Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Nipende kusema tu kwamba, kaka Biteko ni kiongozi hodari, nampenda sana
Hongera sana mkuu nakutakia kila la kheri
Asante naibu waziri mkuuu kwa maneno ya busara,mungu akubariki.
Wewe ni genious Dotto! Mungu amekujalia jinsi ya kupanga hotuba yenye kusisimua hadhira.
Hongera kwa hotuba nzuri na iliyoshiba Mh. Naibu Waziri Mkuu Dr. Dotto Biteko
Mungu akubariki kiongozi mzuri na mcha mungu
Ni jambo jema na kubwa sana kupewa fursa kukaa mbele ya makuhani wa Mungu
Uko vizur I kaka hongera sana
Hakika Mungu akubariki Sana
Asante mkuu. Tutende zaidi, tuseme kdg.
Maneno ya hekima.... uchambuzi wenye ujuzi
Nimegudua Biteko ni Excellent man! Saaaaaaafiiiiiii kabisaaaaaaaa saaaaaaafiiiiiii kabisaaaa
Excellent speech
Huyu jamaa ni kiongozi kwelikweli
Uko vzr
Wewe nikiongozi mzuri unafaa
Watu kama hawa walindwe niwachache sana kama kunasehemu raisi kwa waziri huyu kapatia
Utamenya inzovu ayita chatebateba
Hakika kiongozo huchaguliwa na mungu mh rais kamwongoza mungu kumpata waziri wa nishati na naibu waziri mkuu hapo ndio roho ya nchi hongera sana
Good speech Dott o
😂😂😂 Nikasema nimeisha
BitekoMtoe mbarikiwa basi
😂😂😂 Ameamua kuimba
Congratulations cna , Naibu Waziri Mkuu Kwa ujumbe mzuri
Hahaaaaaa
Very charming honorable deputy prime minister hongera saana
Mh. Biteko natamani kizazi chenu kingeibadilisha hii nchi kifikra,bila kujali itikadi za vyama. Badilisheni baadhi ya mifumo mibovu ya urithi boresheni hii nchi kwa mema yake mengi ili tuifaidi SOTE . HAKIKA BARAKA HAZITOPUNGUA KATIKA NCHI
Mbarikiwa yuko wapi mbona alifanya ivo
Hongera sana Naibu Waziri mkuu uneongea kwa hekima nyingi sana Mungu akutunze
Nipende kusema tu kwamba, kaka Biteko ni kiongozi hodari, nampenda sana
Hongera sana mkuu nakutakia kila la kheri
Asante naibu waziri mkuuu kwa maneno ya busara,mungu akubariki.
Wewe ni genious Dotto! Mungu amekujalia jinsi ya kupanga hotuba yenye kusisimua hadhira.
Hongera kwa hotuba nzuri na iliyoshiba Mh. Naibu Waziri Mkuu Dr. Dotto Biteko
Mungu akubariki kiongozi mzuri na mcha mungu
Ni jambo jema na kubwa sana kupewa fursa kukaa mbele ya makuhani wa Mungu
Uko vizur I kaka hongera sana
Hakika Mungu akubariki Sana
Asante mkuu. Tutende zaidi, tuseme kdg.
Maneno ya hekima.... uchambuzi wenye ujuzi
Nimegudua Biteko ni Excellent man! Saaaaaaafiiiiiii kabisaaaaaaaa saaaaaaafiiiiiii kabisaaaa
Excellent speech
Huyu jamaa ni kiongozi kwelikweli
Uko vzr
Wewe nikiongozi mzuri unafaa
Watu kama hawa walindwe niwachache sana kama kunasehemu raisi kwa waziri huyu kapatia
Utamenya inzovu ayita chatebateba
Hakika kiongozo huchaguliwa na mungu mh rais kamwongoza mungu kumpata waziri wa nishati na naibu waziri mkuu hapo ndio roho ya nchi hongera sana
Good speech Dott o
😂😂😂 Nikasema nimeisha
Biteko
Mtoe mbarikiwa basi
😂😂😂 Ameamua kuimba
Congratulations cna , Naibu Waziri Mkuu Kwa ujumbe mzuri
Hahaaaaaa
Very charming honorable deputy prime minister hongera saana
Mh. Biteko natamani kizazi chenu kingeibadilisha hii nchi kifikra,bila kujali itikadi za vyama. Badilisheni baadhi ya mifumo mibovu ya urithi boresheni hii nchi kwa mema yake mengi ili tuifaidi SOTE . HAKIKA BARAKA HAZITOPUNGUA KATIKA NCHI
Mbarikiwa yuko wapi mbona alifanya ivo
Hongera sana Naibu Waziri mkuu uneongea kwa hekima nyingi sana Mungu akutunze