MWENYEKITI WA MKOA WA SONGWE AELEZA MSIGWA KUONDOKA PEKE YAKE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024

Komentáře • 18

  • @user-em9vh8wr5c
    @user-em9vh8wr5c Před 2 měsíci +1

    Hongera sana kiongozi

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Před 2 měsíci +1

    WELL SAID 👏🏼👏🏼👏🏼

  • @eunho9529
    @eunho9529 Před 2 měsíci +1

    big up

  • @sylvanuskavindi2756
    @sylvanuskavindi2756 Před 2 měsíci

    Utaelewa Msigwa akiandaliwa mkutano Iringa

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 Před 2 měsíci +1

    chadema mnakosea mwana chadema akienda ccm msitengeneze chuki nae maana anaweza kuwa kiungo mzuri kuleta taarifa

  • @leoncebenjamin8107
    @leoncebenjamin8107 Před 2 měsíci +1

    Truth

  • @prospermsemwa1433
    @prospermsemwa1433 Před 2 měsíci +1

    True

  • @user-bb9jl9cn2m
    @user-bb9jl9cn2m Před 2 měsíci +1

    Nakuaminia

  • @GeofreyMayemba
    @GeofreyMayemba Před 2 měsíci +2

    Mimi ninadamu yachadema Toka nimezaliwa sijawahi kuwa chama kingine zaidi ya hichi sihami sitofikili kwenda kokote

  • @isayamwashibanda5819
    @isayamwashibanda5819 Před 2 měsíci

    🙏🙏🙏

  • @Timothymlamba-pq3oi
    @Timothymlamba-pq3oi Před 2 měsíci

    Tunataka mgombea mzuri 2024 syo wakina lisu tumezoea

  • @manish-fp1fb
    @manish-fp1fb Před 2 měsíci

    I see wataondoka wengi sana, mtu anaweza kuvumilia njaa ya siku moja tu ila sio njaa ya zaidi ya hapo. Naona wanajaribu kutafuta green pasture kwa udi na uvumba na CCM wanalijua hilo, na lazima watampa nafasi ya kugombea ubunge Iringa Mjini.. Mark my word

    • @abubakarimussa9131
      @abubakarimussa9131 Před 2 měsíci

      Hata ccm wataondoka sana wewe subiri

    • @manish-fp1fb
      @manish-fp1fb Před 2 měsíci

      @@abubakarimussa9131 mpaka pakiwa na njaa mzee, hivi hivi watatoka na kurudi.. hakuna ccm mpinzan

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 Před 2 měsíci

    Mbichi hizi hamzitaki viongozi wote mmeisha changanyikiwa uwezo wa kuishinda CCM hamna kabisa kwa Sera za matusi .

    • @user-bx3ko9ft5t
      @user-bx3ko9ft5t Před 2 měsíci +2

      Wew huna lolote leteni katiba tujue uwezo wenu kazi kusifia tuuuu huna lolote mchumia tumbo

    • @markoshem-ij6cf
      @markoshem-ij6cf Před 2 měsíci

      Mubwa wewe unasifia na ujinga kweri