Juzi nime sikiliza sms Kuna JAMA Moja anaishi Australia anasema niwati wapole wenyekupenda games navitu vingine niwapole Kila mda wana fulaha nimeamin kupitia nyie .. hongela sana mungu awatangulie muwe na maisha malefu mazuli yenye mafanikio
Demi Cratia: what about the Government of Tz to support, and open sport academies in every state so people can grow their talents,let Diamond concentrate in growing his own business
Svt3 you are right, your government should support such guys and have a better place for them to do their rehearsals and also appreciate them like kenya is doing with their athletes
Mhmhm kweli kwny neno "Never give up" Lina ngv Zaid ya ubarikiwe,,, yaan ngv ya mafanikio yapo kwny Never give up,,,daaah nimejifunza meng sanaaa,,,,🤔🤔🤔🤔🤔
Wazirli wa sana na mochezo ianhalie kwa kina kuhusu hao vijana ka kuwapa matangazo ya biashara au wawe kivutio kwa vijana mashuleni pili selikari iwafungulie shule kwa ajili ya vizazi vingine hii.isije ikapotea
Tanzania Ujinga Mtupu Watu Wapo Tz Miaka Yote Hiyo Ila Hawakupatiwa Nafasi Yeyeto Wala Support... Wamepata Support Kutoka Ughaibuni.. Saahivi Kilakona Ya Tz Wanasifiwa. SASA SIKU ZOTE HIZO HAMKUWAONA!!!¡¡¡¿ AFRIKA NOMA😉
Nafurahi sana kupitia nyie now sanaa yetu ya acrobatic inaonekana GOD IS GOOD bigup my brothers
we grow up together 💪💪
If two people or three agree in a common purpose nothing is impossible. Congratulations Ramadhani Brothers.
Matthew 18:19 KJV
Hii Iko sawa thank you u two brothers we respect your effort Kenya love u 🇰🇪🇰🇪
Juzi nime sikiliza sms Kuna JAMA Moja anaishi Australia anasema niwati wapole wenyekupenda games navitu vingine niwapole Kila mda wana fulaha nimeamin kupitia nyie .. hongela sana mungu awatangulie muwe na maisha malefu mazuli yenye mafanikio
Hongereni sana ndugu zangu. Msiwe na wasiwasi mambo yenu yatanyooka siyo muda mrefu. Kila kheri Ramadhani Brothers.
Duuh kaka km uliwapa baraka vile
Hongereni sana we have to support our brothers please
Hongera sana vijana. Ilikuwaje mukachagua jina la Ramadhan brothers. Keep up brothers mtafika mbali
Big up sanaa brothers Biggest talent I ever seen
Mandonga bye bye😀😀😀😀😀 sasa ni vamu ya ramadhan
😅😅
Masha Allah! Allah aendelee kuwasimamia
Hongera Sana vijanaa. Taa aliyowapa Mwenyezi Mungu, hakuna yeyote anaweza izima.
Wizara ya sana inaguswa sana juu ya hili sehemu nyingi duniani talenti zimekuwa ajira kubwa kwanini wasikuze vipaji wengi wao hawana support nzuri
wakina KIBA DIAMOND MO HARMO SI MUNA MIHELA NYIE SUPPORT THESE GUYS PLEASE TO BE PROUD OF TANZANIA I BEG YOU
Demi Cratia: what about the Government of Tz to support, and open sport academies in every state so people can grow their talents,let Diamond concentrate in growing his own business
Svt3 you are right, your government should support such guys and have a better place for them to do their rehearsals and also appreciate them like kenya is doing with their athletes
Mashaallah 🥰🥰
Hongela Sana nduguzetu wa tanzania
Eeh hawa jamaa. Ni hatari much love from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nawapenda 💕
Naangalia audition yao karibu kila siku...sichoki kuangalia...I cried several time for Joy....
Mmefunana Kavanagh Allah awafunikishy
Hongereni Sana Mungu awatangulie ktk hatua zenu zote.
Mashaallah ALLAH awafanyie wepes
Wame fananaaaaa ni ndugu 💐
Hongereni mwanzo nilijua mapacha
Hata mm nilijua mapacha
Dah mwalim wang we n noma san, mungu awe na nyiny kila atua
Hongereni sana.
Unyaaaaaama
Hakika mmetisha! Hongereni
Millard unafanya vibaya sana wala kill hujawahi kumzungumzia
Hongeleni Sana mungu awatangulie
Ninyi hongera sana. Ila mbona kama mnaweza KUIMBA . Kwanini msiimbe nyimbo za kumsifu YESU ITAWALIPA ZAIDI?
Hela hiyoooo mumeshindaa mjenge hotel au Guest Hoya bongo itaiahaa bajuwa pesa ninyingi mumepata
Wakwere tupo juu❤
Siamini kaka 👏kila la kheri
i like it!. hakuna kama nyinyi bro!. aiseee nyie tuwapatie sayari yenu!.
God’s Time🙏🏽
WANYAKYUSA HAWAJAWAI SHIDWA
I am happy for you guys 🥹
Good job 👍
Japo mumecopy kutoka kwa giang brothers..walifanya kitu Kama hicho miaka minne iliyopita
Hata kama wape copy nisawa kutokana na mazingira na vifaa wanavyo tumia, wale wanavifaa na Wana treniwa. Jiongeze kufikiri
Mhmhm kweli kwny neno "Never give up" Lina ngv Zaid ya ubarikiwe,,, yaan ngv ya mafanikio yapo kwny Never give up,,,daaah nimejifunza meng sanaaa,,,,🤔🤔🤔🤔🤔
Kaka yangu mkwele mwenzangu kaaaa more days goya mweyee
Sekuluu
Wazirli wa sana na mochezo ianhalie kwa kina kuhusu hao vijana ka kuwapa matangazo ya biashara au wawe kivutio kwa vijana mashuleni pili selikari iwafungulie shule kwa ajili ya vizazi vingine hii.isije ikapotea
Muwape sapotii
👏👏👏👏👏❤️❤️❤️❤️❤️❤️
💥
💖💃💃🌷👌🏽
Same Vietnamese brothers Quoc Co & Quoc Nghiep
🇰🇪🇰🇪🇰🇪♥️
HONGERENI SANA WAKAKA SUPPER
Deal Done BRO'S 🎉
Nimefurahi nipo Zambia lkn nimeinjoi
Wambie kuweka karibu mike ili wasikike vizuri mahujiano wasisike watowe sauti
wapewe support hawa jamaa
💪🙏🤲❤️❤️❤️🇹🇿🇹🇿🇹🇿
🇹🇿✅
Nilifikiri mapacha
Tunaomba namba yenu tutume angalau namba yenu tutume nauli najisikia vibaya mna kosa hata nauli dah bongo bwana
Serikali ijitahdi iwapatie zawadi wametangaza nchi
Ndio wapewe fungu hawa la zawadi
Hawa vijana walistahili pongezi kitaifa na sio Bungeni maana utasikia juhudi za Serikali awamu ya 100 na hapo ndipo kuwazika na kufuta historia iyo
Duniani au Australia 🇦🇺?
Duniani,
Ongeeni kwa kupishana huyu mwenye t shirt nyeusi anataka kuongea yeye kila kitu mpe mwenzako nafasi nyie wote ni mastaa
Pengine mwingine sio muongeaji mzuri..
Kuongea pia ni talent, kikubwa ni kuwa hajizungumzii binafsi
Na alivyoongea mbele ya jukwaa Australia mbona haukusema.Ni utaratibu wao wamejiwekea.
czcams.com/video/N83MVU8g7dw/video.html
DAWA YA KUTIBU PUMU *#
czcams.com/video/N83MVU8g7dw/video.html
Mwandishi kivutio cha Tz ni kimoja tu, mlima Kilimanjaro? Au wewe ndio unafahamu hicho tu?
Tanzania Ujinga Mtupu Watu Wapo Tz Miaka Yote Hiyo Ila Hawakupatiwa Nafasi Yeyeto Wala Support... Wamepata Support Kutoka Ughaibuni..
Saahivi Kilakona Ya Tz Wanasifiwa.
SASA SIKU ZOTE HIZO HAMKUWAONA!!!¡¡¡¿ AFRIKA NOMA😉
wanawaona akina Halyma tuu
Ukwel mtupu
Nimeamini kweli hakuna kitu rahisi,mazoezi yao tu balaa
czcams.com/video/N83MVU8g7dw/video.html
DAWA YA KUTIBU PUMU *#
czcams.com/video/N83MVU8g7dw/video.html