Ikupa Mwambenja Ft. Christina Shusho - Siwezi [Official Music Video] [SEND "Skiza 8089272 to 811"]
Vložit
- čas přidán 16. 04. 2021
- Enjoy this Official Music Video From Your Favourite Best Gospel Supers Ikupa Mwambenja & Christina Shusho!
Please share this music with Faily and Friends, Support me Via +255 65 478 7419
Audio Produced by : K-Star
Video Directed by : Creator Pro
Channel Administered by CITI OF WAGA
Enjoy - Hudba
Huu wimbo ni Ushuhuda.
Nimefanya huu wimbo na mwanangu Ikupa nikiwa napitia kipindi kigumu sana.
Lakini mungu Alinipa nguvu na pia akanipa mtoto ambaye amekuwa ni baraka kubwa sana kwenye maisha yangu.
Mungu ni muaminifu
From Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
hakika Mungu ni mwema mtumishi
pole sana mtumishi ila tunashukuru MUNGU umevuka salama@ christina shusho. nakuombea
It shall be well with you Mchugaji in family, ministry and in anything that pertains life including business
No one is talking about that gorgeous figure of Ikupa....eiiii🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️❤️
Bonge la figure❤
Shepu yake ni ya pekee,so beautiful lakini ajitahidi kidogo kuvaa nguo zinazolegea kidogo siyo kubana sana vitenge akishona anabana mno miwili haujiachii,yeye hajui hata avae nguo pana ana mvuto sana .
We are here to praise the Lord, who cares about figure
Hata Kenya 🇰🇪🇰🇪 hatuwezi bila Mungu
Dhiki za dunia tutawezaje bila Yesu??? Hakika hatuwezi, wadada wa Yesu Mungu azidi kuwatunza.
nimebarikiwa sana maneno mazuri ameni mungu yupo nasi
Hii nyimbo nimesiza 3tymz.wakenya like ze u
czcams.com/video/qJO2O-QW4Ww/video.html
Kenya 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 kuwakilisha 🔥 🔥
Watu wakiwa ndani ya Yesu Kristo wanafanana, mnafananaga nyie wadada Mungu awabariki sana, tunabarikiwa kwa wimbo huu, kweli bila Yesu Bwana siwezi,
Christina shusho always never disappoints...her voice is unique 😍
Real
Nzurii sanaaa
And very beautiful too
@@aporinaryrichardmwalongo8013 l
🙏🙏
Nyimbo zako za baraka christina i will never stop listening to your songs zinaugusa moyo wangu sana
SIWEZI BILA WEWE MUNGU.NAKUHITAJI YESU WEH.
Christina hujawah kosea mama lao 😘😘
Huuu moto tutasubiri sana
Hongera nkamu keep it up mungu azidi kukufunulia wanambenja wamuabudu mungu kupitia wewe
Christina hapana Dada yangu unajua kumuinua Mungu kwa sauti ya dhahabu
WAOOOO mubarikiwe mno bila YESU siwezi
Kazi nzuri dada ikupa Umefanya vizuri naiona Mbali siwezi #siwezi
Umewaruhusu wapigane nnami mana umejua watashindwa 🙏🙏🙏
Nawapenda sana wadada nyie, yaani Mungu azidi kuwabariki
Uncle Ikupa hii Ngoma nashindwa kuizoea ni mpya kila nikiitaza
Mubarikiwe kuzidi nakutu onya na Ku tupa nguvu
Ninashinda machana kutwa siwezi bila mungu huyu muumba mbingu nanchi kusema ukweli yamenikuta anaejuwa kuishikwangu nimungu na mwanawe yesu pekee ky naomba maombii tuu Mimibethi Saida
Dah siwezi kuchoka kusikiliza uu wimbo balikiwa sana dada zamgu kwawimbo mzuli unamaneno matam na mazito sana
Hongereni sana dada zanguni kwa wimbo huu mzuri. Bila wewe Yesu hatuwezi lolote.
Hujawahi niangusha asante, dogo langu, endekea kushuka ili MUNGU ajitukuze barikiwa na YESU wangu. Msalimie sana shusho,
Ila shusho 🙌🙌 unajua kucheza na camera huna pupa. Big up kwa ikupa pia.
Mungu akubariki Dada Christina Shusho unasauti nzuri saana
Mungu azidi kuku inuwa viwango vyaa juu zaidi
Vita si ya Kwangu Bali ni Ya Kwako MUNGU AMINA
Ikupa and Christina shusho God bless🙏🙏
Hata mimi siwezi na sitawahi weza.
Yesu.nimshindi
Hii nayo inapendeza, it can only be God. More blessing women of God.
I want to be like Christina Susho when I grow up 😁🥰
Mwimbo muzuri moya na penda sana❤
"Umewaruhusu wapigane na mimi maana unajua ntashinda" hehehe i love that.
Very powerful
Waoooooo ikupa mdog wangu, hongera sana
Lazima nishinde tena KWA KELELE AMINA
Wimbo mzuri sana hakika nimebarikiwa
Vizuri sana dada zangu, mungu azidi kuwaweka daima
go my girl Ikupa...nakuona mbali
I wrote this song for my kids and whole household knows the lyrics such a powerful song
Uuuui this song is dope sauti za wawili hawa zinalandana colabo zije mingi
I am here because of Christine shusho .
Bolingo la Yesu kazi nzuri
CONGRATULATIONS NYINGI KWAKO MTUMISHI WA MUNGU
Hii nyimbo ni moto🔥🔥🔥🔥
Stay blessed! Miss Mwambenja Ongereni sanaaa Mbarikaiweeeee sanaaaa tenaaaa oooooh ayani sanaa sanaaaaa !
Sauti yko tu daa Christa mwaaa!!
Wimbo mzuri sana sichoki kuutazama hongeren sana
Just like the twins ....Christina shusho you made the song for IKUPA. NIMPENDA SANA IKUPA ANAIMBA KWA MADAHA YOTE
nisipotia kidole basi sina haki na kibao murua. Kimepikwa kikaiva, asante to the duo
Mungu awa bariki sana kwakutupa wimbo nzuri
Mungu awabariki kwa wimbo huu mtamu, hakika unagusa moyo....hadi nashindwa kuachia kuuskiza 🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
siwezi masia ni tetehe baba🙏🙏🙏🙏
kazi nzuri sana hongera
Wimbo mzuri sana mungu awabariki sana
The real definition of MUNGU ANAWEZA kazi nzuri mno hongera na hongera sana kwa production & producer
Of course Queen herself is in the video. Christina Shusho. Love her so much so so much.
Tanzania you’re blessed to have such a diamond. Love you Christina Shusho.
Wonderful video ladies. 🙌🏾💞💞.
Shusho sauti na sura ulibarikiwa sana
Shusho ssauti nzuri punguza tumbo
Hongera wajina,kazi nzuri
Kali sana Kabisa wimbo huu
Hongera saaana Nahofu SINA
Shusho mummy you such a masterpiece 😭🙏. anything that she touches comes out so fine 🔥🔥..I love you..I love this song 😭🙏
Mubarikiwe sana mwimbo unanijenga
bila wewe siwezi bila wewe mutetezi wangu siwezi.mutetezi wangu ni wewe Baba utanishindia na kwa sasa🙌🙌🙌🙌🙌🙌28.04.2022
Umesubutu umeweza
Mungu kwanza
Itumie dhaman ya watu kupanda zaidi juu
(Unaweza unaweza unaweza) kufika unapopataka Hongera ikupa kwa kazi kubwa naamini itabariki wengi basi hao wengi watakao barikiwa wafanye wazikumbatie hizo baraka hongera tena
Ongera sana Dada yangu na Mungu akufanikishe kama aja ya moyo wako
Where there is Shusho's voice, Everything became beatiful😍😍
Amen!
Cant stop listening to this touching song.
This is what we call singing with revelation. Beautiful collabo there Ikupa, Glory to God.
Wakristo Mungu atusaidie.
As a Kenya 🇰🇪 ambassador I highly recommend this song bila wewe baba hatuwezi🙏
Siwezi bila wewe Mungu
Wow powerful watching from Zambia ❤❤❤💥💥💥💥💥💥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💃💃💃💃💃💃💃📢📢📢📢📢📢📢📢
Hata hili nitashinda,umeruhusu wapigane nam maana unajua nitashinda,nakushukuru Mungu wng kwa kunipigania kila ck
barikiwe sana mtumishi 🙏
I thank God for you sisters may God continue using you mightly be blessed
Pendaaaaa xanaaaaaaaa Christina shusho
Hongera dada lkupa wimbo wako ni mzuri nimebarikiwa, Ubarikiwe mno, Mungu akunze karama yako🙏🙏
ASANTE SANA
Hongera sana mdogo wangu kazi nzuri sana
Asante Dada
Nabarikia sana kwa kweli 🙌🙏
Mungu awabarik wimbo mzur
Tina wangu bwana sautiii 😘😘😘😘😘🥰🥰🥰.
Nimebarikiwa mno na wimbo huu. Mungu azidi kukupaisha juu dada yangu, Tanzania na nje ya mipaka yetu
Asante sana
Lazima nishinde.. lazima nvuke
God has allowed them to fight me because he knows l will be victorious🙏
Kazi nzuri, goooooo gooooo my lovely daughter
Am here because of shusho
Mko tu sawaaaa
huu wimbo kla siku naskiza jamani khaaaaa.....MUNGU awabariki sanaaa
Nakukubali sana ikupa
Ubarikiwe dada yangu
Hatari wimbo mzuri
Nimewpenda bure
Mbarikiwe dada zangu
Amen lazima tutashinda
Narudia kusikiliza siku nzima🥰🥰🥰🥰
Aaaawhhh Gospel Tamu sana
I have been looking for this song finally ❤❤ a blessing