Mh! Mi nna mashaka kidogo ameendaje giningi na pikipiki akawachukua watt wa huyo mama na aliwapakizaje wakarudi kwa iyo pikipiki... mana giningi si sehemu ya kawaida guys kwa asiepajua giningi.... giningi ni kama gamboshi kule bariadi...aya anasema mtt alichukuliwa na jini lkn kumfuata alifuatwa na mtu aliepandisha yy akabaki mh!! 😂
DR Omar mbona haujatuachia contact detail zako kama namba za simu na mtu akiwa mbali unaeza kumsaidia sisi wengine ofisi zako zatuzijui zikowapi
Namba zipo mwanzo wa interview
Michezo
Ni mambo ya kusadikika hayo
Tunaomba namba yake ya simu
Wababai tu
Tunaomba number ya sim please
Gininngi nilienda nawatu wawili pia pikipiki niliwacha baada ya kukaribia iyosehem
Mh! Mi nna mashaka kidogo ameendaje giningi na pikipiki akawachukua watt wa huyo mama na aliwapakizaje wakarudi kwa iyo pikipiki... mana giningi si sehemu ya kawaida guys kwa asiepajua giningi.... giningi ni kama gamboshi kule bariadi...aya anasema mtt alichukuliwa na jini lkn kumfuata alifuatwa na mtu aliepandisha yy akabaki mh!! 😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 htr mimi naangalia n kucheka maana kifo kikija ndo na anza maisha ya kudumu bora ni kumueleea RAHMAN
Tunaomba namba yake ya simu
Namba zipo mwanzo wa interview