WAZIRI AMEIMBA WIMBO WA 20 PERCENT KWENYE MKUTANO, WATU HOI...!

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • WAZIRI AMEIMBA WIMBO WA 20 PERCENT KWENYE MKUTANO, WATU HOI...!
    Waziri mwenye dhamana ya madini, Dotto Biteko, amewahasa wafanyakazi wa wizara hiyo kuendelea kuwa waaminifu na wenye maadili ya kazi ili kuweza kuifanya vizuri kazi hiyo..
    Akizungumza katika mkutano wake na wafanyakazi wapya walioajiriwa na wizara hiyo, waziri Biteko ,amewataka wafanyakazi hao kuacha tamaa huku akinukuu mashairi ya mwanamuziki 20%...
    YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
    ----------------------------------------------------------------------------------------------------------------
    HABARI MPYA DAILY:
    www.youtube.co....
    HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
    www.youtube.co....
    GLOBAL RADIO TV:
    www.youtube.co....

Komentáře • 14