MBOWE AFUNGUKA MAZITO SAKATA LA UTEKAJI wa "SATIVA", AMTAJA HAYATI MAGUFULI LIVE,.......

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 06. 2024

Komentáře • 35

  • @husseinmkanga7794
    @husseinmkanga7794 Před 25 dny +5

    Nyinyi kama hamtamuacha Magufuri mtapiga kelele sana hamtashinda uchaguzi. Kumsema Magufuri kunawafurahisha baadhi ya chadema tatizo lenu hamfanyi tafiti Magufuri bado anakubalika sana na ana wapiga kura wengi kupita CCM na chadema.

    • @nelsonnyamle
      @nelsonnyamle Před 25 dny

      IPO SIKU ATATEKWA MWANAO NDIPO UTAJUA VIZURI JUU YA MANENO YAKO YA KUKEJELI WATU

    • @PhilipoMwita-wc1ku
      @PhilipoMwita-wc1ku Před 24 dny

      KWAVILE sio wewe uliotekwa Wala aliotekwa sio ndugu Yako ...endelea

  • @husseinc
    @husseinc Před 25 dny +3

    r.i.p shujaa dr jonh pombe magufuli

  • @sosomokobiasharamgaya3020

    Haki iko wapi Tanzania,?tnajifichaa kwenye kivuli cha Tanzania nchi Ya Amani,pole sna Mwanaharakati Sativah

  • @gracemairusya2950
    @gracemairusya2950 Před 25 dny +2

    Wakati wa magufuli haikuwa hivi hii ni enzi ya ulimboka

  • @salimalaquimane3077
    @salimalaquimane3077 Před 25 dny +3

    We mzee koma kumtaja taja magufur tena koma

    • @andrewkissava9184
      @andrewkissava9184 Před 22 dny

      Kwanini asitajwe magufuli na wakati magufuli ndo mwasisi wa utekaji?

  • @rahimsadru-ct4ot
    @rahimsadru-ct4ot Před 6 dny

    Hili Chaga ngese Sana,,,Samia angelifunga tu

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 Před 25 dny +2

    We KENGEZA KOMA TENA KOMA KABISAAA MTETEA TUMBO SHENZI ZAKO

    • @georgesteven5185
      @georgesteven5185 Před 18 dny

      Kwakuwa anae ongelewa siyo mama yako Wala baba yako Wala dada yako ndomaana unaongea ushubwada wako

  • @SaimonMrema
    @SaimonMrema Před 23 dny +1

    Udhalim,utekaji unyangaji nauonevu nizao laserikali dhalim

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx Před 25 dny

    Mbowe namuheshimu sana ila hapa pakuwa anamtaja MAGUFULI ndio huwa wanafeli ,aachane na JPM kbs yule alikuwa ni kiongozi Bora kuwahi kutoka hpa Tz.

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 Před 25 dny +3

    Unaongea kama ulikwepo na unaushidi halafu jina la Magufuli ulikome kabisa wacha makufuli alale kwa amani kama nye hamana sera kazi yenu ni kutoa tarifa kama alvyosema komando Makonda 🤣🤣

  • @alexvenas2699
    @alexvenas2699 Před 19 dny

    Inauma sana

  • @emmanuelmwandu.3126
    @emmanuelmwandu.3126 Před 17 dny

    Ukimtaja tu magufuli umejipunguzia mambo makubwa sana. Halafu hilo kwa chadema, hawajawahi kujua kama ni doa kubwa huwa linawapunguzia thamani kwa watu. Magufuli anaaminika na watu wengi zaidi, ukimsema wanakuona ni miongoni mwa watu usiyependa mafanikio aliyoyafanya magufuli.
    Hivyo jifunzeni kurekebisha hapo, watu watawaelewa zaidi kuliko kumdharau JPM

  • @andrewkissava9184
    @andrewkissava9184 Před 22 dny

    Ninyi mnaye msema vibaya mbowe akiri zenu hazipo vizuri kama mbowe anasema juu ya suala la utekaji halafu ninyi mnaona sawa basi ninyi ni mAchawa ya mama kilemba

  • @jumaahagu4764
    @jumaahagu4764 Před 25 dny

    Ila kila anayehusika na unyama huu kuteka kutesa kuua hasa kwa mtu anayetetea haki bula kujali dini yake au hana dini ajue naye mungu anamsubir kwa msimpeleke vyombo vya sheria

  • @husseinc
    @husseinc Před 25 dny +1

    kijana wanafunzi wa chuo aleyekuwa chama cha zitto kabwe abdul nondo alijidai katekwa na kwenda mafichoni mkoani

  • @gracemairusya2950
    @gracemairusya2950 Před 25 dny +4

    Magufuli hakuwahi kumfanya hivi mtu hata siku moja na hutapata kula hata kidogo kumsema magu

  • @dativachuwa3566
    @dativachuwa3566 Před 5 dny

    Usimtaje Magu wewe leta sera zako

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md Před 19 dny

    Wakuu tuambieni bado ni mwenda zaka au tumtazamie mwingine ?

  • @rahimsadru-ct4ot
    @rahimsadru-ct4ot Před 6 dny

    Msigwa alisema Hili jitu halifai ht kdg ,,limegeuza chama cha Baba yake

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Před 22 dny

    Police osterbay kuna cctv tunaomba uchunguzi ✌️

  • @zebedayokatamaduni9676

    Kamanda tuko pamoja

  • @elidiustudoy2640
    @elidiustudoy2640 Před 25 dny

    Ila watu 😢😢

  • @user-oz4gz8kq9e
    @user-oz4gz8kq9e Před 25 dny

    Wewe paka ulitaka watu wasiseme kwaajili ya matukio yasemee yapi?

  • @adelinelyaruu3036
    @adelinelyaruu3036 Před 25 dny

    HAKI HUINUA TAIFA

  • @elishakayagwa9371
    @elishakayagwa9371 Před 25 dny

    Yaani moja ya chama ambacho kimepoteza dira ni Chadema yaani badala ya kubanana na mambo ya sasa mko busy na mtu ambae kashafariki. Huo ujinga kweli kweli 😂😂😂

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle Před 25 dny

    MUNGU WANGU SHUGHULIKA NA WALIOTENDA UBAYA HUU

  • @alfrediaugustino1026
    @alfrediaugustino1026 Před 25 dny

    Kunaaja ya kulinda

  • @freddykulwa8190
    @freddykulwa8190 Před 25 dny

    Awa awana mpya kutekwa kulinzia tanzania wana sela ngaja wanasumbili matukio mbando la pina

    • @user-lt1nr4tk9r
      @user-lt1nr4tk9r Před 25 dny

      Acha upimbi wewe

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward Před 25 dny

      Tanzania ni nchi nzuri sana, ukisikia hayo unaogopa sana. Mambo yote chini ya jua ni ubatili tu. Mahakama zipo kwa nini wasikamate mtu akashitakiwa?.