MWENDA ACHAFUKWA KWA HASIRA AWALIPUA VIONGOZI WA SIMBA WAACHE UHUNI WACHEZAJI WENGI WAZEE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 11. 2023
  • KWA HABARI NA MATANGAZO
    TUPIGIE SASA
    0753393036 CALL
    0625466848 WHATSAPP

Komentáře • 42

  • @samnyambabe2529
    @samnyambabe2529 Před 8 měsíci +5

    Yaaaani sisi hapo ndo tunajiskia rahaaaaaaaa😂😂😂😂, na ukiona mtu mzima anatokwa na mchozi ujue limemkuta jambo zitoooo....!

  • @bahatimayala6494
    @bahatimayala6494 Před 8 měsíci +1

    Uko sahihi kabisa brother

  • @issaburhani3455
    @issaburhani3455 Před 8 měsíci +3

    Mr mwenda uko sahihi kabisa saidoo anaigharimu timu anaharibu move nyingi sana na hakuna afadhali yoyote kwa zimbwe na kapombe wote ni njia wamegawana upande wa zimbwe goli 2 na kapombe 2 na amesababisha mpaka inonga kutoa penalty na fondo kupata yellow card. Pia coach ni mpuuzi anampanga manula na kumpa Phiri dk chache akidai alipata injury hana match fitness na ni muda mrefu tangu apone. Je imekuaje Manula fitness ya match amepata wapi? Nashangaa wanaharibia vijana vipaji tu angalia sasa ubora wa gadiel na zimbwe utaona simba inaongozwa na watu hovyo. Kameta na Israel wakipewa nafasi sidhani kama wataharibu kama hao wanaoona wazuri kwa historia (zilipendwa) na ujinga wanviongozi hawaendi hata mazoezini daily ili kujua ufanisi wa wachezaji timu imeachiwa kocha na wanamsikiliza hawajui hata cha kumhoji kuhusu wachezaji mbona hawaonekani kucheza tatizo nini? simba haina wachezaji 17 anaotukaririsha coach viongozi wankaa ofisini na majumbani kwao tu na siku ya mechi waonekane uwanjani kusubiri matokeo sasa zile 5 mo ndiyo ajue na iwe fundisho kwa wapigaji wa pesa wasio na weledi wa soka kujifanya ni viongozi. Hizo taaluma zao zinafaa sehemu nyingine siyo soka lina wenyewe. Ni hatari viongozi wa aina hiyo timu kupigwa 5 kuna mashabiki wanapoteza uhai wao.

  • @salcle9702
    @salcle9702 Před 8 měsíci +2

    Kiwango chenu kipo chini nyie vizee 😂😂na bado next time goli 7

  • @AliAli-uv5gw
    @AliAli-uv5gw Před 8 měsíci +1

    Eti anakubali " Sisi ni Makolo"

  • @IddMMhina
    @IddMMhina Před 8 měsíci +2

    Upo sahihi mzee, mimi binafsi ni simba lkn Simba kwa uongozi, bench la ufundi na kocha tumepigwa. Sijui ujinga gani uliwakuta wakamtoa Mgunda

  • @ramadhaniyussuph5059
    @ramadhaniyussuph5059 Před 8 měsíci +1

    Uyu ndie alisema yanga mbovu

  • @user-dh9fq8ke3m
    @user-dh9fq8ke3m Před 8 měsíci

    Kiukwel I wachezaj hawakucheza kwa morali inayotakiwa hawachez kwakuipambania timu hawajui wako watu wanaoumia nyumayao viongozi Bado changamoto lkn hata kocha Huwa mfumo unajua mgumu wakuruhusu goli kwakila mech mwalim mwenda big up

  • @kennedymmbando
    @kennedymmbando Před 8 měsíci +1

    Unakuta jitu halimwelewi MWENDA.Viongozi wajiuzuru

  • @kingdullah7843
    @kingdullah7843 Před 8 měsíci +1

    dah inauma sana uongoz hatuna yanaangalia tu ss tuna zalilka

  • @tebelehondo8268
    @tebelehondo8268 Před 8 měsíci

    Dah kaka umeongea vizuri sana

  • @AREI12
    @AREI12 Před 8 měsíci

    Wachezaji awajitumi kabisa alafu wanapenda sana mfumo Chama Chama atimuliwe kiwango chake kwasasa afai kucheza simba.

  • @Kisase
    @Kisase Před 8 měsíci +1

    Nakubaliana naww simba haina viungo wakazi wenye presha pumzi yakutosha dakika90 simba haina Stryker wakuamua matokeo pia kambombe na zimbwe wamechoka

  • @maryjkiosa3380
    @maryjkiosa3380 Před 8 měsíci

    Nakuelewa sana kaka viongozi wetu ni tatinzo kubwa wapo pale kwa kutapeli tu ..awana uchungu na simba..tumewachoka

  • @joshuakipalule5432
    @joshuakipalule5432 Před 8 měsíci +1

    makolo mnateseka😂

  • @MZEEBABUMZEE-xd3dm
    @MZEEBABUMZEE-xd3dm Před 8 měsíci +1

    kaka mwenda tuongeree kaka ina uma ina uma kaka daa tano kweri mangungu ana kura bata saizi

  • @emmanuelpaul2666
    @emmanuelpaul2666 Před 8 měsíci +1

    Mtangazaji unaongea sana punguza mdomoo

  • @silvanuskisinza4303
    @silvanuskisinza4303 Před 8 měsíci

    Mpira ni umri Robertinho ni mzee asiye na mbinu anaamini kwa wachezaji wazee ambao hawana energy. Vijana wapo kocha hana uwezo anakalili majina ya wachezaji.

  • @AlexKanuya-fs2vr
    @AlexKanuya-fs2vr Před 8 měsíci

    Fact broo

  • @NiyomugenziAime-gc3hx
    @NiyomugenziAime-gc3hx Před 8 měsíci +1

    Ongea bro uko sahihi na ukubwa wa wachezaji wa Simba upo kichwani sio uwanjani shida hawajuwi kwamba mpira ni vita wao wanahisi mziki

  • @user-gp7vs1jd9q
    @user-gp7vs1jd9q Před 8 měsíci

    Ushauri tu ikiwezekana viongozi na benchi la ufundi na wachezaji waeke tv wairudie mech mazaifu wataysona

  • @jasiafimbo3025
    @jasiafimbo3025 Před 8 měsíci

    Simba tunatatizo la kipa linajulikana toka mwaka jana usajili umeanza mpaka mwishoni wanaambulia mwarabu wa benchini tunaumia!

  • @mwamvuarashid290
    @mwamvuarashid290 Před 8 měsíci +2

    Teacher mwenda msema kweli

  • @jumaali9243
    @jumaali9243 Před 8 měsíci

    Viongozi ndio wanayoiharibu timu

  • @user-uy2dk2yv2c
    @user-uy2dk2yv2c Před 8 měsíci

    Kocha pamoja na viongozi ni machumia matumbo yote majinga

  • @SylvesterAmbokile-ur2vd
    @SylvesterAmbokile-ur2vd Před 8 měsíci

    kasema sahihi kabisa

  • @mkanulamajid500
    @mkanulamajid500 Před 8 měsíci

    Rudisha mgunda wazee waende bench la ufundi

  • @issaburhani3455
    @issaburhani3455 Před 8 měsíci

    We mtangazaji lafudhi yako tofautisha L na R siyo pakuweka R unawwka L na VV

  • @samnyambabe2529
    @samnyambabe2529 Před 8 měsíci

    Kolooooooooo😂

  • @ellyjaabu7778
    @ellyjaabu7778 Před 8 měsíci

    Hapo Bado hamjasemaaa😂😂

  • @franccoz94
    @franccoz94 Před 8 měsíci

    WACHEZAJI KAMA SAIDO,CHAMA,KAPOMBE ,ZIMBWE NA MZAMIRU WAMEZEEKA WAONDOKE SIMBA

  • @user-uy2dk2yv2c
    @user-uy2dk2yv2c Před 8 měsíci

    Wewe ushawahi sikia wapi kiongoz wa mpira anaitwa ngungu

  • @user-qt6io7yv4c
    @user-qt6io7yv4c Před 8 měsíci

    Ni sahihi bro modern footb haina siasa team imebebwa n majina ya watu wenye majina waliofany vizur muda wao umeish tusikariri na bad uendelee kukariri tyu

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 Před 8 měsíci

    Onana ni kijana mdogo mbona anashindwa kuperfom?

  • @andreampemba1465
    @andreampemba1465 Před 8 měsíci

    Safisana mkolo😂😂

  • @augustinoflavian1738
    @augustinoflavian1738 Před 8 měsíci

    😂 😂 😂

  • @jacbosamwel9032
    @jacbosamwel9032 Před 8 měsíci

    Kocha hamna kitu fahari ya mzee ni kichwa chenye mnvi