Zuruma mlizo mfanyia untouchable cyo poa kabsa Hadi top 3 hayupo,,Mungu atawalipa tuu,,,Mlishindwa kujali kabsa efforts za jamaa,,Tena alikua ni mshiriki wa kipekee anaimba nyimbo zake 💔
Untouchable ndio mshindi hii ni zuru mashindano niliyapenda lakini kuanzia Leo sita ya angalia tena ndio Yale yalio mkuta harmonize Kwa kuona hana uwezo lakini angalia anavyo sumbua kaka untouchable nakubali sana uwezo wako mkubwa sana
Not Gud at all! Wamedhurumu ushindi japo sijui vigezo walivyo kua wanatumia ila Huyu Grace ando alipaswa kuwa wa 2 huyo Jamaa alie kuwa wa pili ali deserve kuwa mshindi ila hao ma gudge wametumia mapenzi yao na sio mapenzi ya crowd au ushindani verry poor Gudgments
@@janetfriday4588 Sikatai dats y nkasema sijui vigezo ila kiuhalisia jamaa kapita na crowd mara zote mbili on final day alafu simple tu unampa grace! not that simple aisee! Mwenyezi Mungu atamjalia sehemu ingine
Zuruma mlizo mfanyia untouchable cyo poa kabsa Hadi top 3 hayupo,,Mungu atawalipa tuu,,,Mlishindwa kujali kabsa efforts za jamaa,,Tena alikua ni mshiriki wa kipekee anaimba nyimbo zake 💔
Ulitaka nani atoke 😂
Untouchable Ndo Alistahili Kupewa Ushindi Yaani Bongo Bwana Kila Kitu hovyo
Untouchable mshindi wangu
No one like untouchable ila cy feah
Grace my love young umefanya vizur sana unatofaut sana na wengine Hilo tuu
untachableeeee uwiiiiiiiiii . we miss you roma
Hapa wamefeli kwenye kuchagua mshindi sijuh wanatumia vigezo gan kumpta mshindi Andrew ni noma
Umeona Eeeeh mzee untouchable ni moto mkubwa wameyumba sana
Mshindi Aliandaliwa mapema this time mmechemka vibaya dhuluma ya kura imefanyika
Untouchable ndio mshindi liwalo na liwe😢
Kuanzia leo sishiriki hayamashindano kama untouchable hajashinda kiukwel hakuna kitu ni dhuruma !
Untouchable
Season 4 imenifanya nisiyapende tena haya mashindano
Dah namuona mshindi wangu kapoa
Untouchable ndo mshind
Untouchable anajua kuliko wote hao yan
Hawa wapaswi kuwa majaji kabisa ni foolish judges,yaani huyo walomchagua wao Wala adiserve kuwa mshindi kabisa,stupid all judges
Nilichogundua hapa mshindi hawachagui wanapanga tuu tumpe uyuu
Uy dem confidence ndo imempa ushindi nais but wapo weng wanaderseve uo ushindi
Untouchable mmemuacha hakuna kitu apo
Sk yes baby ndo mshind uhun umetumika ap
Untouchable ndio mshindi hii ni zuru mashindano niliyapenda lakini kuanzia Leo sita ya angalia tena ndio Yale yalio mkuta harmonize Kwa kuona hana uwezo lakini angalia anavyo sumbua kaka untouchable nakubali sana uwezo wako mkubwa sana
Ibrah urasa Ndo alikuwa awe mshindi
Sema ako kajamaa mafupi kacosta tichi kametisha
Daah untouchable Kwa mara nyingine ananyimwa hata Top three
Be smartczcams.com/video/4CDoSaCjqxo/video.html
To me mshnd n untouchable
Untouchable ali stahili ila naona ma RAPPER hawapewi kipa umbele
Mm namwona mzee shayo
Be smartczcams.com/video/4CDoSaCjqxo/video.html
Jmn hv untouchable anashid gan mbn kila mwaka mnamnyima aiseeeee sio fare
Be. Smartczcams.com/video/4CDoSaCjqxo/video.html
Yani Untouchable jamn hahahah nikama asemavyo ngosha kuwa hizi ni proper gandaa
Anitouchobo ni Moto atar
Ibra urasa mmemnyima ushidi kweli?
Hii top three bila Andrew Samson ni amna kitu
Inabidi tukubali tu maana hutujui kama ni kipaji tu kawapa majaji si ni wa kike yule
Hyu ni usenge tu
Antouchabel yuko wapi🤔
Not Gud at all! Wamedhurumu ushindi japo sijui vigezo walivyo kua wanatumia ila Huyu Grace ando alipaswa kuwa wa 2 huyo Jamaa alie kuwa wa pili ali deserve kuwa mshindi ila hao ma gudge wametumia mapenzi yao na sio mapenzi ya crowd au ushindani verry poor Gudgments
Jaaman wako amefanya poa but anatofauti kubwa na grace kimtazamo tuuu
@@janetfriday4588 Sikatai dats y nkasema sijui vigezo ila kiuhalisia jamaa kapita na crowd mara zote mbili on final day alafu simple tu unampa grace! not that simple aisee! Mwenyezi Mungu atamjalia sehemu ingine