Haifai kukaa na jambo moyoni haiyakuwa linakuathiri ni veme kutema nyongo kama alivyofanya Mch. PETER MSIGWA. Congrats sana big brother kwa kusema ukweli. Hiyo ndiyo CHADEMA ilivyo kwa wale wasio ifahamu vizuri.
Msigwa atakua amehongwa na CCM akivuruge chama kama akina Mdee, manake kwa namna hii Chadema watawezaje kudai tume huru ya uchaguzi na katiba mpya wakaeleweka 😂😂
Daaah, TZ hatuna upinzani, shida tu , ndiyo maana Lissu naye ana kauli za kitoto toto tu, Ukiutaka Urais angalau uwe na kauli za staha , hivi mtanzania gani mwenye nia njema na nchi hii atampigia kura za urais mtu kama Lissu
CHADEMA hakuna kitu rufaa, akina Mhe. Halima Mdee wamekata rufaa inayosubiri mkutano Mkuu wa chama lakini bila haya wala kuheshimu mnawatangaza kama ni watu hawana chama hali mkijuwa rufaa yao ipo mezani. Hebu naomba HAKI itendeke!
Watanzania wengi sijui tunashida gani,kuna points za maana sana Msigwa anaziongea,kwa mwana chadema haswaa (anaetamani chama kipate uongozi wa taifa) angeguswa moyoni kabisa.Cha ajabu watu wanapondea tu utadhani hakuna lolote la maana hapo,sasa hiyo itakusaidia wewe wala siyo chama.vinginevyo mnaeponda kila alicho ongea msigwa muwe Mamruki.
Chadema ukitaka kuonekana umenunuliwa ww gusa link ya mwenyekiti si unamsikia safari hii ngazi taifa hakuna cha kupita bila kupingwa ndo mgogoro huo timu Lissu na Timu mbowe
😂😂😂... Richardiiiiiiiiiiiiiii Nimecheka balaa Eti gusa link ya mwenyekiti ndio utajua... Hakika ukigusa link ya mwenyekiti ndio utajua chadema ni chama au genge la wahuni 😂 Yaliyomkuta Chacha Wangwe na Tundu Lisu yatamkuta na Msigwa
Tofautisha malumbano na kutetea haki pale mtu anapoona hajatendewa haki ana ana haki ya kutafuta haki yake na sio malumbano, kwani chadema Kuna wa malakini hakuna wanadamu kwamba hakuna mahali wanaweza kukosea? Kuna chama gani ambacho Kiko perfect kwa kila kitu, ivi Kuna chama kilicho na mikawanyiko kuliko ccm? Kwanini mkisikia jambo fulani tu kwa chadema kunaanza maneno, hayo ni kawaida na kila mtu ana haki ya kuongea pale anapoona Kuna jambo halijaenda sawa kwa upande wake na sio mbaya na ndio semocrasia yenyewe
Mbowe akitoka nadhan ni busara wakili msomi mwabukusi achukue usukani jamaa ni mzalendo kuliko hao wanaopiga kelele ...mdam mheshimiwa mwenyekiti wa CCM alishatuhakikishia ndani kuna fukuta hapo tunajua kuna mapandikizi tayari na Moja wapo ni mchungaji uyo
Mkitaka kuona hii dunia kua haifai kabisa mguseni mbowe na chama chake. Kumgusa mbowe na uenyekiti wake ni sana na kuigusa CCM na chama chao.mtapata tabu sana
😂😂😂...aaaah wapi usimzibe mdomo mtumishi hakuna cha kukubali kushindwa,muache afunguke ni ukweli na uwazi demokrasia gani ya mwenyekiti mmoja milele??😂😂 Tuone sasa kama na huyu mtampiga risasi halafu msingizie ni chama tawala Mchungaji kaa macho kuna kupigwa risasi au ajali kama Chacha Wangwe 😂😂😂
KAMA HATA MSIGWA ANAINGIA KTK ,MSUGUANO, NA SUGU na hawa ndio MAJEMBE TUNAYO YATEGEMEA,LEO WATAKA KUGOMBANA,,CNA HAJA TENA NA HIKI CHAMA,bola kubaki tu,bila kushabikia chama chochote,kupotezeana muda tu,
Wewe vp nani kamchoka mbowe.!! Na udikiteta ameufañyia nani.acha basi kuongea maneno ya kulishwa .kwanza wewe umemaloza mashamba ya famlya kwa kusomeshwa.hata hujui dikiteta.???
SASA UPO CCM, HAYO SASA KAZUNGUMZE HUKO, UCJEGEUZWA MPIGA DEBE BAADA YA KULISHWA BAGIAAA, hakika umepotea kama mshumaa, CCM kijan na CCM mpauko, Utakatwa MKIA kama MWENDA zake alivyosema, WAKATI UTAZUNGUMZA
Tofautisheni malumbano na kutetea haki pale mtu anapoona hajatendewa haki ana ana haki ya kutafuta haki yake na sio malumbano, kwani chadema Kuna wa malakini hakuna wanadamu kwamba hakuna mahali wanaweza kukosea? Kuna chama gani ambacho Kiko perfect kwa kila kitu, ivi Kuna chama kilicho na mikawanyiko kuliko ccm? Kwanini mkisikia jambo fulani tu kwa chadema kunaanza maneno, hayo ni kawaida na kila mtu ana haki ya kuongea pale anapoona Kuna jambo halijaenda sawa kwa upande wake na sio mbaya na ndio semocrasia yenyewe
Kauli za staha zutatupunguzia mfumko wa bei? Zitatuondolea ubadhirifu wa mali za umma? Zitanusuru hatari ya mdororo wa uchumi? Kuna problem katika mfumo wetu wa kufikiri!
😂😂...unauliza swali au umekerwa na ukweli?? Ni kweli kabisa anaropoka ukweli kuhusu madudu ndani ya chama..hakuna habari ya mwenyekiti mmoja maisha 😂😂😂
Ivi chadema ni malaika, kma mtu anaona Kuna sehemu hajatendewa haki kwaiyo akae kimya kisa ni chadema kwamba wao hakuna mahali wanaweza kukosea? Kwani Kuna chama kina migawanyiko na malumbano kama icho kilichopo ikulu, au wew uko nchi gani ndugu
HII NDIO DEMOCRASIA SASA HAKUNA KUPITA BILA KUPINGWA UNAPITA BILA KUPINGWA WEWE NANI? TUMEPINGA SANA HAYA MAMBO YANAVYOENDELEA CCM. NINYI CHADEMA MNATAKA KUFANYA KAMA CCM? NYIE VIPI? MSIGWA YUPO SAWA.
Wewe unataka mawazo mpya.!!.mbowe anastahili hapo.amewanyima usingizi ccm.anawauma nn.??kwani wao ni wanachadema.??.wanapandikiza mamluki kuleta fujo na kukashfu mbowe.eti amekaa muda mrefu.??sasa inawahusu nn.wanataka waweke watu wepesi wasambalatishe chama.labda lissu au mwambuksi.watahimili mashuti ya ccm
Msigwa Hana hoja yeye awarudishie ccm.hela zao.kama mwanzo alosema amepongeza ushindi akaongea maneno ya heshima.baada ya kukutana na waliomtuma wakamuwekea mdomoni maneno ili anchafie mbowe na akichafue Chama.
Mbowe washakuchoka sasa wenzio hitaki kutoka madarakani mwaka wa ngapi sasa huu huu nu udikteta unaraka kuwa kama mugabe sasa ngatuka mpska wakufukuze ndio utatoka
Usiseme usicho kijua km huna uhakika haondoki na bado yupo sana coz Ccm mnataka aje mtu dhaifu mkibomoe chama Asubuh na mapema Hilo chini ya uwongoz wa mbowe halita wezekana tena ndomana kelele nying zinatoka Ccm ilihali sisi tunajua mnachotaka nyie kengeziii
Tukiwaambia chama Cha chadema ni chama Cha ukabila hamkuelew mbowe hawez kukubali kuachia uenyekiti
Utakuwa na govi wewe siyo bure!
Haifai kukaa na jambo moyoni haiyakuwa linakuathiri ni veme kutema nyongo kama alivyofanya Mch. PETER MSIGWA. Congrats sana big brother kwa kusema ukweli. Hiyo ndiyo CHADEMA ilivyo kwa wale wasio ifahamu vizuri.
That's great pastor! It signifies maturity in what you believe in! You've my total support bro!
Mbowe ni mwenyekiti wa kudumu wa chadema, akifa anataka amrithishe mwanae chadema ni chama cha wachaga chama cha kifalme pumbuvu chadema
CCM ni chama cha nani mzee
@@shivobs4485 CCm kila mtu ni kiongozi ndo maana unaona hakujawahi kuwa na mwenyekiti mmoja.
Msigwa atakua amehongwa na CCM akivuruge chama kama akina Mdee, manake kwa namna hii Chadema watawezaje kudai tume huru ya uchaguzi na katiba mpya wakaeleweka 😂😂
CHADEMA HAKUNA DEMOCRACY KUNA UDINI TU NA UKANDA CHAMA CHA WAHUNI WENYE NJAA
Ninachoweza KUSEMA NI chadema NI lazima cha democratisia
@@thomaskiponda6079 NEXT VICTIM LISU 🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳
Mbowe ndo anaivuruga chadema jitambue ww uwe na akili
@@RenatusMatungwa WOTE NI WAHUNI NA WADINI KUANZIA DIWANI MPAKA MWENYEKITI 🤧🤧🤧🤧🤧
Umechoka brother
ILA MSIGWA UKO SAWA SANA MABADILIKO YANATAKIWA KUANZIA NDAN YA CHAMA
Napongeza sana lissu na mbowe wafanye mdahalo😊
Msigwa upo sawa
Msigwa akajifunze Kwa Mh Zitto kabwe kilichompata na anachokiyaka atakipata muda si mrefuuj
Hapo hamjapewa inchi na mkipewa je?
Yes uenyekiti wawe wawili!
Daaah, TZ hatuna upinzani, shida tu , ndiyo maana Lissu naye ana kauli za kitoto toto tu, Ukiutaka Urais angalau uwe na kauli za staha , hivi mtanzania gani mwenye nia njema na nchi hii atampigia kura za urais mtu kama Lissu
Kama kauri za Lisu ni kitoto kwanini mnakataa Tume huru na Katiba Mpya jalibuni kuruhusu tume huru mapate majibu yenu
Jengeni chama kwanza @@KamwandaNzowa-eo4ur
Utofauti uliouona hapo ni upi maana hoja ya Msigwa imenyooka au hampendi kisikia kukosoa kitu kibaya Ili kiboreshwe
Sisi tutampigia maana ametakakuliwa kwamaslai yanchi nawananchi
Katiba mpya
CHADEMA hakuna kitu rufaa, akina Mhe. Halima Mdee wamekata rufaa inayosubiri mkutano Mkuu wa chama lakini bila haya wala kuheshimu mnawatangaza kama ni watu hawana chama hali mkijuwa rufaa yao ipo mezani. Hebu naomba HAKI itendeke!
Watanzania wengi sijui tunashida gani,kuna points za maana sana Msigwa anaziongea,kwa mwana chadema haswaa (anaetamani chama kipate uongozi wa taifa) angeguswa moyoni kabisa.Cha ajabu watu wanapondea tu utadhani hakuna lolote la maana hapo,sasa hiyo itakusaidia wewe wala siyo chama.vinginevyo mnaeponda kila alicho ongea msigwa muwe Mamruki.
Lisu alivyosema ndan ya chama kuna rushwa mkakataa
Mitifuano IPO mchungaji anaonesha hasira Kwa mwenykiti wake kisa kaporwa tonge mdomoni
Lakini si ndio demokrasia?
Chadema ukitaka kuonekana umenunuliwa ww gusa link ya mwenyekiti si unamsikia safari hii ngazi taifa hakuna cha kupita bila kupingwa ndo mgogoro huo timu Lissu na Timu mbowe
😂😂😂... Richardiiiiiiiiiiiiiii
Nimecheka balaa
Eti gusa link ya mwenyekiti ndio utajua...
Hakika ukigusa link ya mwenyekiti ndio utajua chadema ni chama au genge la wahuni 😂
Yaliyomkuta Chacha Wangwe na Tundu Lisu yatamkuta na Msigwa
😂😂😂 HAPO MMEWAPA VIRUNGU CCM VYA KUWAPIGIA 2025😅😅😅MKISHINDWA UCHAGUZ MSISEME MMEIBIWA KURA MAANA MMESHA ANZA KUYAKANYAGA WENYEWE🙆🙆
Hii timu tundulisu
Chadema yangu mnanikatisha tamaa jaman mmeaza kulumbana Tena jaman daaah
Mahali penye njaa hakunaga umoja 😮😮😅😅
Tofautisha malumbano na kutetea haki pale mtu anapoona hajatendewa haki ana ana haki ya kutafuta haki yake na sio malumbano, kwani chadema Kuna wa malakini hakuna wanadamu kwamba hakuna mahali wanaweza kukosea? Kuna chama gani ambacho Kiko perfect kwa kila kitu, ivi Kuna chama kilicho na mikawanyiko kuliko ccm? Kwanini mkisikia jambo fulani tu kwa chadema kunaanza maneno, hayo ni kawaida na kila mtu ana haki ya kuongea pale anapoona Kuna jambo halijaenda sawa kwa upande wake na sio mbaya na ndio semocrasia yenyewe
Kwa ili mbowe kachemka na watu wake tunamkalibisha msigwa kwenye chama lao ccm👍👍👍👍
Mbowe akitoka nadhan ni busara wakili msomi mwabukusi achukue usukani jamaa ni mzalendo kuliko hao wanaopiga kelele ...mdam mheshimiwa mwenyekiti wa CCM alishatuhakikishia ndani kuna fukuta hapo tunajua kuna mapandikizi tayari na Moja wapo ni mchungaji uyo
Kitapigwa mnada asubuhi
Hakuna mhehe mwoga wala kumunyamunya maneno safi sana
Aliyekwambia msigwa ni mhehe ni nani?
Mch Msigwa oyeeeeeee
😂....hoyeeeeeeee
Mbowe muda wake umeisha
Mkitaka kuona hii dunia kua haifai kabisa mguseni mbowe na chama chake. Kumgusa mbowe na uenyekiti wake ni sana na kuigusa CCM na chama chao.mtapata tabu sana
Mimi ni Chadema,ukwelinikwamba Mbowe hawezi kupita.Maana hana jipya.Kama nikwafaida ya wanainchi tafuteni mtu wakugombea
Huyu mtu anatafuta njia ya kuhama. Si chama changu lakini aende. Si tayari ameshaitwa huko!
Mchungaji ridhika kushindwa unaleta mgawanyiko chadema
😂😂😂...aaaah wapi usimzibe mdomo mtumishi hakuna cha kukubali kushindwa,muache afunguke ni ukweli na uwazi demokrasia gani ya mwenyekiti mmoja milele??😂😂
Tuone sasa kama na huyu mtampiga risasi halafu msingizie ni chama tawala
Mchungaji kaa macho kuna kupigwa risasi au ajali kama Chacha Wangwe 😂😂😂
Mzee kubali yaishe
Wewe..kwisha..kaaa..hukohuko..hatuna.mangufu..ccm
KAMA HATA MSIGWA ANAINGIA KTK ,MSUGUANO, NA SUGU na hawa ndio MAJEMBE TUNAYO YATEGEMEA,LEO WATAKA KUGOMBANA,,CNA HAJA TENA NA HIKI CHAMA,bola kubaki tu,bila kushabikia chama chochote,kupotezeana muda tu,
Yuko sawa Msigwa hizo ndizo siasa za nchi zilizoendelea.
Wewe vp nani kamchoka mbowe.!! Na udikiteta ameufañyia nani.acha basi kuongea maneno ya kulishwa .kwanza wewe umemaloza mashamba ya famlya kwa kusomeshwa.hata hujui dikiteta.???
Nadhani mawazo na maoni ya Mchungaji Msigwa ni ya msingi sana na kama Chama Ione huo ndiyo utakuwa uwakilishi mwema kwenye Demokrasia ndani ya chama
Hakika Mimi binafsi kweli wewe Mch,Msingwa nakukubali sana maana ulikuwa shupavu kweli kipindi Cha mwenda zake jengeni Chama chenu Chadema
😂😂😂😂😂 yani najikuta nachekatu. MH MSIGWA iludie CPU yangu nilivyo jiuzuru niliyasema ayauliniponda SANA Leo wewe vipi mkuu
SASA UPO CCM, HAYO SASA KAZUNGUMZE HUKO, UCJEGEUZWA MPIGA DEBE BAADA YA KULISHWA BAGIAAA, hakika umepotea kama mshumaa, CCM kijan na CCM mpauko, Utakatwa MKIA kama MWENDA zake alivyosema, WAKATI UTAZUNGUMZA
Kahama mbona 🫣
Msigw tulia
Chacha Wangwe!
Tofautisheni malumbano na kutetea haki pale mtu anapoona hajatendewa haki ana ana haki ya kutafuta haki yake na sio malumbano, kwani chadema Kuna wa malakini hakuna wanadamu kwamba hakuna mahali wanaweza kukosea? Kuna chama gani ambacho Kiko perfect kwa kila kitu, ivi Kuna chama kilicho na mikawanyiko kuliko ccm? Kwanini mkisikia jambo fulani tu kwa chadema kunaanza maneno, hayo ni kawaida na kila mtu ana haki ya kuongea pale anapoona Kuna jambo halijaenda sawa kwa upande wake na sio mbaya na ndio semocrasia yenyewe
Kaka tulia maisja bado yanaendelea
Kauli za staha zutatupunguzia mfumko wa bei? Zitatuondolea ubadhirifu wa mali za umma? Zitanusuru hatari ya mdororo wa uchumi? Kuna problem katika mfumo wetu wa kufikiri!
Katika wapinzani ambao sio wanafiki huyu jamaa siku nyingi tu alishalionesha hilo yupo realistic sana
Mbowe miaka yote hiki chama ina madikteta alitamka sumu haionjwi kwa kulambwa
CCM OYEEEE
Kwa jirani moto unawaka, subiri muda ufike tu lazima maji mtayaita mmah!
Hata kwa Lissu nivigumu kupita
Mbowe bado anahitajika chadema
Kamaumekata lufaa subili lufaa ifanyekazi unalopoka nini sasa
😂😂...unauliza swali au umekerwa na ukweli??
Ni kweli kabisa anaropoka ukweli kuhusu madudu ndani ya chama..hakuna habari ya mwenyekiti mmoja maisha 😂😂😂
We tulia mkuu nenda tu ccm kale vinono
hawa wanajuana ya kaisali mwachie kaisali
Kumeanza kuchangamka huku
Halafu nyie ndio muingie ikulu pumbavu zenu mtauza nchi yote.
Wew ndo huna akili kabisa
Ivi chadema ni malaika, kma mtu anaona Kuna sehemu hajatendewa haki kwaiyo akae kimya kisa ni chadema kwamba wao hakuna mahali wanaweza kukosea? Kwani Kuna chama kina migawanyiko na malumbano kama icho kilichopo ikulu, au wew uko nchi gani ndugu
HII NDIO DEMOCRASIA SASA HAKUNA KUPITA BILA KUPINGWA UNAPITA BILA KUPINGWA WEWE NANI? TUMEPINGA SANA HAYA MAMBO YANAVYOENDELEA CCM. NINYI CHADEMA MNATAKA KUFANYA KAMA CCM? NYIE VIPI? MSIGWA YUPO SAWA.
Humu Kuna matatizo ukimsikiliza huyu bwana unajua tu Kuna makundi mawili yaliojipanga kupambana vikali.naona anguko kubwa kabisa linakuja
Kwa kauli hizi Hali sio shwari,,,,
Wewe ndo utulie
Mvuto kushinei.
Mepdj
😂😂😂😂
Unadai demokrasia halafu wewe mwenyewe hutaki demokrasia,,mbowe ni wakati wako wa kupisha mawazo mapya
Wewe unataka mawazo mpya.!!.mbowe anastahili hapo.amewanyima usingizi ccm.anawauma nn.??kwani wao ni wanachadema.??.wanapandikiza mamluki kuleta fujo na kukashfu mbowe.eti amekaa muda mrefu.??sasa inawahusu nn.wanataka waweke watu wepesi wasambalatishe chama.labda lissu au mwambuksi.watahimili mashuti ya ccm
Msigwa Hana hoja yeye awarudishie ccm.hela zao.kama mwanzo alosema amepongeza ushindi akaongea maneno ya heshima.baada ya kukutana na waliomtuma wakamuwekea mdomoni maneno ili anchafie mbowe na akichafue Chama.
Ulañz
Mnafiki wewe
Wewe tulia ulitaka utawale mbaka lini muachie dogo aendeleze
Mbona M/kiti hataki kutoka na kuwaachia wengine? Bwege wewee!?
Hawa tunawapaje nchi 😢
Mbowe washakuchoka sasa wenzio hitaki kutoka madarakani mwaka wa ngapi sasa huu huu nu udikteta unaraka kuwa kama mugabe sasa ngatuka mpska wakufukuze ndio utatoka
😂😂😂😂
Mahesabu Mbowe yupo Chadema miaka 30 sawa na nusu ya miaka ya Uhuru ni udikiteta usiokubalika nusu ya Uhai wa maisha yake duuuu
Usiseme usicho kijua km huna uhakika haondoki na bado yupo sana coz Ccm mnataka aje mtu dhaifu mkibomoe chama Asubuh na mapema Hilo chini ya uwongoz wa mbowe halita wezekana tena ndomana kelele nying zinatoka Ccm ilihali sisi tunajua mnachotaka nyie kengeziii