MWENDA ATOA POVU NZITO KWA VIONGOZI WA SIMBA ACHENI UHUNI SAJILINI WACHEZAJI VIJANA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 08. 2024

Komentáře • 79

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 Před 9 měsíci +10

    Nilikua naitafuta interview ya uyu brother.namkubali Sana anajua kuchana na ni mkweli🙏.big up bro Mwenda.

  • @EmmanuelNyinyigwa
    @EmmanuelNyinyigwa Před 9 měsíci +4

    Sajilin dam mbichi

  • @ahmadmasunda9892
    @ahmadmasunda9892 Před 9 měsíci +2

    WAKATI ROBERTINYO ANASEMA MCHEZAJI ANAESTAHILI KUCHEZEA SIMBA NI KIBU DENIS TU ALITUKANWA LEO NDIO ANAEONEKANA ALICHOSEMA KINAUKWELI

  • @frankurio469
    @frankurio469 Před 9 měsíci +4

    Tatizo liko kwa uongozi, uongozi haramu wa Mangungu ndio chanzo cha mpasuko simba kukosa umoja na kupelekea hujuma kwenye timu yetu

  • @MichaelMathew-ke6bi
    @MichaelMathew-ke6bi Před 9 měsíci +3

    Ww ni mkweli tupu. Safi sana.

  • @SebastianJulius
    @SebastianJulius Před 9 měsíci +2

    Mgunda arudi tu.

  • @Kapandetv
    @Kapandetv Před 9 měsíci +3

    Kabisa hadi wachezaji wanazingua kabisa

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme Před 9 měsíci +4

    Viongozi wanacheza na akili zamashabiki wanaujanjaujanja wa kitoto hawa ndio watawaferisha, na bahati mbaya wabongo wengi hawana upeo wakugundua mambo mapema , hao viongozi lazima watawafelisha tu na timu daima haitafikia malengo makubwa kwa hao viongozi

  • @NiyomugenziAime-gc3hx
    @NiyomugenziAime-gc3hx Před 9 měsíci +3

    Ukweli hata kama unauma ongea mi mwna Simba ila kwenye ukweli tupo pamoja

  • @suleimankapalata7256
    @suleimankapalata7256 Před 9 měsíci +2

    asante kwamaoniyako ukovizuri

  • @user-eg9jq5ny3n
    @user-eg9jq5ny3n Před 9 měsíci +1

    Simba namba7 yamchongooo

  • @frankurio469
    @frankurio469 Před 9 měsíci +2

    Wachezaji mliouza mechi juzi Mungu anawaona (mnajijuwa)

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před 9 měsíci +1

      DAWA YAO MASHABIKI WOTE TUWASOMEE ALBADIRI WATEMBEE UCHI MITAANI WALIOTOWA NA WALIOPOKEA SHENZI HAO HUTUSHINDWI KUSOMA ALBADIRI 100 LAZIMA WATEMBEE UCHI.

  • @SebastianJulius
    @SebastianJulius Před 9 měsíci +2

    Viongozi mpeni tim mgunda tumewachoka

  • @Geraldissasaid-wt7md
    @Geraldissasaid-wt7md Před 9 měsíci +2

    Wewe nitu wampila nimekukubali sana

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz Před 9 měsíci +2

    Saido alopiga kona,na alimpa pande,baleke akashindwa shida n beki,

  • @frankurio469
    @frankurio469 Před 9 měsíci +4

    Jambo lingine usajili wa kihuni, mchezaji mwenye afadhali aliesajiliwa msimu huu ni ngoma peke yake na huyo ngoma siyo viongozi wa simba walimtafuta ila walienda kumwiba airport, alikuwa anaenda yanga, wengine wote ni magarasa matupu

    • @mussammanga7791
      @mussammanga7791 Před 9 měsíci

      Mchezaji anaemtaka Yanga huwezi ukamuiba airport, na hivyo ndivyo mnavyofeli kwa kuaminishwa.
      Yanga walipopata taarifa za majeraha ya uyo mchezaji wakamuondoa katika ramani yakusajili.
      Kilichofanyika wakala wa huyo mchezaji aliwaingiza mkenge kwakuwatangazia viongozi wenu Ngoma anakwenda Yanga, kwhiyo tukamchukuwe airport.
      Akili zakuwambiwa changana na zako, hivi humuoni Injinia akimtaka mchezaji huenda wapi?
      Na akienda huko humalizana na mchezaji kulekule alipo, sasa hapo mchezaji utamuiba vipi wkt tayari ameshafunga mkataba?
      Hahahaaa mandunduka bhanaaa mtaishi kwa kuaminishwa baada ya mechi 7 vurugu linaanza, wale kocha hafai, wale wachezaji sio, wale viongozi hawafai, wale wachezaji wazee, wale wachezaji hawajitumi, wale refa wanawaonea, wale wamekula hongo,wale mechi zetu zinachezwa.

  • @user-eu5zr8fl5n
    @user-eu5zr8fl5n Před 9 měsíci +4

    Unaongea ukweli mkuu wangu

  • @frankurio469
    @frankurio469 Před 9 měsíci +2

    Simba ina maadui wengi, wasaliti wengi, wapo wachezaji siku zote wanaisaliti simba (kitu kidogo) haswa mechi ya simba/yanga wakiongozwa na golikipa wa juzi (tamaa mbaya) mechi ya juzi imeuzwa na golikipa pamoja na mabeki wawili wazawa

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před 9 měsíci +1

      DAWA YAO ALBADIRI TU WATATEMBEA UCHI ILI IWE FUNDISHO LA KARNE KWA WATOWAJI NA WAPOKEAJI.

    • @MaryJohn-bt5fe
      @MaryJohn-bt5fe Před 9 měsíci

      Mlivyotufunga mliona raha dawa inawaingia 😂😅😅✋✋

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před 9 měsíci +1

      @@MaryJohn-bt5fe UTANIPA ILE KITU NAMESA MESA MWENSAKE????

  • @frankurio469
    @frankurio469 Před 9 měsíci +2

    Yafanyike maamuzi magumu kwa kocha

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Před 9 měsíci +1

    UPO SAHIHI SANA SIMBA WANASAJILI WACHEZAJI WA BEI NDOGO. KOCHA NI TATIZO HABADILI WACHEZAJI TANGIA WASAJILIWE HAWAPANGWI KUCHEZA KOCHA NI TATIZO. YANGA NI TIMU BORA

  • @EmmanuelMsangi-kb3vv
    @EmmanuelMsangi-kb3vv Před 9 měsíci +1

    Sasa hamuelewek wengine hakuna wachezaji wengine rushwa jamani

  • @franccoz94
    @franccoz94 Před 9 měsíci +4

    CHE MALONE ANAWEZA KUCHEZA NAMBA 6 NGOMA 10 SAIDO SIO WA KUCHEZA SIMBA

    • @mussammanga7791
      @mussammanga7791 Před 9 měsíci

      Magoli aliyokuwa anayafunga kwanini ulishangilia?

  • @frankurio469
    @frankurio469 Před 9 měsíci +1

    Viongozi simba mmetukosea sana kwenye usajili wa kihuni

  • @kamdinindevu5185
    @kamdinindevu5185 Před 9 měsíci

    Sawa coach

  • @user-rt3ff9iq1g
    @user-rt3ff9iq1g Před 4 měsíci

    Tunaitaji watu kama hawa wanaosema kweli kama ww

  • @frankurio469
    @frankurio469 Před 9 měsíci +1

    Kocha siyo, mbinu za kizamani

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před 9 měsíci +1

      RUSHWA NDIO ILIOVURUGA KILA KITU UTOPOLO HAWANA UBORA WA AL AHLI NA HAWAKUTUFUNGA.

  • @coolsinare8824
    @coolsinare8824 Před 9 měsíci +1

    simba inatatizo la wachezaji kutokujituma

  • @user-or7hg8mj4d
    @user-or7hg8mj4d Před 9 měsíci

    Mutakoma

  • @MadukwaAlphonce
    @MadukwaAlphonce Před 9 měsíci

    Good ❤️❤️❤️❤️❤️❤️👍

  • @peterpetro8602
    @peterpetro8602 Před 9 měsíci +1

    Mmedraw sasa mmetafunana😂😂

  • @theobiasmtega3350
    @theobiasmtega3350 Před 9 měsíci

    UNAUJUA MPIRA

  • @catherinezakaria9285
    @catherinezakaria9285 Před 9 měsíci

    Nimecheka leo et kama kipanga

  • @philipipasiani8754
    @philipipasiani8754 Před 9 měsíci

    We mzee

  • @frankurio469
    @frankurio469 Před 9 měsíci +2

    vuruga timu nzima sajili uppya kama nyie viongozi mna nia njema na simba

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před 9 měsíci +1

      KWELI NA WAO WENYEWE WATOKE HATUTAKI KUFUGA MAVUZI.

  • @davidwatson6821
    @davidwatson6821 Před 9 měsíci +3

    Injinia big up

  • @jacksonmagoma1915
    @jacksonmagoma1915 Před 9 měsíci +2

    YUSUPH MWENDA (KOCHA )NJOO KIPENGA EXTRA CHA EAST AFRICA UTOE POVU VIZURI. UNAJUA MZEE

  • @bsmonline8482
    @bsmonline8482 Před 9 měsíci

    Sasa huyu ndio kaongea ukweli Viongozi wa Simba wanazingua kwenye Usajili Max walipelekewa jina wakasema wao wana mchezaji wao MVP wa Ligi Mwamba Onana.
    Yaleyeale ya Aucho oooh hana kiwango cha kucheza Simba. Azizi Ki waliwadanganya mashabiki tumeshamsajili tumeshamsajili kumbe Injinia kashapita naye siku nyiingi 😂😂😂😂 Ila Viongozi wa simba Propaganda sana

  • @user-eg9jq5ny3n
    @user-eg9jq5ny3n Před 9 měsíci +2

    Tutaendelea kuwakandaaaa

  • @josephnsolo3550
    @josephnsolo3550 Před 9 měsíci +2

    Hahaaa

  • @HamisiNalinga
    @HamisiNalinga Před 9 měsíci

    Uongozi mbovu wachezaji wazee wamechoka simba Kuna upgaji wa pesa viongoz wa simba ni wababaishaji xna wanaleta ujanjaujanja tyu na siasa

  • @user-or7hg8mj4d
    @user-or7hg8mj4d Před 9 měsíci

    Uku wenu wa kipumbavu ule migoli inaingia2.

  • @frankurio469
    @frankurio469 Před 9 měsíci +2

    Hizo b5 walizopewa na CAF zilifanya kazi gani? Hela za mdhamini zinafanya kazi gani, mwekezaji hela yake iko wapi, wameokota magarasa kama vile timu ni masikini, wizi na uhuni mtupu!!

  • @frankurio469
    @frankurio469 Před 9 měsíci +2

    jambo la pili ni uwekezaji wa kijanja janja, mo alikuwa anaisumbua utopolo wakati yanga hawana hela, kwa sasa mo hawezi kushindana na yanga wenye hela chafu nyingi, anatakiwa mwekezaji mwenye nguvu na siyo mjanja mjanja, mo mhuni tu hana lolote

  • @petrochikawe1797
    @petrochikawe1797 Před 9 měsíci

    Bado hajasema yaaan mpaka aseeeeemee

  • @peteromary8764
    @peteromary8764 Před 9 měsíci +7

    Weye akili tumekuelewa sana...lkn ingekuwa amri yangu ningekuteuwa kuwa kocha msaidizi wa mgunda unamaono sanaaaaa

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka6126 Před 9 měsíci +3

    Wenye akili Kuna kitu wamepata

  • @zeyanaalhabsi8636
    @zeyanaalhabsi8636 Před 9 měsíci +1

    Pole kaka ndio mpira huwezi kushonda wewe tui kila siku.yanga bingwa 5gggggg

  • @mkanulamajid500
    @mkanulamajid500 Před 9 měsíci +5

    Au kale kamchezo karushwa kameanza Tena maana yanga haijawai kuwa Bora mbele ya Simba uchunguzi uanze haraka

    • @user-py1ed8cw8s
      @user-py1ed8cw8s Před 9 měsíci +1

      Tabuleleeeeeeeeeeee laaaaaaaaaaaah

    • @reonardchatanda6371
      @reonardchatanda6371 Před 9 měsíci

      Munguwangu. Yani mpakaleo unashindwa kuujua uwezo mpinzani wako? Ningekupa Mimi ningeacha kufuatilia mpira. Simba na Yanga ni mahasimu kwakila kitu. Hawajawai kuuziana wachezaji. Wala hawana mahusiano yoyote. Sasa kama rushwa kapewa nani? Unajua kushangilia magoli lakini hakuna unachokijua kwenye mpira. Kakojoe ulale

    • @wingwipetrolstation5587
      @wingwipetrolstation5587 Před 9 měsíci

      Wacha kukariri

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před 9 měsíci +1

      MATOPOLO DAWA YENU IPO NJIANI MTAUFYATA TU.

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před 9 měsíci +1

      ​@@user-py1ed8cw8sFUMBO LA KISENGE HILO DAWA YENU IPO NJIANI

  • @user-xi4nh2ht9f
    @user-xi4nh2ht9f Před 9 měsíci +1

    LEO UNAKUBALI KIIILA KITU😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @godfreylutengano9367
    @godfreylutengano9367 Před 9 měsíci +1

    Leo imekua hivyo

  • @clementmuganya6731
    @clementmuganya6731 Před 9 měsíci

    Poleni watan

  • @user-xi4nh2ht9f
    @user-xi4nh2ht9f Před 9 měsíci +1

    MKISAJILI WACHEZAJI WAPYA MKUMBUKE PIA KUSAFISHA VIONGOZI WENU PIA SEMAJI LINALOVESHA SIFA WACHEZAJI WASIOFAA MUMWONDOE,ANACHEZA NA AKILI ZA WASHABIKI KAMA HAMJIJUWI.😅😅😅😅😅/😮😮😮😮😮

  • @mr.qareembrown4473
    @mr.qareembrown4473 Před 9 měsíci

    Propaganda nyingi sana mnatengenezewa propaganda kupindishwa na ukweli mnabaki kubishana tu wakati ukweli ts obvious mnawachezaji wazee,wamechoka hawawezi kuendana n mfumo wa kisasa ,usaliji mdogo pesa zimepigwa yani viongozi hawana watu wengne zaidi ya miqson na chama kurudi? Kwamba hamna wachezaji wengne??

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 Před 9 měsíci +1

    Ivi hapa Tanzania una msibaa!!!???😅😅😅😅😅😅

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 Před 9 měsíci +1

    Mulifurahi Kujitangaza Mabingwa Baada Yakupewa Ngao Na Refa Na TFF Mukajiona Mbona Hamkusema...?????.Wamezowe YANGA Kuifunga Simba Goli Tane

  • @user-eg9jq5ny3n
    @user-eg9jq5ny3n Před 9 měsíci

    Ukutawamabuaaa😅😂🥺

  • @eliupendo3205
    @eliupendo3205 Před 9 měsíci

    Mmelowaaaa5G

  • @josephnsolo3550
    @josephnsolo3550 Před 9 měsíci +1

    Hahaa

  • @rageamadebuchir1135
    @rageamadebuchir1135 Před 9 měsíci

    Kwani wewe yanga unaizalau?

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před 9 měsíci +1

      UTOPOLO HAMUWEZI KUWA BORA KULIKO AL AHLI NA HAKUTUFUNGA DAWA YENU IPO NJIANI MTAUFYATA TU.

  • @user-wl4yo4zp9t
    @user-wl4yo4zp9t Před 9 měsíci +1

    Sio karushwa kameanza kalishaanza siku nyingi na uchawi saaana, refa wa juzi so ndio aliyeleteleza Simba kuvunja viti uwanja wa mkapa hiyo yanga si ya kuishinda simba