Kwani hujui kukemea mapepo,huamini kua kuna guvu ndani ya jina la yesu ?kuja hapa Kenya ukutame na pastor Mwai George halafu utaelezea kua kuna guvu ndani ya yesu.
Ndugu yangu mm siwezi kukusaidia niko sure ujakufa ispokuwa ujue sai wanataka kukupoteza WALHWA BILLAHI usipotafuta mwalimu akupe kisomo mapema izi ni spirit zao za kichawi broo upo katika ulimwengu wakiroho bt kuwa makini n hawa watu upo na MUNGU Anakulinda,ujue kila mtu anapepo wake mwilini basi uyo anakusaidia so fwatilia kabla wakupoteze kama marehemu kanumba alivyopotezwa aki.
Haya mambo utokea ,Mimi nilitokewa na Jambo kama hili,Nikiwa mdogo Sana umri wa miaka 14,tulipatana na nibi mzee sana tukitoka shuleni ,so Sisi Kwa ujinga wetu tukaanza kumpura mawe,basi hapo hapo tulijipata mwituni lungalunga mombasa Kenya
Huyu bro ananifurahisha huku namurumia sijui nilie 😢 au nicheke😅😅😅😅😅😅pole following in Muscat from Kenya 🇰🇪
Yesu njo dawa ya kila kitu. Nakuweka maisha yako sawa nikukabizi Yesu maisha yako
Huyu jamaa hajaikariri vzr store anayotudanganya
Pole sana bro
Wanatengeneza stori za uongo hawa
BIGI TOZY MUONGO BHANAAA,,AFU COMEDIAN 😊,UMEVESHA SANA UMO NDANI......MI NIMESKILIZA STOR TU
LAKIN NAONA KAMA ABIRIA WAMETOA VICHWA NJE KWENYE DSM.😊
Nenda kanisani kwa WASABATO Kaombewe ubatinzwe utapona apo apo na mambo yataenda poa sana
Kwani hujui kukemea mapepo,huamini kua kuna guvu ndani ya jina la yesu ?kuja hapa Kenya ukutame na pastor Mwai George halafu utaelezea kua kuna guvu ndani ya yesu.
aisee mzee umepatia
Mngu wangu mtokoma watangazaji poleni sana
Mnachekesha sana ahise,mtagombana
😂😂😂 kweli anajuwa kutunga uko vizury bro
Kimbilia yesu atakutendeya tu...
Jamaa usiogope mungu yupoo yesu yupo kwajili yako utatoboa vzr na hayo mapepo yatakufa yenyewe
Mzushi
Pole Kwa yaliyo kukuta kaka angu😢
Mwanaume bruji.kichwan mhuni
Mbona kama mchicha ivi
huyu ni msani wa bongo comedy ha ha tezee bana muko juu kwa matukio
Unamujuwa yule nyekundu weyeee.saii njo unakuja gunduwa kama umeokoka
Pole
Dhuu 😂😂😂😂 pole
Acha wongo jamii hii haipo hvyo
Ndugu yangu mm siwezi kukusaidia niko sure ujakufa ispokuwa ujue sai wanataka kukupoteza WALHWA BILLAHI usipotafuta mwalimu akupe kisomo mapema izi ni spirit zao za kichawi broo upo katika ulimwengu wakiroho bt kuwa makini n hawa watu upo na MUNGU Anakulinda,ujue kila mtu anapepo wake mwilini basi uyo anakusaidia so fwatilia kabla wakupoteze kama marehemu kanumba alivyopotezwa aki.
Kiswahili kibovu jamani! Iyo izi ela etc. lugha imeharibika sana 😮
aki hii story ni ya uwongo lakini tuna sikiza kupoteza time
Bado sisi tunaosikiliza mkasa hatujachaguliwa😂
Bada yahapo umekuaje
Na bado wanaosikiliza mkasa hawajachaguliwa😂
Daa bonge la comedy Sema hujaupangilia vizuri jaribu Tena baadae😅
jamaa bado sana hanaomba maziezi mengi zaidi
Yenyewe ulikufa sababu vile wasimulia leo sio kama mwanzo
Ndio mtakoma kuenda kufuata vipindi 😅
Yeah kakuita ili atue mzigo 😂 mzigo huooo ubebe sasa😅😂😂😂😂😂
Bro nitafute nikupe kazi ya kuchekesha maana hiyo talent uoko nayo
Yani hichi kitabu kinanoga,kinaitwaje hichi kitabu nataka nikinunue maana huyu bro inaonesha anaruka baadhi ya page.
100kilo 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Bongo movie inakuja kivingine 😂
Mnaosema uongo pole
Haya mambo utokea ,Mimi nilitokewa na Jambo kama hili,Nikiwa mdogo Sana umri wa miaka 14,tulipatana na nibi mzee sana tukitoka shuleni ,so Sisi Kwa ujinga wetu tukaanza kumpura mawe,basi hapo hapo tulijipata mwituni lungalunga mombasa Kenya
Uyu jama ana weza ku act movies za comedy 😂😂
Hicho kikao chao kimenifany nichek yangu yote
Na ww mtangazaji unahogopa kufa?
Kenge wewe!!
Mbn matus tena
Jamaa huyu kama siyo mzaram basi
Ni muwa
Hahahahhahaha😂😂😂😂
😂😂😂
😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Bull crap
Sasa kugawana bila kuzika kwanza mhh tz
Muongo wewe