Kaka Mimi nakuomba upaze sauti kila uweze kutusaidia manaake kweli wasinge kuwa wapigaji kwa kelele hizi za mashabiki wangekuwa wameisha achia ngazi lakini ndo kwanza yameng'ang'nia Kama ruba mambwa hayo
Mwekezaji wa simba sio mtu wa mpira ndo maana anaweka watu wasio makini. Angekuwa mtu wa mpira simba ingeenda mbele zaidi. Lakini mwekezaji anamasilai yake binafsi.
Saido alopiga mipira iloleta magoli we kona CK Yanga ile Alahly alimkataa chalii akatembea na magoti na kuwakusanya wchezaji wa Alahly sehmu Moja katoa pande kw kb, kapombe cross kanute Goli napili hpa kw mkapa alopiga caunter, baleke, chama kanute goli, mbona pepe alifunga goli juz wa Porto ana Miaka 41 uzee n namba, uwezo ndio, point, yaelekea hujui soccer,hata ck ya wydad ndio alopiga caunter,kb baleke,ye ndio bingwa,wa canter Tz,Aziz k, n kutenga,caunter hawez,kukataa mtu akatembea na magoti kama saido,labda chuk zako,
Simba hajawahi kucheza fainali ya shirikisho ilicheza fainali ya caf cup lilidhaminiwa na mfanyabiashara mashood abiola wa nigeria ni kama sasa hivi simba wacheza afl ambayo imedhaminiwa na saudi arabia
Ingia CZcams uone 🤓 au ingia google upate taarifa za iyo final madunduka subirini aletwe cesor lobi manzoki siku ya mkutano mkuu au mdanganywe na zile story za kuteka mchezaji wa upande wa pili airport 🤓
Ahsante mr Mwenda , mo ndiye kirusi namna moja pale simba , mwizi yule , aondoke utapeli mtupu
Kaka Yusuf Mwenda anaongea ukweli mtupu ndugu yangu.mimi yanga ila nakuelewa sana kaka bro.
Nani kasikia waongooo balaaaa 🤓🤓🤓
Huyu Ndugu amesema ukweli kabisa.
Shida ya Simba ni Mo kabisa bila kupepesa , tatizo kubwa ni Mo Mo asipobadiliaka hakuna kitu
Duuh blaza kumbe uliongea na Mudathir yahaya Abbasi Zanzibar greatest...na ukawapa code 🤓🤓
Mo aondoke Kama anataka usalama wake achieve timu yetu
Tàtizo pale simba nilisema na nitasema ,mo ndiye mizizi wa matatizo na yeye ndiye unaiumiza simba
Kaka Mimi nakuomba upaze sauti kila uweze kutusaidia manaake kweli wasinge kuwa wapigaji kwa kelele hizi za mashabiki wangekuwa wameisha achia ngazi lakini ndo kwanza yameng'ang'nia Kama ruba mambwa hayo
Yan mo mangungu tragen wote tupa nje mooo hajali Timu tupa nje,
mzee mwenda unazeeka sasa fainal,mmecheza lini
Mwekezaji wa simba sio mtu wa mpira ndo maana anaweka watu wasio makini. Angekuwa mtu wa mpira simba ingeenda mbele zaidi. Lakini mwekezaji anamasilai yake binafsi.
Ila mangungu ni mamruki
Sasa viongozi wenu wanacheza? Mbona hao ndo waliwapa furaha hamkusema?
Saido alopiga mipira iloleta magoli we kona CK Yanga ile Alahly alimkataa chalii akatembea na magoti na kuwakusanya wchezaji wa Alahly sehmu Moja katoa pande kw kb, kapombe cross kanute Goli napili hpa kw mkapa alopiga caunter, baleke, chama kanute goli, mbona pepe alifunga goli juz wa Porto ana Miaka 41 uzee n namba, uwezo ndio, point, yaelekea hujui soccer,hata ck ya wydad ndio alopiga caunter,kb baleke,ye ndio bingwa,wa canter Tz,Aziz k, n kutenga,caunter hawez,kukataa mtu akatembea na magoti kama saido,labda chuk zako,
Acha kufananisha wazungu na vitu vya ajabu basi babu !!!!
Simba hajawahi kucheza fainali ya shirikisho ilicheza fainali ya caf cup lilidhaminiwa na mfanyabiashara mashood abiola wa nigeria ni kama sasa hivi simba wacheza afl ambayo imedhaminiwa na saudi arabia
Ingia CZcams uone 🤓 au ingia google upate taarifa za iyo final madunduka subirini aletwe cesor lobi manzoki siku ya mkutano mkuu au mdanganywe na zile story za kuteka mchezaji wa upande wa pili airport 🤓
mmecheza fainal gani
😅😅😅
Sasa nyie wakufungwa bao tano na timu gani mwenda? Kwan hamjawahi kufungwa goli tano na timu zingine? Mwenda timueni uongozi wote