Mr mwenda uko sahihi kabisa saidoo anaigharimu timu anaharibu move nyingi sana na hakuna afadhali yoyote kwa zimbwe na kapombe wote ni njia wamegawana upande wa zimbwe goli 2 na kapombe 2 na amesababisha mpaka inonga kutoa penalty na fondo kupata yellow card. Pia coach ni mpuuzi anampanga manula na kumpa Phiri dk chache akidai alipata injury hana match fitness na ni muda mrefu tangu apone. Je imekuaje Manula fitness ya match amepata wapi? Nashangaa wanaharibia vijana vipaji tu angalia sasa ubora wa gadiel na zimbwe utaona simba inaongozwa na watu hovyo. Kameta na Israel wakipewa nafasi sidhani kama wataharibu kama hao wanaoona wazuri kwa historia (zilipendwa) na ujinga wanviongozi hawaendi hata mazoezini daily ili kujua ufanisi wa wachezaji timu imeachiwa kocha na wanamsikiliza hawajui hata cha kumhoji kuhusu wachezaji mbona hawaonekani kucheza tatizo nini? simba haina wachezaji 17 anaotukaririsha coach viongozi wankaa ofisini na majumbani kwao tu na siku ya mechi waonekane uwanjani kusubiri matokeo sasa zile 5 mo ndiyo ajue na iwe fundisho kwa wapigaji wa pesa wasio na weledi wa soka kujifanya ni viongozi. Hizo taaluma zao zinafaa sehemu nyingine siyo soka lina wenyewe. Ni hatari viongozi wa aina hiyo timu kupigwa 5 kuna mashabiki wanapoteza uhai wao.
Kiukwel I wachezaj hawakucheza kwa morali inayotakiwa hawachez kwakuipambania timu hawajui wako watu wanaoumia nyumayao viongozi Bado changamoto lkn hata kocha Huwa mfumo unajua mgumu wakuruhusu goli kwakila mech mwalim mwenda big up
Mpira ni umri Robertinho ni mzee asiye na mbinu anaamini kwa wachezaji wazee ambao hawana energy. Vijana wapo kocha hana uwezo anakalili majina ya wachezaji.
Ni sahihi bro modern footb haina siasa team imebebwa n majina ya watu wenye majina waliofany vizur muda wao umeish tusikariri na bad uendelee kukariri tyu
Yaaaani sisi hapo ndo tunajiskia rahaaaaaaaa😂😂😂😂, na ukiona mtu mzima anatokwa na mchozi ujue limemkuta jambo zitoooo....!
😂😂😂😂😂😂
😆😆😆
😂😂😂😂😂
Uko sahihi kabisa brother
Mr mwenda uko sahihi kabisa saidoo anaigharimu timu anaharibu move nyingi sana na hakuna afadhali yoyote kwa zimbwe na kapombe wote ni njia wamegawana upande wa zimbwe goli 2 na kapombe 2 na amesababisha mpaka inonga kutoa penalty na fondo kupata yellow card. Pia coach ni mpuuzi anampanga manula na kumpa Phiri dk chache akidai alipata injury hana match fitness na ni muda mrefu tangu apone. Je imekuaje Manula fitness ya match amepata wapi? Nashangaa wanaharibia vijana vipaji tu angalia sasa ubora wa gadiel na zimbwe utaona simba inaongozwa na watu hovyo. Kameta na Israel wakipewa nafasi sidhani kama wataharibu kama hao wanaoona wazuri kwa historia (zilipendwa) na ujinga wanviongozi hawaendi hata mazoezini daily ili kujua ufanisi wa wachezaji timu imeachiwa kocha na wanamsikiliza hawajui hata cha kumhoji kuhusu wachezaji mbona hawaonekani kucheza tatizo nini? simba haina wachezaji 17 anaotukaririsha coach viongozi wankaa ofisini na majumbani kwao tu na siku ya mechi waonekane uwanjani kusubiri matokeo sasa zile 5 mo ndiyo ajue na iwe fundisho kwa wapigaji wa pesa wasio na weledi wa soka kujifanya ni viongozi. Hizo taaluma zao zinafaa sehemu nyingine siyo soka lina wenyewe. Ni hatari viongozi wa aina hiyo timu kupigwa 5 kuna mashabiki wanapoteza uhai wao.
Kiwango chenu kipo chini nyie vizee 😂😂na bado next time goli 7
Eti anakubali " Sisi ni Makolo"
Upo sahihi mzee, mimi binafsi ni simba lkn Simba kwa uongozi, bench la ufundi na kocha tumepigwa. Sijui ujinga gani uliwakuta wakamtoa Mgunda
Uyu ndie alisema yanga mbovu
Kiukwel I wachezaj hawakucheza kwa morali inayotakiwa hawachez kwakuipambania timu hawajui wako watu wanaoumia nyumayao viongozi Bado changamoto lkn hata kocha Huwa mfumo unajua mgumu wakuruhusu goli kwakila mech mwalim mwenda big up
Unakuta jitu halimwelewi MWENDA.Viongozi wajiuzuru
dah inauma sana uongoz hatuna yanaangalia tu ss tuna zalilka
Dah kaka umeongea vizuri sana
Wachezaji awajitumi kabisa alafu wanapenda sana mfumo Chama Chama atimuliwe kiwango chake kwasasa afai kucheza simba.
Nakubaliana naww simba haina viungo wakazi wenye presha pumzi yakutosha dakika90 simba haina Stryker wakuamua matokeo pia kambombe na zimbwe wamechoka
Nakuelewa sana kaka viongozi wetu ni tatinzo kubwa wapo pale kwa kutapeli tu ..awana uchungu na simba..tumewachoka
😂 😂 😂
makolo mnateseka😂
kaka mwenda tuongeree kaka ina uma ina uma kaka daa tano kweri mangungu ana kura bata saizi
Mtangazaji unaongea sana punguza mdomoo
Mpira ni umri Robertinho ni mzee asiye na mbinu anaamini kwa wachezaji wazee ambao hawana energy. Vijana wapo kocha hana uwezo anakalili majina ya wachezaji.
Fact broo
Ongea bro uko sahihi na ukubwa wa wachezaji wa Simba upo kichwani sio uwanjani shida hawajuwi kwamba mpira ni vita wao wanahisi mziki
Ushauri tu ikiwezekana viongozi na benchi la ufundi na wachezaji waeke tv wairudie mech mazaifu wataysona
Simba tunatatizo la kipa linajulikana toka mwaka jana usajili umeanza mpaka mwishoni wanaambulia mwarabu wa benchini tunaumia!
Teacher mwenda msema kweli
Viongozi ndio wanayoiharibu timu
Kocha pamoja na viongozi ni machumia matumbo yote majinga
kasema sahihi kabisa
Rudisha mgunda wazee waende bench la ufundi
We mtangazaji lafudhi yako tofautisha L na R siyo pakuweka R unawwka L na VV
Kolooooooooo😂
Hapo Bado hamjasemaaa😂😂
WACHEZAJI KAMA SAIDO,CHAMA,KAPOMBE ,ZIMBWE NA MZAMIRU WAMEZEEKA WAONDOKE SIMBA
Wewe ushawahi sikia wapi kiongoz wa mpira anaitwa ngungu
Ni sahihi bro modern footb haina siasa team imebebwa n majina ya watu wenye majina waliofany vizur muda wao umeish tusikariri na bad uendelee kukariri tyu
Onana ni kijana mdogo mbona anashindwa kuperfom?
Safisana mkolo😂😂
😂 😂 😂
Kocha hamna kitu fahari ya mzee ni kichwa chenye mnvi