DR. BITEKO AVUNJA MBAVU MAASKOFU "ZILE RANGI ZA WATOTO NI NZURI LAKINI WATU WANAWAZA LIGI KUU"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 18. 03. 2024
  • Naibu Waziri Mkuu wa Tanzania na Waziri wa Nishati Mh. Dkt. Dotto Mashaka Biteko Amemuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassani katika Adhimisho la Misa Takatifu ya kumsimika na kumuweka Wakfu Askofu mpya wa Jimbo Katoliki la Mafinga Mhasham Askofu Vicent Cosmas Mwagala huku akikabidhi Zawadi na kuwaalika viongozi wengine wa serikali.
    Dkt. Biteko ameibua vicheko baada kutafsiri mavazi ya watoto wa Vipapa, nyekundu na njano na nyeupe huku akisema viongozi wengine walikua wanawaza ligu kuu (Simba na Yanga)! na kuwakemea kwa kuwaambia kuwa "tupo kanisani"
    katika hatua nyinge Naibu waziri Mkuu amemuahidi Askofu Vicent Mwagala ushirikiano katika masuala ya maendeleo jimboni mwake huku akiwaasa waumini kujiandaa na uchaguzi wa serikali za mitaa kwa kuchagua viongozi wazuri na wenye kupenda maendeleo.
    MPENDWA MTAZAMAJI WA JOHARI MEDIA WAWEZA KUTUALIKA KWENYE TUKIO LAKO LOLOTE KWA NAMBA 0716225187 AU 0621969004. POPOTE TUNAFIKA.
    KADIRI YA UKARIMU WAKO WAWEZA KUWEZESHA UTUME WETU KWA NO HIZO AU KWA NAMBA YETU YA LIPA NO YA JOHARI MEDIA 5461105
  • Zábava

Komentáře • 3

  • @levidavid1156
    @levidavid1156 Před 4 měsíci +1

    huyu nimoja ya viongozi anayejiamini safi saana Mungu amtunze. angalau anatoa matumaini kwa wananchi hongera Biteko

  • @matondokija
    @matondokija Před 4 měsíci +2

    Hongera sana baba asikofu mwagala

  • @Expedito2512
    @Expedito2512 Před 4 měsíci +3

    Huyu kijana anajitahidi sana