MWENDA|VIONGOZI HAWANA UCHUNGU NA TIMU SISI MASHABIKI NDIO TUNA UMIA BORA WAJIUZURU TUMECHOKA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 08. 2024
  • KWA HABARI NA MATANGAZO
    TUPIGIE SASA
    0753393036 CALL
    0625466848 WHATSAPP

Komentáře • 21

  • @frankurio469
    @frankurio469 Před 9 měsíci

    Ahsante mr Mwenda , mo ndiye kirusi namna moja pale simba , mwizi yule , aondoke utapeli mtupu

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 Před 9 měsíci +2

    Kaka Yusuf Mwenda anaongea ukweli mtupu ndugu yangu.mimi yanga ila nakuelewa sana kaka bro.

  • @mwanangusana
    @mwanangusana Před 9 měsíci +1

    Nani kasikia waongooo balaaaa 🤓🤓🤓

  • @mohammedgulamali8849
    @mohammedgulamali8849 Před 9 měsíci +2

    Huyu Ndugu amesema ukweli kabisa.

  • @mishlay8164
    @mishlay8164 Před 9 měsíci

    Shida ya Simba ni Mo kabisa bila kupepesa , tatizo kubwa ni Mo Mo asipobadiliaka hakuna kitu

  • @mwanangusana
    @mwanangusana Před 9 měsíci

    Duuh blaza kumbe uliongea na Mudathir yahaya Abbasi Zanzibar greatest...na ukawapa code 🤓🤓

  • @serekachacha-zg2vp
    @serekachacha-zg2vp Před 9 měsíci

    Mo aondoke Kama anataka usalama wake achieve timu yetu

  • @frankurio469
    @frankurio469 Před 9 měsíci

    Tàtizo pale simba nilisema na nitasema ,mo ndiye mizizi wa matatizo na yeye ndiye unaiumiza simba

  • @serekachacha-zg2vp
    @serekachacha-zg2vp Před 9 měsíci

    Kaka Mimi nakuomba upaze sauti kila uweze kutusaidia manaake kweli wasinge kuwa wapigaji kwa kelele hizi za mashabiki wangekuwa wameisha achia ngazi lakini ndo kwanza yameng'ang'nia Kama ruba mambwa hayo

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz Před 9 měsíci

    Yan mo mangungu tragen wote tupa nje mooo hajali Timu tupa nje,

  • @monicaogeno2993
    @monicaogeno2993 Před 9 měsíci

    mzee mwenda unazeeka sasa fainal,mmecheza lini

  • @silvanuskisinza4303
    @silvanuskisinza4303 Před 9 měsíci

    Mwekezaji wa simba sio mtu wa mpira ndo maana anaweka watu wasio makini. Angekuwa mtu wa mpira simba ingeenda mbele zaidi. Lakini mwekezaji anamasilai yake binafsi.

  • @serekachacha-zg2vp
    @serekachacha-zg2vp Před 9 měsíci

    Ila mangungu ni mamruki

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg Před 9 měsíci +1

    Sasa viongozi wenu wanacheza? Mbona hao ndo waliwapa furaha hamkusema?

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz Před 9 měsíci

    Saido alopiga mipira iloleta magoli we kona CK Yanga ile Alahly alimkataa chalii akatembea na magoti na kuwakusanya wchezaji wa Alahly sehmu Moja katoa pande kw kb, kapombe cross kanute Goli napili hpa kw mkapa alopiga caunter, baleke, chama kanute goli, mbona pepe alifunga goli juz wa Porto ana Miaka 41 uzee n namba, uwezo ndio, point, yaelekea hujui soccer,hata ck ya wydad ndio alopiga caunter,kb baleke,ye ndio bingwa,wa canter Tz,Aziz k, n kutenga,caunter hawez,kukataa mtu akatembea na magoti kama saido,labda chuk zako,

  • @josephshuma1975
    @josephshuma1975 Před 9 měsíci

    Acha kufananisha wazungu na vitu vya ajabu basi babu !!!!

  • @mirajiali3926
    @mirajiali3926 Před 9 měsíci

    Simba hajawahi kucheza fainali ya shirikisho ilicheza fainali ya caf cup lilidhaminiwa na mfanyabiashara mashood abiola wa nigeria ni kama sasa hivi simba wacheza afl ambayo imedhaminiwa na saudi arabia

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Před 9 měsíci +1

      Ingia CZcams uone 🤓 au ingia google upate taarifa za iyo final madunduka subirini aletwe cesor lobi manzoki siku ya mkutano mkuu au mdanganywe na zile story za kuteka mchezaji wa upande wa pili airport 🤓

  • @monicaogeno2993
    @monicaogeno2993 Před 9 měsíci

    mmecheza fainal gani

  • @FRANSKALITUSI4937
    @FRANSKALITUSI4937 Před 9 měsíci

    😅😅😅

  • @raulencomarkesh5848
    @raulencomarkesh5848 Před 9 měsíci

    Sasa nyie wakufungwa bao tano na timu gani mwenda? Kwan hamjawahi kufungwa goli tano na timu zingine? Mwenda timueni uongozi wote