Viongozi wanacheza na akili zamashabiki wanaujanjaujanja wa kitoto hawa ndio watawaferisha, na bahati mbaya wabongo wengi hawana upeo wakugundua mambo mapema , hao viongozi lazima watawafelisha tu na timu daima haitafikia malengo makubwa kwa hao viongozi
Jambo lingine usajili wa kihuni, mchezaji mwenye afadhali aliesajiliwa msimu huu ni ngoma peke yake na huyo ngoma siyo viongozi wa simba walimtafuta ila walienda kumwiba airport, alikuwa anaenda yanga, wengine wote ni magarasa matupu
Simba ina maadui wengi, wasaliti wengi, wapo wachezaji siku zote wanaisaliti simba (kitu kidogo) haswa mechi ya simba/yanga wakiongozwa na golikipa wa juzi (tamaa mbaya) mechi ya juzi imeuzwa na golikipa pamoja na mabeki wawili wazawa
UPO SAHIHI SANA SIMBA WANASAJILI WACHEZAJI WA BEI NDOGO. KOCHA NI TATIZO HABADILI WACHEZAJI TANGIA WASAJILIWE HAWAPANGWI KUCHEZA KOCHA NI TATIZO. YANGA NI TIMU BORA
Sasa huyu ndio kaongea ukweli Viongozi wa Simba wanazingua kwenye Usajili Max walipelekewa jina wakasema wao wana mchezaji wao MVP wa Ligi Mwamba Onana. Yaleyeale ya Aucho oooh hana kiwango cha kucheza Simba. Azizi Ki waliwadanganya mashabiki tumeshamsajili tumeshamsajili kumbe Injinia kashapita naye siku nyiingi 😂😂😂😂 Ila Viongozi wa simba Propaganda sana
Hizo b5 walizopewa na CAF zilifanya kazi gani? Hela za mdhamini zinafanya kazi gani, mwekezaji hela yake iko wapi, wameokota magarasa kama vile timu ni masikini, wizi na uhuni mtupu!!
jambo la pili ni uwekezaji wa kijanja janja, mo alikuwa anaisumbua utopolo wakati yanga hawana hela, kwa sasa mo hawezi kushindana na yanga wenye hela chafu nyingi, anatakiwa mwekezaji mwenye nguvu na siyo mjanja mjanja, mo mhuni tu hana lolote
MKISAJILI WACHEZAJI WAPYA MKUMBUKE PIA KUSAFISHA VIONGOZI WENU PIA SEMAJI LINALOVESHA SIFA WACHEZAJI WASIOFAA MUMWONDOE,ANACHEZA NA AKILI ZA WASHABIKI KAMA HAMJIJUWI.😅😅😅😅😅/😮😮😮😮😮
Propaganda nyingi sana mnatengenezewa propaganda kupindishwa na ukweli mnabaki kubishana tu wakati ukweli ts obvious mnawachezaji wazee,wamechoka hawawezi kuendana n mfumo wa kisasa ,usaliji mdogo pesa zimepigwa yani viongozi hawana watu wengne zaidi ya miqson na chama kurudi? Kwamba hamna wachezaji wengne??
Sio karushwa kameanza kalishaanza siku nyingi na uchawi saaana, refa wa juzi so ndio aliyeleteleza Simba kuvunja viti uwanja wa mkapa hiyo yanga si ya kuishinda simba
Nilikua naitafuta interview ya uyu brother.namkubali Sana anajua kuchana na ni mkweli🙏.big up bro Mwenda.
Sajilin dam mbichi
WAKATI ROBERTINYO ANASEMA MCHEZAJI ANAESTAHILI KUCHEZEA SIMBA NI KIBU DENIS TU ALITUKANWA LEO NDIO ANAEONEKANA ALICHOSEMA KINAUKWELI
Tatizo liko kwa uongozi, uongozi haramu wa Mangungu ndio chanzo cha mpasuko simba kukosa umoja na kupelekea hujuma kwenye timu yetu
Ww ni mkweli tupu. Safi sana.
Mgunda arudi tu.
Kabisa hadi wachezaji wanazingua kabisa
Viongozi wanacheza na akili zamashabiki wanaujanjaujanja wa kitoto hawa ndio watawaferisha, na bahati mbaya wabongo wengi hawana upeo wakugundua mambo mapema , hao viongozi lazima watawafelisha tu na timu daima haitafikia malengo makubwa kwa hao viongozi
Ukweli hata kama unauma ongea mi mwna Simba ila kwenye ukweli tupo pamoja
asante kwamaoniyako ukovizuri
Simba namba7 yamchongooo
Wachezaji mliouza mechi juzi Mungu anawaona (mnajijuwa)
DAWA YAO MASHABIKI WOTE TUWASOMEE ALBADIRI WATEMBEE UCHI MITAANI WALIOTOWA NA WALIOPOKEA SHENZI HAO HUTUSHINDWI KUSOMA ALBADIRI 100 LAZIMA WATEMBEE UCHI.
Viongozi mpeni tim mgunda tumewachoka
Wewe nitu wampila nimekukubali sana
Saido alopiga kona,na alimpa pande,baleke akashindwa shida n beki,
Jambo lingine usajili wa kihuni, mchezaji mwenye afadhali aliesajiliwa msimu huu ni ngoma peke yake na huyo ngoma siyo viongozi wa simba walimtafuta ila walienda kumwiba airport, alikuwa anaenda yanga, wengine wote ni magarasa matupu
Mchezaji anaemtaka Yanga huwezi ukamuiba airport, na hivyo ndivyo mnavyofeli kwa kuaminishwa.
Yanga walipopata taarifa za majeraha ya uyo mchezaji wakamuondoa katika ramani yakusajili.
Kilichofanyika wakala wa huyo mchezaji aliwaingiza mkenge kwakuwatangazia viongozi wenu Ngoma anakwenda Yanga, kwhiyo tukamchukuwe airport.
Akili zakuwambiwa changana na zako, hivi humuoni Injinia akimtaka mchezaji huenda wapi?
Na akienda huko humalizana na mchezaji kulekule alipo, sasa hapo mchezaji utamuiba vipi wkt tayari ameshafunga mkataba?
Hahahaaa mandunduka bhanaaa mtaishi kwa kuaminishwa baada ya mechi 7 vurugu linaanza, wale kocha hafai, wale wachezaji sio, wale viongozi hawafai, wale wachezaji wazee, wale wachezaji hawajitumi, wale refa wanawaonea, wale wamekula hongo,wale mechi zetu zinachezwa.
Unaongea ukweli mkuu wangu
Simba ina maadui wengi, wasaliti wengi, wapo wachezaji siku zote wanaisaliti simba (kitu kidogo) haswa mechi ya simba/yanga wakiongozwa na golikipa wa juzi (tamaa mbaya) mechi ya juzi imeuzwa na golikipa pamoja na mabeki wawili wazawa
DAWA YAO ALBADIRI TU WATATEMBEA UCHI ILI IWE FUNDISHO LA KARNE KWA WATOWAJI NA WAPOKEAJI.
Mlivyotufunga mliona raha dawa inawaingia 😂😅😅✋✋
@@MaryJohn-bt5fe UTANIPA ILE KITU NAMESA MESA MWENSAKE????
Yafanyike maamuzi magumu kwa kocha
UPO SAHIHI SANA SIMBA WANASAJILI WACHEZAJI WA BEI NDOGO. KOCHA NI TATIZO HABADILI WACHEZAJI TANGIA WASAJILIWE HAWAPANGWI KUCHEZA KOCHA NI TATIZO. YANGA NI TIMU BORA
Sasa hamuelewek wengine hakuna wachezaji wengine rushwa jamani
CHE MALONE ANAWEZA KUCHEZA NAMBA 6 NGOMA 10 SAIDO SIO WA KUCHEZA SIMBA
Magoli aliyokuwa anayafunga kwanini ulishangilia?
Viongozi simba mmetukosea sana kwenye usajili wa kihuni
Sawa coach
Tunaitaji watu kama hawa wanaosema kweli kama ww
Kocha siyo, mbinu za kizamani
RUSHWA NDIO ILIOVURUGA KILA KITU UTOPOLO HAWANA UBORA WA AL AHLI NA HAWAKUTUFUNGA.
simba inatatizo la wachezaji kutokujituma
Mutakoma
Good ❤️❤️❤️❤️❤️❤️👍
Mmedraw sasa mmetafunana😂😂
UNAUJUA MPIRA
Nimecheka leo et kama kipanga
We mzee
vuruga timu nzima sajili uppya kama nyie viongozi mna nia njema na simba
KWELI NA WAO WENYEWE WATOKE HATUTAKI KUFUGA MAVUZI.
Injinia big up
DAWA YAKE IPO NJIANI.
YUSUPH MWENDA (KOCHA )NJOO KIPENGA EXTRA CHA EAST AFRICA UTOE POVU VIZURI. UNAJUA MZEE
Sasa huyu ndio kaongea ukweli Viongozi wa Simba wanazingua kwenye Usajili Max walipelekewa jina wakasema wao wana mchezaji wao MVP wa Ligi Mwamba Onana.
Yaleyeale ya Aucho oooh hana kiwango cha kucheza Simba. Azizi Ki waliwadanganya mashabiki tumeshamsajili tumeshamsajili kumbe Injinia kashapita naye siku nyiingi 😂😂😂😂 Ila Viongozi wa simba Propaganda sana
Tutaendelea kuwakandaaaa
Hahaaa
Uongozi mbovu wachezaji wazee wamechoka simba Kuna upgaji wa pesa viongoz wa simba ni wababaishaji xna wanaleta ujanjaujanja tyu na siasa
Uku wenu wa kipumbavu ule migoli inaingia2.
Hizo b5 walizopewa na CAF zilifanya kazi gani? Hela za mdhamini zinafanya kazi gani, mwekezaji hela yake iko wapi, wameokota magarasa kama vile timu ni masikini, wizi na uhuni mtupu!!
jambo la pili ni uwekezaji wa kijanja janja, mo alikuwa anaisumbua utopolo wakati yanga hawana hela, kwa sasa mo hawezi kushindana na yanga wenye hela chafu nyingi, anatakiwa mwekezaji mwenye nguvu na siyo mjanja mjanja, mo mhuni tu hana lolote
TIMU BORA AMUUZIE BAHARESA
Bado hajasema yaaan mpaka aseeeeemee
Weye akili tumekuelewa sana...lkn ingekuwa amri yangu ningekuteuwa kuwa kocha msaidizi wa mgunda unamaono sanaaaaa
Wenye akili Kuna kitu wamepata
Pole kaka ndio mpira huwezi kushonda wewe tui kila siku.yanga bingwa 5gggggg
Au kale kamchezo karushwa kameanza Tena maana yanga haijawai kuwa Bora mbele ya Simba uchunguzi uanze haraka
Tabuleleeeeeeeeeeee laaaaaaaaaaaah
Munguwangu. Yani mpakaleo unashindwa kuujua uwezo mpinzani wako? Ningekupa Mimi ningeacha kufuatilia mpira. Simba na Yanga ni mahasimu kwakila kitu. Hawajawai kuuziana wachezaji. Wala hawana mahusiano yoyote. Sasa kama rushwa kapewa nani? Unajua kushangilia magoli lakini hakuna unachokijua kwenye mpira. Kakojoe ulale
Wacha kukariri
MATOPOLO DAWA YENU IPO NJIANI MTAUFYATA TU.
@@user-py1ed8cw8sFUMBO LA KISENGE HILO DAWA YENU IPO NJIANI
LEO UNAKUBALI KIIILA KITU😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Leo imekua hivyo
Poleni watan
MKISAJILI WACHEZAJI WAPYA MKUMBUKE PIA KUSAFISHA VIONGOZI WENU PIA SEMAJI LINALOVESHA SIFA WACHEZAJI WASIOFAA MUMWONDOE,ANACHEZA NA AKILI ZA WASHABIKI KAMA HAMJIJUWI.😅😅😅😅😅/😮😮😮😮😮
Propaganda nyingi sana mnatengenezewa propaganda kupindishwa na ukweli mnabaki kubishana tu wakati ukweli ts obvious mnawachezaji wazee,wamechoka hawawezi kuendana n mfumo wa kisasa ,usaliji mdogo pesa zimepigwa yani viongozi hawana watu wengne zaidi ya miqson na chama kurudi? Kwamba hamna wachezaji wengne??
Ivi hapa Tanzania una msibaa!!!???😅😅😅😅😅😅
USICHEKE SANA UTAPASUWA CHUPI.
Mulifurahi Kujitangaza Mabingwa Baada Yakupewa Ngao Na Refa Na TFF Mukajiona Mbona Hamkusema...?????.Wamezowe YANGA Kuifunga Simba Goli Tane
Ukutawamabuaaa😅😂🥺
Mmelowaaaa5G
Hahaa
Kwani wewe yanga unaizalau?
UTOPOLO HAMUWEZI KUWA BORA KULIKO AL AHLI NA HAKUTUFUNGA DAWA YENU IPO NJIANI MTAUFYATA TU.
Sio karushwa kameanza kalishaanza siku nyingi na uchawi saaana, refa wa juzi so ndio aliyeleteleza Simba kuvunja viti uwanja wa mkapa hiyo yanga si ya kuishinda simba