sahihi ,naomba nikuulize swali kula chakula ni dhambi au kunywa maji ni dhambi?

    • @johannesjoseph7496
      @johannesjoseph7496 Před měsícem +1

      Tenga mda umsikilize Tena.Biblia inazuia ULEVI,ulafi nk ila haizuii pombe au chakula--tunafundishwa kiasi kwa Kila jambo,tatizo la pombe ni kua ina addiction(ulaibu),ukianza na bia moja utajikuta ata 5 hazikutoshi,hivyo wanatheolojia wa kiprotestant waliona ni vyema kua na mtizamo wa kuzuia pombe kabisa,ambapo ni jambo jema kwa usalama wa kiroho wa waumini.Hakuna haja ya kukimbiza farasi juu ya mwamba Ili kuona kama utaanguka au la

  • @user-eb3jk4lc4s
    @user-eb3jk4lc4s Před 5 měsíci

    Kunywa pompe siyo dhambi. ila kulewa ndiyo dhambi kunatofauti ya kunywa na kulewa hata Yesu alikunywa lakini hakuwa mlevi. matayo 11:18--19.