MAPOKEZI ya RAMADHANI BROTHERS/walivyowasili UWANJA WA NDEGE DAR na UTAJILI WA MAMILIONI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 09. 2023
  • Wasanii wa Sarakasi nchini kwa jina maarufu kama "RAMADHANI BROTHERS" @ramadhanibrothersofficial leo tarehe 29 Sept 2023 wamerejea kutoka nchini Marekani ambapo walishiriki katika mashindano ya kimataifa maarufu kama America's Got Talent @agt na kufanikiwa kuwa washindi wa tano (05) kati ya washiriki 4000,
    Wasanii hao wamepokelewa na viongozi mbali mbali wakiongozwa na Mkurugenzi wa Huduma za Taasisi BASATA, Bi. Hannah Mwakalinga pamoja na Rais wa Shirikisho la Sanaa za Maonesho Bi. @cynthia_henjewele na Raisi wa Shirikisho la Sanaa za Ufundi @adrian_nyangamalle pamoja na vikundi vya ngoma na Sarakasi katika kiwanja cha Kimataifa cha Mwalimu Julius K.Nyerere.

Komentáře • 11

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Před 9 měsíci +4

    Basata wanangoja maokoto tu ,wahangaike wenyewe kwenye mafanikio kibakuli kinatembezwa

  • @user-oq7dz5xi4d
    @user-oq7dz5xi4d Před 4 měsíci +1

    Thank you Tanzania

  • @ZachariaNgesse-el1ge
    @ZachariaNgesse-el1ge Před 4 měsíci +1

    Mungu awatunze vijana wetu

  • @user-hx6nn9te4q
    @user-hx6nn9te4q Před 4 měsíci

    Incredible boys😂😂 hongereni bwana mmeweza❤❤❤

  • @naomikrause1762
    @naomikrause1762 Před 4 měsíci

    🙏🙏🙏👋👋👋❤️❤️❤️

  • @tegezdomin8363
    @tegezdomin8363 Před 4 měsíci

    Nimewakubari sana,hongereni sana

  • @ConfusedCalicoCat-vz3iu
    @ConfusedCalicoCat-vz3iu Před 4 měsíci

    Vp wenzetu wa Kenya

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni701 Před 4 měsíci

    Sasa Jamani mmeshindwa kwenda kuwapokea watanzania wetu

  • @bobrudala3784
    @bobrudala3784 Před 4 měsíci

    Ni jambo jema lakini inapaswa tujue kuuunga mkono toka hatua za awali jambo ambalo nI gumu NA muhimu zaidi

  • @officialosama
    @officialosama Před 4 měsíci

    kwani mwanzo walikuwa wapi hao basata mpaka watu wameshinda hela nyingi ndo wamekuja

  • @Fadhilimwamlima
    @Fadhilimwamlima Před 4 měsíci

    Nchi yetu mpka ujipambaniye wewe kwanza ndoutasaidiwa