MAPOKEZI ya RAMADHANI BROTHERS/walivyowasili UWANJA WA NDEGE DAR na UTAJILI WA MAMILIONI
Vložit
- čas přidán 28. 09. 2023
- Wasanii wa Sarakasi nchini kwa jina maarufu kama "RAMADHANI BROTHERS" @ramadhanibrothersofficial leo tarehe 29 Sept 2023 wamerejea kutoka nchini Marekani ambapo walishiriki katika mashindano ya kimataifa maarufu kama America's Got Talent @agt na kufanikiwa kuwa washindi wa tano (05) kati ya washiriki 4000,
Wasanii hao wamepokelewa na viongozi mbali mbali wakiongozwa na Mkurugenzi wa Huduma za Taasisi BASATA, Bi. Hannah Mwakalinga pamoja na Rais wa Shirikisho la Sanaa za Maonesho Bi. @cynthia_henjewele na Raisi wa Shirikisho la Sanaa za Ufundi @adrian_nyangamalle pamoja na vikundi vya ngoma na Sarakasi katika kiwanja cha Kimataifa cha Mwalimu Julius K.Nyerere.
Basata wanangoja maokoto tu ,wahangaike wenyewe kwenye mafanikio kibakuli kinatembezwa
Thank you Tanzania
Mungu awatunze vijana wetu
Incredible boys😂😂 hongereni bwana mmeweza❤❤❤
🙏🙏🙏👋👋👋❤️❤️❤️
Nimewakubari sana,hongereni sana
Vp wenzetu wa Kenya
Sasa Jamani mmeshindwa kwenda kuwapokea watanzania wetu
Ni jambo jema lakini inapaswa tujue kuuunga mkono toka hatua za awali jambo ambalo nI gumu NA muhimu zaidi
kwani mwanzo walikuwa wapi hao basata mpaka watu wameshinda hela nyingi ndo wamekuja
Nchi yetu mpka ujipambaniye wewe kwanza ndoutasaidiwa