MSIGWA ATAKA WAGOMBEA WAWILI KITI CHA MBOWE, HAKUNA KUPITA BILA KUPINGWA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 06. 2024

Komentáře • 114

  • @idanysedrc1200
    @idanysedrc1200 Před měsícem +6

    Tukiwaambia chama Cha chadema ni chama Cha ukabila hamkuelew mbowe hawez kukubali kuachia uenyekiti

  • @hussein8200
    @hussein8200 Před měsícem +1

    Haifai kukaa na jambo moyoni haiyakuwa linakuathiri ni veme kutema nyongo kama alivyofanya Mch. PETER MSIGWA. Congrats sana big brother kwa kusema ukweli. Hiyo ndiyo CHADEMA ilivyo kwa wale wasio ifahamu vizuri.

  • @lucasgraduce1066
    @lucasgraduce1066 Před měsícem

    That's great pastor! It signifies maturity in what you believe in! You've my total support bro!

  • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur
    @SmilingBulldogPuppy-nb9ur Před měsícem +4

    Mbowe ni mwenyekiti wa kudumu wa chadema, akifa anataka amrithishe mwanae chadema ni chama cha wachaga chama cha kifalme pumbuvu chadema

    • @shivobs4485
      @shivobs4485 Před měsícem

      CCM ni chama cha nani mzee

    • @Ryanzabron
      @Ryanzabron Před měsícem

      @@shivobs4485 CCm kila mtu ni kiongozi ndo maana unaona hakujawahi kuwa na mwenyekiti mmoja.

  • @BobNgagi2023
    @BobNgagi2023 Před měsícem +6

    Msigwa atakua amehongwa na CCM akivuruge chama kama akina Mdee, manake kwa namna hii Chadema watawezaje kudai tume huru ya uchaguzi na katiba mpya wakaeleweka 😂😂

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji Před měsícem +5

      CHADEMA HAKUNA DEMOCRACY KUNA UDINI TU NA UKANDA CHAMA CHA WAHUNI WENYE NJAA

    • @thomaskiponda6079
      @thomaskiponda6079 Před měsícem

      Ninachoweza KUSEMA NI chadema NI lazima cha democratisia

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji Před měsícem

      @@thomaskiponda6079 NEXT VICTIM LISU 🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳

    • @RenatusMatungwa
      @RenatusMatungwa Před měsícem +1

      Mbowe ndo anaivuruga chadema jitambue ww uwe na akili

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji Před měsícem

      @@RenatusMatungwa WOTE NI WAHUNI NA WADINI KUANZIA DIWANI MPAKA MWENYEKITI 🤧🤧🤧🤧🤧

  • @frankchaula6840
    @frankchaula6840 Před měsícem +4

    Umechoka brother

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 Před měsícem +3

    ILA MSIGWA UKO SAWA SANA MABADILIKO YANATAKIWA KUANZIA NDAN YA CHAMA

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku Před měsícem +2

    Napongeza sana lissu na mbowe wafanye mdahalo😊

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku Před měsícem +4

    Msigwa upo sawa

  • @WilbertChambilo-yl1kc
    @WilbertChambilo-yl1kc Před měsícem +2

    Msigwa akajifunze Kwa Mh Zitto kabwe kilichompata na anachokiyaka atakipata muda si mrefuuj

  • @dicksonmatulile1523
    @dicksonmatulile1523 Před měsícem +2

    Hapo hamjapewa inchi na mkipewa je?

  • @OS-pf6op
    @OS-pf6op Před měsícem +1

    Yes uenyekiti wawe wawili!

  • @BobNgagi2023
    @BobNgagi2023 Před měsícem +10

    Daaah, TZ hatuna upinzani, shida tu , ndiyo maana Lissu naye ana kauli za kitoto toto tu, Ukiutaka Urais angalau uwe na kauli za staha , hivi mtanzania gani mwenye nia njema na nchi hii atampigia kura za urais mtu kama Lissu

    • @KamwandaNzowa-eo4ur
      @KamwandaNzowa-eo4ur Před měsícem +1

      Kama kauri za Lisu ni kitoto kwanini mnakataa Tume huru na Katiba Mpya jalibuni kuruhusu tume huru mapate majibu yenu

    • @yahyamajidyahyahilalal-har8762
      @yahyamajidyahyahilalal-har8762 Před měsícem

      Jengeni chama kwanza ​@@KamwandaNzowa-eo4ur

    • @chescokagali5962
      @chescokagali5962 Před měsícem

      Utofauti uliouona hapo ni upi maana hoja ya Msigwa imenyooka au hampendi kisikia kukosoa kitu kibaya Ili kiboreshwe

    • @user-qz2cs5wm5u
      @user-qz2cs5wm5u Před měsícem

      Sisi tutampigia maana ametakakuliwa kwamaslai yanchi nawananchi

    • @PetroMpunga-rt7hv
      @PetroMpunga-rt7hv Před měsícem

      Katiba mpya

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 Před měsícem +1

    CHADEMA hakuna kitu rufaa, akina Mhe. Halima Mdee wamekata rufaa inayosubiri mkutano Mkuu wa chama lakini bila haya wala kuheshimu mnawatangaza kama ni watu hawana chama hali mkijuwa rufaa yao ipo mezani. Hebu naomba HAKI itendeke!

  • @sallyeliya5213
    @sallyeliya5213 Před 6 dny

    Watanzania wengi sijui tunashida gani,kuna points za maana sana Msigwa anaziongea,kwa mwana chadema haswaa (anaetamani chama kipate uongozi wa taifa) angeguswa moyoni kabisa.Cha ajabu watu wanapondea tu utadhani hakuna lolote la maana hapo,sasa hiyo itakusaidia wewe wala siyo chama.vinginevyo mnaeponda kila alicho ongea msigwa muwe Mamruki.

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Před měsícem +1

    Lisu alivyosema ndan ya chama kuna rushwa mkakataa

  • @user-si5rl7kc6c
    @user-si5rl7kc6c Před měsícem +1

    Mitifuano IPO mchungaji anaonesha hasira Kwa mwenykiti wake kisa kaporwa tonge mdomoni

  • @richardhosea8827
    @richardhosea8827 Před měsícem +1

    Chadema ukitaka kuonekana umenunuliwa ww gusa link ya mwenyekiti si unamsikia safari hii ngazi taifa hakuna cha kupita bila kupingwa ndo mgogoro huo timu Lissu na Timu mbowe

    • @rockygappi1018
      @rockygappi1018 Před měsícem

      😂😂😂... Richardiiiiiiiiiiiiiii
      Nimecheka balaa
      Eti gusa link ya mwenyekiti ndio utajua...
      Hakika ukigusa link ya mwenyekiti ndio utajua chadema ni chama au genge la wahuni 😂
      Yaliyomkuta Chacha Wangwe na Tundu Lisu yatamkuta na Msigwa

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 Před měsícem +1

    😂😂😂 HAPO MMEWAPA VIRUNGU CCM VYA KUWAPIGIA 2025😅😅😅MKISHINDWA UCHAGUZ MSISEME MMEIBIWA KURA MAANA MMESHA ANZA KUYAKANYAGA WENYEWE🙆🙆

  • @josephmabula9658
    @josephmabula9658 Před měsícem +3

    Hii timu tundulisu

  • @hopejohnson7352
    @hopejohnson7352 Před měsícem +3

    Chadema yangu mnanikatisha tamaa jaman mmeaza kulumbana Tena jaman daaah

    • @user-eg8ri1fy4h
      @user-eg8ri1fy4h Před měsícem +1

      Mahali penye njaa hakunaga umoja 😮😮😅😅

    • @user-qy5qw1jv4s
      @user-qy5qw1jv4s Před měsícem

      Tofautisha malumbano na kutetea haki pale mtu anapoona hajatendewa haki ana ana haki ya kutafuta haki yake na sio malumbano, kwani chadema Kuna wa malakini hakuna wanadamu kwamba hakuna mahali wanaweza kukosea? Kuna chama gani ambacho Kiko perfect kwa kila kitu, ivi Kuna chama kilicho na mikawanyiko kuliko ccm? Kwanini mkisikia jambo fulani tu kwa chadema kunaanza maneno, hayo ni kawaida na kila mtu ana haki ya kuongea pale anapoona Kuna jambo halijaenda sawa kwa upande wake na sio mbaya na ndio semocrasia yenyewe

    • @user-ie2sr4fi4k
      @user-ie2sr4fi4k Před měsícem

      Kwa ili mbowe kachemka na watu wake tunamkalibisha msigwa kwenye chama lao ccm👍👍👍👍

  • @valencegustav1378
    @valencegustav1378 Před měsícem

    Mbowe akitoka nadhan ni busara wakili msomi mwabukusi achukue usukani jamaa ni mzalendo kuliko hao wanaopiga kelele ...mdam mheshimiwa mwenyekiti wa CCM alishatuhakikishia ndani kuna fukuta hapo tunajua kuna mapandikizi tayari na Moja wapo ni mchungaji uyo

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si Před 19 dny

    Kitapigwa mnada asubuhi

  • @richardhosea8827
    @richardhosea8827 Před měsícem

    Hakuna mhehe mwoga wala kumunyamunya maneno safi sana

  • @adammbuba7230
    @adammbuba7230 Před měsícem +2

    Mch Msigwa oyeeeeeee

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Před měsícem +1

    Mbowe muda wake umeisha

  • @simonzakaria4770
    @simonzakaria4770 Před měsícem

    Mkitaka kuona hii dunia kua haifai kabisa mguseni mbowe na chama chake. Kumgusa mbowe na uenyekiti wake ni sana na kuigusa CCM na chama chao.mtapata tabu sana

  • @mapundawilliam370
    @mapundawilliam370 Před měsícem

    Mimi ni Chadema,ukwelinikwamba Mbowe hawezi kupita.Maana hana jipya.Kama nikwafaida ya wanainchi tafuteni mtu wakugombea

  • @rashidissa5887
    @rashidissa5887 Před měsícem

    Huyu mtu anatafuta njia ya kuhama. Si chama changu lakini aende. Si tayari ameshaitwa huko!

  • @johnosunga6859
    @johnosunga6859 Před měsícem

    Mchungaji ridhika kushindwa unaleta mgawanyiko chadema

    • @rockygappi1018
      @rockygappi1018 Před měsícem

      😂😂😂...aaaah wapi usimzibe mdomo mtumishi hakuna cha kukubali kushindwa,muache afunguke ni ukweli na uwazi demokrasia gani ya mwenyekiti mmoja milele??😂😂
      Tuone sasa kama na huyu mtampiga risasi halafu msingizie ni chama tawala
      Mchungaji kaa macho kuna kupigwa risasi au ajali kama Chacha Wangwe 😂😂😂

  • @josephinamkono5183
    @josephinamkono5183 Před měsícem

    Mzee kubali yaishe

  • @user-rg2py2yz4x
    @user-rg2py2yz4x Před 24 dny

    Wewe..kwisha..kaaa..hukohuko..hatuna.mangufu..ccm

  • @akidajulius1581
    @akidajulius1581 Před měsícem

    KAMA HATA MSIGWA ANAINGIA KTK ,MSUGUANO, NA SUGU na hawa ndio MAJEMBE TUNAYO YATEGEMEA,LEO WATAKA KUGOMBANA,,CNA HAJA TENA NA HIKI CHAMA,bola kubaki tu,bila kushabikia chama chochote,kupotezeana muda tu,

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 Před měsícem

    Yuko sawa Msigwa hizo ndizo siasa za nchi zilizoendelea.

  • @albinusmkono5887
    @albinusmkono5887 Před měsícem

    Wewe vp nani kamchoka mbowe.!! Na udikiteta ameufañyia nani.acha basi kuongea maneno ya kulishwa .kwanza wewe umemaloza mashamba ya famlya kwa kusomeshwa.hata hujui dikiteta.???

  • @chescokagali5962
    @chescokagali5962 Před měsícem

    Nadhani mawazo na maoni ya Mchungaji Msigwa ni ya msingi sana na kama Chama Ione huo ndiyo utakuwa uwakilishi mwema kwenye Demokrasia ndani ya chama

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur Před měsícem

    Hakika Mimi binafsi kweli wewe Mch,Msingwa nakukubali sana maana ulikuwa shupavu kweli kipindi Cha mwenda zake jengeni Chama chenu Chadema

  • @AngerusLijuja-bg6sb
    @AngerusLijuja-bg6sb Před měsícem

    😂😂😂😂😂 yani najikuta nachekatu. MH MSIGWA iludie CPU yangu nilivyo jiuzuru niliyasema ayauliniponda SANA Leo wewe vipi mkuu

  • @bonifacemwanga3115
    @bonifacemwanga3115 Před 9 dny

    SASA UPO CCM, HAYO SASA KAZUNGUMZE HUKO, UCJEGEUZWA MPIGA DEBE BAADA YA KULISHWA BAGIAAA, hakika umepotea kama mshumaa, CCM kijan na CCM mpauko, Utakatwa MKIA kama MWENDA zake alivyosema, WAKATI UTAZUNGUMZA

  • @camilomassao8971
    @camilomassao8971 Před 17 dny

    Kahama mbona 🫣

  • @Adrianmellow
    @Adrianmellow Před měsícem +1

    Msigw tulia

  • @valerianrwebandiza754
    @valerianrwebandiza754 Před měsícem

    Chacha Wangwe!

  • @user-qy5qw1jv4s
    @user-qy5qw1jv4s Před měsícem

    Tofautisheni malumbano na kutetea haki pale mtu anapoona hajatendewa haki ana ana haki ya kutafuta haki yake na sio malumbano, kwani chadema Kuna wa malakini hakuna wanadamu kwamba hakuna mahali wanaweza kukosea? Kuna chama gani ambacho Kiko perfect kwa kila kitu, ivi Kuna chama kilicho na mikawanyiko kuliko ccm? Kwanini mkisikia jambo fulani tu kwa chadema kunaanza maneno, hayo ni kawaida na kila mtu ana haki ya kuongea pale anapoona Kuna jambo halijaenda sawa kwa upande wake na sio mbaya na ndio semocrasia yenyewe

  • @godwinchengula6940
    @godwinchengula6940 Před měsícem

    Kaka tulia maisja bado yanaendelea

  • @lucasgraduce1066
    @lucasgraduce1066 Před měsícem

    Kauli za staha zutatupunguzia mfumko wa bei? Zitatuondolea ubadhirifu wa mali za umma? Zitanusuru hatari ya mdororo wa uchumi? Kuna problem katika mfumo wetu wa kufikiri!

  • @adamkapolo8817
    @adamkapolo8817 Před měsícem

    Katika wapinzani ambao sio wanafiki huyu jamaa siku nyingi tu alishalionesha hilo yupo realistic sana

  • @chiefmajai9345
    @chiefmajai9345 Před měsícem

    Mbowe miaka yote hiki chama ina madikteta alitamka sumu haionjwi kwa kulambwa

  • @user-kq8dg5sd2n
    @user-kq8dg5sd2n Před měsícem

    CCM OYEEEE

  • @WilbertChambilo-yl1kc
    @WilbertChambilo-yl1kc Před měsícem

    Kwa jirani moto unawaka, subiri muda ufike tu lazima maji mtayaita mmah!

  • @mapundawilliam370
    @mapundawilliam370 Před měsícem

    Hata kwa Lissu nivigumu kupita

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Před měsícem

    Mbowe bado anahitajika chadema

  • @devidmwakipunda1697
    @devidmwakipunda1697 Před měsícem

    Kamaumekata lufaa subili lufaa ifanyekazi unalopoka nini sasa

    • @rockygappi1018
      @rockygappi1018 Před měsícem

      😂😂...unauliza swali au umekerwa na ukweli??
      Ni kweli kabisa anaropoka ukweli kuhusu madudu ndani ya chama..hakuna habari ya mwenyekiti mmoja maisha 😂😂😂

  • @johnshayo9635
    @johnshayo9635 Před měsícem

    We tulia mkuu nenda tu ccm kale vinono

  • @user-nm8ym6iq7n
    @user-nm8ym6iq7n Před měsícem

    hawa wanajuana ya kaisali mwachie kaisali

  • @abdulnaseermrisho4342
    @abdulnaseermrisho4342 Před měsícem

    Kumeanza kuchangamka huku

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 Před měsícem +1

    Halafu nyie ndio muingie ikulu pumbavu zenu mtauza nchi yote.

    • @user-qy5qw1jv4s
      @user-qy5qw1jv4s Před měsícem

      Wew ndo huna akili kabisa

    • @user-qy5qw1jv4s
      @user-qy5qw1jv4s Před měsícem

      Ivi chadema ni malaika, kma mtu anaona Kuna sehemu hajatendewa haki kwaiyo akae kimya kisa ni chadema kwamba wao hakuna mahali wanaweza kukosea? Kwani Kuna chama kina migawanyiko na malumbano kama icho kilichopo ikulu, au wew uko nchi gani ndugu

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda6079 Před měsícem

    HII NDIO DEMOCRASIA SASA HAKUNA KUPITA BILA KUPINGWA UNAPITA BILA KUPINGWA WEWE NANI? TUMEPINGA SANA HAYA MAMBO YANAVYOENDELEA CCM. NINYI CHADEMA MNATAKA KUFANYA KAMA CCM? NYIE VIPI? MSIGWA YUPO SAWA.

  • @RBMBAKARI-bv6wn
    @RBMBAKARI-bv6wn Před měsícem

    Humu Kuna matatizo ukimsikiliza huyu bwana unajua tu Kuna makundi mawili yaliojipanga kupambana vikali.naona anguko kubwa kabisa linakuja

  • @user-tu8tl2lg4b
    @user-tu8tl2lg4b Před měsícem

    Wewe ndo utulie

  • @paulokateme7615
    @paulokateme7615 Před měsícem

    Mvuto kushinei.

  • @warangisasa
    @warangisasa Před měsícem

    Mepdj

  • @bilid4128
    @bilid4128 Před měsícem

    😂😂😂😂

  • @jamesloshilunye414
    @jamesloshilunye414 Před měsícem

    Unadai demokrasia halafu wewe mwenyewe hutaki demokrasia,,mbowe ni wakati wako wa kupisha mawazo mapya

    • @albinusmkono5887
      @albinusmkono5887 Před měsícem

      Wewe unataka mawazo mpya.!!.mbowe anastahili hapo.amewanyima usingizi ccm.anawauma nn.??kwani wao ni wanachadema.??.wanapandikiza mamluki kuleta fujo na kukashfu mbowe.eti amekaa muda mrefu.??sasa inawahusu nn.wanataka waweke watu wepesi wasambalatishe chama.labda lissu au mwambuksi.watahimili mashuti ya ccm

    • @albinusmkono5887
      @albinusmkono5887 Před měsícem

      Msigwa Hana hoja yeye awarudishie ccm.hela zao.kama mwanzo alosema amepongeza ushindi akaongea maneno ya heshima.baada ya kukutana na waliomtuma wakamuwekea mdomoni maneno ili anchafie mbowe na akichafue Chama.

  • @JoseMwambyale
    @JoseMwambyale Před měsícem

    Ulañz

  • @silasponeka1773
    @silasponeka1773 Před měsícem

    Mnafiki wewe

  • @user-qz2cs5wm5u
    @user-qz2cs5wm5u Před měsícem

    Wewe tulia ulitaka utawale mbaka lini muachie dogo aendeleze

    • @hussein8200
      @hussein8200 Před měsícem

      Mbona M/kiti hataki kutoka na kuwaachia wengine? Bwege wewee!?

  • @charlesolomi9514
    @charlesolomi9514 Před měsícem

    Hawa tunawapaje nchi 😢

  • @bongo39
    @bongo39 Před měsícem +2

    Mbowe washakuchoka sasa wenzio hitaki kutoka madarakani mwaka wa ngapi sasa huu huu nu udikteta unaraka kuwa kama mugabe sasa ngatuka mpska wakufukuze ndio utatoka

  • @SamsonJohn-mo7en
    @SamsonJohn-mo7en Před 25 dny

    😂😂😂😂

  • @richardhosea8827
    @richardhosea8827 Před měsícem

    Mahesabu Mbowe yupo Chadema miaka 30 sawa na nusu ya miaka ya Uhuru ni udikiteta usiokubalika nusu ya Uhai wa maisha yake duuuu

    • @saleheinnocent7636
      @saleheinnocent7636 Před měsícem

      Usiseme usicho kijua km huna uhakika haondoki na bado yupo sana coz Ccm mnataka aje mtu dhaifu mkibomoe chama Asubuh na mapema Hilo chini ya uwongoz wa mbowe halita wezekana tena ndomana kelele nying zinatoka Ccm ilihali sisi tunajua mnachotaka nyie kengeziii